Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu
nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂
Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele
Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.
Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi
Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe
Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili
NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?
Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.
Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.
😂una akili sana GB ongea kaka kila siku unatupa madini vitu adimu sana big up
Mm niwaombe mangungu na tray again hebu jiuzuluni tafadhalini ili heshima zenu zibaki please tunamuombeni jitoweni wenyewe
Mimi J k mbwambo namsapoti GB 64 tatizo niviongozi kwaheshima wajihuzuluwenyewe bilakutumia mabavu❤simba
mwamba nakukubali sana bro ❤❤❤
Kaka Asante Mashabiki tunaumia sana
mwamb we ni noma yani mpak hapo wasipokuelewa wana nia mbaya na ss ktk timu yetu
Simba haina mashabiki mil 20 kinachopoza Simba, ni kubaki na na historia na kujipa sifa za kitoto. Mtaumia sanaaaaa UMBEA FC
Viongozi wa Simba wote waondoke wengine waingie
Big up kaka
kweli kabis 4g😊😊😮
Jaman sis machabiki tunaumia kweli
mo aondoke atuachie timu yetu,tutachanga hata elf 50000 kila mshabiki maana tunaipenda
Mimi nafikiri tatizo ni mo hatoi Pesa na bahati mbaya sana magungu anaamini simba bila mo haiwezekani
waondoke hao haraka ni shida kabisa
Rahaaaa sanaaa jinsiii mnyootaabikaaa ss furahaaaa sanaa mungu atulindeee na chiki zenuu😅😅😅😅😅
Munafukuza makocha kumbe wachezaj ovyo
Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu
Gb,iv,mgynda,hatosh,adimlete,mzung,na,matola,hamend,mgunda,matola,asepe,twqmtaka,mgnda,
Jamani mashabiki tunaumia lkn hatuna namna tujipange mwakani Simba nguvu moja
Tunalia kaka angu. Gb 😢😢
Ila pia wanachama wengine wajiondoe akina kisugu
Ila huyu mtu ana akili!
nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂
Viongozi makalio tu hao
Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele
Hatuna uongozi Simba,mnatuumiza xana mashabik kiukweli
Kwakweri inauma sana simba wamejaa wezi tu hapo
WOTE WEZI NA VIBARAKA WA UTOPOLO
Faza tuandamaneni kuupinga uongozi 😮😮😮hata huyo Semapigaji ni msaliti
Andamana uwekwe ndani, utaulizwa we timu inakuhusu nn, si ufanye kazi zako????? We ni mchezaji au mtazamaji mpenzi
Mo ni BOSS AU BOX
TAPELI LA HESHIMA.
Sisi waingereza ndo misemo yetu 😂😂😂
timu itapotea hii...
WEWE JUWA MIMI BILIONI MOJA PATA GUNIA NGAPI YA DENGU??? AU PATA GUNIA NGAPI YA CHOROKO??? 😂😂😂😂😂 WEWE TAKA FURAHIA KOMBE TU 😂😂😂😂 SWAHILI JINGA SANA.
😂😂😂😂
Heritage msenne mwenyewe..ndo uzuri wa kumwachia mtu 1 club
hao wapumbavu waondoke tu hapo simba watuachie simba yetu maana niwapigaji tu hao pia hao ni wapigaji
Wanangangania Nini? Watu hawataki si muondoke tu mmeferi
Ndio maana tulistuka kumpatia mo hati ya simba. Pumbafu kabisa. Yeye mo na mabasha wake ty agan na mangungu wote mabasha wanamfila mo
Huyu jamaa anasema maneno ya maana lazima watu wamsikilize
Unawezaje kumpangia boss matumizi ya hela yake?,Hiyo timu ni ya MO alishainunua au mmesahau??
jamaa ni kichwa msimpuuze
Elewaneni tu jamani mtatukuta mwakani sawa we Tatu !
Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.
MPAKA MO MPIGAJI ANATOWA ANATOWA B MOJA ANAWAPA WALAJI WAPIGE ZAO KISHA ANATANGAZA KATOWA B 5 WOTE MAFISADI TU.
Sasa hapo mlichombishia ni nini hapo?? Nyote mabwege tuuu
@@MansourKabuhaya BWEGE MWENYEWE
@@salimmalaka256 sawa umemaliza???
Wewe hunaakili muache jb 64 aongee anaongea point sana wewe hayakuhusu bwege wewe
Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi
Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe
Natamani nikutane na mangungu nimpige
Caca watoke2
Bola angemweka babla mwanamke imala
WAPIGAJI WAMEMPIGA VITA BABRA
Tatizo lako MATUSI, watukane baba na mama yako.
DADEKI 😅
Huyo jamaa hana madini
Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili
NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?
hao ni wanyonyaji tuu
wamezoa kunyona
Wewe dogo funga domo lako wacha kuzunguwua wewe. Yanga tunajuwa mshabiki mandazi
Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.
Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.
BORA MTU ASIWE NA TIMU KABISA KULIKO USENGE HUU
Very facts
Kuna mbunge ana hiyo pesa wewe? Kila wakati jaziba mtupu
Mia basi
Sisi simba viongozi wasanii
SIO WASANII NI WEZI MAFISADI