ALLY MAHABA x AKEELAH - Tujikumbushe {Official Music Video}
Vložit
- čas přidán 12. 02. 2021
- Song:- TUJI kumbushe
Artist:- Ally Mahaba x Akeelah
Studio:- SM Records
Produced by:- Shirko (Shirkomedia Entertainment)
Video Director:- Johnson Kyalo
Recording Label;- (ATL Music Label)
copyright 2019
Follow this link to add me on Instagram
ally_mahaba?utm....
Like my facebook page by clicking this link below
/
#AllyMahaba #tujikumbushe #Ngomma - Hudba
Wadigo wapi likes
Safiii
Tupo mpenzi ❤
😂😂tupo
Hata hilo nalo mi nakataa
Ukumbuki nawe ulinikonyeza
Pale kw muuza makaaaaaaaa😁😁😁😆🤭
Mwanaume ni kurukaaaa....ruka sana...mwanaume hatukubali haraka....Ally ulimtuma mtoy ati ukamhonga Pipi...Hahahhahaha....
Hahaha kabisa mkenya wetu
noma sana
Kali sana
Tamu xana
We did it again 🔥🔥😌❤️
Thnks alot sis
The best combination ever .Make coast music great Again
Perfect bro nawapenda Sana mzidi kuenda mbali Sana na mziki wenu
Love u kenyan queen
Nice
Qatar 🇶🇦favorite wapi likes👍
Kwann hukujiamini mwenyewe ???
Mziki mzuri unatoa stress na kuifanya weekend yangu kuisha vizuri
Asante sana
Daah kwa kwel hii goma kali yao aisay hyo dada sauti imo mama hogera mwaya zindisha kipji mwali wetu
💣💣💣💣
Fire ally mahaba na AKEELAH Hii imeweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️💓💓💞💞Wapi like kwa Hii song
Assnte sana
@@allymahabah We ni King bro
Imewwza sana bro 🤗
Yaan nawapenda buree tuu mie❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Asante kw upendo
much love
Akeelah nakubali
Halo Mombasa tunao wasanii wakutunga nyimbo zuri, congrats
Safi
Wawooooo nilikuwa naisubr san ally mahaba nakukubali san kijana mwenzangu like zenu kwa huyu jamaaa 🇹🇿🇹🇿💥
Hatari
San yaan nakubali kak mkubwa kwa kazi nzuri ase
Napenda sana nyimbo zako, Wewe nikenya ama mutz swali tu 😊
Waaaaah... Bro Ali nakubali.. kuhonga vipipi kabla Mambo yenyewe... Kama mimi vile... Alafu dadangu wewe... Acha tu... Likes Kama zoote... Muko mbele aisee...
Hahahahahaha hatar
Duuh hainiishi kila nikiiskiza... Akeelah ww kweli uko mbele dadangu...ubani chetezo...haaaah Mambo kipwani..
Akeelah imewezaaa hii 😋lakini sijamsahau mzee baba master upcoming artist @Ally Mahaba
Safi
Mie tangu niskize ngoma ya ally mahaba inaitwa bado,nilijua kijana wa nyumbani ana kipaji cha kuzaliwa nacho na atafika mbali pia nikaskiza ujitume akiwa na mwana dada akeelah nikajua dada naye atafika mbali hongeza mastaa wetu wa nyumbani Kenya💥💥💥💥💥💥💥
Shukran ssna
Haki ya Mungu mumenikumbusha mbali sana na hii nyimbo more love for Mahaba na Akheela 🥰💕💕💕💕
Asante sana
Much love from tz
Assnte sana
🔥🔥🔥🔥kazi nzuri sana 👏
Asante
Nani hakosi kuja kuangalia hii nyimbo kila siku mara tatu ama zaidi kwa siku kama mimi? Yaani nyimbo inatibu hadi corona kwa utamu. Hebu hii tuifikisheni million jamani. We have to promote our own .💥💥💥❤❤❤❤
Asante sana mamangu kw upendo zaid na sapot y'ako kubwa ya nguvu
💯💯💃💃💯💯 from Kenya napenda Ali mahaba
Daahhhh.. . .what a beautiful pair,nawaombeeni muendelee Ivo ivo,kazi kuntu,kubwa heshima nawapa
Asante sana
@@allymahabah Karibu Sana Star,simwache huyo njiwa akatekwa na mwingine,pamoja mna ncha ya kuwawezesha kupata nishani za dhahabu na Almasi.Nawapenda sana.
Aaaa taniuwa vipenzi vyangu👌🎶🎼💯💪❤❤❤❤
Usife mtu wetu jaman
2023 bado nko hapa najikumbusha Big thanks kwa bro and sister Ali mahaba na Akellah hope mtarudi tena hit song ingine ka hii hu mwaka InshaAllah ❤️
Africa United one love 💕🇸🇴🦅
Hatar
My favorite.. 3.26
Safi
Vile vitu vya watoto lazima apewe 🔥🔥
Banaweee
Collabo yenu always ni balaa🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
Asnte sana
Omeraaa hii musiki nitamu kama
Ujiwa wa Omwogoo💓💓💓.
congratulations boss
Asante sana
unaona beibi unayaleta mwenyewe.....wala sikatai nimejigonga na weweeee.... jamani mkali wa mahaba tupeleke polepole aiseeeee
Hatar
Kama umona Ally mahaba mfupi hajui kuswera gonga like 😂😂😂😂
Hahahahahahaha sawa bana
Jameni
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@spicy001_ spicy hii ndio comment umeona ww😁😁😁😁😆😂😝
Ally mbona unaogopa kushika huyu dem vzr bhana
Kenya to the world...our own son and daughter
The best bongo musician in Kenya right now.
Safi global kama mumeliona hili assnten sana
hii ndio maana ya musiki sasa... Big up ali mahaba
Safiii
🔥🔥🔥🔥😘
Shukisheni ngoma bila kukaa sana msipotee,mziki mzuri sana kongole
Asante sana
muko poa mzee baba akeela yuwakufaa kimziki na nyota zenu zimeendana sana toeni nyengine na sisi kenya tujidai ........
Naskiza hii ngoma kila siku...I love it
Asante sana
Ally mahaba akipatana na akeelah the rest ni story for tomorrow, kaka hujawahi bahatisha
Asante sana
Mashallah, ushirikiano wenu umependeza.
Asante sana
Mashallah,kazi nzuri kakangu....
Asante sana
Nmeona hii ngoma ntv nmeamua kuingia huku kupeana support kwa wanangu wa 001
Asante sana
Akeelah is a very beautiful lady with a beautiful angelic voice..🔥🔥🔥👌🏾
Safi
Agreed...
Good musiq wallai coast iko juu 🔥🔥🔥
Sanaaa
Napendanga chemistry ya hawa wawili🎤🎤🎤🔥🔥🔥 coast talents to the world
Safiii
Akeelah...your voice is just underrated... I love you mamaaa, keep pushing
Hatar
Vile vitu vya watoto na ujumbe juu 😄😄😄
Hatar
Imenigusa sana big up
Safi
To all those who are single hii mumeionaje 😂😂 mie imenifanya nitamani kua na girlfriend
Jamani .sina hata maneni. This is so far my best video and song. Yaani nawapenda nyinyi wanangu Ally na Akeelah .mungu awape nguvu na umri Mike naenjoy matunda yenu inshallah ❤❤❤
Shukran mamangu kw kufika hapa vlevle na kulitambua hili asante sana mamangu Allahu barrik 🙏🙏🙏
Mwenyewe hata sibanduki...downloaded the video...still watching it on CZcams... This is the 15th time...taamuuu sana kama haluaaa
Listen more than 10 times
Hii song iliweza wallah big up Sanaa💪💪💪
Asante sana
Safii sana 👊🏻
Hatar
Aminia🔥🔥
The most underrated voice Akeelah
county oo1 to the top...254...Akela n Ally this a great music...wimbo unasisimua kweli😚💪🏽
Asante sana
The interplay, reminds me of barnaba ft linah/pipi. Excellent composition
Asante sana
Nyie watu mkikutanaga hamjawahi kuharibu kabxa ikibidi kila kazi mkitoa muwe wawili hivyo mpo good sana
Asante kw mtazamo wko director cheed
Safi Sana Kaka Ally Mahaba ft Akeelah mziki mzuri all over Mombasa
Asante sana
I love the song,pia Ally mahaba collaboration yako na Akeelah ,napenda sana kuanzia kwa UJITUME pia hii Tunangojea ngoma zaidi
Asante sana
Chemistry iko juu xanaaa keep up guys
Asante sana
Pongezi xana ally mahaba ngoma nzuri xana tia bidiii utafka mbali
😂😂😂😂😂😂 tusiendee kwenye mashimo tushikweee na mweraaaa 😂😂😂😂😂 Baishoo I love kalee ka mchezo kalifanya nikupende pendee 😂😂😂😂😂😂 Hayaaaaa bwanaaaaaaa nimetiiii📌📌
Shukran sana kaka
@@allymahabah manaa nzuri ya Mziki mzurii 💯💯💯
Yaani nyie wawili mnatosha kabisaa.🤩 It's an amazing song.i say it's a viiiiiiiiibe🔥💥💯
Asante sana daudi
Msininyime like za Kenya pliz,,,,,,
Safiiiii
Huyo demu on top maze sauti kali sana big up kwake
Hatar
From Tanzania. I'm all yours fan forever and ever, now and then.
You made it guys.
For sure, I'm going to dedicate this song to my valentine girl.
Asante sana michael
Wah. Bro mbona sijakujua kitambo. You are talented. You have my support 💯💯.
Asante sana bado aujachelewa kaka ndio mwanzo mkoko unaalika mauwa
Whoever wrote this song, and ujitume, has a good head. The turns and twists!
💣
#Akeelah & #Mahaba collabo zenu huaga lit 🔥🔥🔥 sanaa... Industry ya music uku kwetu MSA nan kama nyinyi... Otile na Jovial wajipenge sasa 😊😊😊... Hahahaaa here we come strong 💪💪💪 @SM 👊👊 #RESPECT 🤝🤝🤝
Yani nyinyi watu collaboration yenu lazima iwe kubwa💥💥💥💥 mwaeza sio mchezo
Asante sana
Wapi likes...song iko fry🔥🔥🔥🔥
💣🔥🔥🔥
AKEELAH NA MAHABA hamjawai niangusha nakubali sana......
Asante sana
Akella na Ali just be a team and form a band. Collabo yenu moto sana.
Safiii
This girl's voice is killing me oooo🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Safi saaana
Hatr
Kila wakati nikikumbuka niko na huu wimbo kwa playlist yangu nauplay tuu kwa siku unaeza imba tuu repeatedly🤗🤗 ♥♥♥♥naupendaa
Asante sana kw upendo
My really people you ready made my valentine 💘eeeeeeeiiissshhhhhhhh ni konki fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💘💘😍😘💖💯💝🙏🙏🙏ahsanteni ✊😍😘
Oprah asante sana
Nakwambia Kenya tumevuka mipaka. kaz safiii nasichoki kuitazama
Ikiwezekana uyu dada fanya nae ngoma nyingine kama 5 mana uwenda kuna kitu ndan yenu
He is the best artist in Mombasa right now more bless bro 🇧🇭🍻🍾✈
Safiii
Uko juu
💣
Dadangu Akeelah nakwambia hii umeua.... You are a reason as to why I believe in bongo music... I love your songs Akeelah for real!!! ALLY MAHABA nmekuona pia bro unatesa!!!
Safiii
Huku Tz una support zako za kutosha!!! Keep it up bro yan unazidi kutufurahisha!
Next week ally mahaba yupo bongo.stay tuned
@@allymahabah pamoja kaka
Big up bro,,,that's good
Assnte sana
Am Ruth ally mahaba uko poa
Imeweza hatariii 🔥🔥🔥🔥mahaba nakukubali miaka yote na akeelah yuko juu 🔥🔥🔥
Asante sana
Safiii msela wang na uwache kunitupa
Ushasema mtu wangu usiwaze pamoja 🤝
@@riyamazara4838 nicheki inbobo
Walai yani nyinyi mimi nazidi kuwaombea mema kwa Mola awazidishie iyo juhudi yenu ya Mziki🙏, Haki mko juu tena noma zaidi. like kwa ALLY MAHABA NA AKEELAH🖒
Ameem ameen ameen
Big up my people nawapenda sana❤️from nairobi
Asante sana
Nataka nikuoneshe kwangu mahaba ndio kwao 🥰🥰
Big up broda
Hatari fireee
Sure.kaka pamoja nakutambua
Fully
Huu wimbo unatia wazimu jamani 😍. Daaah. Mombasa juu 😍
Atl&Sm 2the 🌎
Ally and Akeelah to the world...🔥🔥🔥
Safiiiii
These two should date already😍😍🔥
😁😁😁😁🤭
Mbona kama nawapenda kila mnapofanya kazi wawili jamaniiieee....nyi hunipa raha duuh
Asnte sana
Oiii dope sana...💥💥💥
Safiiii
mwotooo sanaaa 🔥 🔥 🔥 🔥
Hatar
Dope wallahi❤️
Asnte
Much love Akeella na ally🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana
This song is fire🔥🔥🔥🔥🔥
Hii hatari sana, nakubali sana hivi vipaji 🔥🔥🔥
Kaka manubaya asante sana blood kw sapot yako kubwa we hatari wa mziki nakutambua sana
So modern and unique poem. Yaani ni kama conversation hivi, mnaimba ni kama mnapiga gumzo. Nimeipenda pia vile sauti zenu zinavyoingiana!
Asante sana
Let's get this to a milli views... By sure I looove it
Am here again, we get this banger to a milli views
#1 on trending now in Kenya good job bro ongeza bidii utafika wapi like zake.
Safii
This is more than a collaboration
It's a shiko genius classic.
The sky is the limit.
We aim higher
Atl music & Sm for life🙏🙏🙏