SIMBA SC 4 - 2 AZAM FC: MAGOLI YOTE: (NGAO YA JAMII: 17/8/2019)
Vložit
- čas přidán 16. 08. 2019
- Simba SC imetwaa NGAO YA JAMII kwa kuichakaza Azam FC kwa mabao 4-2 huku usajili mpya wa wachezaji wa Simba SC ukifanya vizuri. Shaaban Chilunda ameanza kuonyesha makucha yake kwa kufunga goli baada ya kurejea nyumbani akitokea Hispania. Mchezo ulikuwa LIVE Azam Sports 2.
- Sport
Uyu shiboub anakera uyuu alie ona agonge like ming sana
Kwa Simba hii hapa bongo watapata tabu sana
Kabisa
@@egnokinunda6959 IGA ufe😂😂😂🔥🔥🔥🔥
@@mzeewajambo8293 umeona eee
Xio bong 2
@@meshackmgoba6347 namaanisha wakija taifa wapinzan wowt wa ndan na nje
aliyeona kama mimi chilunda akishika kichwa🙉🙉 kabla chama hajafunga goli latatu..😂😂#next_level
Dahaaa mi ndo naona Leo jamani
Nimeifatilia mpaka nimeipata 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daah nimeona
@@breackychangwe7326 mvhif
Mie wapili jaman naombeni Like za kutosha hasa wale watu wangu wa nguvu kutoka UNYAMANI
Kwel mambo nimengi jaman
lugano stewart Othumani zubelh
lugano stewart ybc
Fhi
lugano stewar
SMIBA CB
Kama umeona shabani chilunda anashika kichwa Baada ya chama kupiga chenga gonga like
Had nimemuonea huruma jaman
Nimeona bro 5:26 😁😁😂
.😂😂
Ataxhika mpaka miguu
fredy mjindo severine poa sana
Kama unaunga mkono kauli ya baraka mpenja kichwa cha tani moja nipe like za kutosha😂😂😂😂🥰
😜😂😂😂😂😂
Hongera simba taifa kubwa "
Barak yupo sawa ktk kutangaza namkubali
Mnyama ana unguluma anapo una fisi zina sogea
Nooma
Kama unaamini kuwa kahata ni fundi gonga like twende zetu
GIDION MCHEMBE xn
Nakubali xn
@@athumanseleman4353 saw
Kutangulia mbel c kufika this is the simba makombe tutachukua back to back haji manara ulisem waige wafe tu rah sana simbaaa👏👏👏
Khadija Khadija wacha weeh, furaha kama yote!
Khadija Khadija msudan kachomoa transformer sheli😂
@@salminmvuoni4191 nakwambia
@@mnzavachris5423 mwee furah lazim ukiwa simbaaa
Khadija Khadija ila chura unalo ss ttzo 😀
Baraka mpenja ndie mtangazaji bora wa Mpira Afrika mashariki na kati,Nani anabisha
Makuwango Jnl Aaah kuna jamaa Anaitwa Babaa Nurat Mfuga Njiwa a.k.a Mkata umeme anatoka Sibuka Fm 94.5 Dar (Unamfahamu?)
Naanzaje kubisha
yanga naruvu
5 t ça
@@Basagamp4 ... v
Simba haizuiliki wametangulia wakajishauuwa moto umewawakia This is simba
Keel simba ni moto
Leo ndo nmeelewa maana ya neno iga ufe na this is next level simba nguvu moja💪💪
Simba tujuane apa like zako
Penda sana simba
"wapo wp waliomfananixha Na msanii flani hivi*" huyu ni🔥🔥🔥🔥
Hii SIMBA wallah watu wataendelea kuteseka sana lol.YNWA
Taaaaaaam
Mhmhm
Poa
Next level shibobo sio wamchezo
🔥🔥🔥💪💪simbA yamwakahu jamani uwanja wataifa teams ziwe makini asije mtu akapigwa 200 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😁😁😁😁😁😁😁🙏🙏🙏🙏
🤣🤣 yaaan siy p
Shiboub king of tanzNia 🇸🇩🇸🇩🇸🇩❤️💪🏾
Nan kawaambia kulala barazan ndio kuwahi kuamka simba itabaki kuwa juu tn mawingun
Bwana wewe naipenda Sana Simba yangu
Utaachaj kuipend timu bora kama hii
Ibra Line itabaki kuwa juuu
@@zuhuraiddy8539 yyyi
Upo m babaa
Nakubal kwa kwel this is simba
Iga ufe hiyo ndiyo simba itabaki kuwa juuuuuuu
Vp.uko.
huyu sio kashata wala kashasha, ni Kahata😂😂
ISAKA MAHENGE 😂😂😂😂😂raha tu
Hahhahhhhhhhhhj
Yuko vizuri sana kahata
This is next level watapata tabu sana🤣🤣🤣
hongereni Sana simba kutoka jangwan
this is simbaaaaa chama babu kubwaaa😁😁😀❤
Sisi sio wjangwani ni wamsimbazi wacha kututukana
Awena Hemed kwa hiyo hamtaki pongezi au
Tuwekeen highlights hrk jmn tuangalie ule udambwi
Dah kumbe upo saut ya rad asnt mungu aku afu
Junior Benito kwa smba i
Chilunda alijua goli mapema ndio maana kashika kichwa...
Shikamoo chama
Kwasimba hii watapata tabu xana ndani na nje ya ligi kudadeki
Shaibooooob 🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩
Simbaaaaa ndio kila k2
Watapata tabu sana ndg zangu watani zangu wotee 19 wa ligi kuu zaidi kwasukwasu
Duuuuuuuu
*Shiboub Mzee Wa Kuchomoa Betri 🤣🤣🤣🤣*
MuddY DamdeOk ni Atari sana
@@emanuelymungubarikisimbaok9767 *hatar Sana Hapo Kwa MKAPA Tuwe Nasubr tu Betri Zitachomolewa Sana 😆😆😆😆*
Vgfhd
Dilunga mbaya Sana uyu kijana
Simba nguvu moja 😝😝
Yani ayo mazoo ezii 2 mtapatatabu sana
Wakwanza leo like zenu
ogopa roli la mafuta ukikuta limepinduka, weka mbali watoto
Simba hii bhana hatar
Namkumbuka shiboub big up sana 👍👍💯 ubarikiwe popote ulipo mungu akujalie, akulinde
Shibobu na uchebe nawakumbuka xn huyu kocha tuliyenaye hatufai
Jaman huyu chama noma sanaaaaaaaa
Je umeona kama mm shibob alivochukia goli la pili la azam, gonga like
Chacha Dickson m
simba kagera
Mtangazaji nakupenda sana
Now ninaamini ile kauli ya manara,tutachukua back to back mara kumi! Kwa east Africa hakuna team ya kuifananisha na Simba
Charlie Junior hmm
GOR MAHIA 2: 0 SIMBA bure kabisa
Samuel waing0 Gor Mahia 0 : 2 AZAM..wajaluo buure kabs!
Ngoja upatane na Gor Mahia aka Sirkikal ndiyo utajua hujui..
Cosmas Ogweno kaka Simba iliyocheza na gormahia hawakuwepo Simba kamili,Haya ombeni game hata Leo kama Hamjafungwa 5 halafu hivi Gormahia na Power dynamo ni team ipi nzuri? Maana najua gor wameondoka wote muhimu kuanzia tuisenge na akina kahata
shibobo kachomoa betri ndo tabu ilpo anzia 🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhhhh umeuaaa kaka
na moto ukalipuka kabisa au sio
Gasto Swai atari sana
mwaka huu wataiso no
Simba iliyokuwa Bora sanaa haitokuia kutokea
Simba bila okw inawezekana
kwa hali hii Mimi ni yanga lakini nakiri kuwa simba (baba wa taifa ) mwaka huu hatopoteza mechi hata moja labda droo. Naomba muitunze huu ujumbe wangu .
HATARIIIII... Mungu saidia siasa zisije kutuharibia
Naamini maneno yako
Wewe mtangazaji hujui kama Tim yanyumbn hayo maneno yako chunga sana nahiyo mic ni ya nyumban nooma simbaaa
2mewanyosha
Mwan simba like kam zot👍👏
Hatari faya mpaka watu wakazimia uwanjani😀
BILDAD TV nani tena hao!
@@mnzavachris5423 YULE MCHEZAJI WA AZAM ALIYEPAA JUU NA KUANGUKIA MGONGO
BILDAD TV dk gani?? 😀
Simba mungu anawaona ujue sio kwakipigo hicho🔥🔥🔥🔥
Yasin Makengwa
Nimeludi Tena kuja kumwangalia mwanetu idd Chilunda😂🔥👏👏
Mimi sio mpenzi wa Simba lakini msema kweli mpenzi wa Mungu naomba tff wawape kombe lao sujaona timu ya kuifunga Simba msimu huu sio kwa kiwango hicho dah hatari 🔥🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥
Hahaha umeona mbli wew zawad inakusubilia ujue 0657540645 wasp chapu
Huyu shiboub ni nyoko+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
kaka upo wapi we ni simba pia eeh .na mie nipo qatar ain aziziya karibu na villagio mall 33713365
@@jebace me nipo alatia
Hongera simba na chama langu kwa matokeo mazuri mlioupata,tukaze but I safari bado ni ndefu tunaitaji muunganiko kam teamwork tufanikiwe zaidi,.pia tuna makosa madogo madogo tunayafanya has a making tuna pia hamn ukiwa magoli tunaruhusu kizembe has a muunganiko wa kipa na mabeki tusikumbali kuonyesha udhaifu tuimarike na kurekebisha makosa hayo madogo KWENYE safu ya ulinzi
Chama anapoteza mda simba ana kiwango cha kucheza ulaya
Kwa SIMBA hii kiukwel yanga na tmu zngne mjpange sanaa mcmu huu
Ferouz masoud Hii Simba sc sio nzuri jaman Ubaya wake ukitaka kuuona Itangulie kuifunga Hapo kwa Taifa ndipo Utakiona cha moto cha mtema kuni kuwa nimeanzaje kutangulia kuifunga. Habari wanayo Nkana na Vita club. Hawataki kabisa kuisikia Simba
Hamna hata mtanzania aliefunga kwa upande wa simba
@@mohamedjuma4692 ,kwani waliofunga ni wa timu gani? Na nyie huko azam kwanini watz wasifunge?
Nakubar chama langu la simba
Shiboub king of Center
mungu ibaliki simba kwenye mchezo zidi ya mtibwa
Raha sana jomon
San dear
Khaaaa,haya bana this is zimbaaaa
Simba ni 🔥🔥🔥
Kesho yanga ikifungwa nahamia SIMBA
🤣🤣🤣🤣🤣Ndo usubirie kufungwa na lazima hiyo
Mbona unaniombea mabaya
@@jamesmoses375 yang hakun wachezaj ispokuw ni mfano wa wachezaj 😂😂
@@jamesmoses375 mzee yaswe maneno eka no yko APA
@@khadijakhadija6212 Aina kuulza iyo
Sio poa
Ni noooma!! , dah! mtoto halali na pesa, this is simba,!!
Naikubali sana igemu
Simba damu uwaaaaaaaa
weka ndani ewe shibooooooo!
Et unasema
Mor Lov zeboy shibooo ni noma
Machungu ya okwi yamepungua
Junior Benito bado sana.,kimataifa nafkr pengo lake litaonekana sana ani!
Kwangu nitamkumbuka zaidi Kotei kuliko huyo okwi
Mohamed Idd umenena!
Wabongo mnashida kwan ulkuw nausajl wa kudumu simba wao ni kinanani mbaka wasiondoke simba au kuondoka kwao ndo cmba haito fankiwa eb tumien akl
Bongo Tech kuna mtu umemuona aliyesema simba haitofanikiwa
kwa simba hiii
Nani huyoooooooooo
diamond video
Katuni
Shiboboooooooooooo
Naona kahata ana fanya mambo
Kama unakubaliana na Mimi kuwa simba hii haijawahi tokea na viumbe hawa 🐸🐸🐸kisHaaaaaa like hapa
we cheza ligi kuu simba hana lolote
Unyama sanaaaaa
Hakika hii ndo furaha tuliyokuwa tukitafuta kwa musa mrefu, Mungu hamtupi mja wake
بالتوفيق سيمبا بالتوفيق شيبوب
Sana
Vide diamond
SIMBA baba Lao 👊
Simba itabaki kuwa juuuu
Mi nawashukuru sanaa Azamtv Kwa kuweka Highlights
Nawaomba muwe munaweka kila mechi
مبروك عليكم
Yaan nimefrh wwwww vzr
Simba have a good team
Kwa Simba hii tusubiri tena kuweka rekodi ya kubeba ubingwa bila kufungwa tena!
Gabu Rica kweli
Xana
Nan bingwa kama simba munyama mkali huyu
Wako wapi wanaomfananisha na msanii flan hv 😀😀😀👉👉🐸🐸🐸 Baraka Mpenja the Commentor in East Africa Kongore Broo
Chama baba
Beki simba matatizo makubwa. Wawa uchochoro
Kumbe kikosi B Azam ndomaana mambo yamekwenda sivyo ndivyo.
Iki kikosi nakimiss sana
inawabidi watanzania wote muishabikie simba tu!
Simba hi mtasubiri sanatu wanavura
Daaah kwa heli chama
Sawa kabisa
Nakuri chama rangu
Duuh, sioni kabisa gap la okwi, asante simba, ushindi wetu na ndo furaha yetu, mambo ni motrooooo#mnyama#anafanya#miracles, waambie #wanaopinga#wasijioverdose
Simba dangerous
Triple c doctor wa mpira duniani
Kali kweli