#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 12. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 64

  • @lukandajr9356
    @lukandajr9356 Před rokem +1

    Mbn Msemaji Aliefungiwa Amesema Kijana Ana Mkataba Hadi Juni 2024

  • @kalebuenosh7694
    @kalebuenosh7694 Před rokem

    Job

  • @katalisajuka297
    @katalisajuka297 Před rokem +10

    vilabu vyetu vimekuwa vikiwathamini sana wachezaji wa nje kuliko wa ndani, hizi ndio athari zake, mchezaji akishawishika kidogo tu anawaacha maana anatafuta maisha, mimi sioni utofauti kati ya Djuma Shabaan na Kibwana Shomari mpaka wawe ne tofauti kubwa ya kimshahara kiasi kile

    • @fargakoigip6029
      @fargakoigip6029 Před rokem

      Usicho kijua ni usiku wa giza ... kaka mikataba ni jinsi unavyoongea na timu ... Kibwana alipokuja Dar alikuja kwa hao hao wanaomtaka ... Yanga wakakubaliana naye baada ya kutelekezwa nao ... uongozi mpya ndio umekabidhiwa ripoti ya fedha juzi na uongozi uliopita ... km mchezaji atajifanya hataki kuelewa anaweza kwenda huko anapokutaka km Gadiel Michael au Frank Domayo halafu tuone itakuaje

    • @titokwareh1852
      @titokwareh1852 Před rokem +2

      Yani kibwana unamfananisha na Djuma ? Kibwana bado Sana level za Djuma

    • @ronnyronny7503
      @ronnyronny7503 Před rokem +2

      Kojoa ukalale..😀😁😁😁

    • @TonnyCaesar
      @TonnyCaesar Před rokem +1

      Iko hivi, mchezaji wa kimataifa unaweza ukaona ana mshahara mkubwa kumbe faida anayopata ni sawa au chini kuliko mchezaji wa ndani, ukitaka wa kimataifa nae apewe 3,000,000 au 5,000,000 kwa mwezi unatakiwa ufikirie pia mtu wa nje ana Kodi nyingi hapa nchini, Makato ni makubwa pia na upataji wao wa huduma ni ghali tofauti na mzawa so kwa kifupi Haina maana ya upendeleo ila ni kujali Yale mahitaji yao. Unaweza kuta huyo Djuma Shaban mshahara anaopokea kwenye makaratasi ni mkubwa ila kiuhalisia Feisal anamzidi mshahara.

    • @katalisajuka297
      @katalisajuka297 Před rokem

      @@TonnyCaesar nakubali milioni 2 kwa 10 jamai?

  • @taffmgum2585
    @taffmgum2585 Před rokem

    Mbn naona watu wanamponda Sana wakudereee bahat yao nip mbari mbeya ningefik nao watu tunafurahia zaandan anafufua makabur jitu linatok uko limeshiba kisamvu kelele nyingi

  • @elasmongwaulanga3475
    @elasmongwaulanga3475 Před rokem +1

    Kutoka dili la kwenda nje hadi kuja kwa wapinzani kwakweli mzee wa za zandaan udalali unauweza

  • @shedraqeamos7703
    @shedraqeamos7703 Před rokem

    ...Muongo sana wee Mandevu😛😛😛😛😛😭😭😭

  • @shedraqeamos7703
    @shedraqeamos7703 Před rokem

    ...Unazitoaga saut

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Před rokem +1

    Kumwembe fala eti kwa boti 🤣 mnatupoteza makusudi wakati mnajua ni Moro 🤣

  • @tanzaboy4824
    @tanzaboy4824 Před rokem

    shabalala

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 Před rokem

    Abood

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Před rokem +3

    kibwana uyoo

  • @salehmwarabu6017
    @salehmwarabu6017 Před rokem +1

    Mbamba tu hizo mpo kwenye campaign

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Před rokem

    Wanamtaka Mchezaji wetu Mzamiru hao utopolo

  • @mohamedshah1700
    @mohamedshah1700 Před rokem

    Hii kama kweli job anaondoka tutapigwa na kitu kizito sana..haya tusubiri tuone itakuaje!

  • @idrisakassim3533
    @idrisakassim3533 Před rokem

    Wakulipa million 200 kolo au basi hawana lenyewe wanatumia kilikuu kiufupi tu kwa sasa hakuna mchezaj anaweza kutoka yng akaenda simba ' simba hawana hela sasa hv kama mAnzok imekuw story miak 2 now

  • @ericmwakyoma868
    @ericmwakyoma868 Před rokem

    Yanga wamuache Dickson job ili achukue hiyo 2

  • @godlistenmacha8098
    @godlistenmacha8098 Před rokem

    Mh

  • @victorlijaji6090
    @victorlijaji6090 Před rokem

    Waandishi wa habari ni Makolo! Kazi yao ni kuitoa Yanga kwenye michezo.

  • @rameckrobert9173
    @rameckrobert9173 Před rokem

    Ujue huyu momo anaongeaga kama masihara hivi ila ukifatilia baadae inakua kweli

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před rokem

    Kama inaukweli vile ila kwa mshahara na sajili yake M200 ni kama umetupanga vile

  • @kidulaally1479
    @kidulaally1479 Před rokem

    Muda wa kupeana promo asa wangekua na milion 200 c wangemsajili mamzoki kwanza😂😂 hizo ni porojo za kumuongezea Thamani mchezaji

  • @praygodmmari5850
    @praygodmmari5850 Před rokem +2

    Hahaha Mzee wa kudere Leo ndo umeingia Chaka kabisa ,najua Kuna masirahi ktk Hili wakala kakuahidi kitu iliuke uishake kidogo yanga ,yanga ni kubwa ataondoka hata huyo then tutampata mbadala ,akin tshishimbi, yondani, kakolanya wapo wap now

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 Před rokem

    Selemba

  • @kungule
    @kungule Před rokem +1

    Dickson Kazi... 😄 🤣 😂

  • @bashirumpalamba3627
    @bashirumpalamba3627 Před rokem

    Huyu jamaa Hamna kitu kabisa Yan yeye yupo na yanga tu ameanza na feisal Sasa yupo na jobu hakuna mchezaji ambae Yuko tayari kuondoka yanga Sasa hivi

  • @bentozgeorge5953
    @bentozgeorge5953 Před rokem

    KWEL YANGA KUNA VIPAJ VINGI

  • @godfreysangawe5489
    @godfreysangawe5489 Před rokem +2

    Huyo n Dickson job

  • @shedraqeamos7703
    @shedraqeamos7703 Před rokem

    ..Ata sikwamini kabisa

  • @tawfiqsaid4918
    @tawfiqsaid4918 Před rokem +1

    Bado hana thamani hy

  • @epasr1723
    @epasr1723 Před rokem

    Dickson Kazi

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Před rokem

    Eti milioni 10...mnaumwa malaria kali nyie...aende wakampe hiyo milioni kumi...

  • @ramaizmailov2104
    @ramaizmailov2104 Před rokem

    Huo ni mchongo umetengenezwa(G.Job & Mzee wa Kudere),,hapo anaingizwa mtu King ili apigwe pesa nyingi...!!

    • @praygodmmari5850
      @praygodmmari5850 Před rokem

      Hawa jamaa wanacheza issue hakuna Cha 200m Wala 10m ikiwezekana yanga nao wajarib t kumwambia aende , hili dili lomechezwa na wakala wake na Mzee wa kidele Ili D.job aongezewe mshahara na signing fee na

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před rokem +1

      @@praygodmmari58505 Hata kama ni Deal ili Job aongezewe signing fee na mshahap, ra bado ni sawa kabisaa..kwani Job ana tofauti gani wachezaji waliopo Yanga wanaotoka Congo au Uganda???

  • @winstonemugarula9601
    @winstonemugarula9601 Před rokem +1

    Dickson Job

  • @rashidhamis5320
    @rashidhamis5320 Před rokem

    Nan kama sio job

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před rokem

    Za Ndani Sana au sio MoMo, ila mi najua hizi ni Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 Před rokem +1

    Dickson job

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Před rokem

    Nyie mshahara wa mil 10 mnadhani ni kitu cha kawaida? Hakuna increament kubwa ya mshahara bila kuutumikia...yeyote anayetaka kuondoka asepe sisi tutaleta wengine...maleta udalali hapa ili mtemgeneze comission...

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem

    Kibwana shomariii

  • @thehunter5920
    @thehunter5920 Před rokem

    Fei toto huyo

  • @NeproMedia
    @NeproMedia Před rokem +2

    Job

  • @sebammari5443
    @sebammari5443 Před rokem

    Dickson Job