RASHID YAZIDU AFUNGUKA KISA CHAKE NA KIBU DENIS/ BALAA ZITO LAIBUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Komentáře • 47

  • @Chelseaboy_1905
    @Chelseaboy_1905 Před měsícem +6

    Crown fm jaribuni kupunguza sauti ya io beat background inameza sauti za waongeaji

  • @user-qe9ot4kl9u
    @user-qe9ot4kl9u Před měsícem +4

    music background iko juu munatuudhi wasikilizaji wenu nimeshindwa kumaliza video

  • @fabiangodfrey-fp4pt
    @fabiangodfrey-fp4pt Před měsícem +5

    Kibu kasema hakujui bwana acha shobo😂😂😂😂😂😂

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 Před měsícem +1

    Kibu kashamaliza maana wabaongo tunapenda kupitaga na upepo kibu kasema alikupa kazi ya mda tu

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před měsícem

    Nomaa

  • @rabbik5668
    @rabbik5668 Před měsícem

    Chama amepotea mtaani Kibu kila kona Asante Kibu 🎉🎉inatakiwa kurudi Sasa msimbazi

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 Před měsícem

      TAMU ZAID ANAKUJA YANGA SO SUKARI YOTE YA HABARI YA MJINI ITAAMIA YANGA MTANI

  • @estonsaimon6671
    @estonsaimon6671 Před měsícem

    Hajui hata aongee nn kwenye nn na kwa wakati gni?

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Před měsícem

    Huyu Rashid analazimisha shobo kwa Kibbu. Kibbu Kesha sema hakujui na hakutaki.

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před měsícem +1

    Njaaa tu uyoo😂😂😂

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos Před měsícem +2

    Simba sio wakusumbuana na kibu mchezaji goal 1 assist 2 yan huyu ilitakiwa moja kwa moja championship kwa mkopo bora usajili kilema sio kibu amna kiwango bado anasumbua watu vichwa kunamda wachezaji hua wanatumia ushirikina mbona kuna wachezaji wazur sana na awapati nafasi ila hii takataka kibu hamna mchango wowote lakini wanalijali kwanza uyu alikua ashaondoka simba kitambo sema likamloga na robatinho alipende ndo ikawa pona pona yake saiz limejichanganya M300 sasa lazima afanyiwe ubaya ubwela ilifala ilibidi liludi kwao congo najua uko Norway limefeli 😅 kwanza mchezaji anafunga Derby mechi ambayo ata kipa ana funga derby kila mtu anakua anamoto ko uyu fala tusiesabie kama anagoli lolote bwabwa huyu imagine zile nguvu za kibu uwanjani angekua boxer saiz angekua uko ana zichapa na wakina Ryan Garcia tenah anauzito sawa na Davis 😂 ila bora angekua mkurima mana boxing usipo kua na akili unaweza ukauawa angekua mkulima saiz angekua anavuna magunia uko mana ananguvu ila akili hana sema ata kilimo kinahitaji akili ko uyu jamaa nifuta tu amna kitu anachokiweza ila tunacho kitaka pesa yetu tukampe mpanzu saiz atuna stress na vichaa kichaa ukitaka kusepa unaenda si kama babu yetu chama tumeona tusiongeze mkataba tunajua kazeeka awezi ata kukimbia namuonea ady huruma babu yetu dah kajichanganya vibaya sana saiz tu ana lalamika uwanjani 😅 anasunili mpira wa one two wakati wahuni wanawaza kukimbia tu hahahahahaha afiki kokote yule kilichobaki niku retire....... Simba nguvu Moja ubaya ubwela ni vijana wa 2000 tu

  • @jamesjoseph2421
    @jamesjoseph2421 Před měsícem

    🔥🔥🔥👑👑

  • @nature_world1
    @nature_world1 Před měsícem

    Kibu kasema akujui😮

  • @wakilisharaw
    @wakilisharaw Před měsícem +1

    Kwa wale hawajaelewa hii interview Kwa ufupi kibu denis ni green and yellow,,,,simba hawajamsajili Carlos sawa ni mtu hatari kweli

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před měsícem

    Yule mbwa kibu mkimbizi Simba wasingemfanyia kazi ya kupata ulaia msenge yule wakongo hawana utu

  • @estonsaimon6671
    @estonsaimon6671 Před měsícem

    Huyo jamaa pia yupo kishabiki sio kusimamia wachezaji uki-refer hata ishu ya Chasambi aliongea mbovu mno kama sio mwanasheria

  • @alberatuslinus9617
    @alberatuslinus9617 Před měsícem

    Kwan Jaman kibu Si kasema hamjui huyu jamaa 😂😂😂😂😂

  • @Marjeby
    @Marjeby Před měsícem

    Watu wa Gongo Burundi Rwanda ni wachache sana wenyewe ubinadamu Kibu msenge tuu ameifanya Simba na Tanzania nzima kuwa ngazi tu ya kwenda Ulaya mie nawajua sana watu wa kufasi ya huko

  • @user-fr6th1mu7e
    @user-fr6th1mu7e Před měsícem +1

    Aende tu

  • @user-yt6un3xh6x
    @user-yt6un3xh6x Před měsícem +11

    Simba walifanya makosa kumfanyia uraiya wa tanzania kibu sio mtanzania simba wamwambie arudishe pesa zetu alafu asepe kwanza ajui mpira maguvu tu kama guruwe.

    • @belsilver4586
      @belsilver4586 Před měsícem +1

      sasa mambo ya utanzania yametokea wap

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw Před měsícem +1

      huu ni ujinga na mihemuko

    • @Mgenimsenga
      @Mgenimsenga Před měsícem

      We ni msenge tu kesababu aujui mpira ivi Messi .dembele .cr7 . Walivumia wapi ukiringa na uraiwa wenzio wanaringa na kipaji afu kua mjanja mwenye pesa ndo mwenye kila kitu 😅

    • @hopesesilius6104
      @hopesesilius6104 Před měsícem

      Yametokea baada ya kutapeli​@@belsilver4586

    • @hopesesilius6104
      @hopesesilius6104 Před měsícem

      ​@@belsilver4586ogopa sana foreigner

  • @laurmange6124
    @laurmange6124 Před měsícem

    Background beat inasumbua muongeaji na msikilizaji. Punguzeni tupate kusikia vema

  • @esnproduction2020
    @esnproduction2020 Před měsícem

    GHARIB MZINGA: STORY YAKE YA ELIMU HADI KUWA MTANGAZAJI
    czcams.com/video/XNfTMTDS3Mc/video.html

  • @UfundiSaidi-em2fb
    @UfundiSaidi-em2fb Před měsícem +2

    😅😅😅😅 kibu kawa MTOTO IDDI 😅

  • @AllyBlackMamba
    @AllyBlackMamba Před měsícem

    Taraka tatu3 muhimu 😮😮

  • @Josephbugoshi
    @Josephbugoshi Před měsícem

    Kwani kibu yuko wapi mpaka sasa

  • @JOSEPHALFONCE-z2i
    @JOSEPHALFONCE-z2i Před měsícem

    Kibu katubo Sana watu wakigoma nilazima ajue kigoma imetoa mastaa wengi mno aifuatilie kigoma yangu enz izo analinga Nini Sasa wapo Ila walipita kiufupi kazingua

  • @MariaMnthax
    @MariaMnthax Před měsícem +1

    Kibu nimwamba muno

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 Před měsícem

    Yani movie ya uyu jamaa stealing amekufa mwanzo wa movie

  • @BarakaJohn-mn1eg
    @BarakaJohn-mn1eg Před měsícem

    Ndo xhida y kuwazami wa Cong 😅😅😅😅😅

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h Před měsícem

    Cma michezo sio uraia wa mtu ckieni ujinga wenu na uraia vinaendana kwl au ujinga huo watanzania mnawadudu nan aliepaga sumu ya ujinga mkavimbisha suit kwl cmeni mamb ya soccer sio Uraia nyie ghaimbiri Mnataka kurudishiwa pesa au Uraia wenu wajinga nyie Kibu ni Raia Tz had Sasa hayo mengn ynu ya unafki mtupu kenge kbs

  • @VennaceNchimbi-r7p
    @VennaceNchimbi-r7p Před měsícem

    Man kato sure baba sabra ubaya ubwela

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Před měsícem

    Cha msingi kibu amevunja mkataba mwenyewe cha msingi alipe makoto tuone atafika wp kama atakuwa anasugua benchi adi anamkana meneja wake asee kweli ss wanadamu tunazambi kubwa sana leo na kesho atakujaga akane ata wazazi wake aseme nyie sio wazazi wangu