#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 05. 2024
  • #LIVE; RC Makonda Akikamata Wezi Mwenyewe ARUMERU Muda Huu
    .
    .
    .
    .
    .
    \.
    .
    .
    .
    #RCMAKONDA #ANASIKILIZAKEROZAWANANCHI #MAKONDALIVE #MAKONDALEO #RCMAKONDALEO
    #yangaleo #yangavsmamelodysundown #yangaafrikakusini
    #youngafrika #michezo #yangalive #enghersi #gsm #raissamiasuluhuhassan #samiavslowassa #mamelodsundowns #yangasc #yangatv #tikitv M #mashabaikiwayanga

Komentáře • 62

  • @evancevedastusminja1566
    @evancevedastusminja1566 Před měsícem +17

    Mungu akubariki,Kwa stahili hii sitashangaa kuona siku Moja ,,,,,,,!!!!,,, Kwa maombi ya watanzania..Hata wale waliokuwa hawakuelewi sasa wanakuelewa!.Ninagundua kwamba ulipochaguliwa Kwa mara ya kwanza kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na Mjeshimiwa Raisi aliyetangulia mbele ya haki,aliona kitu kwako ambacho kwasasa watanzania waliowengi ndio wamefunguka macho!

  • @RicksonPallangyo
    @RicksonPallangyo Před 10 dny

    Makonda anakusikiliza kwa makini na anapata pa kuanzia mungu akutunze sana kwa kusikiliza wananchi na kuwatatulia migogoro kwa mujibu wa sheria na kwa taratibu halisi mwsh. Makonda Mungu akuongezee ukuu zaidi...

  • @rithamatiko4952
    @rithamatiko4952 Před měsícem +1

    Mungu akubariki sana mkuu wa Mkoa hakika wewe ni mkombozi wa wanyonge mwenyezi Mungu akubariki zaidi na zaidi

  • @raymondkaria1451
    @raymondkaria1451 Před 22 dny

    Mh.Makonda Mungu bakubariki na akuongezee juhudi katika utendaji kazi wako akupe afya pokea kwa jina la Yesu Kristo Anazareti

  • @lydiammassy4634
    @lydiammassy4634 Před 29 dny +1

    Nitaendelea kuomba Damu ya Yesu ikufinike mdogo wangu Makonda.Hata mbinguni unatambulika.

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 Před měsícem +5

    Makonda anatufanya tusifuatilie vitu vya hovyo

  • @andulilembwile6271
    @andulilembwile6271 Před 26 dny

    Mheshimiwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndugu : Christian Makonda. Hongera sana kwa kazi njema na nzuri ya kuwapatia haki watu wote.Mungu Akubariki sana sana sana. Tunakuombea tunaziona juhudi zako tunakuelewa. Isaya 54 : 10 - 17

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +4

    Makonda.
    Nakupa pole uko unafanya jitihada kubwa sana! Ila tambua tu Kuna UOZO mwingi na wa kutisha katika jamii yetu na wanaochangia haya matatizo ni wateule au wachaguliwa na haya mambo yanaanzia huku chini kabisa.
    Serikali za mtaa na kijiji na wakiwa wanajielewa wanayofanya na kuandika hayana ukweli.
    Wananchi wengi nchi nzima wanapata madhila makubwa sana.
    Je Serikali nzima yenye wakuu wa Wilaya, Halmashauri, vijiji, Wabunge, wakuu Mikoa, Mawaziri, Makatibu na juu kabisa mnalionaje haya madhila au ndio Kushika Hatamu na CCM Hoyee!!
    Hii upigaji wa pesa za kodi za wqnanchi masikini ni hatari kwa Taifa!!

  • @kemondobukoba2188
    @kemondobukoba2188 Před 19 dny +1

    Namwomba mungu makonda wakuamishie mkoa wa kagera

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před měsícem +10

    Bora nimalize bando kumckiliza makonda.

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +3

    Swala la HAKI HAKI katika jamii iliongelewa wazi wazi mbele ya Rais wa nchi na Mwenyekiti wa CDM mara tu alipoachiliwa huru !! Na ndicho kitu inachosga wananchi..

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Před měsícem +5

    Makonda nikichwa sana ukitaka kumtoa kwenye lengo anajua, kuwa unataka kumuhamisha lazima atajua akurudisha kwenye lengo tuu

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Před měsícem +1

    Dunia Ina mambo Asante makonda umeonyesha mfano wa uongozi stegemei Samia hakute bango lolote Arusha

  • @shabanimohammed919
    @shabanimohammed919 Před měsícem

    Makonda nakukubali sana tungepata viongozi kama wewe nchi hii ingefika mbali sana hongera sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před měsícem

    Super maamusi ya haki kwa Wanyonge asante Mheshimiwa Makonda

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 Před měsícem +6

    Mungu akusaidie makonda

  • @ElikanaElikanalaizerLaizer

    Mungu akutie ngufu mueshimiwa mkuu wa mkoa, tunakuomba ufike kata ya lengijafe

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před měsícem +2

    Ushauri wangu ni kwamba hawajaelimika kisheria msiwafukuze Wapelekeni shule kupigwa msasaaaaa😂

  • @EmmanuelyFumpuni
    @EmmanuelyFumpuni Před 6 dny

    Kwa kweli makonda wewe ni malaika ulichaguliwa na mungu natamani uje singida utusaidie na sisi

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise Před měsícem +2

    Mkuu apo sawa huyo amlipe bibi pesa zake atakua ni tapeli mwishowe bibi kama angeondoka kwenda kw muumba wake inamaana taya nyumba iliaharushwa hiyo

  • @SadockgSombi
    @SadockgSombi Před měsícem

    Brother makonda piga kazi Mungu atakulipa.

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před 27 dny +1

    Mungu akupe uzima

  • @ZanuraSondo
    @ZanuraSondo Před měsícem

    Muheshimiwa ww nimtetezi ulieteuliwa namungu mungu akubariki sana

  • @reginakatele8829
    @reginakatele8829 Před 26 dny +2

    Wecha nimalize bando kumsikiliza makonda

  • @barakamisila
    @barakamisila Před 23 dny

    Naomba mkuu wamkowa Arusha makonda Atembelee shulezote za sekondari wilaya ya longido

  • @josephmselem1151
    @josephmselem1151 Před 29 dny

    Baba makonda piga kaz
    mungu akutangulie🙏

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 Před měsícem +1

    Hali ya rushwa ni kama Awamu ya Nne. Wakati wa Kikwete. CCM inaweza kushindwa uchaguzi wa serikali za mtaa.

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Před 29 dny

    Makonda Baba Lao Hongera Sana

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo Před 25 dny +1

    Wapeleke! tunaka viongozi wote wajitambue hivyo na wote wangali kuwa siliasi na utekelezaji kama Sasa hivi!nnchi hii mata tizo yangali pungua pia na hata nnchi inge jitegemea yenyewe!!! ila sasa wapigaji wame kuwa gumzo kubwa!!!

  • @FredyLazaro-us5mu
    @FredyLazaro-us5mu Před 15 dny

    Nani aliejaribu kama makondaaa mungu akutnguli

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před měsícem +1

    Arusha inaongoza kwa migogoro ya Ardhi 😢😢

  • @williamchamriho8786
    @williamchamriho8786 Před 17 dny

    Namkubari makonda

  • @BeatriceMpesya
    @BeatriceMpesya Před 26 dny

    Kama mungu akipenda makonda uje ushike nchi

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před měsícem +2

    Hapo ni kwakua sio wameru

  • @reginakatele8829
    @reginakatele8829 Před 26 dny

    Mungu akutunze mtumishi wa mungu

  • @user-wn4lm1zo2m
    @user-wn4lm1zo2m Před 20 dny

    Paster Dominick kiboko ya wachawi

  • @reginakatele8829
    @reginakatele8829 Před 24 dny

    Mungu akutunze makonda

  • @msafirimrema4648
    @msafirimrema4648 Před 25 dny

    Diwani anaogopa kujipasuaaa😂😂😂😂

  • @ridhiwaniOmary-qs3zo
    @ridhiwaniOmary-qs3zo Před 25 dny

    Natamani uje na moshiii Mheshimiwa wetu . .uwiiiiiii..

  • @wamburasungura6812
    @wamburasungura6812 Před 17 dny

    Huyu Diwani ni kama anavisasi na hao wananchi

  • @joshualaitei1633
    @joshualaitei1633 Před 29 dny

    Mtu wa hujuma kwanini kuhamishwa.
    Na hicho kitu inafanyika sana kwa vijiji vyetu sana
    Tumezoea hiyo kitu
    Waliopo juu ya hili mtusaidie

  • @peterotieno8032
    @peterotieno8032 Před 15 dny +1

    Huyu makonda ni mtaratibu bora. Nampenda kutoka kenya

  • @SharifumtoroMtoro
    @SharifumtoroMtoro Před 9 dny

    Wenye pesa wanatuumiza sana

  • @ibrahimismail876
    @ibrahimismail876 Před 19 dny

    Mh makonda nakukubali sana mungu akupe maisha marefu

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088 Před 14 dny

    Makonda ni mwamba njoo ugombee ubunge mwanza na ninakutabilia kuwa rais wa badaye kama hakuna figisu

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 Před 25 dny

    Huu ni muda wa uponyaje 😂😂😂

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před měsícem +2

    Hatahuyo bwana aridhi mtowe nijipu

  • @reginamghanga95
    @reginamghanga95 Před 14 dny

    Shida za ardhi ziko kila mahali ,Kenya ni worse

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 Před měsícem

    Hata uchaguzi wa Ubunge CCM itashindwa kama Awamu ya Kikwete.

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Před 24 dny

    Nimebaini Makonda kapunguwa uzito

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Před 19 dny

    Muheshimiwa UNATAMA VYEMA SANA, KILA NAFASI UNAYO KAA. LAKINI MBONA WATENDAJI WENGINE WAMEKAA TU KAMA HAWAPO VILE? TUWAELEWEJE?. MWINGINE NI ALLI-HAPI,HI KAKAMILIKA SANA.YUKO WAPI?

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 Před měsícem

    #Tiki TV
    Jitahidi captions zako ziendane na habari husika!

  • @JumaNdege-ee8rr
    @JumaNdege-ee8rr Před měsícem

    Malinda unaupinga mwingi😢😮😅😊

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 Před měsícem +2

    Piga spana kabisa mpumbavu huyo

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před měsícem +1

    Comedy

  • @AmaniSendame-cv2nj
    @AmaniSendame-cv2nj Před 20 dny

    Mashine za mtama

  • @barakamisila
    @barakamisila Před 23 dny

    Kunashida mkuu

  • @WaziriTIRWA
    @WaziriTIRWA Před 12 dny

    😅

  • @ElikanaElikanalaizerLaizer

    Mungu akutie ngufu mueshimiwa mkuu wa mkoa, tunakuomba ufike kata ya lengijafe

  • @SophiaKaaya
    @SophiaKaaya Před 23 dny

    Mungu akupe uzima