🎉 You’re beautiful, and I hope you always remember that. Keep believing in yourself and your worth-you deserve all the happiness and success that comes your way. Never doubt your strength and beauty!
Mdada yuko shambani kuvuna hela za shopping na ni mdada wa viwango vya ZARA na H & M sisi wa ugaibuni ndio tun hayo maduka .wasanii kuendelea ni ngumu only DIamond kajitafuta kwa kuwa na Zuchu anaeingiza pesa kwenye company yake.
Milady ayo ww nae uvae miwani huyo sio kiba kwenye picha yupo kwenye gari kainamisha kichwa unaona ndevu unasema cheni😂😂😂😂ww angalia vizuri utaelewa halafu pia hapo kwenye kanzu kiba hana mgongo mpana hivyo pia nasio mnene kichwa na mwili kiasi hichoooo😂😂😂😂😂😂
Ally wangu kula kitu roho inapenda❤❤
Tulete rekodi ya konde kuingiza nyimbo 4 ontrend aijawai tokea❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Black Beauty tumepatwa na King😍
Sawa king we jilie Amina aliachia ngazi mwenyewe huna baya❤❤❤
Uwongoooooooooooooooooooo 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮 Sio MFALME huyoooooooooo
Ally anapenda vimodo wa namna hiyo😁😁
Yule Amina mbona hakua modo😂😂😂
wanaume wanaangaika sana jamani yaani demu mwenyewe ni mbaya hata mim hanifikii
ACHA wivu wewe ndo sura mbaya ndo mana alikiba hayuko na wewe
Na uzuri wako ndomana awangaiki na wewe mungu anasili kubwa @wema Michael usijiamini sana
Hakufikii kwa kitu gani mnuka mikojo wewe😂😂
🎉 You’re beautiful, and I hope you always remember that. Keep believing in yourself and your worth-you deserve all the happiness and success that comes your way. Never doubt your strength and beauty!
Uzuri wa mwanamke upo machoni kwa mwanaume wake dada, Mimi ndo najua uzuri wa mwanamke wangu na sio mtu mwingine
😂😂😂😂😂nacheka mimi warishindwa wote huo njo huweza😅😅😅 eti mrembo 😅😅😅 kushinda amina😅😅😅
Kila shetan na mbuyu wake uwez jua
Mhh mitihani kazi ipo🤔🤔🤔
Alililiiiiii 🗣️😂
😂😂😂enjoy king kiba
Ali hua cha wote kila mwaka demu mpya
kiba wangu anapita tu maskin😂😂😂😂
Mimi nlijua na chokuu😅😂😅
😂😂😂
Powa wg
Wabongo punguzeni ushamba na Kiki ikizidi ni ushamba tu😂😂😂😂
Mkwee wake Amina jeeee
Amina anaishi kwao Mombasa,nadhani waliachana kabisa...
Na yey ashaaza 🎉
Guys ziko wapi hizo dots za kuconnect jmn😂
Sasa kwann tutumie nguv kubwa kufikilia yanatuhusu nn yan wakulane wao sisi tutumie nguv kujua habari zao shnezy kabisa
Mdada yuko shambani kuvuna hela za shopping na ni mdada wa viwango vya ZARA na H & M sisi wa ugaibuni ndio tun hayo maduka .wasanii kuendelea ni ngumu only DIamond kajitafuta kwa kuwa na Zuchu anaeingiza pesa kwenye company yake.
Mbona Kila bint mwasema mrembo ,,😁😁😁😁😁😁
Mtangazaji mwenyewemacho kumchuzi kumbe
madem wenye sura ya kawaida ndio watam balaa hao wenye sura za beyonce but kitandani bure kabisa 😂😂
😂😂😂😂
Nakubaliana na ww😂😂😂😂
Sas mpaka leo kitandani pamekusaidia nini?😂😂😂
Ao wan biashar t wanatangaz ach uong
Kweelii kua star ni shidaa 😂😂 yaanii tu mademuu wengii laaazmaa.
sasa si ampe talaka dada wa watu
Aliacha amina kwa sababu ya uyu?
Sawa acha aliwe tu 😂😂
Mtu hua na yyte anaemtaka awe mzur au mbaya mazal amempenda ndio wke
kweli kabisa unaweza kumuona mbaya lkn yeye akamuona mrembo wakimataifa😂😂😂😂 hatulingani katika kuona😂😂😂
Mmmm kujichora tu mke mwenye cye kabisa
Niffer njo mu zuri kuliko uyo 😂😂
Mnafanya zina tu ndugu zetu haya 😂
Huyu ni Ali ndevu naiona 😂😂😂😂
😂😂
Niffer katemwa 😂😂😂
HALAFU CHENI 2 TOFAUTI HIYO YA KWENYE GARI NI GOLD HIYO YA KIBA NI SILVA😂😂
Kuuliza tu kwani Kiba aliacha mke wake
Masna ruksa
Milady ayo ww nae uvae miwani huyo sio kiba kwenye picha yupo kwenye gari kainamisha kichwa unaona ndevu unasema cheni😂😂😂😂ww angalia vizuri utaelewa halafu pia hapo kwenye kanzu kiba hana mgongo mpana hivyo pia nasio mnene kichwa na mwili kiasi hichoooo😂😂😂😂😂😂
Millard ayo kivip?
Nawewe usiwe unakulubuka maana unae sema kuwa ndio milady ayo uyo siyo kabisa umekosea
Nawe umekurupuka 😅
Na ww vaa 🎧usikilize sauti vizur uyo sio millady ayo😂
@@Nuru9568🤣🤣 wa bongo bana
Cheapest store in usa,!