#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 20. 12. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Mbn Msemaji Aliefungiwa Amesema Kijana Ana Mkataba Hadi Juni 2024
Job
vilabu vyetu vimekuwa vikiwathamini sana wachezaji wa nje kuliko wa ndani, hizi ndio athari zake, mchezaji akishawishika kidogo tu anawaacha maana anatafuta maisha, mimi sioni utofauti kati ya Djuma Shabaan na Kibwana Shomari mpaka wawe ne tofauti kubwa ya kimshahara kiasi kile
Usicho kijua ni usiku wa giza ... kaka mikataba ni jinsi unavyoongea na timu ... Kibwana alipokuja Dar alikuja kwa hao hao wanaomtaka ... Yanga wakakubaliana naye baada ya kutelekezwa nao ... uongozi mpya ndio umekabidhiwa ripoti ya fedha juzi na uongozi uliopita ... km mchezaji atajifanya hataki kuelewa anaweza kwenda huko anapokutaka km Gadiel Michael au Frank Domayo halafu tuone itakuaje
Yani kibwana unamfananisha na Djuma ? Kibwana bado Sana level za Djuma
Kojoa ukalale..😀😁😁😁
Iko hivi, mchezaji wa kimataifa unaweza ukaona ana mshahara mkubwa kumbe faida anayopata ni sawa au chini kuliko mchezaji wa ndani, ukitaka wa kimataifa nae apewe 3,000,000 au 5,000,000 kwa mwezi unatakiwa ufikirie pia mtu wa nje ana Kodi nyingi hapa nchini, Makato ni makubwa pia na upataji wao wa huduma ni ghali tofauti na mzawa so kwa kifupi Haina maana ya upendeleo ila ni kujali Yale mahitaji yao. Unaweza kuta huyo Djuma Shaban mshahara anaopokea kwenye makaratasi ni mkubwa ila kiuhalisia Feisal anamzidi mshahara.
@@TonnyCaesar nakubali milioni 2 kwa 10 jamai?
Mbn naona watu wanamponda Sana wakudereee bahat yao nip mbari mbeya ningefik nao watu tunafurahia zaandan anafufua makabur jitu linatok uko limeshiba kisamvu kelele nyingi
Kutoka dili la kwenda nje hadi kuja kwa wapinzani kwakweli mzee wa za zandaan udalali unauweza
...Muongo sana wee Mandevu😛😛😛😛😛😭😭😭
...Unazitoaga saut
Kumwembe fala eti kwa boti 🤣 mnatupoteza makusudi wakati mnajua ni Moro 🤣
shabalala
Abood
kibwana uyoo
Dickson job ndo anatokea moro
@@raphaelkisungura8398 kwani kibwan anatokea wp?
Mbarali
@@raphaelkisungura8398 sawa
Mbamba tu hizo mpo kwenye campaign
Wanamtaka Mchezaji wetu Mzamiru hao utopolo
Hii kama kweli job anaondoka tutapigwa na kitu kizito sana..haya tusubiri tuone itakuaje!
Mwamnyeto na baca ndy watapata namba
Wakulipa million 200 kolo au basi hawana lenyewe wanatumia kilikuu kiufupi tu kwa sasa hakuna mchezaj anaweza kutoka yng akaenda simba ' simba hawana hela sasa hv kama mAnzok imekuw story miak 2 now
Yanga wamuache Dickson job ili achukue hiyo 2
Mh
Waandishi wa habari ni Makolo! Kazi yao ni kuitoa Yanga kwenye michezo.
Lakin Yanga tuko vzur kwa SASA ⚽⚽
Ujue huyu momo anaongeaga kama masihara hivi ila ukifatilia baadae inakua kweli
Kama inaukweli vile ila kwa mshahara na sajili yake M200 ni kama umetupanga vile
Muda wa kupeana promo asa wangekua na milion 200 c wangemsajili mamzoki kwanza😂😂 hizo ni porojo za kumuongezea Thamani mchezaji
Haka kanapewaga hela kupromote wachezaji
Hahaha Mzee wa kudere Leo ndo umeingia Chaka kabisa ,najua Kuna masirahi ktk Hili wakala kakuahidi kitu iliuke uishake kidogo yanga ,yanga ni kubwa ataondoka hata huyo then tutampata mbadala ,akin tshishimbi, yondani, kakolanya wapo wap now
Selemba
Subutu
Dickson Kazi... 😄 🤣 😂
Huyu jamaa Hamna kitu kabisa Yan yeye yupo na yanga tu ameanza na feisal Sasa yupo na jobu hakuna mchezaji ambae Yuko tayari kuondoka yanga Sasa hivi
KWEL YANGA KUNA VIPAJ VINGI
Huyo n Dickson job
..Ata sikwamini kabisa
Bado hana thamani hy
Dickson Kazi
Eti milioni 10...mnaumwa malaria kali nyie...aende wakampe hiyo milioni kumi...
Huo ni mchongo umetengenezwa(G.Job & Mzee wa Kudere),,hapo anaingizwa mtu King ili apigwe pesa nyingi...!!
Hawa jamaa wanacheza issue hakuna Cha 200m Wala 10m ikiwezekana yanga nao wajarib t kumwambia aende , hili dili lomechezwa na wakala wake na Mzee wa kidele Ili D.job aongezewe mshahara na signing fee na
@@praygodmmari58505 Hata kama ni Deal ili Job aongezewe signing fee na mshahap, ra bado ni sawa kabisaa..kwani Job ana tofauti gani wachezaji waliopo Yanga wanaotoka Congo au Uganda???
Dickson Job
Nan kama sio job
Za Ndani Sana au sio MoMo, ila mi najua hizi ni Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa
Dickson job
Nyie mshahara wa mil 10 mnadhani ni kitu cha kawaida? Hakuna increament kubwa ya mshahara bila kuutumikia...yeyote anayetaka kuondoka asepe sisi tutaleta wengine...maleta udalali hapa ili mtemgeneze comission...
Kibwana shomariii
Fei toto huyo
Job
Dickson Job