THE CLASSIC Q CHILLAH EP PT 2:WANA PESA LKN HAWANA KIPAJI/TUMERUDI KUWAONESHA/SICHEKEI WANAONHARIBIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2024
  • Hii ni sehemu ya pili ya maongezi ya Q Chillah ndani ya The Classic ambako katika episode hii anamwaga cheche juu ya mambo mbali mbali yanayomtatiza kwenye game

Komentáře • 14

  • @user-kk7re2jl8y
    @user-kk7re2jl8y Před 4 měsíci +2

    nyie haya maisha dah unaweza ukawa unapitia shida ukajikuta unaingia sehemu ambayo uwez takiwa chilla leo anamini ni chief

  • @user-kk7re2jl8y
    @user-kk7re2jl8y Před 4 měsíci +2

    Ila jabir una hekima sna me ningemfukuza kabisaaa

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c Před 4 měsíci +2

    Jabir wewe ni bonge moja la presenter bongo yetu mzee kuna maswali unayauliza kikubwa sana maua yako mengi sana kutoka kwangu

  • @mackamehassani201
    @mackamehassani201 Před 3 měsíci +1

    Kukwama tumekwama kweliii bro Kuvi, alichoseam chillah yu sahihi. Tunapataje tuzo za kimataifa bila ya kuwa sound wetu wenyewe???! Sound tunazo nyingi tunakosaje ubunifu ktk hizi sound zetu??! Yu sahihi hapoo chillah.......mbele kabla yakupewa hiyo tuzo wanauputia kweli wimbo hata km nimkali kiasi gani. Sound husika ni muhimu lkn km tutaendelea kuimba km wanaijeria au wasouth africa tutabaki hapahapa tuu.

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 Před 4 měsíci +1

    mimi ninavyojua ngoma za mwanzo za qchief ni ile ya mpigadebe - mzimunifamily

    • @mackamehassani201
      @mackamehassani201 Před 3 měsíci

      Ile ngoma alishirikishwa tuu na mzimuni family haikuwa yake jamaa.

  • @ishemwabulayusuph5418
    @ishemwabulayusuph5418 Před 3 měsíci

    jabir unajua sana

  • @fredrickkakila9392
    @fredrickkakila9392 Před 4 měsíci +1

    noma sana kuvi fact a.k.a emir selim wa Algerië 😂😂😂😂

  • @svt3
    @svt3 Před 3 měsíci

    Jabir unauvumilivu na hekima kweli huyu mtu mimi ningemtowa studio kwa namna alikuwa na ktaka kukutowa kwa reli kupenda kuongelea usivyo muuliza daah

    • @mackamehassani201
      @mackamehassani201 Před 3 měsíci +1

      Yaaaah kuna kipindi chillah alikuwa anatoka kbs ktk reli mpk sasa nkawa nahisi enheeeee yale nliyokuwa nina wasiwawasi nayo yanaweza kutokea.😅

    • @salymkingungo5229
      @salymkingungo5229 Před 3 měsíci

      Ndomaana hujawa mtangazaji