Nna swali jamani nisaidieni. Mwenzenu Sina karai ya kuchoma vitumbua ila nna tray ya kupika cup cake. Swali langu ni naweza tumia hiyo tray na nipike vitumbua kwenye oven badala ya kuchoma kwenye motowa makaa?
I dont why siku hizi vitumbua watu sijui wanapigaje sio vitamu ila its been a minute since i went to mswazi,nilipikaga vitumbua many years back....hahahahahahaha now i know where i went wrong
Nimeelewa vzr lkn wakati anautengeneza alikua kama mtu anaesonga it means ulikua mgumu sasa imekuaje mpaka ulivyoumuka ukawa mchanganyioo wake mwepesi???Hakuongeza kitu ili kuufanya laini?
Nakupendaga bureee unaelekez kw usahih na ustara. kabisa nilisubiria kw a hamu pish hili
Thanks for sharing. I will try your recipe without coconut milk
Ma sha Allah mpenzi 👌👌
Nilikuwa natamani sana kujua uswazi wanapikaje vitumbua duu....umegusa sana leo big up
Thanks for sharing
Wawoooo tamu sana na hongera🎉🎉🎉
Njema! Ahsante
Asante Sana, hata mimi nilikua na muona bibi yangu akipika vitumbua au mkate wa kumimina lazima atumie uji, vitumbua vinakua vizuri Sana.
Asante kwa elimu yako nzur
Nimekupenda bure my dear
Maashallah
unapka vzr mashallah
Shukrani dada kwa darasa lako la mapishi ya vitumbua
Asante nimefurahi❤❤❤❤
Asante sana kwa maelekezo
Asante sana
تبركاله جميلة شكرن
Mwenzangu kweli shuhuli
Ninachokupendea huchoshi kima elezo sio wengine ku elezatu lisa lizima mpaka ham yakuona video inaisha hongera dada
Asante Nani pia huwa nafanya ivo
iLike that kwani watanzania tumor wapi mambo mazuri yanatupita
My first thought was my set book in high school.."kitumbua kimeingia mchanga".......anyway, good recipe.
Hahaha yeah
@@njerinajma5009 At least siko pekee yangu. That book...say less.
Nakupenda sana
Nimevipenda
Nilikua natafuta huu upishi sana hatimae nimeupata kwa sisi tusio na blenda
Je ukilala umeumua sio nzuri au
Unakua mkali
Maashaallaah ila moto mwingi inatakiwa moto kidog ili viwe namvuto
Nitajaribu
Naomba pishi la bagia za dengu nzuri za kuchambuka ndani
Hahahahaaaa Safi saan vyauswaz vitamu saan nimependa maandaliz ya kikwetu kwetu kbs had sufuria aweeeeeeeeeee piga kelele kwa uswaz kwetu eeeee
Kazi nyingi hivio
Kabisa
Masha Allah kwaiyo uweki nazi
na mimi nimejiuliza hivyo hivyo...iatakua vitumbua vya uswahilini hawaweki nazi
@@verachikulupi8063hata mie ninehisi ivyo , ahsanteee
Siamini mi ni wa kwanza hahahaha kucomment na wa pili
Naomba dd nisaidiee nataka vya biashara 🙏🙏
Nimepeda jomon
Jaman nami ndo nafanya hivyo kumbe napatia mwalimu wanguuu
Mshlh naomba nijifunze zaid mara nyingi nimejaribu vitumbua vya uji vinanishinda
Any chance we might get video ya Mkate wa kumimina I really want to know tht one. But thanks for this one pia it's a good one
Nilazima utumie uji wa sembeee?
Yummy
Na ukiwa na unga kilo Moja unaweka Amina kiss Gani
Shukurani
Fabulous!
ll
0
❤
Je unga wa ngano uliweka muda wataka kupika inafanyaje?
Please send mi full recipe
Vzurii dear😍
Asante
Asante
@@ikamallenliacha unga uumuke kwa lisaa 🙃🙃
yani sijui nisemeje asante aika, hiki sasa ndo kitumbua the original recipe sio vile vya nazi
👌 OG
USWAHILINI 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 💯🚀😇🔥🥰😘🇰🇪💯🔥🌶️💋🌶️💋💋
Nngependa kujua ni mchele gan zaid unaofaa. Mana huku kwetu zanzibar kuna mchele wa mapembe ndo tunautumilia lkn nmejarib sn cjafanikiwa
Wow
Sorry lakini amira ni nini mu english
Ni yeast
Tuletee recipe hii kwa vipimo kwa ajili ya vitumbua vichache vya nyumbani
Je Inga wa Donna haufakkuchanganyia?
Huo uji wa sembe unatakiwa uive?
Kikombe unacho pimiya mchele ni kikombe cha ahina ngani? please nisaidiye
Yaani kwa kweli hii clip imenisaidia sana. Nimejaribu kupika vitumbua vimetoka bomba hadi nimejisifia mwenyewe. Hongera sana mummy
Mbona Mimi vinaganda alafu vinakuwa vigumu vinakakamaa. Pia unatumia kikaangio gani? Mana hiki Mimi kinanisumbua ni kipya nawaza ninunue cha dukani
Kilo moja nitaweka amiral kiasi gani
Nna swali jamani nisaidieni. Mwenzenu Sina karai ya kuchoma vitumbua ila nna tray ya kupika cup cake. Swali langu ni naweza tumia hiyo tray na nipike vitumbua kwenye oven badala ya kuchoma kwenye motowa makaa?
Nafkir utateseka kuja kuugeuza. Tafuta chuma, sikuhizi vipo vingi. Andaa elf 25 hadi 30
Ahsante
Kwan nilazima hio uji waunga wakawaida je nikikosa nanikakoroga tuu hio Unga wamchele
Ni sawa
Kwan nilazima kuweka unga wa sembe?
Hup uji alotengeza ametumia unga gani???n huo unga wa sembe ndo gani???
Habari? Naomba uonyeshe jinsi ya kupika kashata za ufuta, na za machicha ya nazi
Mmm
Naomba kujua kilo inatoa vitumbua vingap my dear
Asante lakini tunaomba utuoatie vidéo nyingi za kutufunza
Ukipika vitumbua vinaweza kukaa hata siku tatu bado laini au siku ngapi?
ASANTE SANA LAKIN TU TAKA KIPIMO BASI - FULL RECIPE THANK YOU
Chai iwapi dear??😋😋😋
Inakuja 😂😂
Chef Ika ina maana vitumbua vile vya uswahili huwa hawaweki nazi si ndio? au hapa nime miss kitu?
Wewe ukivila unaonaje?
Nafatilia nataka kuanza biashara
Mchel ni wowt au upo maalum kwa vitmbua
Wowote nimetumia
Samahani hamira kwa kingereza inaitwa aje?
Yeast
I dont why siku hizi vitumbua watu sijui wanapigaje sio vitamu ila its been a minute since i went to mswazi,nilipikaga vitumbua many years back....hahahahahahaha now i know where i went wrong
Nifundiche kupika vitumbuadada
Maji huweki unaweka uji tu
My friend please make a small quantity not all people have big family
Then what will my family eat?
Nmepend
Sasa aviekwi nazi basi uji wasembe na sukari na amira alafu nilaini
Hazijawekwa nazi
Daa ika mm naomba recep ya kilo 2
Vipimoo vyakee yaan
Mbona hujairudia hii video
Sijaweza kuzipika bado
Mchele unasiaga???
Ndio
Inatoa vitumbua vingapi kilo moja
Kitumbua kama kitumbua
Kwanini unapikia uji vitumbua
Hiyo wenye kupika vitumbua wanaita madida 😊
Je hajauloweka?
Ulioshwa tuu then ukaachwa kwa dakika 30 , ukaenda kusagwa mashineni
Asante utuletee na mkate wa kumimina km unavyoita pishi la kiswahili my
Unga wa sembe...ni ule wa ugali au?
Ndio
Mchele ni wa chenga chenga?
Unaweza tumia wa chenga ama wakawaida...
@@ikamalle thank you
Nimeelewa vzr lkn wakati anautengeneza alikua kama mtu anaesonga it means ulikua mgumu sasa imekuaje mpaka ulivyoumuka ukawa mchanganyioo wake mwepesi???Hakuongeza kitu ili kuufanya laini?
Naomba kuuliza unaweza kusaga mchele mwingi?yaan namaanisha ili utumie muda mrefu,🙏
Ndio
Hapana ukisaga unga mwingi unawai kuharibika unatoaga harufu mbaya
Rudia recipe basi haika
Hakutumia tui la nazi
Jaman naomba nijulishe kipimo Cha kilo moja Mana hapo umesema Kuna unga mmeubakiza so sijaelewa unga wote kilo moja kipimo kikoje
Nimesaga kilo moja ... lakini nimetumia Vikombe 5 vya unga wa mchele Kupikia
Sawa asantee
@@ikamalle samahan huu uji wa sembe ni lazima uive yan uchemke km uji wa kunywa?
@@evermashombo3010 ndio lazima uive kama wa kunywa
Nchele alienda kusaga mashine au
Ndio
Asante sana
Nilazima utumie uji wa sembeee?
Nilazima utumie uji wa sembeee?
Nilazima utumie uji wa sembeee?
Nilazima utumie uji wa sembeee?