Thanks MK14 kocha ana kila sabab ya kumwanzisha sura ya kaz ,ana uchu na goli ,hachek na kima ,,,,,kama unamkubal kagere weka like hapa watoto wa msimbaz
Kweli kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani nimeamini naangalia izo pasi mara ya nane hii😂😂😂wangapi tumerudia rudia kuwatch gonga like 👇ttwende sawa simba nguvu1💪💪🦁🦁🦁#wearethechampions
Anaye endesha account hii ya CZcams anapaswa kuwa anaandika tareh mwezi na mwaka, akiandika leo, baada ya mwaka mmoja na kuendelea itaendelea kuitwa leo?
I dont mean to be off topic but does any of you know a way to get back into an instagram account..? I was stupid forgot the login password. I would appreciate any tricks you can give me.
Jiombee Mungu akuongoze umuabudu. Siyo kuomba vitu visivyo na faida kwako kesho Akhera. Dunia mapito, kwa Mungu siyo kwa mzungu. Hata kama ukachukia, ukweli ndio huo. Swali kabla hujaswaliwa.
Kawaida yng kuchelewa ila hii haininyimi haki yakuwapa kongore mashujaa wetu kwa ushindi mnono,ni kama tumeanza ligi rasmi na huu ndio mpira tunaouhitaji sisi kama sisi. Honngereni sana wanarunyasi kwa mpira wa kideoni. Another level.
Viongozi wangu wa Simba Kaaeni na huyu mwamba chama mpeni mkataba ata was miaka 3 ,msisubri ifike miez 3 muanze kukimbizana kumpigia sim mchezaji Hana Tim itatugharim kumpata mtu Kama chama endapo mtashindwa kumpa mkataba mapema mchezaji anaangalia maisha yake na familia yake mpeni mkataba mapema huu wizi wa kuchukuliana wachezaji dawa yake ni key players kuwapa mikataba miref
Jamani viongozi wetu tunawaomb sana chama aongezewe mkataba mwingine tena wa miaka4 sisi mashabiki tuko tayari kuchangia hizo pesa za mkataba kila mwezi tu nawaomba san
Hapo mngeambiwa mchangie mambo ya Mungu, mngeropoka sana! Hiyo pesa ya kila mwezi, peleka kwa mayatima Mungu akubariki sana. Ni kosa kubwa kuchangia mpira.
@@emmadora7848 Siyo dhambi. Lakini ikiwa utabeti, utabishana, utatukana, utachukia wenzio sababu hizo, ndio husababisha dhambi kubwa. Na kuacha kupuuza mda wa Kuswali.
Morison aliwahi kuwaambia simba ni university of football in tanzania aliliona hilo mapema na sasa watu wale wanakerekaaa na bado mtakereka saaana mwaka huu
Kiukweli nimeangalia vizur sana hii mechi lakn biashala wakua mchezon na ukweli umetoka leo safar kesho unacheza mechi mmmh sizani kama utakua sawa nisawa walicheza na watu walio lala
Thanks MK14 kocha ana kila sabab ya kumwanzisha sura ya kaz ,ana uchu na goli ,hachek na kima ,,,,,kama unamkubal kagere weka like hapa watoto wa msimbaz
Baikoko
Jaman chama ni wa dunia ipi
Naombeni mnijibu maana daah
Simba raha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dunia ya mbinguni uyoooo
@@mamutz5479 kwakwel maana sio poa
Anakeraa
@@faithsaulo4289 sanaaa yan naweza kuangalia clip za chama hata mara 100 na nisichoke
Simba
Yanga na timu zingine jifunzeni mpira kucheza,,kutoka chuo cha mpira Simba Sc
Mnyamaaaaaa,,,,,,,,,,,I love you simba sc,
Love simba like nyingi kwamnyama
UTO wanataman kusema kuwa Biashara Ni wabovu, lakin wakikumbuka kuwa hata wao walinyooshwa hizo hizo 4 ktoka kwa mnyama 🦁 wanabaki kujisonya tu.
Kweli kabisa
🤣🤣
Hahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haaaah haaaaah🤪🤪
Simba rahaaaaaa Sana kama bado unaiangalia hii gonga like twende sawa
Kweli kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani nimeamini naangalia izo pasi mara ya nane hii😂😂😂wangapi tumerudia rudia kuwatch gonga like 👇ttwende sawa simba nguvu1💪💪🦁🦁🦁#wearethechampions
Mm mpaka saiz bado nairudia ty kuangalia
Kama kaawa
Nataman kama mechi irudie vile
Anaye endesha account hii ya CZcams anapaswa kuwa anaandika tareh mwezi na mwaka, akiandika leo, baada ya mwaka mmoja na kuendelea itaendelea kuitwa leo?
Thenx God for your blessing to our team for won the game. #Simbanguvumoja Mungu atuwezeshe tushinde mechi zijazo tena.
I dont mean to be off topic but does any of you know a way to get back into an instagram account..?
I was stupid forgot the login password. I would appreciate any tricks you can give me.
Safii😍😍😍upendo tu kwa chama langu
Vile tunaishambulia acounti yetu kibingwa zaidi
Chamaaaaa Simba Raha
Mimi ni yanga ila kwa mpira huu simba mmenikosha(especially Chama) bt tukutane kwa mkapa oct 18 daima mbele nyuma Mwiko🔥
Luis co mtu mzr assist 3💪💪
Tulio angalia kwenye vibanda umiza na sahii tuko hapa gonga like yako
EWeeee mungu tusimamie na ipe nguvu timu yetu juu ya hii safar ya ligi tuianzayo tysimamie✊💕
Jiombee Mungu akuongoze umuabudu. Siyo kuomba vitu visivyo na faida kwako kesho Akhera. Dunia mapito, kwa Mungu siyo kwa mzungu. Hata kama ukachukia, ukweli ndio huo. Swali kabla hujaswaliwa.
masitaha kumi mtajli Tanzania
Luis anavyokimbia Kama umebonyeza kitufe Cha forward kwenye rimot ya deki
Simba
😂😂😂😂😂umejua kunifurahisha
I wish I was in Tanzania , what a game! #nguvumoja my Simba...sijutii kuwa simba
Mechi ilikuwa tamu jana kwakweli,ilikuwa ni mchezo wa nidhamu ya hali ya juu na viwango vya kimataifa,big up kwa chama kubwa SIMBA
Next level
This is simba
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mala moja kama mm gonga like hapa tujuane
Yani nimeangalia i zaidi ya x5 naludia tyuuu
Kweli I ni shooo shoooo👌🏻
Mwaka huu wataisoma wananchi
Xxxx vdeo
Vdeo xxxx
Samba kiboko yap m. K. Fotin
Nomaaaaaa nguvu moja naomba Moto usipoee wajumbe 🔥🔥👏👏
Mashabiki wa Simba sports club sisi tuna like tunapenda kazi nzur kama hii waliodislike awo Naona Utoporo watajijuwa wenyewe full seck
Hao ndo simbaaaaa
Ni kuwakeraaa tu🤣🤣🔥🦁🦁💪
Xxxxxx video
Chama anaumwa nyie sio kwa migoli ile na mi assist ile
P
Asente fundi
😂😂
Chama ana kheraaaa uyooo
🤸🤸🤸🤸
Simba lpo Vizuri Sana, Wachezaji WA Simba Hata ligi Ya South Africa wanacheza ligi Yetu kidogo lpo Vizuri
Miquissone anakimbia jamani hiii kasi ni noma
Simba will go to be champion of africa
Hongerreni sana Wachezaji,mungu awatangulie kila mechi tushinde
AAAMIIN
Ukitazama kikosi hiki huwezi kuchoka kuitazama Simba
Kawaida yng kuchelewa ila hii haininyimi haki yakuwapa kongore mashujaa wetu kwa ushindi mnono,ni kama tumeanza ligi rasmi na huu ndio mpira tunaouhitaji sisi kama sisi. Honngereni sana wanarunyasi kwa mpira wa kideoni. Another level.
This is Simba brothers and sisters
Another level,,chamaaaaaaaaaa
Simba imeendeleza wimbi la ushindi
It's that fantastic team 💪🔥🔥🤞🇹🇿
Chama ni balaa
Another level
Another level
Chama anampenda sana konde boy
hi n simba brother bendela ya chuma mlingoti chuma show show💪
this is SIMBAAAAAAAAAAAAAAA
Mambo siayo ss
Chama ni mchezaji hodari sana anaejua nn anafanya na kwa wakati gani tunaona mambo mazito unayo fanya chama big up bro n keep it up
Iko very nice xana
Pratinam vc simba
Tanesco nyie mlikaya umeme jmn kigamboni ayaa MK14anatikisa nyaaavu izooo,this is Simba yetu 🥰🤣
Simba mmenipa raha jana yaan naipend sana simba yangu nkimuona chama,luis,bwalya,morison,kapombe najickia raha sanaa 💪💪💪
Another level machamion💪💪💪👏👏👏
Kagereeeee furaha Kama zote😀😀😀😀
This is simbaaa 💪 💪
Tunawakeraaaaaaaaaaaaaaa
Simba Raha sana
Jaman chama n zaid ya hatariiiiiii duuu simba next level tutawakela zaid
Simba
Baba
Lao
Viongozi wangu wa Simba Kaaeni na huyu mwamba chama mpeni mkataba ata was miaka 3 ,msisubri ifike miez 3 muanze kukimbizana kumpigia sim mchezaji Hana Tim itatugharim kumpata mtu Kama chama endapo mtashindwa kumpa mkataba mapema mchezaji anaangalia maisha yake na familia yake mpeni mkataba mapema huu wizi wa kuchukuliana wachezaji dawa yake ni key players kuwapa mikataba miref
Raha sana simba
Huyu chama ni wa dunia ipi?
Novena ya Roho Mtakatifu play.google.com/store/apps/details?id=com.tanzania.roho_mtakatifu
Hii ndiyo maana ya next level
Miqquisonee hatare sana huyu bwana kapika magori matatuu
Jamani viongozi wetu tunawaomb sana chama aongezewe mkataba mwingine tena wa miaka4 sisi mashabiki tuko tayari kuchangia hizo pesa za mkataba kila mwezi tu nawaomba san
Hapo mngeambiwa mchangie mambo ya Mungu, mngeropoka sana! Hiyo pesa ya kila mwezi, peleka kwa mayatima Mungu akubariki sana. Ni kosa kubwa kuchangia mpira.
Kweli hata mimi naunga mkono
@@khalfanifarisy7445 kwani mpira ni dhambi?
@@emmadora7848 Siyo dhambi. Lakini ikiwa utabeti, utabishana, utatukana, utachukia wenzio sababu hizo, ndio husababisha dhambi kubwa. Na kuacha kupuuza mda wa Kuswali.
@@khalfanifarisy7445 nimekupata vizuri kaka
Simba visisi yang efei
Shemj yng Abdull mangalo nn kilikupata mpenzi mnafungwa zote hizo kweli jmn shem
Chamaaaaaa!!! Jamaa noma sana anajua mpka anakera
simba nomaaaa nihatari team zingine mjipange
Chama roho ya simba !!!
💪💪💪🦁🦁🦁
Kule alikowauliaga Al Ahal ya Misri ndo kawabamiza biashara..... safiii kagere
Fc bayan
Kuitazama simba sc kwa buku 3 ni sawa na dhuluma
ALHMDHULILLAH NDILO NENO LANGU
Jamani acheni hadi raha
Kwa simba hii ukinuna unasbabu.hakiyamungu sambusa,biliani,kachori,maziwa asari vinapatikana msimbazi 😁😁💪💪
Mmmmh dis iz simbaa acheniii tuwakeree
Luis Miquison konde Boy sifa ziende kwake😘😘😘
Morison aliwahi kuwaambia simba ni university of football in tanzania aliliona hilo mapema na sasa watu wale wanakerekaaa na bado mtakereka saaana mwaka huu
Mabingwa wa nchi simba 💪💪💪💪
Tunashukuru
Nice you game
Mwaka huu jmn Yesu tusaidie dah Ona Miq na chama walivyokuwa wanajuana jmn sasa sijui ni nani tena watakuwa wanapasiana hivi dah
Kumkosa chama na Miq Simba ninpigo kubwa chama nakumic mno mpaka naumwa dah nikiutzm huu mpira na nikiutzam mwaka huu sijui msimu utakuaje jmni
🔥🔥🔥💥💥💥👍👍
Mpenja upo vzr hata wewe ni wa level nyngne maana sio kwa kututangazia uko
Simba__ndio team__pekee_inayopiga__mpira_mwingi sanaaaa jaman__ni kichekoo too😀😀😀😀😀😀😀😀
Mashabiki wa utopolo tucoment wapi?
Show show bendela chuma , mlingoti chumaaaaa
Chama baba whatever is being said he is a marvel to watch baba
Hii ndio game tunayoitakaaaaa!....hakika simba mmetoa burudani............
Chama chama chama pass milioni mia mbili
Fainali
Alhamdulilah nawashkuru Sana timu yetu kwa kutupa furaha
kwasimba hii noma
Kaz jema
viongz msituletee vit vya ajabu sajilin ujing hyo timu yetu Mambo yakuanglia maslah no ata mwekezji wjiachie tunao umia n ss
Kiukweli nimeangalia vizur sana hii mechi lakn biashala wakua mchezon na ukweli umetoka leo safar kesho unacheza mechi mmmh sizani kama utakua sawa nisawa walicheza na watu walio lala
Hayo ndo matumiz sahihi ya huo uwanja
Simba
Siyo Kwa simba hii ni hatar san
Aliemleta miqosson simba moja kwamoja peponi
Simba oyooooooo
Miqson ni moto wa hatar sana