HAKUNA KUPOA KAZI KAZI! VYUMA VIMEKUBALI TAZAMA HAPA MAZOEZI YA GYM/VIJANA WANA MOTO SANA
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Pigen kaz Kaka zetu muwe na umoja ili tufike mbali xan tuxikubali mwakan lazim tuchukuw ubingwa Kam unaipenda Simba like xan ❤❤❤❤
❤
Labda ubondia
Fire mpaka wasemeeee
Hellen sasa ndo uweke x kweny s aaa
Kila la khery mnyama Simba sports club katika maandalizi Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
Mungu ibariki simba chama langu
yan mwaka huu ni vita hatukubariiii .go simba my life team ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakubali wanaume kazi kazi zalau tumezichoka simba nguvu 1❤❤❤
Jamani Wana Simba wenzangu kulinda Kwa chezaji wetu ndio kitu Cha muhimu sana, Kila mmoja Kwa nafasi yake
Mungu isaidie timu yang Simba nguvu moja ❤❤❤❤
Ambae hataki kuikubali simba yetu mungu umnyime pumzi na apigwe radi,
😂😂😂😂
Mungu awabariki vijana wetu awaondolee husda za hasidi inshaallah
THE TEAM OF YOUNG PLAYERS❤❤🦁🦁
#NGUVU MOJA
Simba hatutaki mabishoo kazikazi
Jeshi langu❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤aaaaaaa kumamake ata iweje simba siami😮😮😮😮
@@ShaibuhUrembo aaaaaaaa weeeeee umetixhaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
🎉Simba yangu
Ee mwenyezi Mungu ibariki simba hii wakamalize mazoezi salama na watie nguvu na ufahamu na uzima mpaka watakapo rejea Tanzania amina🙏🙏🙏🤲🤲🤲..na ikawe hivyo katika wewe muumba wa vyote naipenda sana simba SIMBA NGUVU MOJA 🤝🤝👊👊💪💪
Albadiri muhimu mwaka huu Wana Simba ,si Kwa vyuma hivi ,mungu awalinde wachezaji wetu ,makocha ,viongozi na ss wanachama na mashabiki na shari za majini na watu Amin 🙏
Kramo abaki hakuna kuondok tunamkubal sana
Usitumie wingi
Jisemee mwenyewe
😂😂😅
Yupo sana asimtaka ajinyong
Naipenda Simba milele
Tunaomba team iwe na spirit ya umoja na pia wafight kwa pamoja . Umoja uanze kuanzia viongozi wachezaji na si mashabiki
Mwendo wa kuvimba
#SIMBA_NGUVUMOJA
Simba nguvu moja ❤❤❤
mungu awabariki nyote awajalie mema afya na nguvu na mrudi salama naipenda chama langu kwa kila dk ❤❤❤❤❤❤❤
Kramo mbali ya kuwa tunamkubali, lakini pia yeye mwenyewe anaipenda Simba na ana mapenzi nayo
Jamani jamani jezi ziwahi mapemaaaaa kabisa hatutaki dk za mwisho yaani nyie pambaneni huko na sisi tuanze manunuzi huku ndo maana mnyama nguvu moja❤❤❤❤
Mwaka huu wetu mungu ibarik Simba yetu
Mwaka huu kazi mpia nguvu mpia alafu na spidi kali.ilove my club sport club.good job.
Saf sana
The avengers🎉🎉🎉
Mungu ibariki Simba chama langu🙏💪💪
Simbaaass
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤ Simba
Am so proud to see Mr Lakred🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Safi sana mungu tubaliki msimu huu tumechoka na kusemwaa zamu yetu
Mungu ijaalie simba yetu
Unyama mwingi Simba nguvu Moja ❤❤
Simba simba simba nguvu moja 🦁🔥
nice my life team simba ❤❤❤
Mungu ibariki simba💕💕💕💕💕
Naipenda simba
Courage 💥, no pain no gain. ❤
Nguvu moja simbaaaa ❤❤
My blood team
Simbaaaaaaaaaaaa🎉
Motoooooooo
Simbaaaa nguvu mmoja ❤
Mashaallah Allah awape afya njema
❤❤❤❤nguvu moja
Cham langu Hilo ❤❤❤
Tumeumiasana,tumeteseka sana, naisi huu ndio wakati wa simba akinguruma tu paka nyau na viura chaliiiii. Nawaomba wachezaji wetu mjitume and kujikubali na umoja ili tufikie malengo simba yangu mimi 🦁 4life
All the best mnyama ssc ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤simba
All the best my team
Hii Simba hii ilivyo ya Moto Lazima masufuria yaungulie jikoni
❤❤❤❤
Simba SC nguvu Moja tutafika tunakolenga sisi.
Kila laheri mnyama Simba sports club
Simba bingwa misimu 50 💪🏻❤❤
MUNGU BARIKI CHAMALANGU 🎉🎉🎉❤❤❤❤NGUVU MOJA
Simba nguvu moja pamoja sana
Mungu awalindee
Nguvu moja❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nawatakia maandalizi mema timu yangu Simba sc
Kila lakheri timu yngu❤
Sima i ❤ nguvu💪 moja
Nani kamuona ayub kama mimi❤❤❤
Simba nguvu moja naiombea timu yangu Kila siku kwa mungu msimu ujao tuchukue ubingwa
Mnyama kwenye mawindo❤
My team ❤❤
tunawasubili viwanjan mana tuana ham na kombe letu your well come guy
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda ❤️🇹🇿
❤❤❤❤❤
Mposawa vijana kazeni mabishoo tusha achananao
Wanathiiiiiimbaaaaaaaaaa❤❤❤
Mungu awapatie afya njema
Nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤
❤ good
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏
Mukurudi huku nikupasuapasua waze wahuku wote ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Simba nguvu moja
🔥🔥🔥
Huku wamebaki washamba mkitoka mjini town washamba wahuku watajuta jiandaen vizuri❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Nguvu moja
Yaan Hapo skija na Mpanzu oooh jua Mambo shwari
Nguvu mojaaaaaa
🔥👏👍❤
Umoja ni nguvu
Pamoja Sana chama hakika ni faraja kubwa Sana kwetu
Simbaaaa😮
Tunawaombea sana muwe wa moja
Fred koblan remember to train how you can score without looking a goalkeeper maybe by using acro Baltic and so on, i will be much better for you our streaker Love you All the best
nguvu moja simba
Nimefurahi sana kumuona Kagoma fundi wa mpira.
Nakubali
Hio ndo simba bana wenyeinchi
Naiamini tim yangu ya simba nguvu moja
Ayoub namuona simba nguvu moja
Chama letu
Jamani njooni tuangalie bongo Data
Simbaaaa nguvu moja
Mie naomba kuuliza wana simba. Kwanini wachezaji wakiwa Tanzânia siwaoni wakiwajimu? Au hatuna Jimu Tanzânia?