Shilole Feat Aslay - Ukintekenya (Official Video) SMS SKIZA 7917810 to 811
Vložit
- čas přidán 20. 02. 2019
- #Shilole #Ukintekenya #Aslay
Shilole Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/shilole
For Bookings: OfficialShilole@gmail.com | mxcartertz@gmail.com
Follow Shilole on:
/ officialshilole
/ shilolekiuno
/ officialshilole
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Hudba
kam uko hapa 2024 na unaamini asly iliua umu gonga like apa
Vile nampenda Shilole kila wakati najikuta tu naongoza viewers ili afike kileleni.Kama unampenda shilole kama mimi gonga like hapa twende sawa
Jamani kutoka +254 sijawahi pata likes..nipeni tuu juu ya hiyo nguo ya yellow alovaa shilole
Wapili mie hapa nausikia nikiwa Lusaka Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 I need All like for this one
Embu nataka nizione like za aslay hapa faster ..........
Zimetosha izo kaka
#mkali wao aslay
kazi mzuri aslay
Sir cure21 hapa braza
Aslay vc é melhor em Tanzânia
From Kenya.nacomment kwa shishi ila likes mbili sijapata😭😭😭😭😭
Nko ndani
Betty Wanjiru nakulola🔥💞
Shilole nataka kuimba na ww nimependa life stail yko nichek Whatsap +258849447771
eva return soma hiyo😂😂
Kanyimbokatmu
Wenye wanapenda nyimbo ya Aslay hit like ❤🔥💪
Farah Musa
nac
Nyimbo kali sana hii, Aslay ameuteka wimbo dah congratulations 🎉 shishi and Aslay wimbo ni motrooo imepenya hadi Germany
Dah huu wimbo siuchok penda san asly
nice3ee bwana Axileeeiiii
Aisha Elias good song👍👍👍
Iko poa saanaaa
haa
Wakwnanza mimi hapa I need all my like right here 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
sedrick Jack 💜
Kawimbo kazuru mpaka basi raha tupo
Nice
Good song
*Kama hii nyimbo imefanya u subscribe Chanel hii ya Shilole gonga like tujuane* 👍👍
nice
Hahahahahahahahahaha
😁😁😁😁😁😁
Duuuuu shilole uko poa wallah kamoy kngu mie kanachonyota
MREMA MLOWE
Ila madada hao wamecheza vzr,pamoj maduu wananikataa sn.Ila hao madada wanajua kucheza sn.Ila watu wan matatz
Ukinitekenya 😍😍😍😍2022 na bado Niko hapa☺️dada Shilole na kaka Aslay Kenya 🇰🇪 tunawapenda🥰
Kama ASLAY kauuuaaaa, kafunikaaa tupia like apa...
Naikubali sana iyo ngoma
sawa salmini naona mapenziiiiiiii time
Goodluck
Aslay’s voice is the reason why I’m listening to this song he made the song lit 🔥 where’s team Aslay??
Am here team aslay
team aslay oyooo, tupooooooo
We here the guy is good honestly @julienne heart
there we go from 254
that is true
Nyimbo katam gonga like tujuane ❤️❤️
Nyimbo nzur
Kalii sanaaa shishi bby.From +254.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shilole jamani , I swear I love it....ukintekenya🔥🔥🔥.Aslay√√√ nawapenda nyote
Ngoma kalii kuliko jomonii shishi baby mwanamke jasiri ww Penda Saana 😘😘 ,weka like yako hapa tujuane basi team shishi 💪💪💪💪
Shilole is the one lady Tanzanians have 😂😂shes so real and just sweet by nature. Big up boo
She's been nice, and I loved her since that song with q chillah ametoka mbali huyu dada Respect 👸
Sana hadi wa leo🥰
Ngoma kali shishi, sauti ya Aslay basi tena unazidi kutekenya
Sema uchebe kaniwah tu me nlikuwa na plan za kukuowa,, mamae unanikosha sana like hapa kama unamkubali SHISHI MAGU
Omg! Shiii x Aslay mapenzi tele toka 254. Hii wimbo kali jamani kenyans let hit that like button. This ngoma deserves millions of views. I love you 😘❤️
Am impressed very impressed.piga msamba mpaka nichanike shishi baby imeweza hii from+254.
Kama umependa kipande alicho Imba aslay kama..mm tujuane
jack Nelly nzriii hatari
Kamoyo kanachonyota🔥🔥❤👌😁😁😂🤣
Nyimbo yote kaandika aslay...
kipande cha aslay niatari kimenizingua sana
Ukojuu aslay
Team shishi tia like yako hapa
Mapenz kipimajoto ukanipima bariidi ulipo na mm Nipo Kikubwa nifaiidii
Husna Ngapu nice
Ila aslay jamani hujawai kufanya makosa,ufundi kama woteee, good song madam
Aiseee Hii ni Hit.....Daaaah nimerudia zaid ya mara 10....Mpaka nasisimka....Asante shilole
Khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pole 🤣🤣🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Kama mm APA❤❤
Sijawahi kupata likes jamani 😢😢😢
Pata dislike pia
Sasa tukusaidieje🤣🤣🤣
😂
🤣🤣🤣🤣🤣 pole nakupa Mimi basi like
Ukipata like itakusaidia nn
Auuuuuch.... ouuch motoooo xana.mpaka natekenywa tabasamu ndo za kwangu
Nimependa Sana performance Yao wote aslay na shilole munaweza Sana
#Ukinite ukiongeza nchi yangu #Kenya =ukinitekenya ngoma moto
👑👑👑🔥🔥🔥🔥kama unasikiza huku unasoma coment kama mm tujune jaman like zenu🔥🔥🔥🔥🔥💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
iko poa sana nimependa wako vzr yan mmwaahh
Aslay ongera
E
Zainabu Khalifa sana tuuu
@@wilsonmware4947 p1 sana
Bingwa wa ngeli anachonyotwa jamani tumpe sapoti ya nguvuuuuuuu!!!
Mashaallh Saudi zenu ni nzuri mashaallh 👍
Tanasha usimukose wengine niwamachambo
Wivine mwamini usimukoseye chabu chamakoda namukubari
Miyesimupedi hamonaiz apana
Nani ako hapa 2020
Inaisha naanza tena can't stop listening 😭😭😍😍😍🔥🔥🔥🔥💌
Same here ..adi neighbour amecomplain Leo😂😂😂😂😂😂
Same
shishi wangeee 😘😘😘ujawaikuniangusha big up mumy 😍😍😍'👌👌👌
BONGE LA NGOMA ASLAY FUNDI SANA MWENYEZ MUNGU AZIDI KUMFUNGULIA INSHALLAH 🙏
Amiin
One of my fav,haijaw kuchuja wallah ❣️❣️❣️
My favorite collabo ya Aslay ever✌️👌💖💖
Muringo good xna big up
thanks Good
@@tumainichaula4200 anytime 💖
Team Shishi Na Aslay Wapi Likes Zenu😍😍
Vivaida Ramsy hi
Vivaida Ramsy
Mashallah Nawapenda wawili hawa hadi naumwa..... mimi ni mnyonge sijiwezi naombeni likes zao...
P
Nem Nem nkpnd naomb no zk
@@alaphathamis9366 np ww zk
Like
Naona rahaaa....weeuwewe,kweli umetolewa utoto😋😋
Ukintekenya usinguse kwenye mmmmmh😄,,,,maana naona Raha..😍!!This hit is on anatha level,real talent..anatha collabo plzzzz,,great job👏?😘..nimedata..aisee@+254..
Jamani sijawah kupata hata like moja naombeni basi
hahahhahhahahahahhahaaa
nyimbo tamu adi basi
Nic
Safi Sana kazi zuri nipeni hata na mimi like
Martine Belinda 🤣🤣🤣
Asante mwanjina wa maman yangu
Katika nyimbo zote za shishi, hu kajua kuimba kwa kutulia sanaaaa.... kali sana
Manze shishi naipenda ii, naikubali, kazi mufti, Mara ya hamsini kusikiliza.. Kenya represented
Safi sana dada Shilole,,, 🔥 🔥 🔥,,,,from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,,naskia ka wasema waja Kenya,,# ukite Kenya!!!
Aisha Athman .mimi mzaliwa kutoka Kutoka 🇰🇪🇰🇪,lakini sai ninaishi swissland🇨🇭🇨🇭 its five years .safi sana Shilole🍹🥧❤❤❤❤
Wakubalio Aslay 254 pitia huku
Ukinitekenya Dada umeuwa yaan💋💋💋
Shishi wewe ni mzur sana ila ubonge unakuharibia namiss yale madoido yako kwenye video zako lakn kwaajil ya mwili ufanyi kitu mungu kakuumba vizur yani umepangika da shishi lakini uo unene linaonekana tumbo tu matako yamepotea kama kwel unampenda shishi na una taka apunguze mwili gonga like
kiba ger 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuma ww utaacha usengee mwachee na mwili wake aloumbwaa nao ndo nyinyi wenye hawana rwaha na maisha ya watu😂😂😂na ww umekondaa kama sindano twaonaa kijitii ongezaa mwili maku www
Ngomaimetulia
@@subbysubby9380 😂😂😂😂😂😂nimecheka kisenge kwel
Mama mpambanaji Safi Sana 🙏 🙏
Team shishi igunga home nataka like
Ngoma kali sana bt Aslay anaogopa kulisogelea zigo hilo au unamuogopa mzee wa vyuma
Hahahaa
Hahaha kweli apoo, umeonaee😂😂😂, Aslay Shkamoo kkkkk
Mkude Tv hahahaha
Mkude Tv hahaaaa
Sumu😬
Wimbo wakufungia mwaka...naupenda hadi raha...ukintekenya ahh naona raha!
Kweli penzi n kidonda.... Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani aslay ni fire naombeni like zenu kama unamkubali aslay kanachonyota
Ok
👏👏👏👏
nimetekerenyeka hapa 254...
Good job shishi na aslay
Well done aslay(Kenya) with love
Nana Lincy aafsng
Nana Lincy
Nice song🎶.
Jamani like sionagi. Natokea Kenya🇰🇪
Hahaha kwetu ni 255. Chuga si unaelewa kina jambo. Nairobi Kenya🇰🇪 nipo natafuta life
Gabu Rica nice song
Uongo unaongopa
Nyimbo hii iko vizur
Nice
Na mim nipate like hata moja jaman cjawah kupat
Ringa sio linga
mahamudu maziku hio apo
support jaman kwa sisi maproducer tunaochipukia.. czcams.com/video/N23A2nxAAcY/video.html
jaman shishi unakoelekaea c utaimba na masufuria!!! ha ha ha ! ila nimeipenda sana shishi
me napenda wale wadada wanaocheza wamecheza vzr sana hongereni
amazing one yaan n hatari watapata tabu sana ww tekenya°°°°°
Congrats shishi baby
Woow ongera shishi 🤗 umejitaid aslay namuamini hakoseagi nyimbo tamu sna 😋👌🙌
+97450580766
Amina Yahya 🎶🎶🎶🎶
Not only the song is lit 🔥🔥 but also the Dance 🔥👌
U did an amazing job..♥️♥️♥️♥️ from
+254
Mombasa hapa twende pamoja na shishi baby
Love you shishi 🥰🥰🥰💕 all the way from USA Minnesota
hongera kaka
Atawaua anajua Bana as
team aslay malike kama yote yan gongelea ma LIKE tujuane wazee
Woow, iko pw
Waooo ikopw
Eee bwana eee ngoma kali shishi wangu jaman
daah mwanikosha mie nyie da shishi baby and aslay star nawapenda mie mwaaaaaa%
hooo nimechelewa namba like lakini
👍👍👍💟song iko fire
kiuno ft aslay
jaman huy asley mbon anajua sana kama kunamtu anamkubali kama mm bac like kwangu
Woooh nice song
ngoma kal kupita zote
Wooooow! Ukitekenya sembuse kwenye shingo aah naona raha romantic song mwaaah
Mashaallah I say yes wallah sina lakusema...nikiwa saudia Arabia naburudika 😘😘😘😍😍nataka like yako tuchezeni soteni
Waoow nc song
+254 nahua hamnipi like zenu watanzania jamn plz!
Pamoja sana very simple
Together
Asley katisha sana kama mnamkubali asley gonga hap
bigap mnapendeza sana namnaimba kwa hisia zaid
Shilole kitu yako hii tamu sana. Na asiley ameiwezea haswaaaa....! Yaani ameibutua vizuri.
GISTOFF MUSIC New label in Nairobi Kenya we like this collaboration
Sichoki kula Ngoma ipo ndani ya Moyo wangu Sana!
wakenya wapi like zenu 254
wTanzania wap like zen 255
nilichokipenda apa kwe hii song " penz kipima joto we umepima baridi sasa!!!! Sana yani
(Ukinitekenya shilole )ngoma iko sawa na natabir hii inaenda kuwa ngoma bora ya mwaka kwako
Aslley anahimbaga kwa hisia kubwa jamani alafu na uhuruma kweli
Dorotea mwenebatu noma sana nami naona asley moto####
Dogo fundi sana kwenye kuimba
Aslay ni mkali kwenye game???
Dorotea mwenebatu kumbe weng tumeligundua hilo eee!!! bomba sanaa
dash jaman
Kama unaamini aslay akishilikishwa nyimbo yoyote inahit like 😗
congratulations aslay.. kasa tuko
Wimbo mzuri. Ila narudia mara kwa mara kwa sababu ya madance wa mziki wameupamba sana..
Yani hii nyimbo iko sawa yani nimeiwatch karibu mara 10 👌👌👌👌👌
Waoooooh 🔥🔥🔥🔥🔥 Mpaka basi,Hongereni yani Shishi na Aslay .
Mashallah. Aslay hoyeee, malikes jamani Kwa wawili hawa. Much love from Qatar
Nakumbuka halusi yangu nilicheza sana
Wow..!! You kill it ma people..so sweet voice from both of you.
shishi kwenye hili song umeuaaaa
waaaaao shishi wangu mwaaa mwaaamwaaa
Mungu azidi kumbariki huyu aslay
Aslay Mtu mbaya sana gonga like 👇👇hapa kama umeikubali ngoma
Kali Sana, great job Aslay an shii
Shishi bebe uko vzr mama la mama nyimbo Kali mwezako be by kanachoyoka njamniiii
Yani naipenda mpaka naumwa💯
Jaman like za ASLAY ziko wapi wakimtekenya .!!!
Woooow🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘💃💃💃💃💃💃💃👊👊👊👊👊👯👌
Safi sana.shishi.na baba.mozza.
Tamu kama shilole