Man made her happiness. Tuwafundishe binti zetu kujitegemea kiuchumi. Financial power ni ukombozi kwa mwanamke kuamua furaha yake sio kupewa tu kama njiwa kwenye tundu.
Mtazamo wng Hamissa aache kuweka mambo yake wazi kila leo hajui km maadui wanamuandama angekuwa anakula kimya kimya tu nahisi saa hizi angekuwa na mjengo wa maana lkn kila leo kushindana na magari tu mitandaoni na wanaume wapya halafu haendelei nao sasa mwenzetu ana jini mahaba au vp mapenzi yk hayatimizi ht mwaka chali analeta bwana mpya mmhh atamaliza Dunia kwakupata wakumuoa
Umejuaje km Hana nyumba jaman,ana nyumba mbili ya tatu inajengwa kule coco beach na wanaume wake si mnawatafutaga nyie kwani amewah kuwaonesha ni yupi....jaman acheni mdada wa watu aenjoy life...
Yaani tuseme tu... Huyu kapata bikra!! Dunia inaenda kazi, badala aende tu polepole aokote toto la toto from college, anazidi kuchimba kisima cha giningi na kilisha chimbwa kitambo na zaidi ya jembe 300, dah... ata kama acha tu basi nipige kamoja na nitoroke ila Hamisa.. Liwe Liwalo..
Mbona sura ya shemej ni kama muuza ngada au kama wale wanaija matapeli wa kimataifa sawa tusubiri yajayo ila am happy for her kwa mara ya kwanza kapata bwana aliyeproud nae sio walokua wanamficha ficha demu mkali kama hamisa unaanzaje kumficha kama vile gongo jaman
Love this....Hamisa kapata mwanaume sasa ambae yupo proud nae. Amazing 😍
Yani amepata kit kama atamuoa itabud atulie sana na amuheshim sana
Yani amepata kit kama atamuoa itabud atulie sana na amuheshim sana
Wabongo wamemfanya mbaka shemeji kasema duuh🙌🙌🙌mpewe mauwa yenu🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
🤣🤣🤣jamani
Sasa huyu ndo anakufaa mmy❤❤
😊😊😊😊mm nimewapenda wote😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Honger proud of you ❤️❤️🔥🔥👏👏
❤mashaallah ndoa hamisaa ❤❤❤❤❤❤❤❤
waoooooh dada hamisa nakupenda sana mungu awatangulie
MashaAllah MashaAllah Mungu akiamua kukuinua no one can bring you down .
Hayo maneno ya kifaransa amemaanisha huo ni mwanzo tuu love🔥🔥🙌
Hongera sana misa mungu nimwema tulia hapo hapo
👏👏❤❤💥
😍😍😍😍
Man made her happiness. Tuwafundishe binti zetu kujitegemea kiuchumi. Financial power ni ukombozi kwa mwanamke kuamua furaha yake sio kupewa tu kama njiwa kwenye tundu.
well said
Good one
❤❤❤❤
Hongera kwa Missa❤❤❤❤❤ ila kama Hushpapp
Nimependaa😊❤🎉😂
Mtazamo wng Hamissa aache kuweka mambo yake wazi kila leo hajui km maadui wanamuandama angekuwa anakula kimya kimya tu nahisi saa hizi angekuwa na mjengo wa maana lkn kila leo kushindana na magari tu mitandaoni na wanaume wapya halafu haendelei nao sasa mwenzetu ana jini mahaba au vp mapenzi yk hayatimizi ht mwaka chali analeta bwana mpya mmhh atamaliza Dunia kwakupata wakumuoa
Umejuaje km Hana nyumba jaman,ana nyumba mbili ya tatu inajengwa kule coco beach na wanaume wake si mnawatafutaga nyie kwani amewah kuwaonesha ni yupi....jaman acheni mdada wa watu aenjoy life...
@@brownie_dee8655 Jidanganye hivyo hivyo
Sns nawaona mbali saaaaana Mungu azidi kuwabariki
Shikilia hapohapo misa 😘😘
Uyu babu anataka promo😅😅😅
Mungu akiamua lake hakuna wa kupinga
Alafu kuna wadada wana sema Hamisa hana bahati haja wahi kupostiwa na mwanaume 😂😂
Sisi tuko hapa😂😂😂😂mkipendana tuna comment na mkiachana tuna comment 🥳🥳🥳🥳kwa hiyo likilozi ndio basi tena😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Swala la wakati ngoja tusubiri,maana mapenz maonyesho kama haya huwa haya dumu,kama kweli basi nashauri wafanye kimyakimya
Ni mwanaume nanusu 🎉🎉🎉
Hawaamin wanchokion wanfik w hamis🤣🤣
Maisha video,yakiwakuta mtaanza kuomba michango kwa wa tz,tunaomba wasanii wetu mjaribu kuishi maisha halisi
Kuna mabinti hawana sehemu za Siri 😂😂ila wapo tu kwa ajili ya wanaume wenye pesa tutafute pesa Majamaa tukule vitu vizuri
Wabongo wapewe maua yaoooo🤣🤣🤣
Anajiuuuuza ki digital 😄
Haya kelvin followers wakikutosha utatuambia mwaya
Wenye vyakula vyaooo vyote ni vzur 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lulu anapanga njama yakumuiba bwana huyo sasa😅😅😅ili naye apate bati
Daah dada zetu msingi kiuno 😂
😂😂😂
Likilozi ndo katemwa au😅
Likilozi ni nani au umekosea kuandika
@@happynelson1136😂😂😂
Hamisa we mzuri ila natamani siku moja UPOST UMEHAMIA KWENYE NYUMBA YAKO MWENYEWE SIYO YA KUPANGA
Anajenga bonge la ghorofa
Yaani tuseme tu... Huyu kapata bikra!! Dunia inaenda kazi, badala aende tu polepole aokote toto la toto from college, anazidi kuchimba kisima cha giningi na kilisha chimbwa kitambo na zaidi ya jembe 300, dah... ata kama acha tu basi nipige kamoja na nitoroke ila Hamisa.. Liwe Liwalo..
La peke yako kaburi tu na nikwambie tu bora hata uwe na mwanamke dizaini ya Hamisa kuliko hawa under 20 mtakula ww pamoja na baba yako
Hawajui wabongo huyo, acha tuone 😂atakuja tumuombee dua
I didn't know like Tz they don't know English until I came across interview for hamisa and her boyfriend 😂😂😂pull up your socks guys😅
Sijawayikumuona bwana wa Hamisa waziiiii kafa kaozaaaaaaa
Haya mlibwanji wenyewe ukoo umejaaa
Oyeeeeeeeeeeeeeeee💃💃💃💃💃❤️🩹❤️🩹😍😍😍💫🥰🥰🥰🥰
Najua kesho Kiki za wasafi kutakuwa na jambo na kule kwa bibi pia jambo linapikwa 😅😅😅sns usichelewe kutuletea 😅😅hbr
Mm nakupa mbupu maisha majaliwaa
😅😅😅
@@lightnessabdallah2340 kama huna maisha silaha ndio hyoo
Yani amisa nime furahi sana
Nilijua rick ross
Hamisa akiwa nafuraha napenda sana walimdharau na kumsema kwamba hajui kuwa nawake bali ni mabwana wawatu
Afu kuna mm huyu mwenzangu kazi yake kuvuja tu kila mwezii khaaa hakinipi hata faidaa
😂😂Hamisa kamficha yeye kajitoa
Mbona sura ya shemej ni kama muuza ngada au kama wale wanaija matapeli wa kimataifa sawa tusubiri yajayo ila am happy for her kwa mara ya kwanza kapata bwana aliyeproud nae sio walokua wanamficha ficha demu mkali kama hamisa unaanzaje kumficha kama vile gongo jaman
😂😂keh waja
Kama Hussh Pupp
Misa kama misa jamani,Mola akujalie❤❤
Si rikii rose tena
Kesho kiki zitaanza kwa kina mond
Kabisa
Ni mwanaume haswaa
Ally kamwe je
Tunamuombea kheri na baraka tele
simba yupo kule utalud tu hahahaaa
ni mwanaume mzur kwa sababu ana ela,angekua hana asingekua yeye tungekua na shemej mwngne sahz🤣🤣🤣🤣
Bado hajaxema!! Na ataxema😅
Sawa Kevin soon tunatamani uitwe Abdallah maaana Barnaba huko keshaitwa Mohammed
Bana tumpe jina la Suleiman sio abdallah 😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😹😹😹😹
😂😂😂😂
There is no love without merriage n family
Wivu..kwani mpaka kua husband si lazima mjuane mue boyfriend and girlfriend halafu ndo mfunge ndoa awe mume..sasa kwanini hamisa aruke stage😢😮
Wangapi wanaolewa na wanaachwa bila chochote ? Punguza makasiriko
Acha kukariri
Simulizi tunaomba kujua bei ya gari
Mbna toka jana ashasema
𝐀𝐩𝐞𝐰𝐞 🎉𝐘𝐚𝐤𝐞𝐞