HAMISA amrarua MPOKI baada kuongea redioni kuwa DYLAN si mtoto wa DIAMOND ni wa BILLNASS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 625

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 Před rokem +58

    Leave the kid alone for God's sake 😔.... ule mtoto ni innocent ...mazee

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před rokem +43

    Iwe kweli au uongo mtoto anakosa gani?what goes around comes around mpoki

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 Před rokem +54

    Ata mimi sijapenda kabisa

  • @ericahenock1867
    @ericahenock1867 Před rokem +16

    Uyu Mtt Ni Kama Yusuphu Mwenyezi Mungu Azidi Kumpigania🙏🏿🙏🏿

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před rokem +13

    Hasbunallah waniimal wakiil. Allah atawashinda shari zenu. Allah amkuze Dylan kwa afya na nguvu in sha Allah na amhifadhi na shari za viumbe

  • @jemimabakari
    @jemimabakari Před rokem +37

    Kila siku mtoto anabadilishiwa mababa,not fair for her and her son!

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 Před rokem

      Hambadilishi mababa ila watu ndo wanalazimisha awe na baba mwingine alafu sio vizuri kumsakama huyu mtoto bado mdogo sana hajui chochote

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před rokem +7

    Mpoki imeisha iyoooo tumesha muelewa kbs mpoki kasha mwaga yoooote aisee🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @hanifaalbalushi2483
    @hanifaalbalushi2483 Před rokem +48

    Huyu mtoto Allah amhifadhi maana si kwa kumsakama huko

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +19

    kumbe wakina juma lokole ni wengi ila mpoki 😂😂😂🙌🏻

    • @OmanOman-ik9sp
      @OmanOman-ik9sp Před rokem +3

      Mbona hakuongelea ishu ya masanja mkewe kutembea na katibu kama yeye msemaji kweli

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 Před rokem

      @@OmanOman-ik9sp 🤣🤣🤣

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před rokem +29

    Ndo maana nilikuwa najiuliza chuki ya Nandy na Hamisa inatokea wapi

    • @aisha.abdallah.3979
      @aisha.abdallah.3979 Před rokem +1

      Mmh nawe

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Oooh Kumbe wana chuki! 😂

    • @Africansiswatching
      @Africansiswatching Před rokem

      czcams.com/video/UrLH1GdaCvk/video.html

    • @Moregun619
      @Moregun619 Před rokem

      Chuki gani 🙄🙄yani watu 🤦🏽‍♂️hamkosi la kusema aisee.. si walikua harusini pamoja awa😏chuki unayo wewe 🚮

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 Před rokem

      @@Moregun619 eti eeh

  • @carrenkenny717
    @carrenkenny717 Před rokem +5

    That boy will come out a very strong man na mtaaibika sana,,,let the boy grow jamani it's too much for him now subiri akomee

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI Před rokem +21

    wala Mpoki hajataja jina la mtu yeyote hapo. tetesi na fununu hazisajiliki mahakamani

  • @munam7104
    @munam7104 Před rokem +9

    Mwenyezi mungu yuko ata kusimamia wewe na watoto wako inshallah ukweli una ujua wewe na mungu wako binadamu kusema ni kazi yao take care misha wangu

  • @naslee1010
    @naslee1010 Před rokem +17

    ila kama wana fanana kweli na billnas🤣🙏

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +14

    Wanawake Wajifunze Kubeba Mimba Na Kumpa Baba Wa Mimba Iyo Mtoto Nasio Kufanya Mapenzi Na Watu Wengi Alafu Ujue Yupi Baba Wa Kweli Kwa Mtoto Umalaya Sio Ishu

    • @adejoahjoah9155
      @adejoahjoah9155 Před rokem +1

      Kwan hamisa kakwambia hamjui baba wa mtoto wake au unaota hao waudaku ndo wanaopenda kuharibia watu future kuwachafua wenzao hata ulale na wanaume tele ila baba utamjua tu

  • @abdallahyusuf5874
    @abdallahyusuf5874 Před rokem +12

    The kid is innocent but then the truth is bitter,mpoki hajamtaja mtu afu mbona familia inamtenga mtoto? Yote hayo watayajua wenyewe sisi haituhusu

  • @happymwaseba5878
    @happymwaseba5878 Před rokem +7

    Jamani hebu muachen mtoto naraika wa Mungu sio vizuri pia haiwahusu jamani kwanini kutwa kimsakama hamisa Nini shida lakini hamisa mungu akunzuie mwanao mbona zambi zipo nyingi kwahiyo hamisa ndio mtenda maovu hapa chini ya jua khaa jaman

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +81

    Wallahi huu mtoto wa hamissa anatia imani haki kila siku kumjadili kuhusu baba😔💔

    • @TradingPHD
      @TradingPHD Před rokem +4

      Ndo u Star waliotaka

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem +2

      Ndio ustar,,,si wanautaka

    • @geoufo2858
      @geoufo2858 Před rokem +2

      Sema angekuwa Hana Mambo mengi akuna mtu angemuhisi vibaya uyo mtoto

    • @mishelamomade1664
      @mishelamomade1664 Před rokem +2

      Mboki umezidi umbea

    • @mishelamomade1664
      @mishelamomade1664 Před rokem +2

      Mwenyezi Mungu amesema kama unasema aibu za mwenzio kwanza Anza kunadi zako alafu ndio useme zako

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +15

    Ila mpoki kasema kweli yule mtoto wa Billnass copy

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 Před rokem

      Ata kama ni ukweli inamuhusu nini, uyu ametumwaa

    • @aisharamadan3620
      @aisharamadan3620 Před rokem +2

      Ivi wewe baba yako ana uhakika kuwa we we niwake? Au unasapoti ujinga

    • @abdallahyusuf5874
      @abdallahyusuf5874 Před rokem

      @@aisharamadan3620 wanawake muache kupanic, mtoto wa nje akizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wako mbona ivi vitu vipo tu....ila Kwa Nini familia ya dai haimtaki Dylan?

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem +50

    Ndio maana tumekatazwa uzinzi,,maana siku hizi watu wanafurahia uzinzi tu,na kuzaa ovyo .ovyoo,,,ndio maisha mliochagua ya ustar, mtasemwa kila siku

    • @claudia1500
      @claudia1500 Před rokem +2

      We mwehu uzinzi upi unaozungumzia hapa!

    • @idayattijani5341
      @idayattijani5341 Před rokem +1

      @@claudia1500 prostitution

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Před rokem +7

      Kweli kabisa uzinzi mbaya

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Před rokem +1

      @@claudia1500 kupata watoto wasio wa harari,awajurikani,duniani,wala akhera, yaani mitoto yazinifu,isiyo na baba,haswa kwetu waislam,,mtoto ukizaanje yandoa,uyo ana baba,wala achukui urithi waina yoyote,wara ato pewa ubini,wa baba,atachukuwa ubini wa upande wa mama yake,iyo ndo faida yakuzaa mitoto ya zinaaaa,au uzizi,kiufupi mama ndoashuhurikiye marezi ya mwanae,baba hausiki,wara apati zambi,zambi zake zipo kwenye uzinifu tu

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Před rokem +2

      @@claudia1500 unzinzi,ni kufanya tendo la ndoa lisiro laali

  • @abuomary8715
    @abuomary8715 Před rokem +12

    I think missa she's golddigger and this will not turn out well

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Před rokem +3

      SHE IS INDEED BUT IS PAY BACK TIME NOTHING STAY HIDDEN 4EVER as a woman such nonsense I can't lol I will give a child to the real father, now see how things r opened yet she use to bragging that I date with men with money 😂😂😂🤑🤑🤑

    • @zenarupia544
      @zenarupia544 Před rokem +2

      @@yama_virginhairthequeen1065 they did DNA en it prove he is diamond's son stop talking nonsense if u know nothing

    • @hahmadhabibu2076
      @hahmadhabibu2076 Před rokem

      @@yama_virginhairthequeen1065 why are on another woman's neck as if you are holy yourself....mtcheeeew the DNA has confirmed that the kid belongs to diamond... none of you knows the truth but her and diamond...y' all need to stop celebrating other people's problems coz you don't kno what's waiting for you in the corner. Again stop hating

    • @neemanabushosi1445
      @neemanabushosi1445 Před rokem +2

      I think she was fooling around with different men than chose the one who has more money I feel bad for her son, He is the victim her maybe billnas is really dad all those men need a DNA

    • @neemanabushosi1445
      @neemanabushosi1445 Před rokem +1

      @@hahmadhabibu2076 she put her self in that position fooling around with different men she’s not a victim here, her son is because he will leave with this.

  • @zuwenaadja2261
    @zuwenaadja2261 Před rokem +14

    As long as DNA imeshatuhakikishia baba wa mtoto doesn’t matter DNA zawatu wenye roho mbaya zirndelee kufanya research…🤣🤣

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před rokem +4

      Wewe huoni diamond hata hamuongelei dylan tena? Ni tiffah, nillan na NJ mtoto wa tanasha ndo anawaona. Wakati alikuwa anamuona dylan hamisa alikuwa anapost lakini siku hizi yuko kimya.

    • @zuwenaadja2261
      @zuwenaadja2261 Před rokem +1

      @@nightwishisthegreatestband6355ni wababa wangapi tunajua hawaongelee watoto wao na wamajua kama ni damu yao.😂🤣

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem +1

      Hivi kwa akili zako ulitaka Diamond atoke huko kwenye D.N. A. Aje huku mtaani kuwaropokea watu kuwa mtoto sio wake.. yeye mwenyewe huoi kuwa angepata aibu kubwa Sana kwa kulea mimba na mtoto wa mwanaume mwenzake? Mmh,

    • @idayattijani5341
      @idayattijani5341 Před rokem +2

      @@nightwishisthegreatestband6355 they're all in denial, it took diamond more than 29 years for everyone to know his real father. Hamisa is dying for fame the truth is out there no human can throw their blood away the clan is full

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 Před rokem +1

      @@idayattijani5341 exactly

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Před rokem +1

    Ila mimi huyu mtt awe wa Nass awe wa Dai mimi NAMPENDA SANA HUYU MTT TENA MNO nyie wenyewe mama zenu wenda wanamacard mawl mawl mtt anafanana na mama yake na anamvuto wa kutosha Hamisa mwenyewe anakomwe n kujpenda 2 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před rokem +7

    Hii ndio shida ya umalaya, leo bwana huyu kesho yule, matokeo yake ndio haya.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      Malaya ni shida, umalaya ni shida.

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 Před rokem

      Bado mnazaa nyie wanaume si umalaya kuamua kuzaa si umalaya

    • @juliejulie8704
      @juliejulie8704 Před rokem

      Hata wewe unaweza ukakuta mamaako malaya

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před rokem +6

    Mungu amuweke huyu mtoto atuweke na mashuhuda ipo siku akikuwa baba yake atajitokeza kama baba wa ommydimpoz mungu si mjomba wa mtu

  • @dottohami
    @dottohami Před rokem +9

    Nimecheka kwa sauti eti mboga kuku kuangalia kwenye chungu kambale🦈🤣🤣

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před rokem

      😂😂😂kama mimi vile mbona mbona kuku kuangalia kwenye chungu mbona kambale

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Před rokem

      😂😂😂😂

  • @vanessarobyn4584
    @vanessarobyn4584 Před rokem +23

    Huyu mtoto ni yusufu. Anakitu ndani yake ndio maana anasakamwa sana iko siku mtakuja kuniambia. Hamisa amuombe mwanae tu Mungu amlinde anakitu ndani yake.

  • @sharontabitha4897
    @sharontabitha4897 Před rokem +7

    Uweeh machozi ya zari problem is that the boy is innocent 😭

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Před rokem

      Skili yako ni zoba na nyie saa zingine ushabiki unawafanya kuwa mazoba zari ni nani si hawara tutaongea

  • @amankachira
    @amankachira Před rokem +3

    Naona hamisa amejishitukia tu lakini hakuna sehemu jina la Hamisa wala mtoto wake limetajwa na wala hakuna sehem Diamond na Bilinass wametajwa ila ukirusha jiwe gizani halafu ukasikia mayowe ujue kuna mtu limempata.

  • @IANA2030
    @IANA2030 Před rokem +37

    Bitter truth 🤣🤣🤣Hamisa you will live with this blame forever just coz of you greed poleeeeeeeee😂😂😂😂😂😂tamaa iliua fisi.

    • @lifeofyuri4020
      @lifeofyuri4020 Před rokem

      Una ushahidi dada au unapelekwa na maneno ya waja? Mimi pia sio fan wa Hamisa Ila weka kingojezi dhambi zingine zinaepukika tu. Bora ishu ingekua ya Hamisa peke yake na sio huyu mtoto w

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem +2

      @@lifeofyuri4020 dhambi kaifanya yeye mwanzo,,,kuzini tuuu

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 Před rokem +1

      Weee nenda darasani kwanza kajifunze kiswahili afu ndo uje uandike utopolo wako.

    • @lifeofyuri4020
      @lifeofyuri4020 Před rokem

      @@NR-ll4sr wewe ni wivu unakusumbua utakua umetendwa bwana ako anapenda vya nje... Mapenzi yanakutesa

    • @jcrackcrack1669
      @jcrackcrack1669 Před rokem +3

      Akuna Cha ushahidi,mtoto niwa bilnenga,watu wanajua,mamadangote anajua longtime ndio wamezima data pande za hamisa ata kumpost hafanyi Tena coz hawaezi post mtoto wa watu

  • @susanhaizmann8641
    @susanhaizmann8641 Před rokem +16

    Bitter truth ukweli ni chungu kabsaa

  • @kimah9461
    @kimah9461 Před rokem +18

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu amenichekesha, yaani mi ni mkenya, ila Watz😁

  • @victoryprudence7655
    @victoryprudence7655 Před rokem +2

    Hamisa hujue hakuna kama mama duniani future ya Dylan unayowew .wewe umebahatika kuwa na maisha mazuri nahisi unaweza kumsomesha mwanao.mungu tuu amlinde amuepushe na maradhi na matatizo basi.mengine unaweza

  • @amoji126
    @amoji126 Před rokem +9

    🤣🤣🤣 eti akivaa high heels kaenda hewani, akivaa ndala andunje.

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před rokem +1

    Ni kweli kabisa uyo mtoto ana fanana saana na Billnass kabisa duuh

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Před rokem +8

    Hamissa siku moja achukuwa mtu umoj ampek police wamfunge n wamchukulie hatuwa kali nina imani itakuw funzo kwa kila mtu anaependa kimsemea watoto wake vibaya🤦‍♀️🤦‍♀️🥺🥺🥺

    • @Baba_Ben.
      @Baba_Ben. Před rokem +1

      Polisi hawafungi watu kizembe hivyo, kwanza hajatajwa kwann kapanic?

  • @user-jy6gn3kn9q
    @user-jy6gn3kn9q Před rokem +9

    Watu waache kujiingiza kwa mambo hayawahusu, mkumbuke mnampatia mtoto wakati mgumu mbeleni. Kumbukeni pia mna watoto jamani😒😒😒😒 Hamisa pia awachukulie hatua hawa 😢😢😢

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Před rokem +3

    Kwakweli mpoki muombe msamaha amisa umemkosea sana mtoto sio lazima kufanana na babake yake pole amisa Aya mambo nilisha pitia inaumiza sana unapewa baba wa mtoto ambaye ujawai ata kutoka Naye mungu ndo shaidi wa yote

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 Před rokem +8

    Mmmm kwani hawana vyakuongea

    • @annamnanka1640
      @annamnanka1640 Před rokem +2

      Hakuna mwanamke siye jua baba wamtoto wake janaume zima limekosa kazi linaogelea mtoto mdogo kwani wewe huzalishi uongelee wakwako

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 Před rokem +12

    Ila kuna kaukweli ndo maana nandy na hamisa wana ugonvi na kingine mpoki sio mtu wa kwanza kuongelea hiyo mada hata original east ashawahi kusema daylan ni wa nenga 😢😢😢😢😢😢😢

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před rokem +10

    Spendi mtu kusema watoto wallah

  • @itNeza
    @itNeza Před rokem +6

    Huyu mpoki 😂😂😂
    Ila na Haka ka Hamisa Kalikuwa ka Malaya Kimya kimya. 🤔🙄

  • @tierrahtanya4396
    @tierrahtanya4396 Před rokem +3

    Kama kuna mtu anaweza pea wanaume mimba apee Mpoki abebe, azae ajue uchungu wa mwana ndo akifungua mdomo kuongelelea watoto wa wenyewe awe anajua uchungu wa kuzaa...mjinga tu😏😏

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 Před rokem +7

    Ndo shida ya kudanga na kuzaa kama mbwa😹 utasemwa kila siku

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem +1

      Sana alafu hakutajwa jina huyo Hamisa si nasikia ana wtt 3 ebooooo umalaya tu wakome

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Si alisema DNA ilisema mtoto ni WA Mondi au Mimi nilisikia vby? Makasiriko ya nini? Si Mondi amempangia nyumba na kutoa child support? Mmmmmh Bongo vituko vingi

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 Před rokem +16

    Mimi mwenyewe Yule mtoto nilivompitisha macho nikajisemea kimoyo moyo kwamba hapa #Diamond kashapigwa,na Diamond anavyo penda watoto wake asinge mtenga Yule mtoto,kiufupi #Hamisa ni mdangaji na alisingizia kwa #Mond hili apate uhakika wa maisha.

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      wewe shoga tu mtoto unamwona kwenye picha unatanua limkundu lako apa unaandika utoko we unauhakika huyo ulioambiwa babako ni babako mana mamako mwenyewe katombwa hovyo hovyo kama mbwa😷😷 katombeka ad na mbwa usikute wewe ni mtoto wa mbwa

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem +1

      My wacha adange mbona Tanasha mtt wake hajalanwa umalaya nakuona kuzaa ovyoovyo ndo umarufu

    • @jacklyneotieno1564
      @jacklyneotieno1564 Před rokem

      @@dorcaskidoti249 weee wacha kutusi Tanasha ushai ona mtoto wake akinangwa na kutengwa na familia.....mbona mwijaku alijaribu ikabidii aombe msamaha in public.....mbona hamisa mwenyewe akijua mtoto ni wa dai mbona asi shtaki huyo mpoki

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Před rokem

      Huyo mangi aliyefunga ndoa ni nani sasa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem

      Jamani kwani si walifanya DNA?

  • @strong8534
    @strong8534 Před rokem +9

    Ni kweli sio wa Diamond.

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 Před rokem +2

    Ivi awa watu wenye umri kama huu wanamsakama hamisa ama kweli dunia mmh

  • @user-go3oy1mq3q
    @user-go3oy1mq3q Před 10 měsíci

    So sad 😢 ila mungu ambaliki Dylan ila kwani mtoto lazima afanane nae Kama mdomo kachukua wa babu yake maana baba yake diamond Hana domo wamuache Dylan

  • @maniragabaandrew9512
    @maniragabaandrew9512 Před rokem +19

    To be honest that boy is not simba blood ,that boy looks like Billnass

    • @neemanabushosi1445
      @neemanabushosi1445 Před rokem +1

      I feel bad for her son, maybe she was fooling around with different men, all those men need DNA test , but her son looks more like billnass. I feel bad for Nandy when yo married someone with backage that what you get.

    • @alibinali_
      @alibinali_ Před rokem

      Kweli kabisa

    • @millymack1370
      @millymack1370 Před rokem +1

      DNA only can clear this and not you..u can't say he's not Simbas kid just bcz he doesn't look like him.Hamisa was in a relationship with Billnass when the boy was already 2yrs so he can't be the father of that boy.

    • @hopechidera
      @hopechidera Před rokem +1

      Mlichokaga kulalamika kua niwa Jaguar sasa mnakua kwa Billnas,yaan binadamu hata shetani mmemshinda tabia...

    • @abdallahyusuf5874
      @abdallahyusuf5874 Před rokem +1

      @@millymack1370 hamisa said ithink it was last year that they did DNA but to my best of knowledge lazma Kuna mchezo ulichezwa pale to protect hamisa's brand and dai too kumbuka dai ni business man maybe aliwambia waseme ni positive ili amsitiri hamisa but to be honest Dylan isn't Nassib's kid if he is mbona familia inamtenga?

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před rokem +1

    Mpoki ni commedian kwahiyo hapo hajakosea yuko kwenye fani yake acheni makasiriko,

  • @sporttz15
    @sporttz15 Před rokem +7

    hamisa kakasirika ni ukweli

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před rokem +5

    TATIZO LA MAMA KULALWA LALWA MATOKEO YAKE MTOTO ANANYANYASIKA,KISAIKOLOJIA.

  • @yasminihassan4941
    @yasminihassan4941 Před rokem +2

    Binadamu tuwe nautu iyi mitandao inahifadhi uyu mtoto akikuwa atakuwa anayaona ivi madhara hamyaoni but inaweza kuja mu cost akiwa mukubwa akaja kukuwa akiwa nachuki ndanimwake mbeleni ,kwa mama yake iyi itapita ila mutoto huwa anaweka kumbukubu zisizo sahulika mmuache mtoto wawatu kila siku mama njo anaye mujuwa baba wamtoto

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem +6

    kawajibu vizur mpoke mlopokaji sana kama mwanamke

  • @Rizikiskitchen
    @Rizikiskitchen Před rokem +10

    Nikwanini mtu mzima kuongelea mambo ya mtoto, halafu wakwako wanakushinda. Angekua nimimi ningelimpeleka court honestly...jamani hachaneni na huyo anaeshindwa kuwagaramia watoto wake mpuuzi...twendeni CZcams handika Riziki's kitchen....tunapika chakula tofauti...uki SUBSCRIBE halafu una comments baadae nitakutumia hela ununue chakula ulicho kipenda kwenye mapishi ya Riziki's kitchen twendeni basi I will never lie to you. Stay blessed

    • @wamykg6104
      @wamykg6104 Před rokem

      Mmmh kweli

    • @abednego3876
      @abednego3876 Před rokem +1

      Peleka umaviiiiiiii huko 🖕

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před rokem

      Akimpeleka mahakamani si DNA itaenda kufanywa? Na mtoto akionekana sio wa Diamond Hamisa si ataaibika sana?
      Nyie wanawake mnapenda kubambikizia watu wengne watoto ili tu mle mali zao. Ipo siku mtaangamia.

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Před rokem +1

      Halafu mahakamani anampeleka anaushahidi gan kama aliyekuwa anasemwa ni yy?

    • @n7428
      @n7428 Před rokem

      Huenda hujui Nini maana ya umalaya ....

  • @reubenshaban6488
    @reubenshaban6488 Před rokem +14

    Tatizo njaa zinawapeleka pabaya imefikia hatua mnalopoka tu kama mnaongelea kwenye makalio mda wote kufatilia maisha ya watu

    • @mwanaidrashid5226
      @mwanaidrashid5226 Před rokem

      Amina nakustaur huyu usimnyamazie nenda nae mbelekwambele mpaka kieleweke ukiskia wanaume wastage ndio hawa

    • @reubenshaban6488
      @reubenshaban6488 Před rokem

      @@mwanaidrashid5226 mambo

  • @yvonnekaluta5211
    @yvonnekaluta5211 Před rokem +9

    Kwel tulikuwa tumefugwa macho aka katot kanafanana nenga😂, asante kwa mpoki hakeeeee 🤣🤣🤣

    • @NNn-mj2pb
      @NNn-mj2pb Před rokem

      Nyiieeee 🤣🤣

    • @Claudine-bv7ck
      @Claudine-bv7ck Před rokem

      Leo kafanana na nenga Siyo tena wa jaguar ? Wabongo mungu awasamehe

  • @1salema1
    @1salema1 Před rokem +8

    Mpoki kasema ukweli

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 Před rokem +5

    Ashawapa wanahabari headline watu jamani sivizuri haya subiri bilnas atafute Kwa interview na Nandera wetu duuh hatari baba uliota Nini mpaka ukaanzisha varangati hili Mungu tujalie heshima ya mdomo amin

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica5822 Před rokem +9

    Live her alone this is kids

  • @florencekafeero220
    @florencekafeero220 Před rokem +1

    Take this man to court

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro Před rokem +3

    Tatizo ni mmomonyoko wa maadili, na madhambi yenu yakitajwa mnakasirika. Jirekebisheni na acheni uzinzi

    • @hopechidera
      @hopechidera Před rokem +1

      Mbona na ww walizinigi ndo ukapatikana,mniachie Hamisa wangu you fools...

    • @blackyoungmaestro
      @blackyoungmaestro Před rokem +1

      @@hopechidera Hahahaha! Hamisa wako! Tangu lini? You just jerk off to her pics on Instagram! Unakula kwa macho tuu!! HAHHAHAHAAAAA!

    • @hopechidera
      @hopechidera Před rokem +1

      @@blackyoungmaestro ni Hamisa wangu kama yanakuuma ukajinyonge idiot...

    • @blackyoungmaestro
      @blackyoungmaestro Před rokem

      @@hopechidera Hahahaha! Chill out bro, nazingua tu. You sound like a real fan

  • @lilianilimbe4508
    @lilianilimbe4508 Před rokem +4

    Unakosea sanaa dada wa wawatu anaga maneno na mtu nawala anaga taimu na mtu

  • @faustinkilote4687
    @faustinkilote4687 Před rokem +3

    Mwacheni mtoto wa hamissa jamani

  • @violetoloo445
    @violetoloo445 Před rokem +3

    Assassination of character.....

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Před rokem +1

    Mtamfananisha na wengi sana lakini hawahusu mwacheni dada wa watu na watoto wake.

  • @shufaamakame5839
    @shufaamakame5839 Před rokem +1

    Watt wanauma sn hasa wenye kukataliwa upande wa baba ht ikiwa wao,afu na hayo munomuongezee mmhh .chozi la mwanamke baya sn ,pole misa wa mm

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 Před rokem +1

    Zinaa ni mbaya sana Allah atuepushe na watoto wa zinaa angekua kapatikana kihalali hayo yote hangeckika but all in all ishatokea wamuache jaman anaumia asamehewe bure plzz

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 Před rokem

    Wewe mpoki ni mwanaume wa namna gani. Mwenyezimungu anakuona mpoki na atakuhukumu. Si vizuri kumsakama mtoto wa mdogo kama yule Mwenyezimungu atakuona.

  • @dottohami
    @dottohami Před rokem +4

    Lakini mtoto wa hamisa anafanana sana na nenga wa nandy

  • @mateuspoisbentomateuspiusbento

    Eu também não vou aguentar isso

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před rokem

    Wewe mpoki unamchokoza hamisa mobeto#lisura lenyewe libaya hivi

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Před rokem +1

    Walimwengu kwa kufatilia ya wenzetu tuko vzr Alf wanaume mschokijua wenge mnaleleana watoto lkn mnajikuta mnajadili ya jiran yenu yanawshinda, mtoto akiwa wa nani kikubwa akue na awe na maisha mema inatosha

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před rokem +1

    Mabinti ifikeahala msiwanyime wahusika watoto wao na kuwagawia watu wengine kisa pesa mnawanyima haki zao watoto baba ni baba tu

  • @taseleli9181
    @taseleli9181 Před rokem +1

    Mpoki nawe baba mzima acha umbea mtoto wa Hamisa anakuhusu nini? Baba wa mtoto anaemjua ni mama.Mpoki umeshakuwa mtu mzima sana acha ujinga wacha mtoto wa watu na maisha yao.

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 Před rokem +14

    😅😅😅😢😢😢aki Tanzania wambea 😂

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 Před rokem +5

      Wanaume wa ki Tanzania nikama wanawake

    • @sanchostylist...9719
      @sanchostylist...9719 Před rokem +1

      @@michelinemapendo6652 😂😂😂

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před rokem

      Na sio wambea tu hawa watu ni khatariii sana haijawahi kutokea ni wabaya hasa wana roho chafu sana...humjui mkubwa wala mdogo alieaoma hana tafauti na asiesoma loh.

    • @annakinyi218
      @annakinyi218 Před rokem

      @@shamsahaji6202 kweli napenda kwetu kenya hakuna brama kumetulia yani iko poa sana

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 Před rokem +4

    Ukweliii mchunguuuuuuuuuuuuuu

  • @amisjabubakari7734
    @amisjabubakari7734 Před rokem +3

    Wenaye❤❤❤❤❤❤

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 Před rokem +1

    Mmh jamani makubwa haya du! Kumbe , haya yetu macho.

  • @ahmadiimilongera7660
    @ahmadiimilongera7660 Před rokem

    Kwa nini amejibu mobeto wakati mpoki hakuongelea majina yoyote ...

  • @tabuabdallah7980
    @tabuabdallah7980 Před 10 měsíci

    Huyu mpoki ndoo aloleta balaa lote hili kama ningekuwa hamisa ninge mshita wallah mpoki

  • @saidabdulkadirmjahid8255

    Boss wangu unasifika kwa mdomo😂😂

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před rokem +1

    Hamisa eeeh...sikiliza kupigwa vita ni kawaida isikusumbueee...ww ni mti wenye matunda zowea naweee......duh nilikuwa nawaamini sana hawa jamaa kila siku huongelea tz watu wana roho mbaya kumbe na wao ndio wale wale watu wazima ovyoooo ovyoo kabisaa ww dina wa kukaa kusikiliza upuuzi huuu??mpoki mtu ovyo sana mwanamme mzima dah sio sawa kweli.

    • @mwanahamisrashid7787
      @mwanahamisrashid7787 Před rokem

      Hawana lolote wanafki tu mbona hawauongelei swala la kifo Cha Kanumba tutajua kweli mahodari wa kuongelea maisha ya watu Mana mama Kanumba akiongea kuhusu mwanae kuuliwa wanasema anakosea hawajui uchungu wa Mwana wamuongelee aliyemuuwa Kanumba

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem

      @@mwanahamisrashid7787 we naeeee, Sasa kanumba aliyefariki watu wamtakie Nini?marehemu afatiliwe Ili iweje? Wew ulie hai ndo kazi utaibeba kwa wa Tanzania..hii ndio nchi bana daa!

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před rokem +1

    Hata mwendawazim anajuwaga baba wamtotowake 😜😜😜😜😜

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan3620 Před rokem +4

    Ila huyu mtt Allah atampa neema ktk hii dunia kubwa sana mana kila kukicha hawaishi kumzuilia uongo Yani uyu Mpoki amekosa komed zakufanya hadi akae kumzungumzia mtt mdogo kama huyo duuuh Mungu akulaani

  • @barazamwaja3868
    @barazamwaja3868 Před rokem +1

    Uhuru wa kuwaongelea watu umepita mipaka hakuna sheria za kulinda faragha za watu au zinapuuzwa, huu ni udhalilishaji kama kupeleka matatizo kwenye ndoa ya Billnass zio sawa

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem +1

    Mwanaume yoyote yule akimta mwanamke na mwanamke akimkataa nilazima amletee maneno mabaya ili amuharibie hasara na wewe mwanamke unae sapoti ujuwe kuwa jua litakuwakia tena unasema kuwa unauhakika subhanaallah jamani kesho utaulizwa 💔💔💔

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 Před rokem

    Sijawahi mpenda mpoki ht siku moja tena uombe msamaha kwauliyoyaongea mpoki hakuna mtu anaweza kufurahia nahili swala umuache hamisa

  • @matrida.lunyilija5196
    @matrida.lunyilija5196 Před rokem +1

    Mpoki hajamtaja mtu jamani mbona makasiriko hamisa? inawezekana kuna ukweli maana hajakutaja weww

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem

    Kikweli hamisa ni malaya sana wanajeshi ndo wanajopigia na shida ni tamaa ya pesa

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před rokem

    Mbona watangazaji wa siku hizi hawana maadili???Halafu vyombo vya sheria viko kimya.Mbona mama mwenye mtoto analea mtoto wake vizuri.MWANAUME KUWA MMBEYA NI AIBU.

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před rokem +1

    Kina dada tamaa Itawaponza jaman daah! Pesa sio kila kitu jarbun kuwa wakwel kama n mtt wa bilnas basi wekn waz ili mue huru Kwan shida iko wapi?!?? Hata kama billnas ni maskn mbona sio shida

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +12

    Watu wazima ovyo kabisaa 😏😏😏

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 Před rokem +1

    The mother is too selfish 😏😏😏😏😏why put your little one in all drama

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 Před rokem +1

    Ifike hatua hamisa wampumzishe mbona Dada wa watu yuko busy na mambo yake tena kuongelea mtoto ambaye hana hatia jamani Binadamu tuoneane huruma 🙏🙏

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Před rokem +3

    Baada ya harmonize atimaye wamehamia kwa hamisa mobeto

  • @daudflavour320
    @daudflavour320 Před rokem +1

    Kwenye vipindi vyenu jitaidini kuongea vitu vya msingi na sio kuaribu maisha ya watu ktk ilo hamko sahihi kabisa

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 Před rokem

    Inaweza kuwa kweli wanawake wa kibongo wanatamaa sn yaani wanapenda kamseleleko vibaya mno

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 Před rokem

    Daaaa hi ni noma sana

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 Před rokem +1

    Ningekua Mimi Hamisa,nisingewajibu wapumbavu tu hao