CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • CLATOUS CHAMA VS JEAN AHOUA SKILLS,ASSIST AND GOALS NANI NOMA, CLATOUS CHAMA SKILLS, CLATOUS CHAMA GOALS, CHAMA VS AHOUA, JEAN AHOUA GOALS, JEAN AHOUA SKILLS #yanga #yangsc #yangavssimba #clatouschama #jeanahoua #wachezajiwapyawasimba
  • Sport

Komentáře • 22

  • @user-pc1yo6mx1v
    @user-pc1yo6mx1v Před 3 dny

    Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Před 16 dny +4

    Hawezi kumfikia Chama, ingawa ni kijana mdogo ananafasi ya kuwa mzuri zaidi.

  • @issufomabbetto321
    @issufomabbetto321 Před 18 dny +3

    kwani chama alipo zaliwa alikuwa kama mbuyu.😊

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja Před 12 dny

    Kumfananisha chama na huyu ahoua ni sawa na kufananisha ngamia na kinyesi chake kwa vipo sawa😂😂

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge Před 8 dny

    Kweli Hawezi kufanana na chama kwasababu chama ni mzee na huyu kijana damu inachemka kweli chama hagusi hapo.

  • @mashakasendama2725
    @mashakasendama2725 Před 5 dny

    Aise mwamba wa Lusaka ni mwamba sio huyu 😂😂😂😂

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 Před 3 dny

    Chama mchumba tu akikutana na wanaume wa misri anakua kama kafungwa miguu dadeki paform pote akiona waarabu anaanza kuleta ushubwada wake

  • @vedatv-to4hg
    @vedatv-to4hg Před 8 dny

    Bado San huyo kijana

  • @olaisstephano8498
    @olaisstephano8498 Před 5 dny

    Chama hana spidi halaf umri hapa Ahoua ni zaidi

  • @husseinissa9623
    @husseinissa9623 Před 21 dnem +1

    Chama ni chama tu

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  Před 21 dnem +1

      Hahahaha Ngoja Kijana naye apewe muda

  • @AbuuAkili
    @AbuuAkili Před 6 dny +1

    Acheni kutumalizia bando

  • @DanyEnto
    @DanyEnto Před 19 dny

    Chama ni shida nyingine

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i Před 18 dny

    Mchango wa magazo yake

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 21 dnem +2

    Huyo ni ugonjwa wa akili chama ufananishe mtoto ambae hata kunyonya hajaacha huyo mchezaji ni level za faridi Musa na Tena hamfikii

  • @mwana-dodomamedia9111

    Nimegundua Ohua, anayo speed na kupeleka mpira mbele kwa haraka kuliko Chama. Ila chama kwenye kufinya yupo vizuri kuliko Ohua.
    Kwa kocha anaehitaji matokeo, lazima atamuhitaji OHUA zaidi kuliko Chama. Hii ni kiutaalamu zaidi. Ukiona inakufaa, chukua na ukiona haikufurahishi kutokana na mapenzi yako, achana nayo

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i Před 18 dny

    Mchango wa magazo yake

  • @Abdul-s1i
    @Abdul-s1i Před 18 dny

    Mchango wa magazo yake