SINA UJANJA - ALLY MAHABA (OFFICIAL VIDEO) to get sina ujanja SMS ..skiza 8545344 to 811
Vložit
- čas přidán 14. 02. 2019
- Song: Sina Ujanja
Artist: Ally Mahaba
Studio: SM Records
Produced by: Shirko (Shirkomedia Entertainment)
Directed by: Lil Guy G (Digital Pictures)
Recording Label (ATL Music)
copyright 2019
Follow this link to add me on Instagram
ally_mahaba?utm...
Like my facebook page by clicking this link below
/ allymahabah
Vanny boy sent me here and for sure the song is nice
Asante sana
Thank You All For This Massive Support. I Promise Not to let you down. Blessed!
Yeiyo sure brouwh...mwendo kasy
🔥🔥🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kaka yalini haya miss you wallah
Love you my brother From Bushuti Family 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Usipote basi endelea ivi ivi
Mia kwa mia hapa umekill mwana
❤❤❤
Am here for tanell tanell my kenyan zari ...nice one ally mahaba
Asante kw sapot ddng na pia tanell tannel nampongeza sana respect kwke daima
Wapatikane wasanii wapya wakali kama wewe kama sita tu. Nina imani industry ya Kenya itainuka kivingine kimataifa zaidi. Mungu akubariki Ally Mahaba
Yeiyo kiongozi mkono wako ni wa barka
Hii kazi ni noma kaka siku zote mahaba namkubali sana kuna watu nikiwaangalia mtaani naona mziki likoni upo na utazidi kuepo sketcher hapa bro ally mahaba i told you unaweza na utafika mbali @shirko @amoury baby @ Guy G big up kwa support mnayompa dogo
Kazi nzuri snaa
@Ally mahaba Boy kaka always nakukubali na unajua
@Ally mahaba Boy uko mikononi salama
Kali sana
❤❤
Qatar ndaaaniii
A Awadh naam naam
Asante
Shout out to bro shirko kw kutoa vipaji kama hivi ninaimani wako wengi now ni zamu yetu kudadadeki.....gonga like twende pamoja....
🔥🔥🔥
Nmetumwa na VannyBoy ni Watch.... Ipo juu tu sana. #Kenya tumeweka tik🔛🔝
Alikua busy sana?
Sana tu....
Naskiza Mara hamsini kwa siku... Yani kama dawa, hii ishakua Over dose. Nshajifia mi wa Juzi💞💗💞💕💖❤💝💞💗💓💖❤💕💞💗
@Ally mahaba Boy ur welcome.
Hatar
Ngoma hii nimeisikia pilipili fm ya Mombasa! Wanaipiga sana! I fell in love with it!
pilipili fm wanasupport talent sana big up to them and big up to saada
Asante sana saada kW kuipenda
Mimi Mwaniki nimependa Hii
❤
Ally Mahaba umeweza bro..naridhika kwake nimefika
Elizabeth Mwandoe Tuzidi kumsapot kijana
Assnte sana
Kali sana bro umenikumbusha ex wangu nikienda kumit nae huwa bubu
Nairudi Mara ya nane...nakubali @MAHABA
Thnx sana
Hahahaha sawa kaka asante
Bonge moja la kazi yani sichoki kureplay kila muda,Dah imeweza zaidi ,Ally mahaba utafika mbali bro...kila la kheri
Thnx sana
Inshallah
Shukran
Asante sana kakang kw sapot yko
Dogo ameeza kama Mbosso wetu jamaa tell a friend to tell friend, tukuze vipaje tumuexpose. Ally mahaba umeeza
Kwl kbsa
Wooow bro big up yani toka nimekua hapa kenya especial mombasa cjaskia ngoma ambayo naweza kuilinganisha na hii mboso mkenya umeua bro
Asante sana kaka
Asnte sana
Kali sana bro
Officialbigdaddy001 thanks sana
❤❤
Big lil bro
Thnks
umeweza my brother...nilikuambia chance comes once....wakati ndio huu mziki mzuriii........by Abk
Abdallah Khamisi Mungu aibariki kazi na ajaalie zipatikane kubwa zaidi ila tusichoke kusapot
ameweza kiujanja
Asante Sana kaka
Kizazi sana,
Ayse Imewezaa
Pa1 sana
Sasa hizi ndo Ngoma ....kina willy poze waje shule😂😂😂😂 hapa...kijana kaza Sanaa unaweza hatari
Asante sana kaka
Karibu sanaaa
bana eeh
kitu motoooooooo!!!
Champion
🔥
asanteni kwa support ... naomba tumskume huyu kijana watu. ako vizuri
Kijana ana Talent Sana
Kazi kubwa sana mr producer
Morali bro kweli yani
Nakuona kwa mbali Big Boss tuko nawe sambamba mzee lazima Tusukume pwani yetu mbele
Mbele pamoja
Who is watching this song now?Nice song from Ally Mahaba.Atl for life
Twataka kwenye mashariki mix iwe ndani kama mimba ya nerea
To the top
Ushasema mzaz kazungu
Asante kwa sana
Hii ngoma moto ally mahaba dogo LA geto msambwen.shirko media on top lil guy upo juu
Safii kaya chikonen
Ngoma nzuriiiii
safii
Asante sana bro sudi
kazi safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...shirkomedia nakutambua sana mkaka, guy geeeeeeeezow salute you broooo
Samahani bro studio ipo wapi?
Hatar
ali
..... masauti....keeep up
Asante
Nzuri ilo tui
LADYBECKY Mchizzen asante zidi kutusapot mpendwa
Asante sana
Nakubali na kasba bro @shirko
Safii
Sure bro nimependa hiyo
Shukran
Asante sana
Asante sana
Kazi nzuri kaka endelea kuzidisha ubunifu ivo ivo🔥🔥🔥💪👌
Asante
Hata sisi tunaweza 🔥🔥🔥🔥🔥
Ushasema
Ushaonaeeee
jamani kali
Juu bro producer yupo saw a
❤❤
Hiii ngoma imeweza zaidi, Big up to Shirko media, kijana Ally Mahaba Ameweza Sana
Thnx sana
Asante sana
Nywele mgongoni mtoto mwaaaaah...
This song hits so different.
Big up bro
❤
Sawa mkaka. kazi mzuri sana
Asante
Dah hii ngoma nilikuwa naitafuta kitambo
Ndio Kaka umeshaipata
Kazi Safi sana big up ma bro
Ndio manager kiongozy tumeshukuru..Allah akupe moyo huo huo Inshallah
Nashkuru sana kiongozi Mungu akubariki
Ameen kaka zangu tuko pamoja
Hatar
Big up
Thnks
rudia tena
Kazi nzuri, video poa... Much love from 🇶🇦 🇶🇦
steve wanga pamoja sana zaidi ni sapot
Asante sana
Tumeipitisha Mia fil Mia 🔥🔥🔥
Shukran sana sana
❤
Thumbs up🔥🔥
Thanks alot
Yeiyooo💪
Yeyooo
Kazi ya kwanza mombasa kuishindanisha na za bongo. Big up Ally Mahaba. Bila kusahau video imeweza sana
Asante ssna
kazi safi sana ..hongera kaka.. unajua sana
Kimataifa zaidi
yeeeyo
Imeweza
Asante snaa
Asante kakaah tumefurahi kiukweli..tunazidi kukuhitaji mkuu
Nimerudi huku kwa huyu mkaka Our own kenyan mbosso
Better than mbosso
Saport kw sana
Ali uko chonjo kaka, mziki slow motion, hadi mtoto ywalegea, nyimbo kali ya kubembeleza mwali
😂😂 Asante sana
Heeey!!!!yaani this is our own from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ...big up kwa sana ally mapenzi😘😘 umeisukuma mbele kenya tu....mziki mzuri kila kitu dope yaani mashallah!
Lets support this guy ooh👍
Asante sana kwa sapot
@@allymahabah karibu kakangu👍
Nice
Let's do
Uko vizuri yni nimekupenda ngoma kali
Asante sana
Toeni vipaji vyote kenya
Haaha sawa
Ulipo tupo team ally mahaba boy big up 👍 👍 nice song
🔥🔥🔥
Acha ngoma itambae
Sawasawa maneja wng
I don't understand swahili language lakini Duh hili Bonge la Goma walai 😂😂😂😂
Hahaha ushaanza balaaah...sure lil Brouwh
@@amoury_001 bonge la goma napenda apo kwa kihindi
❤
shirkomedia this is what have been yelling for,quality music thumb up shirko mediaa.....ally mahaba kali io ,mziki umeenda shule mastering atari...shirko apo apo usibonyeze waenue awa vijana wengi wao wanaweza ila baadhi ya producer wanawapotoshaa.....we believe in SHIRKOMEDIA
Asante sana
Ally Mahaba you got the voice where u bring luvs birds 2gether u r the boom
Thnks alot my dear sis
Ngomaaa imetuliaaa 😋😋😋 umeziba palipo toboka sio siri 😍 001 to the world 254 prince shine on ❤❤❤
nice
❤❤
Broo unajua sana fundi kinoma
Asante
Play Ke Music. Talanta tunazo !
Asante sana
Yooooo hiyo ya Kitui hatari
#ATL LAZIMA TUFIKIE MALENGO
Ndio
Safi
Big up bro na kongole zende kwa shirko media kwa kurudi nyumbani kukuza vya kwetu 001
Asante
Good work....maaaaaaaaad talent
waaaa
Thnks
Kazi SAFI sana kwa kijana Ally Mahaba, hii Imeweza Afrika Mashariki
Asante sana
Kali sana broh👍👍
❤❤
Kainama kwenye bajongo halooooo ata mm kwenye bajongo sinaga ujanja nyc song
karb sana mzitoww
Hahahaha sure dadangu thanks kw sapot
kubwa
@@allymahabah kongole kaka.Nielimishe Bajongo ni nini?
I love this song Ally... uko juu sana
Umeona
Asante sana
#ALIMAHABA #SHIRKOMEDIA nice music so sweet 💣💥💯💪
Asante sana
@@allymahabah karibu sana bro... mafans tunangoja ingine moto sana kutoka kwako bro...usichoke tia bidii kaka.. all the best bro💯💪
Kazi imeenda chuo na ikafuzu hii tunahitaji ladha mpya kama hizi big up ally
Pamoja sana Mungu abariki
@@viberecords100 napenda sana kazi zako bro
moja safii
Thanks sana
nice
Nzuri
❤❤
Nice one ally 💖
I like what I see akii Mtoto umekaa fresh kama hii nyimbo wacha niku dedicate upate utamu toka Mombasa
Asante sana
Asante sana
Jiye to jiye kaise bin apuke...nakumbuka movie 'SAAJAN' starring Salman Khan and Sanjay dutt
Hatar
Big up Bro Alyy😊😊# superTalented😍😍😍
Aisha Ramadhan Thanks sana tunaomba sapot yako
Aisha Ramadhan Mungu ambariki kubwa zaidi sapot yenu tutamfikisha kijana anapostahili
@@shirkomedia shukran😊😊😊
Asante
Nice work Ally Mahaba go on bro you are on the right track bro #kalisana.
Safi biko
ongezea biko
Thanks sana
Hahahaha napazibwe palipotoboka hodiii
Jiwe hilo
Hahahahahahaha
Shukran sana
Asante sana panazibwa tu
Asikwambie mtu Ally Mahaba hii ngoma iliweza na bado itaweza saaana...
BigUp sana bloody
Asnte sana
Asikwambie mtu ngoma kali hii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥big up sana
Asante sana
Bro nomaaa
Noma saaanaaa
Umeona eehe
❤❤
Big up brother
❤
Much ❤❤❤❤from 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana
Oyoooo wadau nimechelewa kidogo lakini bora afe punda mzigo ufike sahara wapi likes za 254 imeweza kali sana mahaba boy big up bradha 🔥🔥🔥🔥🔥
Mia
Asante sana
This song is dope... Kenyans this is a good job done by ally mahaba lets suport this song.. And###kenyan music## ... Nice job *😋😗😍😙💔💗💜
Sonia
Well said dear support is all what is needed
Wee pia umerembesha video
cool
Thanks sana sonia
Nimekuelewa Sana najaribu kukuweka Karibu Na asley mziki wa Kenya upo mzur
Dizzo
Boy
🔥🔥
Kazi nzuri
Thnx sana
Safi mkaka
Poa poa
Big up sana Shirko ulianza kulinyanyua soko la Zanzibar tokea kina 2Berry, ukaenda Dar kuwanyanyua Kundi la Yamoto Band sasa umeamua kurudi Nyumbani, hakika SHIRKO ni Mzalendo na Mfano wa kuigwa....Mcheza kwao Hutunzwa Big up Bro SHIRKO MEDIA..Love from 🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Yap uyo bro ako na roho smart sana akikufanyia kitu anafanya kwa roho safy ndio mana kila amshikae anatoka big up sana bro Shirko
Abdulla Mohd Nashkuru sana brother kwa kuwa na jicho la kutambua jitihada zote na safari hiyo ya mziki niseme kuwa Mungu ana sababu yake kunizungusha kote huko nijifuze mengi katika sanaa hii sasa kurudi nimerudi si haba naahidi ntatumia uwezo wangu wa kimziki kuinua sanaa na wasanii wapo wakali sana kama tunavyoona wa nchi nyingine na pia ma director wapo sasa tunahitaji sapot kama yako naamini kwa pamoja tutafika mbali
Kweli kabisa uyasemayo shirko mashaallah Allah ampe itifak yakuendelea daima
iko sawa sana....nataka likes za new talent hapa
na zifike 300
Hahahahaha ushasema mamalao shukran sana
New Wave. New Talents 😊Am Soo Happy For This INDUSTRY...We are Growing
Ali Mahaba utunzi Mzuri sana 🔥
BigUp Brother Karibu tuupambanie Mziki wetu 👊
Sana tena sana naona ume notice
Noma sana
Yeh Elder 🙏nimeNotice 👊👊👊
Yeiyo shukran brouwh..umesema bonge la kazi hili
Kijana amejaribu
Safi sana brother. You have the potential and talent. Big up bro
iko juu
Asante sana
Wallahi uko juu my bro na unakubalika I like the song 👌😘wapi likes za Ali
🔥🔥
This is hoooooot...🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Boooom
Ndioooh my siz ushasema
🤲
@@amoury_001 hii wazimu bro alafu hilo haragwe la nazi dah haha mpaka nimetokwa na nyute
❤❤
Nice one bravoo
Shukran
Damn damn.. This song is damn good. Coast got talent and Mahaba is the king of all trades.. Wapi zake likes.
🔥🔥🔥
Good melody good lyrics good video hata Mombasa tunaweza. ✌️
Thnks alot
❤❤❤
Mkiendelea hivi ngoma za Tz zitakuwa Zilipendwa..Maana hizi ndo ngoma tunataka kuskia
❤❤
JIYE TO JIYE KAISEE.... daaah umenikumbusha mbali sana kwenye mabanda ya video snema za kihindi
Umefanya kazi kubwa sana mzito. Hongera sana
Yaani kama bhalo
Iko Dope💯
Moto moto
Hii hatare
Aly ally mahaba, we kiboko, jamani tujuane hapa tunaye mkubali huyu fundi wa mahaba
Hatar
Nimekwamia huko jihetho jihetho ntumieni fare..♥️
Asante sana
this is dope Kazi safi sana Ally NA SHIRKO mwanga upo
Shukran sana
Hatar
🔥🔥🔥🔥🔥
Asante suzan
Huko kitui ata Mimi naelekea
Sawsaw
❤