Jinsi ya kupika kupika kaimati/kalimati tamu sana kwa njia rahisi /Luqaimat / sweetballs
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 11. 02. 2020
- Kaimati za maziwađđ»
âą Jinsi ya kupika Kaimat...
MAHITAJI
*Unga wa ngano kikombe 1 1/2
*Iliki 1/2 kijiko cha chai
Tui la nazi glass
*moja /220ml
*Hamira kijiko1 cha chakula
*Yai (sio lazima)
SHIRA
*Sukari
* Vanilla extract
* Maji
Ingredients
*Plain flour 2 1/2 cups
*Cardamom powder 1/2 teaspoon
*Coconut cream 1 glass/ 220ml
*Dried yeast 1 tablespoon
*1 Egg (optional)
SHIRA
*Sugar
*Vanilla extract
*Water
eastafricanfood...
wardytor?igshid...
Upo vizuri sana nimependa hujafuga kucha kama wengine wanakanda ngano na makucha ni uchafu halafu wanafundisha mapishi upo vzr dada
Maa shaa allah kaimati zapendeza sana
Mashallah mashallah I love kaimat .
Masha Allah mamy
Shukran zinapendeza .
Masha'Allah zavutia sanađđ
Shukran đ
Maa Shaa Allah
Asante kwa somo zuri la kalmati
Safii !! Safi sana
Mashallah mwalimu nimekuelewa kesho najifunza na mm
Asante somo nimelielewaâ€ïžâ€ïžâ€ïž
Nzuri Sana hongera
Masha Allah
Kaimati nzuri,tamu
Tamu sanaaa
So cool
Shukran pishi zury sanna hongerđđ hlf kubwa nimependa jins unavyofundisha honger unaeleweka sana
Nice work
Uko sawa dadangu mashallah
Salim Mbarak Shukran
Mashaallah
MaashaAllah ahsante kwa mafunzo, Maelezo yako yametulia na rahisi kufahamika.
Asante đ
Sukar au chumvi
MashaaAllah kaimati zavutiađ
Asante
@@wardakhalid292 habari dear naomba kuuliza hivi kuna ulazima wa kuweka tui au ni mapenzi ya mtu
Nzuri sana dada asante
Allahuma barik
Nimeelewa sana
Ahsante
Daah nzuri
Thanks my dear
Shukran
Nimependa sana pishi hilo jamani asante sana
Nimependa unaelekeza kwa ustadi mkubwa zaidi asante kaimati yako inavutia sana as
Asante dear đ
Uko vizuri sana
Asante
best kaimati video Masha Allah, hata me taziweza sasa kutengeneza
Shukran đ
yummy ma sha Allah
Shukranđ
A. Alkm... Anty Warda.... Leo na mm nimejaribu.. Kawaajir ya ftar.... Asante mpnz Allah akupe kila hitajio LA nafsi yako inshallah.
Waalykum salaam , MashaAllah MashaAllah đ€© hongera sana. Ameen yarab đđđ, đđ
Nice one MashaAllah đđđ
Asanti Sana dada Kwa huo upishi/mundo wa kaimati, swali langu ni "Shira" ni nini na inapatikana wapi? Asanti
Shira ni hiyo mchanganyiko wa sukari na maji ukishaichemsha ikiwa muonekano huo wa kimiminika ndio inaitwa shira
Asante sana
Asante kwa darasa
Asante
Dada Hongera sana ww mwl mzuri,
Asante dear đ
Asante sana kwa mapishi..mi nimejaribu baada ya muda sukari ya nje inayeyukaa yenyewe..wakati Nilipeta hadi ikawa nyeupe sijui nakosea wapii..Naomba msaada
Au sehemu uliyokuwepo inajoto sana inaweza kuwa ndio sababu
Kaimati zavutia sana
Shukuran
Ooh thanks dear, nimepata cha kupika leo nilikuwa nawaza nipike nini
Karibu dearđ , na mapishi memađ
Asante kwa elimu nzuri ubarikiwe,nimepitwa kidogo tutaongeza shila waweza kurudia?
Asante sana Dada kwa somo nimepata nilicho kitafuta kwa muda mungu akubariki
Aamin
MashaAllah ila pole kwa mafua
cutie thuma Asante, nishapoađ
Masha'Allah recipe nzuri sana
Shukran
Mashallah
Nimezipenda kweli
Huwez weka sukari wakat wa kutengeneza
Mashallah kaimati nzuri na nimefurahi kwa recip shukran
Je hauweki sukari wala chumvi kidogo??
Hapana siweki
â€
đ„°đ„°đ„°đ„°
Is this like puff puff kama ile ya west African recipee?
Hongera kipenzi nime pata somo but Jana nilijaribu Nika kukuta na mwaga unga
Kwanini dear?
Nc
Asante ,kwa somo zuri, hv huwa haziwekwi sukari?
Can i use milk instead of tui
Hi just subscribed your channel . I love kaimati, I will try and let you knowđșđșđșđș
Thank you đ &all the best đș
Iyo shira inapatikana wa
Shira ni mchanganyiko wa Sukari and maji ndio hiyo niliyoipika na na kuiweka juu ya kaimatiđ
Thank youâ€â€â€
Youâre welcome đ
Good recipe,hizo kaimati hauweki sukari Wala chumvi?
Sukari naweka juu tu
Zapendeza
Asante. Can i skip an egg?
Yes you can skip the egg
Masha Allah ukhty mungu akubariki juzi nilifanya bt zilikua kubwa utasema ni mitaiđ
MashaAllah hongera, mdogomdogo ukiendelea kupractice InshaAllah zitakuja kutoka vizuri â€ïžđđŒ
Kama hunatui la nazi unatumia nn madame
Hata maziwa au maji pia zinakuwa nzuri
Ipate chai rangi ama kahawa thungu.... Lo!!
Nimeelewa but wakat wa kuandaa sukari haitajiki
Me naweka nje tu
He vanilla yaunga haifai?
Wakati was kuchanganya unga na hamira mayai nk je hapa sihitajiki suweka sukari
mimi ni chef ila Nimebass sana kuni continental cuisine ila kuni hizi bite za nyumbani umenisaidia sana ubarikiwe
Asante sanađ
Unauacha kuumka
Asante ,can i skip an egg?
glory benedict yes you can dear
Nimependa hii ni nzuri kwa kitafunwa
Kalmati zako ni nzuri Masha Allah, ila mie nina swali kama nataka kalmati ziwe crunchy kwa nje na kwa ndani ziwe soft unawefanyaje?
Kama unataka ziwe crunchy ziwache zikolee rangi kidogo ziwe dark brown kidogo na pia usizifanye ndogo sana ili ziwe laini ndani.
@@wardakhalid292 Shukran kwa kunijibu.
@@alsam4881 maziwa mtindi husaidia kufanya crunch kwa kalmati
great job. I love it.
Thank you
I dont mean to be so offtopic but does any of you know of a method to get back into an instagram account..?
I was dumb forgot my password. I love any tips you can offer me!
@Braylon Cohen Instablaster :)
@Khalid Alonso i really appreciate your reply. I got to the site on google and im in the hacking process now.
Seems to take a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.
@Khalid Alonso it did the trick and I now got access to my account again. I'm so happy!
Thanks so much you really help me out :D
Nimependa utengenezaji wako
Asante đ
Mapishi mazuri vitu vitamu
Da zur
Asc Ramadaan kateem Masha allah
Waalykum salaam, Shukran đ
Hinda Said... I
Kama huna tui la nazi, je unaeza tumia maziwa ya kawaida au maji tu??
Yes unaweza dear
Leo nataka nizitengeneze
All the best dearđ
Umenikosha
Asanti kwa mafunzo...leo nimejua jambo natamaningi kujua
Karibu đ
SUKARI unaweka wakati gani?
Hakueka đ uyuđđ
Kama hauna vanira huwezi kupika kalimati?
Hauwezi kuweka maziwa badili ya nazi ukhtiy ?
Unaweza habibty
Hapo hutumii sukar au chumvi
Yeah situmii wakati wakuponda , naweka juu tu
Kama sina vanilla nafanyaje mamy
Weka Iliki
Tui ndo nini ?
Aslm alaykum je kama hupendi mayai?
leo kamil Waalykum salaam
Usiweke dear, na pia zitatoka vizuri bila yai
@@wardakhalid292 shukran sana đ
@@wardakhalid292 yaaan mm nashindwa kukisia maji kweny ung jmn ila nitamuomba mungu ishaallah
Naomba kujua hiyo vanila inapatikana wapi? Na hiyo mashine ya kuwekea kalimati inapatikana wapi?
Vanilla inapatikana maduka viungo (spices) au maduka yoyote ya vyakula. Na kuhusu mashine mcheki huyu niliviona kwake đđ» instagram.com/tasnem90?igshid=1majklhckogq6
Waweza pika bila vanila na tui.la nazi. Au nilazima kuweka.hivyo vitu
Yes unaweza
Ukisema kikombe kimoja na nusu munavhanganya watu mbona mina mambo ya ajabu watakiwa useme kama nirobo au ninusu au nikilo mana vikombe havilingani
Sawa
Je yai ni lazima mumy na tuhi n waweza tumia maji
Unaweza dear ila hazitakuwa nzuri sana kama ukiweka tui au mazima
Yai sio lazima kwenye kaimati
Dada kama sina nazi naweza Kuweka maziwa je nisawa auđ
Ndio unaweza
Video hii đđ»nimeonyesha kupika za maziwa czcams.com/video/ItT19EoPkYI/video.html
Hongera mno đ unatuokowa
Hakuna kuweka chumvi
Hapana siweki
Ukiweka sukari je
Kuweka sukari wap?
Nauliza ya kwamba naweza kupika na maziwa Niki kosa Nazi?
Yes unaweza dear đđ»
Jinsi ya kupika Kaimati /Kalimati za maziwa tamu sana
czcams.com/video/ItT19EoPkYI/video.html
Amira hauweki
Nimeweka
Hii Ni sukari ya kawwida
Salvador Baraka yeah yakawaida nyeupe ila sukari yoyote hata ya brown inafaa
Hi,can I use maziwa lala?thx
Yes ,you can dear đ
Sukari mtu hawezi changanya pamoja na unga wakati wa kukanda !
HnaweZa kuweka kidogo kama utapendađ
Mbona mimi nikizipika sukari huwa inayeyuka zikikaa kwa muda huwa nakosea wapi
Christina Hillary nadhani inakuwa joto
Me nikipika hivyo zinakaa siku nzima lakini zikiamka siku ya pili sukari kidogo inakuwa imeanza kuyeyuka.
Sister kama sina vanila nafanyeje
Pa naulza naweza tumia maziwa badala ya nazi maana hku nazi ni shida
Unaweza kuweka iliki ya unga. Na Yes unaweza kutumia maziwa