Video není dostupné.
Omlouváme se.

WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2024
  • #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
    Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Komentáře • 175

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 6 měsíci +7

    Makavu live
    Wanyakyusa sio wanafiki
    Safii sanaaa

  • @RebecaAdam-js6ox
    @RebecaAdam-js6ox Před 3 měsíci +1

    Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia

  • @finetinah9784
    @finetinah9784 Před 6 měsíci +7

    Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka

  • @amisasadock6857
    @amisasadock6857 Před 6 měsíci +4

    Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni

  • @user-bd3zh2tn6u
    @user-bd3zh2tn6u Před 6 měsíci +3

    Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo Před měsícem +1

    Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa

  • @kinzupdate752
    @kinzupdate752 Před 6 měsíci +5

    apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU

  • @user-vk5nb4uz6h
    @user-vk5nb4uz6h Před 6 měsíci +5

    Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.

  • @officialngalya3062
    @officialngalya3062 Před 6 měsíci +5

    Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂

  • @jastinarts
    @jastinarts Před 6 měsíci +5

    Eliudi umeongea vizuri

  • @meshackngaboss1236
    @meshackngaboss1236 Před 6 měsíci +5

    WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 Před 6 měsíci +9

    Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu

  • @jamaliselemani850
    @jamaliselemani850 Před 6 měsíci +3

    Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 6 měsíci +10

    Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 6 měsíci +1

      Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 6 měsíci +3

    Mjuaji sana

  • @tonoboymwatonokaaa2862
    @tonoboymwatonokaaa2862 Před 6 měsíci +5

    Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 6 měsíci +7

    Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo Před měsícem +1

    Wakazi anabowa

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 Před 6 měsíci +13

    Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅

  • @kesphaanyitike7751
    @kesphaanyitike7751 Před 6 měsíci +1

    🔥

  • @user-ss7ko2hc5n
    @user-ss7ko2hc5n Před 6 měsíci +5

    Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂

  • @prospermwambeje5007
    @prospermwambeje5007 Před 6 měsíci +5

    Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀

    • @andrewmmbaga1665
      @andrewmmbaga1665 Před 5 měsíci

      Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 4 měsíci

      ​@@andrewmmbaga1665asanteeee

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 4 měsíci

      Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu

  • @joeandres9744
    @joeandres9744 Před 6 měsíci +5

    wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂

  • @moviekaa
    @moviekaa Před 6 měsíci +4

    Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂

  • @JosephmasanjaShilinde-jv9rh
    @JosephmasanjaShilinde-jv9rh Před 6 měsíci +1

    Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee

  • @bongorecaps3558
    @bongorecaps3558 Před 6 měsíci +2

    Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 6 měsíci +3

    Just coz u been to the states don't mean u know everything

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya Před 6 měsíci +2

    Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 Před 6 měsíci +2

    Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah

  • @user-qn4hs2jz1m
    @user-qn4hs2jz1m Před 6 měsíci +1

    Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před 6 měsíci +4

    Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 Před 6 měsíci +16

    eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂

  • @kyalagwamaka1550
    @kyalagwamaka1550 Před 6 měsíci

    Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?

  • @arostoyaoo7098
    @arostoyaoo7098 Před 6 měsíci

    safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k

    • @deusmbuge5740
      @deusmbuge5740 Před 6 měsíci +1

      Yeye mbona kuimba hawezi

    • @gwamakawilliam5895
      @gwamakawilliam5895 Před 6 měsíci

      Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei

  • @annamarychristopher1675
    @annamarychristopher1675 Před 4 měsíci

    sema eliudi anaconfidence

  • @samwelsalon6590
    @samwelsalon6590 Před 6 měsíci

    wakazi elimu umetoa✊

  • @jeremiasilla3586
    @jeremiasilla3586 Před 2 měsíci

    Wakazi we ni kengeee

  • @user-tx5pn3jd4e
    @user-tx5pn3jd4e Před 6 měsíci +2

    DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM

  • @user-zh5pb9tx2m
    @user-zh5pb9tx2m Před 6 měsíci +1

    Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 6 měsíci +1

    wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,

  • @user-dm7br6sl1i
    @user-dm7br6sl1i Před 6 měsíci +1

    wakazi ana akili uyo

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Před 6 měsíci +4

    Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Před 6 měsíci +1

    eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅

  • @ChoraKisiki-zz3ut
    @ChoraKisiki-zz3ut Před 6 měsíci +1

    Wakazi wakazigani snich uyo

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 Před 6 měsíci +5

    Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅

  • @zaunamoody7311
    @zaunamoody7311 Před 6 měsíci +2

    Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Před 6 měsíci +4

    Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂

  • @user-mr2ow1yi3g
    @user-mr2ow1yi3g Před 6 měsíci +1

    Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,

  • @user-ub1pq4dp1v
    @user-ub1pq4dp1v Před 6 měsíci +2

    Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 6 měsíci +2

    Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 Před 6 měsíci +1

    Wakaz we choko

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 Před 6 měsíci +2

    Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe

  • @kimbwapulekig8126
    @kimbwapulekig8126 Před 6 měsíci

    wakaz hajuaji kitu huyoo

  • @yohanamussa4134
    @yohanamussa4134 Před 6 měsíci

    Simjui huyu jamaa

  • @castorymakwanda4344
    @castorymakwanda4344 Před 6 měsíci

    Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji

  • @kafungorajab5897
    @kafungorajab5897 Před 6 měsíci +3

    Leo wakazi kayatimba😂

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Před 6 měsíci +2

    huyu tangu aende marekan kila kitu marekani

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 6 měsíci

    Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 6 měsíci

    Wakazi acaha ujuaji

  • @shearbytz
    @shearbytz Před 6 měsíci

    Washekeshaji 😮

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 Před 6 měsíci +4

    mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅

    • @Geeze905
      @Geeze905 Před 6 měsíci

      Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Před 6 měsíci +1

    Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc Před 6 měsíci

    Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.

  • @user-eu3ed2uy6b
    @user-eu3ed2uy6b Před 5 měsíci

    Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před 6 měsíci +1

    Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 6 měsíci

    Nafasi gan anayo uyu wakaz

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic Před 6 měsíci

    Wakazii Wakiiii😂😂😂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 6 měsíci +1

    Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 6 měsíci +2

    Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 Před 5 měsíci

    Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud

  • @lwitikomayele5819
    @lwitikomayele5819 Před 6 měsíci +1

    "Mafanikio sio lazima aprove wakazi"

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Před 6 měsíci

    Rich anacheka tuu😂😂😂

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e Před 6 měsíci

    Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před 6 měsíci +1

    Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa

  • @BENGO.SKILLS
    @BENGO.SKILLS Před 6 měsíci

    Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo

  • @eaglenotorious2527
    @eaglenotorious2527 Před 6 měsíci +2

    Opposite na IKULU😅😅😅

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před 6 měsíci +1

    Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 Před 6 měsíci

    kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea

  • @robertsimfukwe1097
    @robertsimfukwe1097 Před 6 měsíci

    Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake

  • @fizzozimba
    @fizzozimba Před 6 měsíci

    Kipaji juhudi na bahati

  • @bandit3779
    @bandit3779 Před 6 měsíci +2

    Eliud ni moto na Question ni hatarii

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 6 měsíci

    Eliud vs yombo hapo vp

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před 6 měsíci

    Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔

  • @gwamakawilliam5895
    @gwamakawilliam5895 Před 6 měsíci +1

    Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 Před 6 měsíci

    Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 6 měsíci +1

    Ebuu chekesha ww wakaz tuone

  • @user-mr2ow1yi3g
    @user-mr2ow1yi3g Před 6 měsíci

    Anataka tu, nayeye ku treend

  • @ministererickluhanga810
    @ministererickluhanga810 Před 6 měsíci

    Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před 6 měsíci

    Kil kitu anajitia anajua

  • @patrickpatrick6386
    @patrickpatrick6386 Před 6 měsíci +1

    Wakazi kajifanya mzungu eti

  • @isaacknjuguna6398
    @isaacknjuguna6398 Před 3 měsíci

    Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye

  • @kanchuninja
    @kanchuninja Před 6 měsíci

    Wakazi chizi

  • @adelinatate9704
    @adelinatate9704 Před 6 měsíci +1

    Hahhahahha mmuweza,hakuna ajuacho kwa comedy 😅

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 Před 6 měsíci +1

    Kwani uyu jamaa ninani 😢

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 Před 4 měsíci

    Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha

  • @kennyclever524
    @kennyclever524 Před 5 měsíci

    Tatizo la wakazi ni kwamba yeye huwa ni mjuaji

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l Před 6 měsíci +3

    Huyu wakazi mbona simjui

  • @mwansasu
    @mwansasu Před 6 měsíci

    Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi

  • @user-if6xd4hz4p
    @user-if6xd4hz4p Před 6 měsíci

    Wakazi amna kitu madudu matupu izi alisema hayati you know America