Mzee Said nkikuskia tuu safari yangu naitembea usiku alafu naweka mahojiano yako naunganisha kwenye Bluetooth na speaker za radio ya gari basiii nakula zangu burudaaaaani😂😂😂
Aziz ni kweli alikuwa dodoma na diarra walialikwa na Antony Mavunde kwenye mech ya hisani tena akatupia attrck 2 na mipira yote 2 kamzawadia mheshimiwa
Mzee Said shida mliitengeneza wenyewe, mlipoanza kutangaza mnajiunga na fei kuomba afunge magori mengi. Na sasa mngekuwa ninyi na magori mengi mngeshika nafasi ya pili.
Chagamba huyu mzee inabd umzingatie anatufanya ni moja kati ya watu wanaokupa content na moja ya watu wanaofanya tukufatilie😊🎉🎉🎉
Kweli kbsa😂😂😂😂
Ni kweli kabsa, tuko wengi sana, amshikilie sana mzee saidi mwingine ni miraji, media nyingine wakimpandia dau tu ni hatar😅
Kweli kabisa
Kweli kabisa me leo sikuwa na mpango wakunua bando nliposikia mzee said kajojiwa nimenunua chap😅
Me naomba kujua, hiv mzee said huwa anapata chochote akihojiwa au mamagwemamagweee 😅
Yaan Mzee said hataki kabisa kumsikia wajina wake saidoo anabaki msimbaz
mwambie mzee said asikope pesa ya kuku ntamtumia mimi siku saidoo anapewa THANK YOU
Mzee..Said.mungu.akupe.uzima.milele.mana.unatupa.flaa.sana..
Mimi ni mtu wa yanga napenda nimtumie gift 🎁 Mzee Saidi
Saidoo tayr bado jobe ili mzee saidi aanze kunenepa😅😅😅
Mzeee side wajina wa Saidooo like zake jaman zije kwangu
Saido naye kapewa THANK YOU
Naomba kupatiwa namba ya mzee Saidi nina zawadi yake napendaga anavyochambua na kuongea kwake tafadhali. NAITWA ADAM. K.
Mpeni namba jamani
Chukua hiyo number hapo mpigie CHAGAMBA moja kwa moja atakupa namba yake kirahisi tu , tumkumbuke mzee Said .
Chagamba hili ombi tunampa kila siku hatekelezi
Jamani mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee Said nkikuskia tuu safari yangu naitembea usiku alafu naweka mahojiano yako naunganisha kwenye Bluetooth na speaker za radio ya gari basiii nakula zangu burudaaaaani😂😂😂
prezee chee pereee cheleee daaah mzee saidii😂😂😂😂😂
mZee said 😅😅😅watuvunja mbavu et goli nilibaki tu ayaaaa goli 😅😅😅 comedy sana na Saido kaachwa sasa kesho 12 mapema tu😂😂❤❤❤
Chagamba mtafute mzee saidi tayari huku mtu wake saido kashapaa 😅😅😅
Huyu Mzee Uwaga Ananitowa Stress Kwa Kwelii❤🎉😂😂
Aziz ni kweli alikuwa dodoma na diarra walialikwa na Antony Mavunde kwenye mech ya hisani tena akatupia attrck 2 na mipira yote 2 kamzawadia mheshimiwa
Ilikuwa lini hiyo
@@Carolina-sm5zt juz tu ni siku tatu zimepita
Saidoo ashapewa thank you mzee said atafurah hatar
Chagamba mtafutie mzee Saidi matangazo anajuwa sana kutufursisha
Najua mzee said kuanza Sasa utakuwa na furaha sana❤❤❤❤
Oya chagamba naomba nitumie namba ya mzee said napenda sana kumsikia huyu mzee
kama umechoka kuongea funga kipindi tuondoke😂😂mzee said lawuuuu kaongeza mkataba costo😂
Yeah ni kweli kabisa JOHN BOKO anastahiri kuagwa na kwa heshima
saido ashaagwa jamn Mzee wetu
Number ya huyu mzee naomba nimtumie hela ya kuku
Ambaye ameambiwa atakuwepo sana ni pa omar jobe ngunguz anasema kuvunja mkataba wake ni vigum
hatimae karudi tena mzee Saidi
Kaka Chagamba nakufananisha sana ivi sekondari umesomea Mkoa wa Tabora au maana machoni sio mgeni
Mzee anafraisha sana
Simba nguvu moja
Chagamba utakuja kupigwa siku moja mzee hataki kusikia neno saidoo😅😅
Eeh!! Chagamba taja halaka😂 mze said umenflahisha sn😢😢😢
Ile siku mzee saidi atakuwamba makofi chagamba utajua haujui 😅😅
Hafu Mzee kama komedi iv mana uongeaji wake mpaka ucheke
Saido Tayari akapewa thank you ,Tunakula wapi kuku mzee Saidi
Haya saidoo tayari kesho nenda kwa mzee said
Mzee said🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Haya ni mahojiano bora sana kwakweli
Mzee saidi anaita hamisa mobeto 😂😂😂😂
Mzee said kama umechoka kuongea nawew funga kipind tuondooke😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🤩🤩🤩🤩
Jina sasa shughuli dah mzee side bwana eti anamkono mrefu😅😅😅
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ xana mzeeehe said nakukubali
mzee said namkubali
Raha sana kumsikiliza mzee said mungu ampe mzee said maisha malefu
Mzee said chonde asije kufungiwa
😂😂 mzee said nimechoka kuomba no yako kwa chagamba
Chagamba anatukosea sana
Saidooooooo😂😂😂😂😂😂😂
TUNASUBIRI YA SAIDO 😅😅😅
Mimi mshabiki wa yanga lkn sijawaikosa kumforo huyu Mzee side
Wa kwanza mm
Huyu mzee ni comedian tosha
Mzee said heshima yako!! Nahakikisha namaliza kaz zngu zote ndo naanza kumuanglia Mzee said
Chagamba bhana 😂😂 yaaani unapenda sana kumchanganya mzee side 😅😅😅
"THANK YOU SAIDOO" Tunao msubiri mzee Said tujuane hapa!
mzee Saidi hta nami naumwaaaaaa😅😅😅
Saidoo kasepa mzee saidy mnyamwezi mwenzangu
Mzee said mbona mkunde mlimtupa yanga wakamkota na sasa boko
😅 maguguja
Chagamba saidoo ameshapewa thank you fanya umrudie tufurah
Pole mzee said nikwel aupo vzul
Tulio kua tumemmiss mzee said tujuane 😂😂😂😂
😅😅😅 visigino nbele na vidole nyuma
Mzee saidi bana Jin aziz k😅😅
Mzee side kama side mnyamwez
Mzee kumbuka yule ni saidi ni somo wako
Huyu mzee aongezewe hela
Huyu mzee na saidoo dah!
Mzee said umenichekesha
Ila mzee Said hatambui mwenye shida Simba, ni Mo! He has not clue
mzee said huyo kijana anakuliwaza tu chama tayali wanaume wamembeba amia na wewe yanga timu ya wanaume
Kwakweli namkubali sana Hutu mzee
Naomba jaman Mzee Said peke yake ndio ahojiwa masuala ya mpira wetu😂😂😂
Dah!
Hila Mzee saidi hanafulahisha sana
We Chagamba na Mzee Saidi ni Comedy mnafurahisha kipindi kimechangamka Kongole kwenu
Mzee said chama aondoke tu anatumika sana na manala
Magori siyo muhaya ni mkurya.
Subutuu kinyamwezi kbsa ahaha
SUBUUUUTU....😅😂😂
Mzee said hongera uyanenayo swadakta allah akulinde akupe afya njema na umri mrefu lakini saido teyari kwisha habari yake kuku wetu vipi ss😂😂😂
Pape ndaw Mr hirizo
Mzee Said shida mliitengeneza wenyewe, mlipoanza kutangaza mnajiunga na fei kuomba afunge magori mengi. Na sasa mngekuwa ninyi na magori mengi mngeshika nafasi ya pili.
Chagamba mbona kigugumizi nondo na job unapita nananiiiii😂😂😂😂
Mee said upo vizur
CHAGAMBA MWAMBIE MZEE SAID KUWA SAIDO TEALI HUKU😂😂😂😂😂😂😂
🎉🎉
Jamani tumchangie Mzee said apate hata gari la kutembelea ....huyu Huwa ananitoa stress
Hawatupi namba
Chagamba uyumzee anatutoa anatufariji manenoyake usimuaache
Huyu mzee saa ingine khaa😂
Saidoo kapewa thank you mzee said atafutwe tupewe raha ya uchambuzi 😂😂😂
Mzeee saidi
Chagamba huyu Mzee usimuache tunamfuatilia sana Mzee said anaweza huyumzee anawanyosha
Yan mzee hapo kwa sakho mwenyew huwaga nakumbuka sana
Oya chagamba tuletee huyo mzee said saidoo uko tayali shuliyake ishaisha teal
Mzeee Said ni mbeaaa😂😂😂😂🙌🙌
Mzee Said shikamoo 🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂
Nikionaga interview za huyu Mzee huwa na enjoy sana😂😂
funga kipindi chagamba😂😂😂😂😂😂😂
Mzee Said dua lako limesikika
Saudade de vovó Saídi.
Ayaaaaaaa.......goli.......🤣🤣
Chagamba tupe namba ya mzee said bhana! Mzee saidi anatakiwa kuhojiwa akiwa na suti