Mpenzi wa HAMISA MOBETTO afunguka kwa mara ya kwanza, aandika haya yaliyojaa mahaba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 07. 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 94

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před rokem +20

    Love this....Hamisa kapata mwanaume sasa ambae yupo proud nae. Amazing 😍

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před rokem

      Yani amepata kit kama atamuoa itabud atulie sana na amuheshim sana

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před rokem

      Yani amepata kit kama atamuoa itabud atulie sana na amuheshim sana

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem +5

    Wabongo wamemfanya mbaka shemeji kasema duuh🙌🙌🙌mpewe mauwa yenu🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před rokem +5

    Sasa huyu ndo anakufaa mmy❤❤

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Před rokem +6

    😊😊😊😊mm nimewapenda wote😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Před rokem +2

    Honger proud of you ❤️❤️🔥🔥👏👏

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +2

    ❤mashaallah ndoa hamisaa ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @neemajoseph6204
    @neemajoseph6204 Před rokem +1

    waoooooh dada hamisa nakupenda sana mungu awatangulie

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +3

    MashaAllah MashaAllah Mungu akiamua kukuinua no one can bring you down .

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Před rokem +1

    Hayo maneno ya kifaransa amemaanisha huo ni mwanzo tuu love🔥🔥🙌

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 Před rokem +7

    Hongera sana misa mungu nimwema tulia hapo hapo

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před rokem +3

    👏👏❤❤💥

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před rokem +2

    😍😍😍😍

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před 11 měsíci

    Man made her happiness. Tuwafundishe binti zetu kujitegemea kiuchumi. Financial power ni ukombozi kwa mwanamke kuamua furaha yake sio kupewa tu kama njiwa kwenye tundu.

  • @user-em4wp1ct7s
    @user-em4wp1ct7s Před 10 měsíci

    Good one

  • @sarasarax9664
    @sarasarax9664 Před rokem +1

    ❤❤❤❤

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +1

    Hongera kwa Missa❤❤❤❤❤ ila kama Hushpapp

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +2

    Nimependaa😊❤🎉😂

  • @Official83640
    @Official83640 Před rokem +4

    Mtazamo wng Hamissa aache kuweka mambo yake wazi kila leo hajui km maadui wanamuandama angekuwa anakula kimya kimya tu nahisi saa hizi angekuwa na mjengo wa maana lkn kila leo kushindana na magari tu mitandaoni na wanaume wapya halafu haendelei nao sasa mwenzetu ana jini mahaba au vp mapenzi yk hayatimizi ht mwaka chali analeta bwana mpya mmhh atamaliza Dunia kwakupata wakumuoa

    • @brownie_dee8655
      @brownie_dee8655 Před rokem

      Umejuaje km Hana nyumba jaman,ana nyumba mbili ya tatu inajengwa kule coco beach na wanaume wake si mnawatafutaga nyie kwani amewah kuwaonesha ni yupi....jaman acheni mdada wa watu aenjoy life...

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem

      @@brownie_dee8655 Jidanganye hivyo hivyo

  • @user-mp4rc3bn2i
    @user-mp4rc3bn2i Před rokem +1

    Sns nawaona mbali saaaaana Mungu azidi kuwabariki

  • @saumumsomali485
    @saumumsomali485 Před rokem +1

    Shikilia hapohapo misa 😘😘

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před rokem +1

    Uyu babu anataka promo😅😅😅

  • @mdta8161
    @mdta8161 Před rokem

    Mungu akiamua lake hakuna wa kupinga

  • @n7428
    @n7428 Před rokem +2

    Alafu kuna wadada wana sema Hamisa hana bahati haja wahi kupostiwa na mwanaume 😂😂

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 Před rokem +2

    Sisi tuko hapa😂😂😂😂mkipendana tuna comment na mkiachana tuna comment 🥳🥳🥳🥳kwa hiyo likilozi ndio basi tena😂😂😂😂😂😂

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 Před 10 měsíci

    Swala la wakati ngoja tusubiri,maana mapenz maonyesho kama haya huwa haya dumu,kama kweli basi nashauri wafanye kimyakimya

  • @zahararamadhanisalmu395

    Ni mwanaume nanusu 🎉🎉🎉

  • @ashaali7487
    @ashaali7487 Před rokem +3

    Hawaamin wanchokion wanfik w hamis🤣🤣

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 Před 10 měsíci

    Maisha video,yakiwakuta mtaanza kuomba michango kwa wa tz,tunaomba wasanii wetu mjaribu kuishi maisha halisi

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před rokem +1

    Kuna mabinti hawana sehemu za Siri 😂😂ila wapo tu kwa ajili ya wanaume wenye pesa tutafute pesa Majamaa tukule vitu vizuri

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před rokem +2

    Wabongo wapewe maua yaoooo🤣🤣🤣

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před rokem +1

    Anajiuuuuza ki digital 😄

  • @hadijaabdallah8614
    @hadijaabdallah8614 Před rokem +1

    Haya kelvin followers wakikutosha utatuambia mwaya

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem

    Wenye vyakula vyaooo vyote ni vzur 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @tibaijukaolevarez6257

    Lulu anapanga njama yakumuiba bwana huyo sasa😅😅😅ili naye apate bati

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem

    Daah dada zetu msingi kiuno 😂

  • @comics3437
    @comics3437 Před rokem +3

    Likilozi ndo katemwa au😅

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +1

    Hamisa we mzuri ila natamani siku moja UPOST UMEHAMIA KWENYE NYUMBA YAKO MWENYEWE SIYO YA KUPANGA

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před rokem +1

    Yaani tuseme tu... Huyu kapata bikra!! Dunia inaenda kazi, badala aende tu polepole aokote toto la toto from college, anazidi kuchimba kisima cha giningi na kilisha chimbwa kitambo na zaidi ya jembe 300, dah... ata kama acha tu basi nipige kamoja na nitoroke ila Hamisa.. Liwe Liwalo..

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před rokem

      La peke yako kaburi tu na nikwambie tu bora hata uwe na mwanamke dizaini ya Hamisa kuliko hawa under 20 mtakula ww pamoja na baba yako

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 Před rokem

    Hawajui wabongo huyo, acha tuone 😂atakuja tumuombee dua

  • @dorisomwoyo4342
    @dorisomwoyo4342 Před 10 měsíci

    I didn't know like Tz they don't know English until I came across interview for hamisa and her boyfriend 😂😂😂pull up your socks guys😅

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem

    Sijawayikumuona bwana wa Hamisa waziiiii kafa kaozaaaaaaa

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 Před rokem +1

    Haya mlibwanji wenyewe ukoo umejaaa

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem

    Oyeeeeeeeeeeeeeeee💃💃💃💃💃❤️‍🩹❤️‍🩹😍😍😍💫🥰🥰🥰🥰

  • @sarahrashidabdallah3109

    Najua kesho Kiki za wasafi kutakuwa na jambo na kule kwa bibi pia jambo linapikwa 😅😅😅sns usichelewe kutuletea 😅😅hbr

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před rokem

    Mm nakupa mbupu maisha majaliwaa

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 Před rokem

    Yani amisa nime furahi sana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +1

    Nilijua rick ross

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 11 měsíci

    Hamisa akiwa nafuraha napenda sana walimdharau na kumsema kwamba hajui kuwa nawake bali ni mabwana wawatu

  • @monicacyprian9137
    @monicacyprian9137 Před rokem

    Afu kuna mm huyu mwenzangu kazi yake kuvuja tu kila mwezii khaaa hakinipi hata faidaa

  • @Divinelinna
    @Divinelinna Před rokem

    😂😂Hamisa kamficha yeye kajitoa

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem +12

    Mbona sura ya shemej ni kama muuza ngada au kama wale wanaija matapeli wa kimataifa sawa tusubiri yajayo ila am happy for her kwa mara ya kwanza kapata bwana aliyeproud nae sio walokua wanamficha ficha demu mkali kama hamisa unaanzaje kumficha kama vile gongo jaman

  • @teressaambani2364
    @teressaambani2364 Před rokem

    Si rikii rose tena

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Před rokem +2

    Kesho kiki zitaanza kwa kina mond

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před rokem

    Ni mwanaume haswaa

  • @hajerally
    @hajerally Před 11 měsíci

    Ally kamwe je

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 Před rokem

    Tunamuombea kheri na baraka tele

  • @user-ko9qf1kq8g
    @user-ko9qf1kq8g Před rokem

    simba yupo kule utalud tu hahahaaa

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 Před rokem +1

    ni mwanaume mzur kwa sababu ana ela,angekua hana asingekua yeye tungekua na shemej mwngne sahz🤣🤣🤣🤣

  • @rachealndinda2947
    @rachealndinda2947 Před rokem

    Bado hajaxema!! Na ataxema😅

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Před rokem +2

    Sawa Kevin soon tunatamani uitwe Abdallah maaana Barnaba huko keshaitwa Mohammed

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Před rokem +3

    There is no love without merriage n family

    • @minjesha
      @minjesha Před rokem +2

      Wivu..kwani mpaka kua husband si lazima mjuane mue boyfriend and girlfriend halafu ndo mfunge ndoa awe mume..sasa kwanini hamisa aruke stage😢😮

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Před rokem +1

      Wangapi wanaolewa na wanaachwa bila chochote ? Punguza makasiriko

    • @chiccynaturaldamnhot877
      @chiccynaturaldamnhot877 Před rokem +1

      Acha kukariri

  • @dinachiwaligo
    @dinachiwaligo Před rokem

    Simulizi tunaomba kujua bei ya gari

  • @official_mr_bery
    @official_mr_bery Před rokem +1

    𝐀𝐩𝐞𝐰𝐞 🎉𝐘𝐚𝐤𝐞𝐞