GB64 AVURUGWA: WACHARUKIA VIONGOZI SIMBA KUSHIKA NAFASI YA3 MANGUNGU, TRY AGAIN, MO WAMEYATAKA HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 05. 2024
  • #BATTLETV
  • Sport

Komentáře • 72

  • @SimonSanka-os2wc
    @SimonSanka-os2wc Před 25 dny +7

    😂una akili sana GB ongea kaka kila siku unatupa madini vitu adimu sana big up

  • @user-hi5hi7nt3b
    @user-hi5hi7nt3b Před 25 dny +4

    Mm niwaombe mangungu na tray again hebu jiuzuluni tafadhalini ili heshima zenu zibaki please tunamuombeni jitoweni wenyewe

  • @jumakengia1070
    @jumakengia1070 Před 14 dny

    Mimi J k mbwambo namsapoti GB 64 tatizo niviongozi kwaheshima wajihuzuluwenyewe bilakutumia mabavu❤simba

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Před 23 dny +1

    mwamba nakukubali sana bro ❤❤❤

  • @SamwelMagala
    @SamwelMagala Před 25 dny +2

    Kaka Asante Mashabiki tunaumia sana

  • @SophiaMhina
    @SophiaMhina Před 15 dny

    mwamb we ni noma yani mpak hapo wasipokuelewa wana nia mbaya na ss ktk timu yetu

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před 24 dny

    Simba haina mashabiki mil 20 kinachopoza Simba, ni kubaki na na historia na kujipa sifa za kitoto. Mtaumia sanaaaaa UMBEA FC

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Před 25 dny +2

    Viongozi wa Simba wote waondoke wengine waingie

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 Před 24 dny

    Big up kaka

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Před 15 dny +1

    kweli kabis 4g😊😊😮

  • @user-qr4wv2cm7q
    @user-qr4wv2cm7q Před 25 dny +2

    Jaman sis machabiki tunaumia kweli

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Před 25 dny +1

    mo aondoke atuachie timu yetu,tutachanga hata elf 50000 kila mshabiki maana tunaipenda

  • @user-gp3pm4qp5y
    @user-gp3pm4qp5y Před 24 dny

    Mimi nafikiri tatizo ni mo hatoi Pesa na bahati mbaya sana magungu anaamini simba bila mo haiwezekani

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 Před 25 dny +2

    waondoke hao haraka ni shida kabisa

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Před 24 dny

    Rahaaaa sanaaa jinsiii mnyootaabikaaa ss furahaaaa sanaa mungu atulindeee na chiki zenuu😅😅😅😅😅

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf Před 25 dny +2

    Munafukuza makocha kumbe wachezaj ovyo

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Před 25 dny +2

    Hawa ni waislam.gani.maagizo ya bwana.mtume s.a.s viongozi.mkisemwa.semwa.uongozi.wenu.ndio.unakua umekoma.hawa viongozi wa.simba.vip ila sikio lakufa.halisikiidawa.yatawakuta tu

    • @HasaniMayunga-vq4tm
      @HasaniMayunga-vq4tm Před 25 dny +1

      Gb,iv,mgynda,hatosh,adimlete,mzung,na,matola,hamend,mgunda,matola,asepe,twqmtaka,mgnda,

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 Před 24 dny

    Jamani mashabiki tunaumia lkn hatuna namna tujipange mwakani Simba nguvu moja

  • @user-wp9wf3et1n
    @user-wp9wf3et1n Před 24 dny

    Tunalia kaka angu. Gb 😢😢

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 24 dny

    Ila pia wanachama wengine wajiondoe akina kisugu

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Před 25 dny +1

    Ila huyu mtu ana akili!

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Před 24 dny

    nyieee TATU TU fukuzeeni hayoo majiziii mapigaa helaaa tu hakuna uongoziii hapo hata huyoo msomalii ragee anashomboo sanaa juu yetu ila badoo hamjasemaa na mpakaa mtasemaa tu😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 25 dny +1

    Viongozi makalio tu hao

  • @makamelila
    @makamelila Před 24 dny

    Aikilizeni jamani mm naona hiyo ni kudra ya mungu lakini wala sio ajabu ziko yim kubwa kama bayan munic , man u, mbona zipo katika hali kama hiyo asanal pia ni ni shida hauwezi kuwa wa kwanza tu wakati hujaumbwa pekeyako#simba nguvu moja mbele kwa mbele

  • @KarimuKalinga
    @KarimuKalinga Před 25 dny

    Hatuna uongozi Simba,mnatuumiza xana mashabik kiukweli

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 25 dny +1

    Kwakweri inauma sana simba wamejaa wezi tu hapo

  • @hamisiyoyo5847
    @hamisiyoyo5847 Před 25 dny +1

    Faza tuandamaneni kuupinga uongozi 😮😮😮hata huyo Semapigaji ni msaliti

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před 24 dny

      Andamana uwekwe ndani, utaulizwa we timu inakuhusu nn, si ufanye kazi zako????? We ni mchezaji au mtazamaji mpenzi

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 Před 25 dny +1

    Mo ni BOSS AU BOX

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 24 dny

    Sisi waingereza ndo misemo yetu 😂😂😂

  • @BahatiChidawali
    @BahatiChidawali Před 21 dnem

    timu itapotea hii...

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 25 dny +1

    WEWE JUWA MIMI BILIONI MOJA PATA GUNIA NGAPI YA DENGU??? AU PATA GUNIA NGAPI YA CHOROKO??? 😂😂😂😂😂 WEWE TAKA FURAHIA KOMBE TU 😂😂😂😂 SWAHILI JINGA SANA.

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před 24 dny

    Heritage msenne mwenyewe..ndo uzuri wa kumwachia mtu 1 club

  • @HemedMjema
    @HemedMjema Před 24 dny

    hao wapumbavu waondoke tu hapo simba watuachie simba yetu maana niwapigaji tu hao pia hao ni wapigaji

  • @user-oo8tn1vh1r
    @user-oo8tn1vh1r Před 24 dny

    Wanangangania Nini? Watu hawataki si muondoke tu mmeferi

  • @user-tg2dj2vi7w
    @user-tg2dj2vi7w Před 24 dny

    Ndio maana tulistuka kumpatia mo hati ya simba. Pumbafu kabisa. Yeye mo na mabasha wake ty agan na mangungu wote mabasha wanamfila mo

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před 25 dny

    Huyu jamaa anasema maneno ya maana lazima watu wamsikilize

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Před 24 dny

    Unawezaje kumpangia boss matumizi ya hela yake?,Hiyo timu ni ya MO alishainunua au mmesahau??

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 Před 25 dny +1

    jamaa ni kichwa msimpuuze

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 24 dny

    Elewaneni tu jamani mtatukuta mwakani sawa we Tatu !

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Před 25 dny +2

    Wee mjinga Simba hawajakosa fedha za usajili wala Preasison fedha ipo ila upigaji wa fedha ktk usajili fedha inatoka watu wanaleta wachezaji wa viwango vya chini.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 25 dny +1

      MPAKA MO MPIGAJI ANATOWA ANATOWA B MOJA ANAWAPA WALAJI WAPIGE ZAO KISHA ANATANGAZA KATOWA B 5 WOTE MAFISADI TU.

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před 24 dny

      Sasa hapo mlichombishia ni nini hapo?? Nyote mabwege tuuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 24 dny

      @@MansourKabuhaya BWEGE MWENYEWE

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před 24 dny

      @@salimmalaka256 sawa umemaliza???

    • @raymondmoma2485
      @raymondmoma2485 Před 24 dny +1

      Wewe hunaakili muache jb 64 aongee anaongea point sana wewe hayakuhusu bwege wewe

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 24 dny

    Wachezaji wanne wabaki wengine wote kwa watoto wao huseni chemelone chama na ayoubu lakred Patrick mwenda wabaki akina kapombe ngoma micqison onana babacar sir balua mzamiru kanoute waondoke tu na viongozi

    • @kassimntara6901
      @kassimntara6901 Před 24 dny

      Safi sana Gb64 kungekuwa na Wanachama angalau 20 wenyeakili kama wewe Simba isingefika hapa ilipo lkn akina kisugu wanatumika kutugawa mashabiki na ndio hii ya Leo,Mo atoke hadharani atuambie kwa nini timu ipo hivi kama anaona anapata hasara aseme kama hawezi Tena kujifanya simba isonge mbele aiache ama bodi ivunjwe

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 24 dny

    Natamani nikutane na mangungu nimpige

  • @IsackMahenga
    @IsackMahenga Před 25 dny +1

    Caca watoke2

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 25 dny +1

    Bola angemweka babla mwanamke imala

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Před 25 dny

    Tatizo lako MATUSI, watukane baba na mama yako.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 25 dny

    DADEKI 😅

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před 25 dny

    Huyo jamaa hana madini

  • @user-gp3pm4qp5y
    @user-gp3pm4qp5y Před 24 dny

    Wewe magungu kwani simba ni mali ya baba yako au ni mkeo una kiapo cha kutenganishwa na kifo tutanzisha maadamano tukutukane mpaka utuachie simba yetu wezako tumechoka maisha ya kumpigia mtu magoti tueleze ukweli hera Ya usajili inatoka au haitoki na kama inatoka inatosheleza?kifupi ni kwamba Wewe na huyo muwekezaji wako hatuwaelewi ondokeni tujichange tufanye usajili

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 24 dny

    NYIE VIONGOZI KWANI HAMUONI MASHABIKI WANAKUFA SABABU YA SIMBA? MO ANASEMA ANATOA HELA NYIE MNAKULA MNAWASAJILI MNAOWAJUA NYIE KWANN MSIIGE UONGOZI WA YANGA?

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 Před 25 dny +1

    hao ni wanyonyaji tuu

  • @jofreysikomele7056
    @jofreysikomele7056 Před 25 dny

    wamezoa kunyona

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 24 dny

    Wewe dogo funga domo lako wacha kuzunguwua wewe. Yanga tunajuwa mshabiki mandazi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 25 dny +1

    Kwani pesa za Super League zilienda wapi? Na pesa ya robo fainali imeenda wapi? Kwa pesa hiyo ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa msimu ujao. Na wakati wa kusajili ni sasa tulipaswa kuwa tumekamilisha ili wawahi Preseason. Wakisajili midebwedo tena basi mimi nitahamia Azam. Sipendi aibu kama hii inikute tena.

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 Před 25 dny

      Tunaoshabikia miaka mingi tunafahamu raha na maumivu. Hizi timu unazoziona bora sasa na zenyewe kuna kipindi zitapitia magumu. Sasa utakuwa unahama timu ngapi? Simba forever.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 25 dny +1

      BORA MTU ASIWE NA TIMU KABISA KULIKO USENGE HUU

    • @HamzaAlly-tu7ju
      @HamzaAlly-tu7ju Před 24 dny +1

      Very facts

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Před 25 dny

    Kuna mbunge ana hiyo pesa wewe? Kila wakati jaziba mtupu

  • @user-pk4qq6kn9c
    @user-pk4qq6kn9c Před 25 dny

    Mia basi

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před 25 dny

    Sisi simba viongozi wasanii