NI KWELI TATIZO LA LAWI MKONO WA YANGA UMO MIAKA YOTE MITATU KUMBE WALIKUWA WANA KIKOSI CHAO NDANI YA SIMBA HUO SI UANAMICHEZO SHINDANENI KIWANJANI NA SI KUHOGA WACHEZAJI.😂❤😂❤❤❤❤😂❤
Kwa hili la lawi kamati ya usajili Simba inabidi watoke hadharani watuombe msamaha mashabiki wa Simba, mchezaji hajasign mkataba wako kwanini umtangaze?
All the best 👍🏻 simba this year we have very good team hope this year we will be champion INAYAT MUSTAFA FROM CANADA 🇨🇦
Tunaimani na KRAMO sana tena sana
Simba one pawer❤❤
Lawi Yanga wamesha washawishi Costi
Ndio ilivyo
Si wangeanza na kagoma
Sijapenda kanuti kuacha Simba,
Kwani nimoja ya wachezaji waliojitolea sana kuipambania Simba
Huyo Lawi atajilaumu baadae
Kramo bado yupo au
Mpira sio maneno tusubiri vitendo kazi kwenu wachezaji msituangushe
Kwaher kanoute
Kramo bado yupo
KRAMO ndo tunamuitaji
Ktamo ameenda na tim
NI KWELI TATIZO LA LAWI MKONO WA YANGA UMO MIAKA YOTE MITATU KUMBE WALIKUWA WANA KIKOSI CHAO NDANI YA SIMBA HUO SI UANAMICHEZO SHINDANENI KIWANJANI NA SI KUHOGA WACHEZAJI.😂❤😂❤❤❤❤😂❤
Kila la kher puttin!
Ninyi wachambuz kanout mlimleta ninyi? Wanajua wanacho fanya
Kwa hili la lawi kamati ya usajili Simba inabidi watoke hadharani watuombe msamaha mashabiki wa Simba, mchezaji hajasign mkataba wako kwanini umtangaze?
Omba wewe msamaha
HeMedii
Mapema wamenza vigisu benchi la ufundi 😂😂😂😂
😅😅 wakuombe samahan ww kwa lipi ww kaa tu shukuru kwa wanachofanya
Kramo bado yupo au