Miye Nakondeshwa Na Arsenal Ila Ananinonesha Tu Mwaka Huu Lazma Watambuee Shemela Shemela Honeymoon Kwa Mandela Kichupa kimeenda shulee Congratulations Kakangu Mahaba
Kijana wangu Ali upo vizuri sana kaka,, ATL music Zee la manandananda #shirko always producing the best we expect 💥💥💥 hii ata Kenya Power wakate umeme bado tunasonga nalo
Kama unaona uyu jamaa ni fundi like
Hatar
mkali sana
Hebu tujuane wale wote wanao mkubali ALLy Mhaba tuma like hapa👇
Safii
Safi
@@allymahabah 💪
@@allymahababoy3557 🇰🇪❤🇻🇦🇹🇿
@@allymahababoy3557 🇰🇪❤🇹🇿
Mimi nahuzunika sana nkiona msanii kama huyu kipaji anacho buh support anapata nkidogo
Usijal kakang Allah yupo kikubwa uhai ndio jambo lenye ubora mda utaingiliana sapot ya nchi nzima Africa kw ujumla itakuja
Tumpe support
Nakondeshwa na Arsenal
Ila we unajitaid kuninenepesha💪🔥🔥🔥
Vipi Ali mm msanii pia naomba unisaidie kushea ngoma yngu pia tusaidiane ili tutoke sote hapo itakua sasa NAKUAMINIA GOOD WORK
Wana asenali lol.. Nyimbo nzuri ally
Umeua mwana hii verse
ARSENAL damu
Safiii.... wana Arsenal watajitahidi pia
Mistari si mistari hii👌❤❤
Asante
Imeweza
Inaitwa pure vocals.. Zinapatikana tu mdomoni mwa #Allymahaba
Halafu nlikuskiza mseto EA, wisdom mwanzo mpaka mwisho
Iko poa hyo kaka.... naomba likes kutoka TZ jamaniiiiiiiii!
Asante sana watanzania kw sapot
Like it
Senkyou sana...mziki mzuri raha ya mashabiki
Kakangu hutawahi kuniangusha hata waeke unyapa waende wakazime umeme nakutambua brother gonga like kwa kakangu mkubwa
Shukran blood
Na hatawai kuangusha kamwe
Motooo sana
@@irenedzame752 hatar
mbona nyimbo kali tu sana
Safi
Msalimie brother shirko
Kazi mzuri
Sawasawa
Pamoja bro
Ngoma noma mdogo wangu 🔥🔥🔥🔥
Bro rojo asante sana
Ngoma kali
hadi siku yetu ya halalli
Hatar
wazi
Ngoma iko hatari faya !Sasa collabo na masauti ije fasta fasta
Usijal
kaliii
Tunasubiri
new king in coastal industry
nenda kachukue crown yako
Asante sana
Hatar sana walai
Fire
Hatar
Huyu kijana anasonga Kila kukicha, ngoma tamu sana 🔥🔥🔥
Asante sana
Kama Tende
Kaliii saanaa wapi likes za mahaba boy
Asante
Talent proud of you
Asante
Kazi kubwa
God bless him
Unaweza Kaka 🙌🙌🙌
Asnte sana
Hii niya kipekee wallah 🌹
Ally umefunika aisee 😘😘😘😘
Asante sana
Karibu sanaa
Burudani safii ila nakondeshwa na Arsenal fireeee
Hatari
Usikonde
Wapi likes za mahaba😘fundi wa mziki
Shukran sana
Fundi hodari nampa like mara dufu
Petrah!!!!!?
Naam
Ali mahaba ako mikono salama kabisa soon atakua gumzo Kenya yetu
Insha Allah
Umesema
Mtambulishe kwa mashemeji zake mana hatusiti kuomba number big up broo nice song inaujumbe mzuri keep it up unajitambua broo Tz tupo pamoja nanyi
Asnte sana
Nzuri
Tatizo nyinyi majirani mkipika pilau lazima mtoke kukaranga inje ndio tuiisi hiyo harufu sio
#WEWE_TU FRESH
Hahahahahahah hatar
Utajuaje kumepikwa pilau hii balaa
@@irenedzame752 harufu thuuu
Moto sanaaa Bro, Shirko Umefufua Mziki Pwani 🙌🙌🙌💯💯💯💯
Sana tena sana
Pwani twaja kali
Miye Nakondeshwa Na Arsenal Ila Ananinonesha Tu Mwaka Huu Lazma Watambuee Shemela Shemela Honeymoon Kwa Mandela Kichupa kimeenda shulee Congratulations Kakangu Mahaba
Asante sana kaka
Hope uko juu bro kaza buti
Ngoma iko juu hadi Arsenal itatia bidii mwaka huu
Hahahahha ...nooomaaa sanaaa... Ngoma kubwa sana hiii
Kali
Mwambao ep kali Sana kaka
Asante sana
Aiseee ngoma ya kwenda kabisaaa ni balaa sana 👍👍💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🔥🌟🌟🌟
Asante kaka hii nimependa ssna
Waziiii...... Umetisha dogo mambo 🔥 🔥
Safi
Ametisha sana
Safii dogoo . I like that . Mtoto fire sanaaa. Tutakusaport hadi dakika za mwishoo
Asanteni sana ndgu zangu
Umoja nguvu
Leo na kesho hadi milele
Pale neema za Allah zikifanya kazi.. good hands plus good talent n voice... Good job guys
Anastahil pongezi hongera
Asante ssna
Kijana mkaaaali
Hatari
Uko juu bro
Asante
Aminia
Brother nakufuatiliaga sanaaa ngoma zako kali sanaaaaaaa, utatoboa Never give up ipo siku watu watakuelewa.
Ameen kaka
Safi sana
Never give up..
Nomaaaa Shirko for president Ally balaaa
Asante sana
Ebwana Ngoma imekamilika beat mpaka mashairi Masha Allah shirkomedia endelea kupambana pamoja na uongozi mzima
Asante na insha Allah shirko dua zako kaziskia Allah atakabali
kiukweli Kilicho na sifa kipewe sifa
Mzuka mzuri uko#sm...kipaji kipo mashallah
Big up sn m2 wangu wa nguvu unacheleweshaa mwananguu
Safi
Ngoma kali
Motoooo sanaaa
Team hammam likes za 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🎶 🎵 music
Hammam eshifii
🤣🤣🤣Mikinisa
Safiii
Broo kazi nzuri Sana yani ukiporomoxha ki2 unasahau iliyopita.....big up broo
Shukran rill blood
Balaa
kazii nzurii, tupeperushe na midundo
Asante sana
Karibi
Karibu bro
nomaa
Midundooo full mzukaaaa...#THE_MWAMBAO_EP TO THE WORLD..
#ALLYMAHABA_ON_TOP
Hatari
Safi
ALLY MAHABA we ni mnyama bro. Hatari kwenye mbuga
💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Moto mzee baba hili balaaa sio la kitoto
Hatari fire
Moto firee
The tyre meets the road..hapa ni sambamba mziki ulofika chuoni...
#ATL
#SM
#Allymahaba
#THEMWAMBAOep
Kazi Nzuri mwanangu ❤️endelea Na ubunifu wako 👏👏👏
Mamangu asante sana nashkru kw sapot yako kubwa kwng
Sifa anastahili
mbosso ajipange upya
Hatar
Ngoma kali sana Mkaka,,, Digo to the World.
Asante sana
Pwani twajivunia kipaji kiko nyumban
To the world... Nice project
@@Joramkatana safi
@@irenedzame752 hatar
Kazii nzuri sanaaa kaka
Safi sana asante sana
Uko vizuri mzee baba
Asante
Aye eee💥💥
Fully
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hatar
Tulisubiri kwa hamu na gamu balaa tupu
Hatar
Rising 🌟 star.. nice one bro
Asnate
Shining star
Safi sana
sure
Hatar
Kushanoga huku yani it's a big tune congrats mkali wa vocals💯🔥🔥🔥
Asante sana
Balaa
Yeyoooo...
Hata arsenal ikakondesha #Allymahaba....man u hatokuja ng'ooo.....#wewe_tu
Oiii dope sana ....
Saf
safi
Another one bro💯💯💯💯
Hatar
Kumelipuka sasa 🔥🔥🔥
Fully
Balaa
Big tune my bro.. blessed endelea hivo hivo .. Nakukubali with shirko
Shukran sana
Safii
Motooo sana...good music ...pure vocals... #ATL ON TOP
Nice video
Saf
Hujawai niangusha bro...hii ni mwotooo sana💪🔥🔥🔥
#wewe_tu
#atlmusic_to_the_world
#teamAtl
#thegoldenboy
Asante kaka
#BigUpAllyMahaba
#ATLmusicToThe🌍
Lakini Ukiona Arsenal Yakukondesha Sana Baki na yeye Tu😎😎..
#AboveTheLaw
Hahahahahahah safi
Hatari
#sm
#ATL
#ALLYMAHABA
Ilimradi amepata wa kumliwaza,Arsenal itakondesha mwengine
Likes za nyimbo nzuri hapa and kindly lets promote this song by posting kwa status
Safi sana
🔥🔥🔥🔥Big Up Bro Dedicated to My One N Only... SalamAmepata😍
Safi
twende nalo
Message delivered❤
Nakondeshwa na Arsenal ila we wajitahidi kuninenepesha hii ngoma 🔥🔥🔥 nakukubali bro big up 💪
Safi ssna
Balaa hili goma limepikwa likapikika
Haahhahah...Asenooooo
My favourite artist of all time...hata wawe kenya power wakauzime umeme
Asante sana
Bravo
Big up sana bro 🔥🔥🔥
Fully bro
Thanks
Pure love 💕❣️❤️ foreve my brother
Asante
Thanks
Safi
Kipaji unacho my brother iko vzr sana haujawahi Kufeli mola akutangulie
Ameen ameen
Kipaji kiko kwao Mola azidi kukikuza
Kombora limelipuka #Ally mahaba #s.m production #Atlmusic forever forward to wild wide √√√√√
Hatari fire
Imelipua uku
Ajaab sana...
Kaka mlezi guy g shukran ssna
Lit Broo
Shukran
Atl music on top .
Good music ally mahaba
Na BADO
Asanteni ssna Atl music my management labal kw uongozo wenu bora
Hataaaaaari kaka.. naipenda hii
Shukran
Nakondeshwa na Arsenal moto sana🔥🔥🔥🔥🔥
Hatar
Motoo
Hahahhaha...Arsenal... Hahahha
Ngoma kali
Safi
Shirko Media To The World
Allahu barrik
On topppp
Kubwa hii
Kijana wangu Ali upo vizuri sana kaka,,
ATL music
Zee la manandananda #shirko always producing the best we expect
💥💥💥 hii ata Kenya Power wakate umeme bado tunasonga nalo
Asante sana
ako vizuri sanaaa
Hawataezana
Ally mahaba Kama Mahaba boy 🔥🔥🔥💯💯✅🔝🔝🌍🌍🌍🔛🌍🌍balaaaa 🔥🔥🔥🔥
Asante sana
Hatari fire
Aawote
Safi
Hatari
Bravo👏 Ally mahaba Hi Song Hatar Boooom🔥🔥🔥🔥🔥⭐☄
Safi
Uko vizuri💕💕👌
Asante
#Congrants@Ally mahaba 4 the fab..vibes🎼🎶
Asante
King of mahaba.....straight niceness...#Atlmusic to the world
Atl on top daima
mkali wao
ATL juu
#allymahaba uko juu kakangu
@@irenedzame752 juu sana
Ally Mahaba boy ngoma tamu sana bro weka mungu mbele kila kitu kitakua shuari tu inshallah #####arsenal🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Insha Allah kaka mkbwa nmeshkru
NYC 1 Ali 👌👌👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shukran
Yes kuvumilia kwenye mapenz nimtiani tosha@Ally mahaba umeuwaaa bro kaz nzur this is ma ringtone
Asante sana
Muziki yenye mafunzo tu, ila sio matusi wala nini..., nimekubali mimi👨🎓👨🎓👨🎓👨🎓👨🎓
Asante sana
Bigup bro kaz smart
Asante
Aminia bro imewezaa 🔥🔥
Ongeza bidii utayafikia malengo yako, 💪🏾💪🏾
Asante kaka
Hatari
Nice one
Safi
Motooo fire sana,,,,big up broo
Asante sana
Moto usio zimika
@@irenedzame752 ushasema dadangu
Hujmbo Bangui ni mzee issa toka malindi sabasaba pongezi mwanangu
🎉
Nice one big up
Asante ssna
Music size yake 🔥🔥
Hatar
Masauti ajipange upya
Hatar
Ally mahaba we ni CR7 WA BONGO FLEVA! DAh sio kwa mkwaju huu! Umetisha baba! Sichoki kuisikiliza hii nyimbo bora ya mwaka!! Let God bless ur work
Ameen Ameen Ameen
BIG Up``the strongest man who removed the mountain began by taking away small stones~ we love you, bro.
Safi sana
Big up
Big up
Kali Sana
Fully
MFALME WA MUZIKI WA PWANIII...@ally mahaba me hupenda hizi nyimbo zako daah....
Asante ssna
Nice song ni 🔥🔥
Asante
The real meaning of a dream is here.... Disliked r jealous👌
Safiii
Hatari
Pure music,good project.. Bravo @allymahaba