RASMI HARMONIZE ATANGAZA KUHAMIA SIMBA,HARMONIZE KUPAFORM SIMBA DAY,NAIPENDA SIMBA KUANZIA LEO
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- eat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #news #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #jdg #utchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague ##afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimbatg #africanfootballleague
- Sport
wasanii wengi wanafik mnatazama pesa hamuna mapenzi na team, msanii wetu wa kwel SIMBA dam ni TUNDA MAN
Ndy nikweli kabisa
basiiii!!!
Tena icho ndoknafk kkubwa nasraa kama nyani akaimbee ccm Simba hatuitaji mnafik ama wanafk
Kwel kbsaa
Tunda man ndiye simba damu wote wanahama yeye yupo tu
Sijaskia sehemu alo taja simba au maskio yangu😊
Wasanii wanafk nyie mnazingatia maokoto ttu,lkn ukirud kwenye uhalisia msanii wetu wana lunyasi asiye na konakona ni TUNDA MAN tu💪
Na Kiba
Usimsahau na roma mkatoriki mzee wa panya nae simba damu
Kabsaaaaaa❤❤
Simba ni ya Tundamani ila wengine ni umbea tu na unafiki
Kalibu konde unyamani unyama mwingiii ❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA🦁🦁
Ni kwel Yan ❤tunda man Hana ushabiki maandaz mungu mpe miaka mia Moja 2nda man we2 sio kama hao wengine
Boos kaludi simba atasomba kilakitu mo hatareee ww
Elewa wasanii ni bendera hufuata upepo, hawana timu hwa ni unafik tu bas. Simba nguvu moja 💪
MWAMBIENI KUWA SISI SIMBA HATUTAKI SHOBO KUTOKA KWA WAVUTA BANGI
Simba nguvumoja ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hamkutuamby km harmonize nae atakuja kuwa shabiki wa simba hamkutuamby ss
Kwel TUNDA Ndo mwamba wa Simba hao wengi wapishe njia
Karibu sana Simba konde boy wewe ni mtu wa maana sana na umejuwa timu nzuri ni simba
Nilisha waambia kua konde atahamia Simba siku moja
Mbn mnakua na laana ndugu zng m2 ka amependa kua mwanalunyasi mwachen moyo n wake: karibu sana kijan a wetu
Simba tunataka watu walio nyooka🎉
Karibu sana simba konde, tunakupenda sana wana simba
Abaki zake utopoloni anaona Simba day iko karibu anaanza kujipendekeza ili apate shoo apige pesa kisha aende zake hatutaki
😂😂😂😂😂
Hongera hamonaz kwa kua na msimamo❤❤❤❤❤❤
Frm Vanuatu we're watching u boy konde,frm southern pacific ocean beach 🇫🇯🌊🏖️🏖️
Tunda mani ndo msanii Pekee wa simba wengine ni tamaatu ❤
Ndo maana naichukiaga CZcams mbona harmonize kaongea mwanzo mwisho sijasikia ata akiitaja simba yani waga ni manyoko sanaa
❤❤karibu sana simba yetu. Lakini usiwe mtu wa kuhama timu
Kabisa, mwishowe atakuwa msanii malaya malaya ivi
2nakupenda sana ❤❤harmonize kalibu sana msimbazi
Abaki hukohuko utopwax
Unampenda ww peke yako
@@SalomePaul-zm6je sio shida angu mm kumpenda na ww kya
Karibu mwamba unyaman
Mafahaliwali hawawez kukaaziz1 very good welcome 🦁👊
Kalibu sana Simba nguvu moja
Kweli kalibu sana konde boy simba nguvu mojaaaaaa msimu uhuuuu simba itafourm vizuli
Karibu sana unyamani
Harmonize hawezi kuhama yanga. Never!
Karbu sana kutumbuiza simba ila msanii wetu n TUNDA MANN
Karibu Sana konde boy Simba nguvu moja✊✊
Karibu msimbaz tunakupenda san
Mbona hakuna sehem kaitaja simba
Atacheza na mbangapi
Huyu ameona kuwa Mo amerudi pale simba kama miaka minne ya nyuma
KWANI ALIKIBA NA TUNDA MAN WAPO WAPI?JAMANI KWANI VP?
Jeshiiiiiii welcome msimbazi ❤
Me nataka t uje umuache uyo domo kaya mana anataka t kuharibu Kipaji chako usionekane wkt unapafrm ukiwa yanga akin simba njoo kk simba yako karibu san ata usjal kaa mbali na uyo mbka nakufa uyo mpnzan simpendi welcome bro 🙏🙏
Nakubali kk kalibu sana msimbazi
Mwanzo alikuw ni Kiba na Hamo. Alipo hamia Diamond Kiba akaenda Simba now hamo kwan mnamkimbia simba mtu na kuja kwa simba munyama??? 😂😅
Karibu sn simba
Mmmmmmh toka rini akaja Simba uyoo
Karibu nyumbani kumenoga❤❤❤
Mimi ni mshabiki wa harmonize mm uyouyo mxhaniki wa Simba ila konde anatak kuja kupg hela tu Simba day
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 kalibu Tim ya wakubwa
Kama unataka kupata mashabiki wa Simba tu nakutaka kutuburudisha sawa Ila sio ushabiki njoo utuburudishe Ila Kama mashabiki hapana
Mxanii wetu wa wanaximba ni tuda wengine matapeli 2
Nljibu ni mzee mlitucheka simba wachezaji ni wazee ss leo mmemchukua mzee
Konde boy welcome to Simba group
Hatutak nyie ni fis 😢😢😢 mbwa nyie wasalit wakubwa tamaa tu ushabik aku 1:28
Kazi kwa kweli, atafanya tufungwe tu, akae mbali yupo kiba anatosha.
Kiba amerudi yanga
Anaitazamia SIMBA DAY na sio kitu kingine.
Hamonie ni ametambua kua simba ni team bora huwezi kua mkubwa bila kupitia simba spoart club
Karb jeshii huk kwetu simbaaa mnyamaaa
Amehama ynga kwa vile yupo modi au amafta maokoto
Tundaman ndo simba peke yake wengine ni wakina manara
Hatukutaki simba, ulitamba sana na watotp kaa huko huko usituletee utoto
Safi mapenzi kwa timu ya nini sasa cha msingi pesa
Wewe ni yangu simba ufata maokoto😮😮😮
Nawaambia siji uwanjani Akija simba day…..huu ni ujinga eti ikifika simba day mnatuletea drama true fan wa simba haleti ujinga huuu
Kwani shida iko wapi wewe usipoenda uwanjani kaka
Huyu mwezi ulopita ndio kaamwambia Aziz ki asiondoke na atafanya kila njia abaki simba hawa sio wakuwaamini yeye na diamond kamkimbia diamond kwakua kahamia yanga
Alafu nyie wasanii mbon wanaski cn konde eti mshabiki was Simba eti anaipend cmb jamani duuuuuuuuuh.....!?
Hatumtaki huyo aende huko kwenye timu yake
Karb br konde msimbazi❤
Karibu sana konde mnyama unyaman
Balid kak kalib unyamani me niching mwenzio wapale masas kalib kabis
Duuh mbna sijasikia hata simba yenyewe
Hakika tumekosa washeheshaji hii ni dalili mbaya Sana huyu katumwa na engineer hersi k mako
Yaan CZcams mmeona tumalize MB zetu kuangalia ujinga simba imegusiwa wp
Jesh kama kweli karibu team ya wakubwa! Lakn jaman apewe tu ushirikiano! Mond mbona alikua simba lakn cha ajabu alisalti simba na kurud yanga kwa baba ake manara
Tundamani simba dam
Ila harmonize
Is it another joke, Hama Hama hii is total stupidity. Wil it help the team, definitely no!
Simba dam no tunda man basi ila nyie mhhh
Kwendraaa ukoo napenda nyimbo zako tyuu xo uje simba yetu
mm simtaki jama aje unyamani
Mwandishi si bure ukapimwe bichwa lako hilo coz kibari chako ni cha mchongo ndo maana umekua laghai wa maudhui. Pumavu!
Kuweni kama tunda mnyama xo nyinyi wanafk
Nanyie mnakubali eti ni Simba huyu yupo kazin na huu ndo wakat wake wa maokoto
Jamani mchukuen tunda miaks yote
Mmmm yeye aje achukue hela mimi msanii ninaemjua ni tunda man tu
Hatuwatak mamluki sis na wanafki kwenye team yet ya SIMBA SC wanaoipenda SIMBA sis na TUNDA MAN TU bac hao wenge. Ni mamluki tuu kwanza atakuwa ametumwa kuja kuharbu sinba yetu mchaw huyooooo🍪🕹️⚒️
Mamb wan simb hiv ni mtoto gan anae wez kumkan bab
Simkubali hata kidogo na hatumtaki yeye yanga tu
Kabisa la nini
Chama mzee
𝐢𝐥𝐚𝐚 𝐡𝐚𝐫𝐦𝐨𝐧𝐢𝐳𝐞𝐞😂
wanini uyoo
Sisi tunmjua tunda man tu.
Hawa wengine ninnjaa
Tundaman tupe kitu simba dey hawa wengine mizinguo2 tunajua konde anamkimbia mond
Hatukutaki huku Simba kwedaaaaaa huko huko🐍
Wakwazamashabikiwautoporo washable sana ndiomana niriwapajinaeboebo vilaza
Muongo huyo anafuata pesa. Hawezi kuhama yanga moja kwa moja. Wakati baba yake yanga damu.
Apa ndo panaitwa mtakujaa😂😂😂
Nachojua Mimi Ata di pia nisimba kule anataft ela tu
Ayo mambow ya simba yametoka wapi bwan
Msanii wetu ni tunda man tu
Aje kufanya nini huyo kenge simba hao ndo machawa wanao ichafua simba
Harmonize ni mfanya biashara ivyo ikitokea fursa lazima achangamke
Wewe niyanga umefata maokoto😅😅😅😅
Kalib
Mnafiki huyo atumtaki. Tunamkubali tunda