#LIVE
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2024
- #LIVE; RC Makonda Akikamata Wezi Mwenyewe ARUMERU Muda Huu
.
.
.
.
.
\.
.
.
.
#RCMAKONDA #ANASIKILIZAKEROZAWANANCHI #MAKONDALIVE #MAKONDALEO #RCMAKONDALEO
#yangaleo #yangavsmamelodysundown #yangaafrikakusini
#youngafrika #michezo #yangalive #enghersi #gsm #raissamiasuluhuhassan #samiavslowassa #mamelodsundowns #yangasc #yangatv #tikitv M #mashabaikiwayanga
Mungu akubariki,Kwa stahili hii sitashangaa kuona siku Moja ,,,,,,,!!!!,,, Kwa maombi ya watanzania..Hata wale waliokuwa hawakuelewi sasa wanakuelewa!.Ninagundua kwamba ulipochaguliwa Kwa mara ya kwanza kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na Mjeshimiwa Raisi aliyetangulia mbele ya haki,aliona kitu kwako ambacho kwasasa watanzania waliowengi ndio wamefunguka macho!
Mungu akuzidishie ulinzi makonda kwa kazi nzuri
❤❤
Makonda anakusikiliza kwa makini na anapata pa kuanzia mungu akutunze sana kwa kusikiliza wananchi na kuwatatulia migogoro kwa mujibu wa sheria na kwa taratibu halisi mwsh. Makonda Mungu akuongezee ukuu zaidi...
Mungu akubariki sana mkuu wa Mkoa hakika wewe ni mkombozi wa wanyonge mwenyezi Mungu akubariki zaidi na zaidi
Makonda anatufanya tusifuatilie vitu vya hovyo
Mh.Makonda Mungu bakubariki na akuongezee juhudi katika utendaji kazi wako akupe afya pokea kwa jina la Yesu Kristo Anazareti
Nitaendelea kuomba Damu ya Yesu ikufinike mdogo wangu Makonda.Hata mbinguni unatambulika.
Namwomba mungu makonda wakuamishie mkoa wa kagera
Bora nimalize bando kumckiliza makonda.
Mungu akusaidie makonda
Mheshimiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndugu : Christian Makonda. Hongera sana kwa kazi njema na nzuri ya kuwapatia haki watu wote.Mungu Akubariki sana sana sana. Tunakuombea tunaziona juhudi zako tunakuelewa. Isaya 54 : 10 - 17
Makonda.
Nakupa pole uko unafanya jitihada kubwa sana! Ila tambua tu Kuna UOZO mwingi na wa kutisha katika jamii yetu na wanaochangia haya matatizo ni wateule au wachaguliwa na haya mambo yanaanzia huku chini kabisa.
Serikali za mtaa na kijiji na wakiwa wanajielewa wanayofanya na kuandika hayana ukweli.
Wananchi wengi nchi nzima wanapata madhila makubwa sana.
Je Serikali nzima yenye wakuu wa Wilaya, Halmashauri, vijiji, Wabunge, wakuu Mikoa, Mawaziri, Makatibu na juu kabisa mnalionaje haya madhila au ndio Kushika Hatamu na CCM Hoyee!!
Hii upigaji wa pesa za kodi za wqnanchi masikini ni hatari kwa Taifa!!
Mungu akupe uzima
Swala la HAKI HAKI katika jamii iliongelewa wazi wazi mbele ya Rais wa nchi na Mwenyekiti wa CDM mara tu alipoachiliwa huru !! Na ndicho kitu inachosga wananchi..
Super maamusi ya haki kwa Wanyonge asante Mheshimiwa Makonda
Wecha nimalize bando kumsikiliza makonda
Makonda nakukubali sana tungepata viongozi kama wewe nchi hii ingefika mbali sana hongera sana
Dunia Ina mambo Asante makonda umeonyesha mfano wa uongozi stegemei Samia hakute bango lolote Arusha
Makonda nikichwa sana ukitaka kumtoa kwenye lengo anajua, kuwa unataka kumuhamisha lazima atajua akurudisha kwenye lengo tuu
Makonda Baba Lao Hongera Sana
Brother makonda piga kazi Mungu atakulipa.
Ushauri wangu ni kwamba hawajaelimika kisheria msiwafukuze Wapelekeni shule kupigwa msasaaaaa😂
Mungu akutie ngufu mueshimiwa mkuu wa mkoa, tunakuomba ufike kata ya lengijafe
Hali ya rushwa ni kama Awamu ya Nne. Wakati wa Kikwete. CCM inaweza kushindwa uchaguzi wa serikali za mtaa.
Muheshimiwa ww nimtetezi ulieteuliwa namungu mungu akubariki sana
Baba makonda piga kaz
mungu akutangulie🙏
Mkuu apo sawa huyo amlipe bibi pesa zake atakua ni tapeli mwishowe bibi kama angeondoka kwenda kw muumba wake inamaana taya nyumba iliaharushwa hiyo
Namkubari makonda
Arusha inaongoza kwa migogoro ya Ardhi 😢😢
Hapo ni kwakua sio wameru
Kwa kweli makonda wewe ni malaika ulichaguliwa na mungu natamani uje singida utusaidie na sisi
Mungu akutunze mtumishi wa mungu
Nani aliejaribu kama makondaaa mungu akutnguli
Kama mungu akipenda makonda uje ushike nchi
Naomba mkuu wamkowa Arusha makonda Atembelee shulezote za sekondari wilaya ya longido
Mungu akutunze makonda
Wapeleke! tunaka viongozi wote wajitambue hivyo na wote wangali kuwa siliasi na utekelezaji kama Sasa hivi!nnchi hii mata tizo yangali pungua pia na hata nnchi inge jitegemea yenyewe!!! ila sasa wapigaji wame kuwa gumzo kubwa!!!
Diwani anaogopa kujipasuaaa😂😂😂😂
Paster Dominick kiboko ya wachawi
Huyu Diwani ni kama anavisasi na hao wananchi
Hatahuyo bwana aridhi mtowe nijipu
Wenye pesa wanatuumiza sana
Huu ni muda wa uponyaje 😂😂😂
Natamani uje na moshiii Mheshimiwa wetu . .uwiiiiiii..
Mtu wa hujuma kwanini kuhamishwa.
Na hicho kitu inafanyika sana kwa vijiji vyetu sana
Tumezoea hiyo kitu
Waliopo juu ya hili mtusaidie
Nimebaini Makonda kapunguwa uzito
Piga spana kabisa mpumbavu huyo
Hata uchaguzi wa Ubunge CCM itashindwa kama Awamu ya Kikwete.
Shida za ardhi ziko kila mahali ,Kenya ni worse
Huyu makonda ni mtaratibu bora. Nampenda kutoka kenya
#Tiki TV
Jitahidi captions zako ziendane na habari husika!
Malinda unaupinga mwingi😢😮😅😊
Mh makonda nakukubali sana mungu akupe maisha marefu
Comedy
Makonda ni mwamba njoo ugombee ubunge mwanza na ninakutabilia kuwa rais wa badaye kama hakuna figisu
Muheshimiwa UNATAMA VYEMA SANA, KILA NAFASI UNAYO KAA. LAKINI MBONA WATENDAJI WENGINE WAMEKAA TU KAMA HAWAPO VILE? TUWAELEWEJE?. MWINGINE NI ALLI-HAPI,HI KAKAMILIKA SANA.YUKO WAPI?
Mashine za mtama
Kunashida mkuu
😅
Mungu akutie ngufu mueshimiwa mkuu wa mkoa, tunakuomba ufike kata ya lengijafe
Mungu akupe uzima