BABALEVO AMVAA HARMONIZE KUDAIWA MIL 103 AMCHANA MWIJAKU HAKUNA MSANII ANAWEZA KUJENGA NYUMBA YANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1

Komentáře • 35

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Před 21 dnem +11

    YAANI HILI JAMAAA NI RAHA KULISIKILIZA😂😂😂😂 OPENLY HALIBWABWAJI❤

  • @JafarAthman
    @JafarAthman Před 19 dny +2

    Big up sana nakukubali mzee

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 11 dny

    Nakukubali sana Baba P mtoto wa LUKUGA❤❤❤❤❤❤❤

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Před 21 dnem +4

    Jamaa nalikubali sana hili huwa linaongeaga point

  • @MdBass-lj2bu
    @MdBass-lj2bu Před 21 dnem +4

    Nampenda sana baba levo😂😂😂😂😂😂❤

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven Před 18 dny +1

    Jamaa anajiamini sana

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Před 18 dny +1

    ZANZIBAR INAJULIKANA SANA DUNIANI.TANZANIA NDO HAIJULIKANI SANA

  • @eliafrancis5095
    @eliafrancis5095 Před 21 dnem +2

    Vizaka 😂😂😂 hawavijui hoa

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 21 dnem +1

    Maandalizi ya festvl imegharimu zaidi ya bilioni 5.

  • @AugustoMuamedeNchumali
    @AugustoMuamedeNchumali Před 21 dnem +2

    Ukweli unauma sana 🇲🇿🇲🇿

  • @mahamoudmroivili16
    @mahamoudmroivili16 Před 21 dnem +2

    Bro miwani ndogo sana ata hazifiki kwenye masikio 😅😅😅😅

    • @Nezzyg
      @Nezzyg Před 19 dny

      Imenyanyuliwa na puaaa😂😂😂

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 21 dnem +1

    Deni la harmonize anapayuka yeye😂😂😂bogus zee zima hovyoo

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 16 dny

    Chiz

  • @peterjoseph4771
    @peterjoseph4771 Před 19 dny

    Watalii si Wazungu tu! Watalii ni Watu wa ndani ya Nchi na nje ya Nchi si tabaka moja ya watu Kuna Wachina,wahindi,Waharabu

  • @ChristopherChacha-c2d
    @ChristopherChacha-c2d Před 16 dny

    Tulioskiaa mheshimiwa aseno tupooi

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 21 dnem

    Kuchezea tu kodi zetu manina

  • @IsayaMalinda45
    @IsayaMalinda45 Před 20 dny

    😅😅

  • @kulyafx-c9h
    @kulyafx-c9h Před 17 dny

    Japan baba levo alekod video ya massa ushirini labda ndo ntalizika yani chekesha kwenye gari had abilia wanaisi me chiz vile hutu jamaa anakipaji

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před 21 dnem

    😅😅😅😅😅

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 21 dnem +1

    Kabisa uwezi zuia baraka kwa ushirikina hapo kaka leo umeongea mana wengine waoga kikubwa hujaiba....Lazima wajue tunajenga

  • @Robinson24560
    @Robinson24560 Před 21 dnem

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 fundi majumba na kuchocha

  • @ndizoshukuru6142
    @ndizoshukuru6142 Před 21 dnem

    😂😂😂😂😂😂

  • @marympemba6378
    @marympemba6378 Před 20 dny

    Kama mataifa na nchi zinadaiwa itakuwa Homonize? La ajabu kipi baba level?

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 16 dny

    Baba levo muongo nogwa tu wewe

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před 21 dnem +1

    Sifa kubwa ya muha ni wivu hili kabila la hovyo tokea jana mwijaku na baba levo wanamsema dotto kwa sababu tuu amepata wasaha wa kupiga picha na mh Rais

    • @user-fk9hj9rd1c
      @user-fk9hj9rd1c Před 21 dnem +2

      Mmakondewewe mla panya unaumwa kapime akiri

    • @JFN99
      @JFN99 Před 21 dnem

      Tatizo akili huna

    • @ZedekChamagogo
      @ZedekChamagogo Před 21 dnem

      Hao hao unasema wanawivu wanafumua majumba na kusain mikataba ya mahela marefu Kila kukicha wewe umekalia kula panya tu Kila kukicha

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 Před 20 dny

      Punguza ukali wa maneno,wivu ni tabia ya mtu sio kabila,lkn pia unapaswa kujua Bb levo ni mtu wa mpanda sio mha huyo maana baba yake alikua polisi ffu kigoma.Alivyofaliki waliamua kujenga kigoma ila sio Mha,makibila yote unayoyasema wewe tumekaa nayo hiyo hiyo mikoa unayofikilia kuwa kuna watu ambao sio waha,wivu umewajaa.Ushauri fanya research kabla ya kuhukumu.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 21 dnem

    Maandalizi ya festvl imegharimu zaidi ya bilioni 5.