Wakazi amsifia Harmonize kwa kugoma kuweka wazi utajiri wake wakati akihojiwa na Clouds

Sdílet
Vložit

Komentáře • 34

  • @twaahbrown1042
    @twaahbrown1042 Před měsícem +5

    Kuna mtu anasema pesa inaongea eti konde Hana kitu pumbavu maisha anayoishi konde anawashinda vijana na wasanii wengi hapa bongo ni tosha kwamba mkwanja anao ila hataki majigambombo kwani wangapi washatudabganya na tukawaamini hata yy asingeshindwa kutudanganya .

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p Před měsícem

      Senge nn tofautsh utajir na kua na pesa Mana pesa ta mm nawe tunayo Ila utajir hatuna nd Kama ndgu yak kistuli anajua kbsa utajir Hana Ila anapesa maan ta book n pesa😂😂😂😂

    • @twaahbrown1042
      @twaahbrown1042 Před měsícem

      @@user-pk1yl7zt8p umasikini unakutesa sana ndio maana unachuki unachukia mtu hata hakujui aibu kwer kijana tafuta ela

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před měsícem

    Thanks wakazi american boys

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před měsícem

    🥳🥳🥳🥳🥳🥳

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před měsícem

    Respectful boy hamo tz

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p Před měsícem +3

    Akwende uko pesa haijfch 😂😂😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem +1

      Pesa alizonazo Harmonize ukizipata wewe kijijini kwenu wanakuloga

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před měsícem

      SAsa we kama una akili timamu konde boy WA Leo ana fanana na konde wa miaka 7 nyuma au Muna ongea ukuma 2 nyinyi makuma msiejielewa

    • @humbleshoal
      @humbleshoal Před měsícem

      ​@@RomanMwinyi
      We nae kwani kuna ulazima wa kutukana?

    • @josephngasa6984
      @josephngasa6984 Před měsícem

      😂😂😂😂😂​@@rumdeesonsoa1811

    • @ShaibuMkullu-ck6sl
      @ShaibuMkullu-ck6sl Před měsícem

      😂😂😂😂​@@rumdeesonsoa1811

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz3506 Před měsícem +1

    Hana utajiri sasa

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před měsícem

    Kabixa nakubal

  • @mbezzoprince9462
    @mbezzoprince9462 Před měsícem +5

    Utajiri haufanywi kusemwa utajiri huonekana yeye Hana hela

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +2

    Anautajiri Gani sasa,,,zaidi ya kuwa na pesa ya kumtosha yeye na wanawake,,,,,kashindwa kusimamia wasanii wake

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla7410 Před měsícem +1

    Uyu jamaa mbea tu

  • @abnassirkarriem-ko5pw
    @abnassirkarriem-ko5pw Před měsícem +1

    Kiufupi jama Hana hela ya kujigamba zaidi ya kuficha ficha tu Ana hela gani konde ? kmkashindwa kuwa na lebo kama wengine ila hla ya kumikiki demu anayo kabisa

  • @rizionemajura4707
    @rizionemajura4707 Před měsícem +1

    Sio Kila kitu uweke wazi kunawatu hawapend mafanikio

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +1

    Afu sikieni nyie..kamfundisheni hesabu za mangazijuto ndo atajuwa tofauti ya
    #SAID SALIM BAKHRESA
    NA
    #SALIM KIKEKE jamaa kamua utajiri wake kuufugia ndevu 😂😂😂😂
    Chizi huyo utajiri haufichiki😂😂😂