THE CLASSIC Q CHILLAH EP PT 2:WANA PESA LKN HAWANA KIPAJI/TUMERUDI KUWAONESHA/SICHEKEI WANAONHARIBIA
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2024
- Hii ni sehemu ya pili ya maongezi ya Q Chillah ndani ya The Classic ambako katika episode hii anamwaga cheche juu ya mambo mbali mbali yanayomtatiza kwenye game
nyie haya maisha dah unaweza ukawa unapitia shida ukajikuta unaingia sehemu ambayo uwez takiwa chilla leo anamini ni chief
Ila jabir una hekima sna me ningemfukuza kabisaaa
Jabir wewe ni bonge moja la presenter bongo yetu mzee kuna maswali unayauliza kikubwa sana maua yako mengi sana kutoka kwangu
Shukran sana ndugu
Kukwama tumekwama kweliii bro Kuvi, alichoseam chillah yu sahihi. Tunapataje tuzo za kimataifa bila ya kuwa sound wetu wenyewe???! Sound tunazo nyingi tunakosaje ubunifu ktk hizi sound zetu??! Yu sahihi hapoo chillah.......mbele kabla yakupewa hiyo tuzo wanauputia kweli wimbo hata km nimkali kiasi gani. Sound husika ni muhimu lkn km tutaendelea kuimba km wanaijeria au wasouth africa tutabaki hapahapa tuu.
mimi ninavyojua ngoma za mwanzo za qchief ni ile ya mpigadebe - mzimunifamily
Ile ngoma alishirikishwa tuu na mzimuni family haikuwa yake jamaa.
jabir unajua sana
Shukran sana
noma sana kuvi fact a.k.a emir selim wa Algerië 😂😂😂😂
Hahaha
Jabir unauvumilivu na hekima kweli huyu mtu mimi ningemtowa studio kwa namna alikuwa na ktaka kukutowa kwa reli kupenda kuongelea usivyo muuliza daah
Yaaaah kuna kipindi chillah alikuwa anatoka kbs ktk reli mpk sasa nkawa nahisi enheeeee yale nliyokuwa nina wasiwawasi nayo yanaweza kutokea.😅
Ndomaana hujawa mtangazaji