Video není dostupné.
Omlouváme se.
WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA
Vložit
- čas přidán 11. 01. 2024
- #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Makavu live
Wanyakyusa sio wanafiki
Safii sanaaa
Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia
Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka
Wakazi mjuaji sana
Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni
Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏
Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa
apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU
Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.
Ndo nani kwani😂
Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂
Eliudi umeongea vizuri
WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII
Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu
Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa
Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu
Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂
Mjuaji sana
Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi
Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho
Wakazi anabowa
Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅
🔥
Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂
Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂
Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀
Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu
@@andrewmmbaga1665asanteeee
Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu
wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂
Sanaaaaa big up wanyakyusa
Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂
Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee
Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn
Just coz u been to the states don't mean u know everything
Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani
Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah
Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya
Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣
eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂
Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?
safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k
Yeye mbona kuimba hawezi
Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei
sema eliudi anaconfidence
wakazi elimu umetoa✊
Wakazi we ni kengeee
DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM
Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani
wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,
Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..
Wew unafanya nini?
wakazi ana akili uyo
Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi
Yaan hawalazi damu
eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅
Wakazi wakazigani snich uyo
Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅
Kusema ukweli ndo shombo
Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔
Hata mi ,ndo nani
Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂
Kabisa yupo vzr
Wanyakyusa hatuogopi
Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,
Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅
Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge
😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi
Wakaz we choko
Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe
wakaz hajuaji kitu huyoo
Simjui huyu jamaa
Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji
Leo wakazi kayatimba😂
huyu tangu aende marekan kila kitu marekani
Mshamba huyu mbuzi
Hahahah
Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni
Wakazi acaha ujuaji
Washekeshaji 😮
mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅
Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂
Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki
Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.
Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw
Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?
Nafasi gan anayo uyu wakaz
Wakazii Wakiiii😂😂😂
Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?
Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,
Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud
"Mafanikio sio lazima aprove wakazi"
Rich anacheka tuu😂😂😂
Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu
Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa
Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo
Opposite na IKULU😅😅😅
Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂
kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea
Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake
Kipaji juhudi na bahati
Eliud ni moto na Question ni hatarii
Eliud vs yombo hapo vp
Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔
Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?
😅😂
Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo
Ebuu chekesha ww wakaz tuone
Anataka tu, nayeye ku treend
Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda
Kil kitu anajitia anajua
Wakazi kajifanya mzungu eti
Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye
Wakazi chizi
Hahhahahha mmuweza,hakuna ajuacho kwa comedy 😅
Kwani uyu jamaa ninani 😢
Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢
Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha
Tatizo la wakazi ni kwamba yeye huwa ni mjuaji
Huyu wakazi mbona simjui
Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi
Wakazi amna kitu madudu matupu izi alisema hayati you know America