Wanawake Wajifunze Kubeba Mimba Na Kumpa Baba Wa Mimba Iyo Mtoto Nasio Kufanya Mapenzi Na Watu Wengi Alafu Ujue Yupi Baba Wa Kweli Kwa Mtoto Umalaya Sio Ishu
Kwan hamisa kakwambia hamjui baba wa mtoto wake au unaota hao waudaku ndo wanaopenda kuharibia watu future kuwachafua wenzao hata ulale na wanaume tele ila baba utamjua tu
Jamani hebu muachen mtoto naraika wa Mungu sio vizuri pia haiwahusu jamani kwanini kutwa kimsakama hamisa Nini shida lakini hamisa mungu akunzuie mwanao mbona zambi zipo nyingi kwahiyo hamisa ndio mtenda maovu hapa chini ya jua khaa jaman
@@aisharamadan3620 wanawake muache kupanic, mtoto wa nje akizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wako mbona ivi vitu vipo tu....ila Kwa Nini familia ya dai haimtaki Dylan?
@@claudia1500 kupata watoto wasio wa harari,awajurikani,duniani,wala akhera, yaani mitoto yazinifu,isiyo na baba,haswa kwetu waislam,,mtoto ukizaanje yandoa,uyo ana baba,wala achukui urithi waina yoyote,wara ato pewa ubini,wa baba,atachukuwa ubini wa upande wa mama yake,iyo ndo faida yakuzaa mitoto ya zinaaaa,au uzizi,kiufupi mama ndoashuhurikiye marezi ya mwanae,baba hausiki,wara apati zambi,zambi zake zipo kwenye uzinifu tu
SHE IS INDEED BUT IS PAY BACK TIME NOTHING STAY HIDDEN 4EVER as a woman such nonsense I can't lol I will give a child to the real father, now see how things r opened yet she use to bragging that I date with men with money 😂😂😂🤑🤑🤑
@@yama_virginhairthequeen1065 why are on another woman's neck as if you are holy yourself....mtcheeeew the DNA has confirmed that the kid belongs to diamond... none of you knows the truth but her and diamond...y' all need to stop celebrating other people's problems coz you don't kno what's waiting for you in the corner. Again stop hating
I think she was fooling around with different men than chose the one who has more money I feel bad for her son, He is the victim her maybe billnas is really dad all those men need a DNA
@@hahmadhabibu2076 she put her self in that position fooling around with different men she’s not a victim here, her son is because he will leave with this.
Wewe huoni diamond hata hamuongelei dylan tena? Ni tiffah, nillan na NJ mtoto wa tanasha ndo anawaona. Wakati alikuwa anamuona dylan hamisa alikuwa anapost lakini siku hizi yuko kimya.
Hivi kwa akili zako ulitaka Diamond atoke huko kwenye D.N. A. Aje huku mtaani kuwaropokea watu kuwa mtoto sio wake.. yeye mwenyewe huoi kuwa angepata aibu kubwa Sana kwa kulea mimba na mtoto wa mwanaume mwenzake? Mmh,
@@nightwishisthegreatestband6355 they're all in denial, it took diamond more than 29 years for everyone to know his real father. Hamisa is dying for fame the truth is out there no human can throw their blood away the clan is full
Ila mimi huyu mtt awe wa Nass awe wa Dai mimi NAMPENDA SANA HUYU MTT TENA MNO nyie wenyewe mama zenu wenda wanamacard mawl mawl mtt anafanana na mama yake na anamvuto wa kutosha Hamisa mwenyewe anakomwe n kujpenda 2 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Huyu mtoto ni yusufu. Anakitu ndani yake ndio maana anasakamwa sana iko siku mtakuja kuniambia. Hamisa amuombe mwanae tu Mungu amlinde anakitu ndani yake.
Naona hamisa amejishitukia tu lakini hakuna sehemu jina la Hamisa wala mtoto wake limetajwa na wala hakuna sehem Diamond na Bilinass wametajwa ila ukirusha jiwe gizani halafu ukasikia mayowe ujue kuna mtu limempata.
Una ushahidi dada au unapelekwa na maneno ya waja? Mimi pia sio fan wa Hamisa Ila weka kingojezi dhambi zingine zinaepukika tu. Bora ishu ingekua ya Hamisa peke yake na sio huyu mtoto w
Akuna Cha ushahidi,mtoto niwa bilnenga,watu wanajua,mamadangote anajua longtime ndio wamezima data pande za hamisa ata kumpost hafanyi Tena coz hawaezi post mtoto wa watu
Hamisa hujue hakuna kama mama duniani future ya Dylan unayowew .wewe umebahatika kuwa na maisha mazuri nahisi unaweza kumsomesha mwanao.mungu tuu amlinde amuepushe na maradhi na matatizo basi.mengine unaweza
Hamissa siku moja achukuwa mtu umoj ampek police wamfunge n wamchukulie hatuwa kali nina imani itakuw funzo kwa kila mtu anaependa kimsemea watoto wake vibaya🤦♀️🤦♀️🥺🥺🥺
Watu waache kujiingiza kwa mambo hayawahusu, mkumbuke mnampatia mtoto wakati mgumu mbeleni. Kumbukeni pia mna watoto jamani😒😒😒😒 Hamisa pia awachukulie hatua hawa 😢😢😢
Kwakweli mpoki muombe msamaha amisa umemkosea sana mtoto sio lazima kufanana na babake yake pole amisa Aya mambo nilisha pitia inaumiza sana unapewa baba wa mtoto ambaye ujawai ata kutoka Naye mungu ndo shaidi wa yote
Ila kuna kaukweli ndo maana nandy na hamisa wana ugonvi na kingine mpoki sio mtu wa kwanza kuongelea hiyo mada hata original east ashawahi kusema daylan ni wa nenga 😢😢😢😢😢😢😢
Kama kuna mtu anaweza pea wanaume mimba apee Mpoki abebe, azae ajue uchungu wa mwana ndo akifungua mdomo kuongelelea watoto wa wenyewe awe anajua uchungu wa kuzaa...mjinga tu😏😏
Si alisema DNA ilisema mtoto ni WA Mondi au Mimi nilisikia vby? Makasiriko ya nini? Si Mondi amempangia nyumba na kutoa child support? Mmmmmh Bongo vituko vingi
Mimi mwenyewe Yule mtoto nilivompitisha macho nikajisemea kimoyo moyo kwamba hapa #Diamond kashapigwa,na Diamond anavyo penda watoto wake asinge mtenga Yule mtoto,kiufupi #Hamisa ni mdangaji na alisingizia kwa #Mond hili apate uhakika wa maisha.
wewe shoga tu mtoto unamwona kwenye picha unatanua limkundu lako apa unaandika utoko we unauhakika huyo ulioambiwa babako ni babako mana mamako mwenyewe katombwa hovyo hovyo kama mbwa😷😷 katombeka ad na mbwa usikute wewe ni mtoto wa mbwa
@@dorcaskidoti249 weee wacha kutusi Tanasha ushai ona mtoto wake akinangwa na kutengwa na familia.....mbona mwijaku alijaribu ikabidii aombe msamaha in public.....mbona hamisa mwenyewe akijua mtoto ni wa dai mbona asi shtaki huyo mpoki
I feel bad for her son, maybe she was fooling around with different men, all those men need DNA test , but her son looks more like billnass. I feel bad for Nandy when yo married someone with backage that what you get.
DNA only can clear this and not you..u can't say he's not Simbas kid just bcz he doesn't look like him.Hamisa was in a relationship with Billnass when the boy was already 2yrs so he can't be the father of that boy.
@@millymack1370 hamisa said ithink it was last year that they did DNA but to my best of knowledge lazma Kuna mchezo ulichezwa pale to protect hamisa's brand and dai too kumbuka dai ni business man maybe aliwambia waseme ni positive ili amsitiri hamisa but to be honest Dylan isn't Nassib's kid if he is mbona familia inamtenga?
Binadamu tuwe nautu iyi mitandao inahifadhi uyu mtoto akikuwa atakuwa anayaona ivi madhara hamyaoni but inaweza kuja mu cost akiwa mukubwa akaja kukuwa akiwa nachuki ndanimwake mbeleni ,kwa mama yake iyi itapita ila mutoto huwa anaweka kumbukubu zisizo sahulika mmuache mtoto wawatu kila siku mama njo anaye mujuwa baba wamtoto
Nikwanini mtu mzima kuongelea mambo ya mtoto, halafu wakwako wanakushinda. Angekua nimimi ningelimpeleka court honestly...jamani hachaneni na huyo anaeshindwa kuwagaramia watoto wake mpuuzi...twendeni CZcams handika Riziki's kitchen....tunapika chakula tofauti...uki SUBSCRIBE halafu una comments baadae nitakutumia hela ununue chakula ulicho kipenda kwenye mapishi ya Riziki's kitchen twendeni basi I will never lie to you. Stay blessed
Akimpeleka mahakamani si DNA itaenda kufanywa? Na mtoto akionekana sio wa Diamond Hamisa si ataaibika sana? Nyie wanawake mnapenda kubambikizia watu wengne watoto ili tu mle mali zao. Ipo siku mtaangamia.
Ashawapa wanahabari headline watu jamani sivizuri haya subiri bilnas atafute Kwa interview na Nandera wetu duuh hatari baba uliota Nini mpaka ukaanzisha varangati hili Mungu tujalie heshima ya mdomo amin
Zinaa ni mbaya sana Allah atuepushe na watoto wa zinaa angekua kapatikana kihalali hayo yote hangeckika but all in all ishatokea wamuache jaman anaumia asamehewe bure plzz
Wewe mpoki ni mwanaume wa namna gani. Mwenyezimungu anakuona mpoki na atakuhukumu. Si vizuri kumsakama mtoto wa mdogo kama yule Mwenyezimungu atakuona.
Walimwengu kwa kufatilia ya wenzetu tuko vzr Alf wanaume mschokijua wenge mnaleleana watoto lkn mnajikuta mnajadili ya jiran yenu yanawshinda, mtoto akiwa wa nani kikubwa akue na awe na maisha mema inatosha
Mpoki nawe baba mzima acha umbea mtoto wa Hamisa anakuhusu nini? Baba wa mtoto anaemjua ni mama.Mpoki umeshakuwa mtu mzima sana acha ujinga wacha mtoto wa watu na maisha yao.
Na sio wambea tu hawa watu ni khatariii sana haijawahi kutokea ni wabaya hasa wana roho chafu sana...humjui mkubwa wala mdogo alieaoma hana tafauti na asiesoma loh.
Hamisa eeeh...sikiliza kupigwa vita ni kawaida isikusumbueee...ww ni mti wenye matunda zowea naweee......duh nilikuwa nawaamini sana hawa jamaa kila siku huongelea tz watu wana roho mbaya kumbe na wao ndio wale wale watu wazima ovyoooo ovyoo kabisaa ww dina wa kukaa kusikiliza upuuzi huuu??mpoki mtu ovyo sana mwanamme mzima dah sio sawa kweli.
Hawana lolote wanafki tu mbona hawauongelei swala la kifo Cha Kanumba tutajua kweli mahodari wa kuongelea maisha ya watu Mana mama Kanumba akiongea kuhusu mwanae kuuliwa wanasema anakosea hawajui uchungu wa Mwana wamuongelee aliyemuuwa Kanumba
@@mwanahamisrashid7787 we naeeee, Sasa kanumba aliyefariki watu wamtakie Nini?marehemu afatiliwe Ili iweje? Wew ulie hai ndo kazi utaibeba kwa wa Tanzania..hii ndio nchi bana daa!
Ila huyu mtt Allah atampa neema ktk hii dunia kubwa sana mana kila kukicha hawaishi kumzuilia uongo Yani uyu Mpoki amekosa komed zakufanya hadi akae kumzungumzia mtt mdogo kama huyo duuuh Mungu akulaani
Uhuru wa kuwaongelea watu umepita mipaka hakuna sheria za kulinda faragha za watu au zinapuuzwa, huu ni udhalilishaji kama kupeleka matatizo kwenye ndoa ya Billnass zio sawa
Mbona watangazaji wa siku hizi hawana maadili???Halafu vyombo vya sheria viko kimya.Mbona mama mwenye mtoto analea mtoto wake vizuri.MWANAUME KUWA MMBEYA NI AIBU.
Kina dada tamaa Itawaponza jaman daah! Pesa sio kila kitu jarbun kuwa wakwel kama n mtt wa bilnas basi wekn waz ili mue huru Kwan shida iko wapi?!?? Hata kama billnas ni maskn mbona sio shida
Leave the kid alone for God's sake 😔.... ule mtoto ni innocent ...mazee
Iwe kweli au uongo mtoto anakosa gani?what goes around comes around mpoki
Ata mimi sijapenda kabisa
Uyu Mtt Ni Kama Yusuphu Mwenyezi Mungu Azidi Kumpigania🙏🏿🙏🏿
Amen hawajui ndiyo kijacho
Hasbunallah waniimal wakiil. Allah atawashinda shari zenu. Allah amkuze Dylan kwa afya na nguvu in sha Allah na amhifadhi na shari za viumbe
Kila siku mtoto anabadilishiwa mababa,not fair for her and her son!
Hambadilishi mababa ila watu ndo wanalazimisha awe na baba mwingine alafu sio vizuri kumsakama huyu mtoto bado mdogo sana hajui chochote
Mpoki imeisha iyoooo tumesha muelewa kbs mpoki kasha mwaga yoooote aisee🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Huyu mtoto Allah amhifadhi maana si kwa kumsakama huko
Ameen yaarab
kumbe wakina juma lokole ni wengi ila mpoki 😂😂😂🙌🏻
Mbona hakuongelea ishu ya masanja mkewe kutembea na katibu kama yeye msemaji kweli
@@OmanOman-ik9sp 🤣🤣🤣
Ndo maana nilikuwa najiuliza chuki ya Nandy na Hamisa inatokea wapi
Mmh nawe
Oooh Kumbe wana chuki! 😂
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
Chuki gani 🙄🙄yani watu 🤦🏽♂️hamkosi la kusema aisee.. si walikua harusini pamoja awa😏chuki unayo wewe 🚮
@@Moregun619 eti eeh
That boy will come out a very strong man na mtaaibika sana,,,let the boy grow jamani it's too much for him now subiri akomee
It's True
wala Mpoki hajataja jina la mtu yeyote hapo. tetesi na fununu hazisajiliki mahakamani
Mwenyezi mungu yuko ata kusimamia wewe na watoto wako inshallah ukweli una ujua wewe na mungu wako binadamu kusema ni kazi yao take care misha wangu
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
ila kama wana fanana kweli na billnas🤣🙏
Kabisaa🤣🤣🤣
@@salomewandya7257 kama ni kweli bc kazi ipo🤣
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
Diamond apime dam ....mtoto hamfanani kabisa
Wanawake Wajifunze Kubeba Mimba Na Kumpa Baba Wa Mimba Iyo Mtoto Nasio Kufanya Mapenzi Na Watu Wengi Alafu Ujue Yupi Baba Wa Kweli Kwa Mtoto Umalaya Sio Ishu
Kwan hamisa kakwambia hamjui baba wa mtoto wake au unaota hao waudaku ndo wanaopenda kuharibia watu future kuwachafua wenzao hata ulale na wanaume tele ila baba utamjua tu
The kid is innocent but then the truth is bitter,mpoki hajamtaja mtu afu mbona familia inamtenga mtoto? Yote hayo watayajua wenyewe sisi haituhusu
Jamani hebu muachen mtoto naraika wa Mungu sio vizuri pia haiwahusu jamani kwanini kutwa kimsakama hamisa Nini shida lakini hamisa mungu akunzuie mwanao mbona zambi zipo nyingi kwahiyo hamisa ndio mtenda maovu hapa chini ya jua khaa jaman
Wallahi huu mtoto wa hamissa anatia imani haki kila siku kumjadili kuhusu baba😔💔
Ndo u Star waliotaka
Ndio ustar,,,si wanautaka
Sema angekuwa Hana Mambo mengi akuna mtu angemuhisi vibaya uyo mtoto
Mboki umezidi umbea
Mwenyezi Mungu amesema kama unasema aibu za mwenzio kwanza Anza kunadi zako alafu ndio useme zako
Ila mpoki kasema kweli yule mtoto wa Billnass copy
Ata kama ni ukweli inamuhusu nini, uyu ametumwaa
Ivi wewe baba yako ana uhakika kuwa we we niwake? Au unasapoti ujinga
@@aisharamadan3620 wanawake muache kupanic, mtoto wa nje akizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wako mbona ivi vitu vipo tu....ila Kwa Nini familia ya dai haimtaki Dylan?
Ndio maana tumekatazwa uzinzi,,maana siku hizi watu wanafurahia uzinzi tu,na kuzaa ovyo .ovyoo,,,ndio maisha mliochagua ya ustar, mtasemwa kila siku
We mwehu uzinzi upi unaozungumzia hapa!
@@claudia1500 prostitution
Kweli kabisa uzinzi mbaya
@@claudia1500 kupata watoto wasio wa harari,awajurikani,duniani,wala akhera, yaani mitoto yazinifu,isiyo na baba,haswa kwetu waislam,,mtoto ukizaanje yandoa,uyo ana baba,wala achukui urithi waina yoyote,wara ato pewa ubini,wa baba,atachukuwa ubini wa upande wa mama yake,iyo ndo faida yakuzaa mitoto ya zinaaaa,au uzizi,kiufupi mama ndoashuhurikiye marezi ya mwanae,baba hausiki,wara apati zambi,zambi zake zipo kwenye uzinifu tu
@@claudia1500 unzinzi,ni kufanya tendo la ndoa lisiro laali
I think missa she's golddigger and this will not turn out well
SHE IS INDEED BUT IS PAY BACK TIME NOTHING STAY HIDDEN 4EVER as a woman such nonsense I can't lol I will give a child to the real father, now see how things r opened yet she use to bragging that I date with men with money 😂😂😂🤑🤑🤑
@@yama_virginhairthequeen1065 they did DNA en it prove he is diamond's son stop talking nonsense if u know nothing
@@yama_virginhairthequeen1065 why are on another woman's neck as if you are holy yourself....mtcheeeew the DNA has confirmed that the kid belongs to diamond... none of you knows the truth but her and diamond...y' all need to stop celebrating other people's problems coz you don't kno what's waiting for you in the corner. Again stop hating
I think she was fooling around with different men than chose the one who has more money I feel bad for her son, He is the victim her maybe billnas is really dad all those men need a DNA
@@hahmadhabibu2076 she put her self in that position fooling around with different men she’s not a victim here, her son is because he will leave with this.
As long as DNA imeshatuhakikishia baba wa mtoto doesn’t matter DNA zawatu wenye roho mbaya zirndelee kufanya research…🤣🤣
Wewe huoni diamond hata hamuongelei dylan tena? Ni tiffah, nillan na NJ mtoto wa tanasha ndo anawaona. Wakati alikuwa anamuona dylan hamisa alikuwa anapost lakini siku hizi yuko kimya.
@@nightwishisthegreatestband6355ni wababa wangapi tunajua hawaongelee watoto wao na wamajua kama ni damu yao.😂🤣
Hivi kwa akili zako ulitaka Diamond atoke huko kwenye D.N. A. Aje huku mtaani kuwaropokea watu kuwa mtoto sio wake.. yeye mwenyewe huoi kuwa angepata aibu kubwa Sana kwa kulea mimba na mtoto wa mwanaume mwenzake? Mmh,
@@nightwishisthegreatestband6355 they're all in denial, it took diamond more than 29 years for everyone to know his real father. Hamisa is dying for fame the truth is out there no human can throw their blood away the clan is full
@@idayattijani5341 exactly
Ila mimi huyu mtt awe wa Nass awe wa Dai mimi NAMPENDA SANA HUYU MTT TENA MNO nyie wenyewe mama zenu wenda wanamacard mawl mawl mtt anafanana na mama yake na anamvuto wa kutosha Hamisa mwenyewe anakomwe n kujpenda 2 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hii ndio shida ya umalaya, leo bwana huyu kesho yule, matokeo yake ndio haya.
Malaya ni shida, umalaya ni shida.
Bado mnazaa nyie wanaume si umalaya kuamua kuzaa si umalaya
Hata wewe unaweza ukakuta mamaako malaya
Mungu amuweke huyu mtoto atuweke na mashuhuda ipo siku akikuwa baba yake atajitokeza kama baba wa ommydimpoz mungu si mjomba wa mtu
Kweli kabisa
Nimecheka kwa sauti eti mboga kuku kuangalia kwenye chungu kambale🦈🤣🤣
😂😂😂kama mimi vile mbona mbona kuku kuangalia kwenye chungu mbona kambale
😂😂😂😂
Huyu mtoto ni yusufu. Anakitu ndani yake ndio maana anasakamwa sana iko siku mtakuja kuniambia. Hamisa amuombe mwanae tu Mungu amlinde anakitu ndani yake.
Yusuf gani dear?
@@NR-ll4sr jaman mistari ya kwenye bibilia
@@marthaonesmo7105 khaaa dear mtume unamfananisha kwenye mambo ya zinaa? Mungu wangu
@@NR-ll4sr 😂😂😂😂
Yusuph nje ya ndoa!
Uweeh machozi ya zari problem is that the boy is innocent 😭
Skili yako ni zoba na nyie saa zingine ushabiki unawafanya kuwa mazoba zari ni nani si hawara tutaongea
Naona hamisa amejishitukia tu lakini hakuna sehemu jina la Hamisa wala mtoto wake limetajwa na wala hakuna sehem Diamond na Bilinass wametajwa ila ukirusha jiwe gizani halafu ukasikia mayowe ujue kuna mtu limempata.
Bitter truth 🤣🤣🤣Hamisa you will live with this blame forever just coz of you greed poleeeeeeeee😂😂😂😂😂😂tamaa iliua fisi.
Una ushahidi dada au unapelekwa na maneno ya waja? Mimi pia sio fan wa Hamisa Ila weka kingojezi dhambi zingine zinaepukika tu. Bora ishu ingekua ya Hamisa peke yake na sio huyu mtoto w
@@lifeofyuri4020 dhambi kaifanya yeye mwanzo,,,kuzini tuuu
Weee nenda darasani kwanza kajifunze kiswahili afu ndo uje uandike utopolo wako.
@@NR-ll4sr wewe ni wivu unakusumbua utakua umetendwa bwana ako anapenda vya nje... Mapenzi yanakutesa
Akuna Cha ushahidi,mtoto niwa bilnenga,watu wanajua,mamadangote anajua longtime ndio wamezima data pande za hamisa ata kumpost hafanyi Tena coz hawaezi post mtoto wa watu
Bitter truth ukweli ni chungu kabsaa
njaa iyo umbea 2 alf a2kupendagi sana
Ukweli UPI? Kule kwa jagwa mumesha mtoa?
@@shakilaburhan9552 mwenye macho haambiwi tazama hapo Dai kapigwa na kitu kizito tupende ukweli
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu amenichekesha, yaani mi ni mkenya, ila Watz😁
Karibu tanzania😂😂
Hamisa hujue hakuna kama mama duniani future ya Dylan unayowew .wewe umebahatika kuwa na maisha mazuri nahisi unaweza kumsomesha mwanao.mungu tuu amlinde amuepushe na maradhi na matatizo basi.mengine unaweza
🤣🤣🤣 eti akivaa high heels kaenda hewani, akivaa ndala andunje.
Ni kweli kabisa uyo mtoto ana fanana saana na Billnass kabisa duuh
Hamissa siku moja achukuwa mtu umoj ampek police wamfunge n wamchukulie hatuwa kali nina imani itakuw funzo kwa kila mtu anaependa kimsemea watoto wake vibaya🤦♀️🤦♀️🥺🥺🥺
Polisi hawafungi watu kizembe hivyo, kwanza hajatajwa kwann kapanic?
Watu waache kujiingiza kwa mambo hayawahusu, mkumbuke mnampatia mtoto wakati mgumu mbeleni. Kumbukeni pia mna watoto jamani😒😒😒😒 Hamisa pia awachukulie hatua hawa 😢😢😢
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
Kwakweli mpoki muombe msamaha amisa umemkosea sana mtoto sio lazima kufanana na babake yake pole amisa Aya mambo nilisha pitia inaumiza sana unapewa baba wa mtoto ambaye ujawai ata kutoka Naye mungu ndo shaidi wa yote
Mmmm kwani hawana vyakuongea
Hakuna mwanamke siye jua baba wamtoto wake janaume zima limekosa kazi linaogelea mtoto mdogo kwani wewe huzalishi uongelee wakwako
Ila kuna kaukweli ndo maana nandy na hamisa wana ugonvi na kingine mpoki sio mtu wa kwanza kuongelea hiyo mada hata original east ashawahi kusema daylan ni wa nenga 😢😢😢😢😢😢😢
Nenga kama nenga 🤣🤣🤣
Nambie koma😳😳😳
Kweli kuna kaukweli
Mulianzaga na Jaguar mkahamia kwa Nenga,binadamu nyie...
Hakuna ukweli uyo mtoto ata diamond alikua haamin kua mtoto sio wake akaenda kupima DNA
Spendi mtu kusema watoto wallah
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
Huyu mpoki 😂😂😂
Ila na Haka ka Hamisa Kalikuwa ka Malaya Kimya kimya. 🤔🙄
Wewe hatari ni malaya mbwa wallah 😏
Kama kuna mtu anaweza pea wanaume mimba apee Mpoki abebe, azae ajue uchungu wa mwana ndo akifungua mdomo kuongelelea watoto wa wenyewe awe anajua uchungu wa kuzaa...mjinga tu😏😏
Ndo shida ya kudanga na kuzaa kama mbwa😹 utasemwa kila siku
Sana alafu hakutajwa jina huyo Hamisa si nasikia ana wtt 3 ebooooo umalaya tu wakome
Si alisema DNA ilisema mtoto ni WA Mondi au Mimi nilisikia vby? Makasiriko ya nini? Si Mondi amempangia nyumba na kutoa child support? Mmmmmh Bongo vituko vingi
Mimi mwenyewe Yule mtoto nilivompitisha macho nikajisemea kimoyo moyo kwamba hapa #Diamond kashapigwa,na Diamond anavyo penda watoto wake asinge mtenga Yule mtoto,kiufupi #Hamisa ni mdangaji na alisingizia kwa #Mond hili apate uhakika wa maisha.
wewe shoga tu mtoto unamwona kwenye picha unatanua limkundu lako apa unaandika utoko we unauhakika huyo ulioambiwa babako ni babako mana mamako mwenyewe katombwa hovyo hovyo kama mbwa😷😷 katombeka ad na mbwa usikute wewe ni mtoto wa mbwa
My wacha adange mbona Tanasha mtt wake hajalanwa umalaya nakuona kuzaa ovyoovyo ndo umarufu
@@dorcaskidoti249 weee wacha kutusi Tanasha ushai ona mtoto wake akinangwa na kutengwa na familia.....mbona mwijaku alijaribu ikabidii aombe msamaha in public.....mbona hamisa mwenyewe akijua mtoto ni wa dai mbona asi shtaki huyo mpoki
Huyo mangi aliyefunga ndoa ni nani sasa
Jamani kwani si walifanya DNA?
Ni kweli sio wa Diamond.
Ni wa babako...
Ivi awa watu wenye umri kama huu wanamsakama hamisa ama kweli dunia mmh
So sad 😢 ila mungu ambaliki Dylan ila kwani mtoto lazima afanane nae Kama mdomo kachukua wa babu yake maana baba yake diamond Hana domo wamuache Dylan
To be honest that boy is not simba blood ,that boy looks like Billnass
I feel bad for her son, maybe she was fooling around with different men, all those men need DNA test , but her son looks more like billnass. I feel bad for Nandy when yo married someone with backage that what you get.
Kweli kabisa
DNA only can clear this and not you..u can't say he's not Simbas kid just bcz he doesn't look like him.Hamisa was in a relationship with Billnass when the boy was already 2yrs so he can't be the father of that boy.
Mlichokaga kulalamika kua niwa Jaguar sasa mnakua kwa Billnas,yaan binadamu hata shetani mmemshinda tabia...
@@millymack1370 hamisa said ithink it was last year that they did DNA but to my best of knowledge lazma Kuna mchezo ulichezwa pale to protect hamisa's brand and dai too kumbuka dai ni business man maybe aliwambia waseme ni positive ili amsitiri hamisa but to be honest Dylan isn't Nassib's kid if he is mbona familia inamtenga?
Mpoki ni commedian kwahiyo hapo hajakosea yuko kwenye fani yake acheni makasiriko,
hamisa kakasirika ni ukweli
TATIZO LA MAMA KULALWA LALWA MATOKEO YAKE MTOTO ANANYANYASIKA,KISAIKOLOJIA.
Kalalwe na ww wakuzungumzie redion😂
Binadamu tuwe nautu iyi mitandao inahifadhi uyu mtoto akikuwa atakuwa anayaona ivi madhara hamyaoni but inaweza kuja mu cost akiwa mukubwa akaja kukuwa akiwa nachuki ndanimwake mbeleni ,kwa mama yake iyi itapita ila mutoto huwa anaweka kumbukubu zisizo sahulika mmuache mtoto wawatu kila siku mama njo anaye mujuwa baba wamtoto
kawajibu vizur mpoke mlopokaji sana kama mwanamke
Nikwanini mtu mzima kuongelea mambo ya mtoto, halafu wakwako wanakushinda. Angekua nimimi ningelimpeleka court honestly...jamani hachaneni na huyo anaeshindwa kuwagaramia watoto wake mpuuzi...twendeni CZcams handika Riziki's kitchen....tunapika chakula tofauti...uki SUBSCRIBE halafu una comments baadae nitakutumia hela ununue chakula ulicho kipenda kwenye mapishi ya Riziki's kitchen twendeni basi I will never lie to you. Stay blessed
Mmmh kweli
Peleka umaviiiiiiii huko 🖕
Akimpeleka mahakamani si DNA itaenda kufanywa? Na mtoto akionekana sio wa Diamond Hamisa si ataaibika sana?
Nyie wanawake mnapenda kubambikizia watu wengne watoto ili tu mle mali zao. Ipo siku mtaangamia.
Halafu mahakamani anampeleka anaushahidi gan kama aliyekuwa anasemwa ni yy?
Huenda hujui Nini maana ya umalaya ....
Tatizo njaa zinawapeleka pabaya imefikia hatua mnalopoka tu kama mnaongelea kwenye makalio mda wote kufatilia maisha ya watu
Amina nakustaur huyu usimnyamazie nenda nae mbelekwambele mpaka kieleweke ukiskia wanaume wastage ndio hawa
@@mwanaidrashid5226 mambo
Kwel tulikuwa tumefugwa macho aka katot kanafanana nenga😂, asante kwa mpoki hakeeeee 🤣🤣🤣
Nyiieeee 🤣🤣
Leo kafanana na nenga Siyo tena wa jaguar ? Wabongo mungu awasamehe
Mpoki kasema ukweli
Ashawapa wanahabari headline watu jamani sivizuri haya subiri bilnas atafute Kwa interview na Nandera wetu duuh hatari baba uliota Nini mpaka ukaanzisha varangati hili Mungu tujalie heshima ya mdomo amin
Live her alone this is kids
czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html
Take this man to court
Tatizo ni mmomonyoko wa maadili, na madhambi yenu yakitajwa mnakasirika. Jirekebisheni na acheni uzinzi
Mbona na ww walizinigi ndo ukapatikana,mniachie Hamisa wangu you fools...
@@hopechidera Hahahaha! Hamisa wako! Tangu lini? You just jerk off to her pics on Instagram! Unakula kwa macho tuu!! HAHHAHAHAAAAA!
@@blackyoungmaestro ni Hamisa wangu kama yanakuuma ukajinyonge idiot...
@@hopechidera Hahahaha! Chill out bro, nazingua tu. You sound like a real fan
Unakosea sanaa dada wa wawatu anaga maneno na mtu nawala anaga taimu na mtu
Mwacheni mtoto wa hamissa jamani
Assassination of character.....
True, Hamisa needs to sue Mpoki & EFM.
She should sue them if she's not guilty
Mtamfananisha na wengi sana lakini hawahusu mwacheni dada wa watu na watoto wake.
Watt wanauma sn hasa wenye kukataliwa upande wa baba ht ikiwa wao,afu na hayo munomuongezee mmhh .chozi la mwanamke baya sn ,pole misa wa mm
Zinaa ni mbaya sana Allah atuepushe na watoto wa zinaa angekua kapatikana kihalali hayo yote hangeckika but all in all ishatokea wamuache jaman anaumia asamehewe bure plzz
Wewe mpoki ni mwanaume wa namna gani. Mwenyezimungu anakuona mpoki na atakuhukumu. Si vizuri kumsakama mtoto wa mdogo kama yule Mwenyezimungu atakuona.
Lakini mtoto wa hamisa anafanana sana na nenga wa nandy
Sikuhizi hafanani tena na jagwa?
Eu também não vou aguentar isso
Wewe mpoki unamchokoza hamisa mobeto#lisura lenyewe libaya hivi
Walimwengu kwa kufatilia ya wenzetu tuko vzr Alf wanaume mschokijua wenge mnaleleana watoto lkn mnajikuta mnajadili ya jiran yenu yanawshinda, mtoto akiwa wa nani kikubwa akue na awe na maisha mema inatosha
Mabinti ifikeahala msiwanyime wahusika watoto wao na kuwagawia watu wengine kisa pesa mnawanyima haki zao watoto baba ni baba tu
Mpoki nawe baba mzima acha umbea mtoto wa Hamisa anakuhusu nini? Baba wa mtoto anaemjua ni mama.Mpoki umeshakuwa mtu mzima sana acha ujinga wacha mtoto wa watu na maisha yao.
😅😅😅😢😢😢aki Tanzania wambea 😂
Wanaume wa ki Tanzania nikama wanawake
@@michelinemapendo6652 😂😂😂
Na sio wambea tu hawa watu ni khatariii sana haijawahi kutokea ni wabaya hasa wana roho chafu sana...humjui mkubwa wala mdogo alieaoma hana tafauti na asiesoma loh.
@@shamsahaji6202 kweli napenda kwetu kenya hakuna brama kumetulia yani iko poa sana
Ukweliii mchunguuuuuuuuuuuuuu
Wenaye❤❤❤❤❤❤
Mmh jamani makubwa haya du! Kumbe , haya yetu macho.
Kwa nini amejibu mobeto wakati mpoki hakuongelea majina yoyote ...
Huyu mpoki ndoo aloleta balaa lote hili kama ningekuwa hamisa ninge mshita wallah mpoki
Boss wangu unasifika kwa mdomo😂😂
😂😂
Hamisa eeeh...sikiliza kupigwa vita ni kawaida isikusumbueee...ww ni mti wenye matunda zowea naweee......duh nilikuwa nawaamini sana hawa jamaa kila siku huongelea tz watu wana roho mbaya kumbe na wao ndio wale wale watu wazima ovyoooo ovyoo kabisaa ww dina wa kukaa kusikiliza upuuzi huuu??mpoki mtu ovyo sana mwanamme mzima dah sio sawa kweli.
Hawana lolote wanafki tu mbona hawauongelei swala la kifo Cha Kanumba tutajua kweli mahodari wa kuongelea maisha ya watu Mana mama Kanumba akiongea kuhusu mwanae kuuliwa wanasema anakosea hawajui uchungu wa Mwana wamuongelee aliyemuuwa Kanumba
@@mwanahamisrashid7787 we naeeee, Sasa kanumba aliyefariki watu wamtakie Nini?marehemu afatiliwe Ili iweje? Wew ulie hai ndo kazi utaibeba kwa wa Tanzania..hii ndio nchi bana daa!
Hata mwendawazim anajuwaga baba wamtotowake 😜😜😜😜😜
Ila huyu mtt Allah atampa neema ktk hii dunia kubwa sana mana kila kukicha hawaishi kumzuilia uongo Yani uyu Mpoki amekosa komed zakufanya hadi akae kumzungumzia mtt mdogo kama huyo duuuh Mungu akulaani
Uhuru wa kuwaongelea watu umepita mipaka hakuna sheria za kulinda faragha za watu au zinapuuzwa, huu ni udhalilishaji kama kupeleka matatizo kwenye ndoa ya Billnass zio sawa
We vipi ww huyo maarufu ataongelewa tu
Mwanaume yoyote yule akimta mwanamke na mwanamke akimkataa nilazima amletee maneno mabaya ili amuharibie hasara na wewe mwanamke unae sapoti ujuwe kuwa jua litakuwakia tena unasema kuwa unauhakika subhanaallah jamani kesho utaulizwa 💔💔💔
Sijawahi mpenda mpoki ht siku moja tena uombe msamaha kwauliyoyaongea mpoki hakuna mtu anaweza kufurahia nahili swala umuache hamisa
Mpoki hajamtaja mtu jamani mbona makasiriko hamisa? inawezekana kuna ukweli maana hajakutaja weww
Kikweli hamisa ni malaya sana wanajeshi ndo wanajopigia na shida ni tamaa ya pesa
Mbona watangazaji wa siku hizi hawana maadili???Halafu vyombo vya sheria viko kimya.Mbona mama mwenye mtoto analea mtoto wake vizuri.MWANAUME KUWA MMBEYA NI AIBU.
Kina dada tamaa Itawaponza jaman daah! Pesa sio kila kitu jarbun kuwa wakwel kama n mtt wa bilnas basi wekn waz ili mue huru Kwan shida iko wapi?!?? Hata kama billnas ni maskn mbona sio shida
Watu wazima ovyo kabisaa 😏😏😏
The mother is too selfish 😏😏😏😏😏why put your little one in all drama
You have said it all my dear
Ifike hatua hamisa wampumzishe mbona Dada wa watu yuko busy na mambo yake tena kuongelea mtoto ambaye hana hatia jamani Binadamu tuoneane huruma 🙏🙏
Baada ya harmonize atimaye wamehamia kwa hamisa mobeto
Kwenye vipindi vyenu jitaidini kuongea vitu vya msingi na sio kuaribu maisha ya watu ktk ilo hamko sahihi kabisa
Inaweza kuwa kweli wanawake wa kibongo wanatamaa sn yaani wanapenda kamseleleko vibaya mno
Daaaa hi ni noma sana
Ningekua Mimi Hamisa,nisingewajibu wapumbavu tu hao