Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Dada sana nijue jmn
Naaam!!!mimi hupenda kupika hivi kiswahili kabisa kwa kumuenzi bibi yangu alikuwa mpishi mzuri sana wa vitumbua na mikate ya kumimina...Allah ampe makazi mema peponi
Nimejaribu na nimeweza kama mzoefu vile.............👏👏👏👏😅😅
Inatakiwa iwe nzito au mwepes unga
Asante sana dada
Asante
Iyo sukari ukipika haitokezi chenga
I was like i know this voice….🤣😘😘😘😘😘 yummy♥️♥️
😂😂😂😂
Delicious 🤤
Dada mm nikipika vinakua vilaini sana sjui nakosea nini
Ivi vyakubrend siwez changanya na uji wa maind
Hapana
Naeza kuchanganya na mixer
Yes
Tui la nazi umeeka kiasi gani,,hujasema kwenye video
Nimekadiria tu
Kwan dada unga wa ngano lazma???
Sembe sio ngano
Tui la Nazi ume weka kiwango gani
Habar ivi ni sababu ipi hufanya vitumbua viwe na ugali ugali kwa ndani
Ukikosea vipimo
Au ukiweka unga wa ungali mwingi zaidi ya kipimo
Naomba kujua tui umeweka vikombe vingapi!? Maana kwenye video hujasema Madam
@@linahsyummy....12 Hello madam Tui la nazi umeweka vikombe vingapi maana kwenye video hujasema kipimo cha tui dear
Uji unakuwa ujaiva mimi nimepika jana vimetoka mwaaa lain kama mfanya biashara wa vitumbua
Kwani dada nazi ni lazima
Sio lazima ila inaongeza ladha,unaweza ukatumia maziwa au maji pia haina shida kabisa.
@@linahsyummy....12samahani mchele unatumia aina gani?
Unga wa ngano unasaidiaje
Mashine ya kukologa bei gani
Dada sana nijue jmn
Naaam!!!mimi hupenda kupika hivi kiswahili kabisa kwa kumuenzi bibi yangu alikuwa mpishi mzuri sana wa vitumbua na mikate ya kumimina...Allah ampe makazi mema peponi
Nimejaribu na nimeweza kama mzoefu vile.............👏👏👏👏😅😅
Inatakiwa iwe nzito au mwepes unga
Asante sana dada
Asante
Iyo sukari ukipika haitokezi chenga
I was like i know this voice….🤣😘😘😘😘😘 yummy♥️♥️
😂😂😂😂
Delicious 🤤
Dada mm nikipika vinakua vilaini sana sjui nakosea nini
Ivi vyakubrend siwez changanya na uji wa maind
Hapana
Naeza kuchanganya na mixer
Yes
Tui la nazi umeeka kiasi gani,,hujasema kwenye video
Nimekadiria tu
Kwan dada unga wa ngano lazma???
Sembe sio ngano
Tui la Nazi ume weka kiwango gani
Habar ivi ni sababu ipi hufanya vitumbua viwe na ugali ugali kwa ndani
Ukikosea vipimo
Au ukiweka unga wa ungali mwingi zaidi ya kipimo
Naomba kujua tui umeweka vikombe vingapi!? Maana kwenye video hujasema Madam
@@linahsyummy....12 Hello madam Tui la nazi umeweka vikombe vingapi maana kwenye video hujasema kipimo cha tui dear
Uji unakuwa ujaiva mimi nimepika jana vimetoka mwaaa lain kama mfanya biashara wa vitumbua
Kwani dada nazi ni lazima
Sio lazima ila inaongeza ladha,unaweza ukatumia maziwa au maji pia haina shida kabisa.
@@linahsyummy....12samahani mchele unatumia aina gani?
Unga wa ngano unasaidiaje
Mashine ya kukologa bei gani