BABALEVO AMVAA HARMONIZE KUDAIWA MIL 103 AMCHANA MWIJAKU HAKUNA MSANII ANAWEZA KUJENGA NYUMBA YANGU
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
YAANI HILI JAMAAA NI RAHA KULISIKILIZA😂😂😂😂 OPENLY HALIBWABWAJI❤
Big up sana nakukubali mzee
Nakukubali sana Baba P mtoto wa LUKUGA❤❤❤❤❤❤❤
Jamaa nalikubali sana hili huwa linaongeaga point
Nampenda sana baba levo😂😂😂😂😂😂❤
Jamaa anajiamini sana
ZANZIBAR INAJULIKANA SANA DUNIANI.TANZANIA NDO HAIJULIKANI SANA
Kwan Zanzibar n nn na Tanzania n nn
Kwan Zanzibar sio mkoa ambao uko tanzaniaa
Vizaka 😂😂😂 hawavijui hoa
😂😂😂😂
Maandalizi ya festvl imegharimu zaidi ya bilioni 5.
Ukweli unauma sana 🇲🇿🇲🇿
Bro miwani ndogo sana ata hazifiki kwenye masikio 😅😅😅😅
Imenyanyuliwa na puaaa😂😂😂
Deni la harmonize anapayuka yeye😂😂😂bogus zee zima hovyoo
Chiz
Watalii si Wazungu tu! Watalii ni Watu wa ndani ya Nchi na nje ya Nchi si tabaka moja ya watu Kuna Wachina,wahindi,Waharabu
Tulioskiaa mheshimiwa aseno tupooi
Kuchezea tu kodi zetu manina
😅😅
Japan baba levo alekod video ya massa ushirini labda ndo ntalizika yani chekesha kwenye gari had abilia wanaisi me chiz vile hutu jamaa anakipaji
😅😅😅😅😅
Kabisa uwezi zuia baraka kwa ushirikina hapo kaka leo umeongea mana wengine waoga kikubwa hujaiba....Lazima wajue tunajenga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 fundi majumba na kuchocha
😂😂😂😂😂😂
Kama mataifa na nchi zinadaiwa itakuwa Homonize? La ajabu kipi baba level?
Baba levo muongo nogwa tu wewe
Sifa kubwa ya muha ni wivu hili kabila la hovyo tokea jana mwijaku na baba levo wanamsema dotto kwa sababu tuu amepata wasaha wa kupiga picha na mh Rais
Mmakondewewe mla panya unaumwa kapime akiri
Tatizo akili huna
Hao hao unasema wanawivu wanafumua majumba na kusain mikataba ya mahela marefu Kila kukicha wewe umekalia kula panya tu Kila kukicha
Punguza ukali wa maneno,wivu ni tabia ya mtu sio kabila,lkn pia unapaswa kujua Bb levo ni mtu wa mpanda sio mha huyo maana baba yake alikua polisi ffu kigoma.Alivyofaliki waliamua kujenga kigoma ila sio Mha,makibila yote unayoyasema wewe tumekaa nayo hiyo hiyo mikoa unayofikilia kuwa kuna watu ambao sio waha,wivu umewajaa.Ushauri fanya research kabla ya kuhukumu.
Maandalizi ya festvl imegharimu zaidi ya bilioni 5.