Tazama magoli yote Simba ilivyoichakaza Mbeya City 4-1 kwa Mkapa - VPL 22/06/2021

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2021
  • SIMBA VS MBEYA CITY 4-1: Timu ya Simba imeitandika Mbeya City magoli 4-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Magoli ya Simba yamefungwa na Rally Bwalya, Luis Miquissone, John Bocco na Clatous Chama wakati goli la kufutia machozi kwa Mbeya City likifungwa na Pastory Athanas.
    Tazama magoli yenyewe hapa.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • Sport

Komentáře • 272

  • @sbusisovmasango8007
    @sbusisovmasango8007 Před 2 lety +5

    Simba is the best team in Tanzania 🇹🇿 all love ❤️ from a South African fan 🇿🇦

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 Před 2 lety +5

    Our Club 🦁 Our nation 🇹🇿 Our Pride 💪... SimbascTanzania #Nguvumoja

    • @wilsonkimaro6375
      @wilsonkimaro6375 Před 2 lety

      NGUVU kama zote, KWANI WAO MBEYA KIJIJI WANASEMAJE🤭🤭🤭😂🙄🏃

  • @agreykayombo9612
    @agreykayombo9612 Před 2 lety +12

    Tuliondoe hilo la 4 na gori la tatu la Yanga na mwadui Tuliondoe MAJIBU YATABAKI YANASOMAJE.
    Simba na mbeya city 3-1
    Yanga na mwadui 2-2

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 Před 2 lety +5

    Mmi shabiki wasimba kindaki ndaki nimekua wakwanza like nyinyi kwa wanangu wa simba

  • @teclamahenge4425
    @teclamahenge4425 Před 2 lety +3

    Chama super maestro wewee ni fundi wA Mpila ujua kuwafinya na kuficha Mpila big up

  • @untouchboymsafi1788
    @untouchboymsafi1788 Před 2 lety +9

    Ile pasi ya kapombe kwa chama ilkua ni Rambi Rambi tosha 🔥🔥

  • @emanuelmichael9784
    @emanuelmichael9784 Před 2 lety +8

    Mpenja unajua kuwakeraaaa na wewe😋😋😋😋😂😂😂😂😂🦁🦁🦁🦁

  • @doristasiro7260
    @doristasiro7260 Před 2 lety +4

    Nimerudia kuangalia magoli hadi raha❤❤❤❤

    • @suleimanalihaji9386
      @suleimanalihaji9386 Před 2 lety

      Kuna kitu nimekigundua kwa Simba na ndio maana makocha wa Simba walipongezana sana walipofunga goli la 1 na la 2. Waliwafundisha wachezaji wa katikati wawe wanapiga mashuti makali ambayo kwa vyovyote kipa atatema na wawe tayari kumalizia kazi likitokea hilo .NA NDIVYO WALIVYOFANYA.Kuna watu wanasema goli la 3 na la 4 ni offside sijui goli lipi maana hata juzi lilofungwa goli la tatu dkk ya 95

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Před 2 lety +7

    PONGEZI NYINGI ziende kwa kocha wa VIUNGO Adel Zrane - fitness coach.
    Wachezaji wamekua WEPESI hadi imekua SIFA.

  • @doricenjonjo1102
    @doricenjonjo1102 Před 2 lety +5

    Yaani tangu nianze kuishabikia Simba najikuta nanenepa tu ,Simba raha sana

  • @fundamengo7970
    @fundamengo7970 Před 2 lety +8

    Kinacho nifurahisha nikuone makocha wanavyo pendana

  • @nelsonemmanuel2906
    @nelsonemmanuel2906 Před 2 lety +6

    Tarehe 03 itakuwa lini ivi 😂😂😂😂

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 Před 2 lety +2

    SimbaAAAAAA🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 2 lety +3

    Sisee hako kameingia kwa bahati sana mshukuruni Mungu haki dah ,Simba jmn hii timu htri mnoo

  • @ashrafally3574
    @ashrafally3574 Před 2 lety +2

    Hii ndio simba bnaaaaaaaaaaaaaa🥰🥰

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 Před 2 lety +2

    Hakuna machoka wenyewe furaha mda wote km makocha wa simba 😘😘😍😍👌👌👌

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Před 2 lety +2

    Very good Simba sc NGUVU moja

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 2 lety +4

    Asantee Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 ubingwa wetu msimu huu
    Hv Trh 3 wataleta timu kwel uwanjani 😂

  • @maulidihussein7003
    @maulidihussein7003 Před 2 lety +4

    Safi sana wachezaji wote wa simba hawana uchoyo wanapeana pasi hatakama anaweza kufunga SHOW ME THE WAY KAPOMBE hiyo pasi uliyo mpasia CHAMA ni upendo kabisa salaaaam kwa wale jamaaaa ambao wazee wao wanasema hawaingizi timu uwanjan

  • @agustinomhagama9152
    @agustinomhagama9152 Před 2 lety +3

    Naomba irudiwe
    In fact hii simba si ya kufananisha timu zingine za bongo naomba timu ziige ,kama wataendelea kufanya utopolo watashangaa mtu anabeba kombe misimu sita mfululizo 🏆🏆🏆🏆🏆🏆 cmba imejaa mafundi tuu chama morrison bwalya miqussone boko yaan hadi raha

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 Před 2 lety +13

    ASANTE MUNGU KWA USHINDI HUU MKUBWA NAMNA HII TUNAKUOMBA EE MUNGU TR 03/07/2021 TUIFUNGE YANGA SC NAKUIBUKA NAUSHINDI, KAMA NAWEWE NIMPENZI NA SHABIKI WA SIMBA SC GONGA LIKE KUITAKIA SIMBA YETU USHINDI KWA KILA MCHEZO ULIOKO MBELE

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy Před 2 lety +6

    Bado siamini kama timu mbovu ya Kaizer Chiefs imetuondosha ligi ya mabingwa. Nafasi ya ubingwa tumeipoteza bure tu hii timu ni nzuri sana na nafasi huwa hazijirudii

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 2 lety

      Hiyo unayoiita timu mbovu imemfunga wydad tens kwao

    • @benjaminlawi1400
      @benjaminlawi1400 Před 2 lety

      Hapo kwenye kujirudia umekosea.

    • @benjaminlawi1400
      @benjaminlawi1400 Před 2 lety +1

      @@emmadora7848
      Ile timu ni mbovu,, ni wakamiaji wa mechi ngumu,, ukiangalia takwimu ni wabovu sana,, lakini mpira una matokeo katiri wakati mwingine,, ndiyo maana unatakiwa ukubali matokeo.
      Kitu kingine,, usifikiri kushinda mechi ndiyo ubora,, ndiyo maana kuna takwimu,, hivyo zile timu zinazoishi bila game analysist ni ngumu sana kulinda ubora wao,, maana wakati mwingine unashinda kwa bahati,, hivyo unatakiwa kushughulikia mapungufu ya timu hata kama uneshinda.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +1

    🤚🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁 Mpk ubingwa 💪 moja

  • @leykibwana1425
    @leykibwana1425 Před 2 lety +3

    Walahi nimecheka eti kekeee keeekeee miguu kekeee keee

  • @zuberninga695
    @zuberninga695 Před 2 lety +4

    BARAKA MPENJA FAHARI YA ITETE WE NOUMA JOMBAAA

  • @saidihassani2501
    @saidihassani2501 Před 2 lety +3

    This is Simba brother

  • @benstephano6765
    @benstephano6765 Před 2 lety +1

    Kwaiyo tarh3 watacheza kweli maana hii ni another level

  • @athmaniidd437
    @athmaniidd437 Před 2 lety +3

    💥💥💥

  • @fettysultana5364
    @fettysultana5364 Před 2 lety +2

    Chamaaa❤❤❤

  • @swabilimohamedi4630
    @swabilimohamedi4630 Před 2 lety +3

    Highlights za mechi za Simba mnachelewa kuweka inawauma nn

  • @fransiscabahati7743
    @fransiscabahati7743 Před 2 lety +4

    Nakupenda miquisonne

  • @emmanuelymarkjohn9765
    @emmanuelymarkjohn9765 Před 2 lety +1

    Simba noma sana tunapata Raha sana

  • @evelynejuvenary2631
    @evelynejuvenary2631 Před 2 lety +1

    Simba Chama LA wana😘🙏

  • @richardreuben3222
    @richardreuben3222 Před 2 lety +5

    Nachowapendea Simba, yanga wakifunga goli la offside then wakalitetea na wao Simba wanafunga kama lile ili yanga waendelee kulitetea... Kwa bahati mbaya maskini wanaumia, wanaugulia ndani Kwa ndani... This is Simba, ukijua hivi sisi tunajua vile.

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 2 lety

      mabao yote yako halali kabs la hawa na lile la wale

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick8955 Před 2 lety +2

    Wellcome back Chama tulikumiss

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 2 lety +2

    Captain mkuu na captain msaidiz wanapeleka kilio mbeya city hahaha

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 2 lety +3

    Barcelona hahahahaaa

  • @lovenessbaynit1028
    @lovenessbaynit1028 Před 2 lety +5

    Mimi ni utopolo ila kwa levo hizi alizofika simba nalazimika kuipenda jamani

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 Před 2 lety +4

    yanga wenzangu hawa simba wapewe tu kombe lao🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️😊

  • @patrickmkude9985
    @patrickmkude9985 Před 2 lety

    Great job

  • @marypeter9961
    @marypeter9961 Před 2 lety +1

    Hadi raha aiseee mi wote wafunge ila akifunga bocco safi kabisa

  • @naimahaji3129
    @naimahaji3129 Před 2 lety +2

    Kekekeeee😂😂😂😂😂

  • @saidiathuman9624
    @saidiathuman9624 Před 2 lety +2

    Pasi tamu

  • @Ben_Mullah
    @Ben_Mullah Před 2 lety +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 Před 2 lety +2

    *Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia CZcams andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya nguvu,Tiba ya kizazi, Mvuto wa biashara na mengineo mengi karbuun mjifunze*

  • @salmasaid8461
    @salmasaid8461 Před 2 lety +1

    ❤❤👏👏

  • @leticiabahati9148
    @leticiabahati9148 Před 2 lety +3

    mwamba wa Lusaka!!! noomaa!!

  • @stellahsamwel6036
    @stellahsamwel6036 Před 2 lety +3

    Mnaosema goli la 3_4 ni offside bas ayo magoli mawili tumewaongezea yanga bas tufanye Simba 2 mbeya city 1 Apo ni point ngap 😂😂😂😂😂Akili zingine bana Simba ndoo waga wako offside tuu ila magoli ya yanga yako swafiiiii kabisaa punguzeni mihaho 😏😏😏

  • @christinamsuya5492
    @christinamsuya5492 Před 2 lety

    🔥 🔥 🔥

  • @SHELYnaitakiasimbaushndipointB

    Shomali uwo ndo mpira nakubali sana kijana mwezangu

  • @ezesaxo8764
    @ezesaxo8764 Před 2 lety +1

    Wape Salam,,, Nahamu🍷

  • @emmanuelboy5556
    @emmanuelboy5556 Před 2 lety

    🔥🔥🔥🔥

  • @mrwilbroadtv4230
    @mrwilbroadtv4230 Před 2 lety +2

    wakuua ni kuuwa tu

  • @aplenakihombo6676
    @aplenakihombo6676 Před 2 lety +1

    Unakwepa ya kwanza anarusha nyingine hahahaa!! Mpenja bhana

  • @ezekielandirea868
    @ezekielandirea868 Před 2 lety +1

    Next match loading

  • @fettysultana5364
    @fettysultana5364 Před 2 lety +3

    Zimbwe...Kapombe❤

  • @nyaisawerema454
    @nyaisawerema454 Před 2 lety

    Noma sana

  • @yunismdam2829
    @yunismdam2829 Před 2 lety

    Waooo ..mnyama mkaliiiiii haguswi

  • @ashrafally3574
    @ashrafally3574 Před 2 lety +1

    Had rahaaaa

  • @chachasawi5068
    @chachasawi5068 Před 2 lety +1

    Simba baba lao

  • @ujueuislam2704
    @ujueuislam2704 Před 2 lety +4

    Duh tofauti ya manula na cacolanya nimeiona

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 Před 2 lety +2

    Unadanganywa kupigiwa shuti nje ya 18 halafu mwenyew wakati unaokoa unajikuta umefanya set up ya goli😁😁

  • @shafihdauda8306
    @shafihdauda8306 Před 2 lety +1

    kama vp 2 kwa 1 hayo mawili yafuteni basi maana la wazir jr hamuoni mnayaona ya simba tu

  • @nchimikajoseph4862
    @nchimikajoseph4862 Před 2 lety +3

    Simba mnajua kunipa jeuri nyie

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 Před 2 lety +1

    Makocha wenye furaha zaidi na upendo

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety +2

    Kwa simba hii bora tushushwe daraja lkn kuliko kuingiza Team uwanjan sema sina sauti katka hili😭😭

  • @michaelbobu109
    @michaelbobu109 Před 2 lety +1

    This iz............

  • @mtundipaul5748
    @mtundipaul5748 Před 2 lety

    Hellow

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před 2 lety +2

    Watani yanga bao mbili moja zinawatosha hiyo tarehe tatu mwezi was sabaaaaa

  • @josephinemkanta9552
    @josephinemkanta9552 Před 2 lety

    Simba rahaaaaaaa

  • @alhajinangu2873
    @alhajinangu2873 Před 2 lety +1

    Mmmmm

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 2 lety

    Kiboko ya balala, chunusi, u. T. I sugu, malaria, fangas 🤣🤣🤣 simba sport club 💪💪💪💪💪💯

  • @rosesamweli6628
    @rosesamweli6628 Před 2 lety

    Hi

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 Před 2 lety +2

    Two goals clearly offside for simba sc

  • @chingomansade948
    @chingomansade948 Před 2 lety +1

    This is simba brother com voçe tambem e simba

  • @dansongodkuck8882
    @dansongodkuck8882 Před 2 lety

    mnyama anatuma salaam trh tatu 3

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 Před 2 lety +1

    Hiyo ndio SSC Mnyama, ukibisha ni ujeuri wako tu

  • @siviusstima1660
    @siviusstima1660 Před 2 lety

    Oyooooo

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 Před 2 lety +1

    Kwan hyo tar 3 yenyewe inasemaje

  • @abasimpendu1664
    @abasimpendu1664 Před 2 lety

    Denis ni levo yenu kabisa yule

  • @tuntulusekelo4191
    @tuntulusekelo4191 Před 2 lety +2

    Tarehe 3 simba anatangaza ubingwa kwa yanga???

  • @vestinanyenyembe7318
    @vestinanyenyembe7318 Před 2 lety

    Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa full shangweee

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato Před 2 lety +2

    Goli La 3 Ni Offside

  • @machataidi4805
    @machataidi4805 Před 2 lety

    Hivi hawa simba kwann wana roho mbaya?

  • @barakaponsian9878
    @barakaponsian9878 Před 2 lety +1

    Wavivu sana nyie kutoa highlight za mechi siku ya pili sasa mpaka hamu inaisha😏

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 2 lety +1

    nguvu moja!

  • @johannes4127
    @johannes4127 Před 2 lety

    Simba mnyama

  • @simontchaz5272
    @simontchaz5272 Před 2 lety

    Timu imeshuka kiwango

  • @idlisashekivuli6044
    @idlisashekivuli6044 Před 2 lety +2

    Passi pumbu 😄😄

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange8218 Před 2 lety

    Sema leo simba mhh down kiwango

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 2 lety

      Katazama tena takwimu za huu mchezo vzr. Ni mfumo wa uchezaji leo mwalm alibadilisha, zaidi pia ni wale walinzi wa pembeni kushambulia kutojishughulisha na kuzuia sana kwa muda mwingi.

  • @harunandege4673
    @harunandege4673 Před 2 lety +3

    Ivi shomari ni beki au kiungo?

  • @ibrahimmgaya7055
    @ibrahimmgaya7055 Před 2 lety

    Nc

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Před 2 lety

    Let enzii kombeee letuuuu.koloo nyieeee

  • @brunojoseph7059
    @brunojoseph7059 Před 2 lety +1

    Kwan upande wa pili wanasemaje????

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 lety +1

      Wanaharisha tu wanalakusema? Simba oyee

    • @brunojoseph7059
      @brunojoseph7059 Před 2 lety +1

      @@halimamasai2234 hahaha wacha wapmbane na khal zao

    • @brunojoseph7059
      @brunojoseph7059 Před 2 lety +1

      @@halimamasai2234 hahaha wacha wapmbane na khal zao

    • @maulidihussein7003
      @maulidihussein7003 Před 2 lety +1

      Wazee wao wamesha sema hawaleti timu uwanjan

    • @brunojoseph7059
      @brunojoseph7059 Před 2 lety +2

      @@maulidihussein7003 iyo tarh 3 c ni cku ya kufnya mazoez ubingw utakuw tyr wetu ata wasipo kuja tyr point 3 tunazo

  • @emanuelkandima5333
    @emanuelkandima5333 Před 2 lety

    Sina tuishi la Tanzania

  • @amaniavil7954
    @amaniavil7954 Před 2 lety

    Hatariiiii

  • @lyovajr.768
    @lyovajr.768 Před 2 lety +1

    Tuone tena mnamuweka huyoo Mugalu wenuu

  • @sabatoager
    @sabatoager Před 3 měsíci

    😅😅😅

  • @agreykayombo9612
    @agreykayombo9612 Před 2 lety

    Tuliondoe hilo la 4 na gori la tatu la Yanga na mwadui Tuliondoe MAJIBU YATABAKI YANASOMAJE.

  • @flikleyflikley7479
    @flikleyflikley7479 Před 2 lety +6

    Mm shabiki wa simba lakini hapo simba inamagoli mawili offside kabisa tujaribu kukuza mpira wabongo marefa wawemakini zaidi