Video není dostupné.
Omlouváme se.

SIMBA HAIMTAKI MANULA KISA KIPIGO CHA 5-1 KUTOKA YANGA/ HANA MAISHA MAREFU/ HUENDA AIENDE PRE-SEASON

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 33

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +4

    MANULA CY KOSA LAKE HAPO KOSA LA VIONGOZINA KOCHA WAO NDY WALIOMPANGA MANULA ACHEZE KWENYE DABI. MNAMPANGA WAKATI AMETOKA KWENYE UPASUAJI MKUBWA. KOSA LENU VIONGOZI NA KOCHA. HAPO MLITAKA KUMTAFUTIA SABABU TUU

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před měsícem

    Wasaliti hawana nafasi Simba.

  • @user-hy4zb3eg1z
    @user-hy4zb3eg1z Před měsícem +3

    Msimu huu tunawapiga 7 mech ya kwanza ya Agosti 8

  • @ismailyaru679
    @ismailyaru679 Před měsícem

    Hana mpango Anauza sana mchukueni nyinyi mpelekeni katika timuyenu

  • @murshidyabdallah1356
    @murshidyabdallah1356 Před měsícem

    shida ni moja midia za bongo ivi kwan hamna mada nyingine kila mda simba kafungwa 5 kwan simba hiyo aikuwai kufunga yanga 5 au ni ivo tuh kwakua mmebaki kua mamluki wa yanga acheni ushamba fanyeni kazi mnaoijua uchambuzi wa mpira hamjui

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 Před měsícem

    Kama watamshtumu manula kuhusu 5 em turudie mchezo tuone Kama yeye anahusika
    Adi ufungwe ni waz kua waxhezaji 10 wote walishindwa kuficha mpira adi watu wanafika golin

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 Před měsícem

    Waaache lawama kikosi kilikua kibovu tu sio kumlaumu manula

  • @SunguraMmarekan-bs2lr
    @SunguraMmarekan-bs2lr Před měsícem +1

    Msituoangie anzisheni team yenu

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před měsícem

    Mwambie akafanye mazoez coco beach 😅

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před měsícem

    Si ameshapata duka? Yanga wakampe nafasi😅

  • @rosenyoni6426
    @rosenyoni6426 Před měsícem

    Duka la yanga kwa kipigo Cha 5-1 hapana aiseee

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg Před měsícem

    Yanga wampeleke

  • @patricknkinga7720
    @patricknkinga7720 Před měsícem

    Msitupangie kama vip anzisheni timu zenu nyie mnao kafanya vizur kupigwa goli 5

  • @Niika870
    @Niika870 Před měsícem +1

    Utopolo bhana 😂😂 Hatutaki maduka yenu msilete porojo zenu hapa baada ya maduka yenu kufungwa, Hatumtaki Manula tosha

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 Před měsícem

      Haswa WALISHA jua maduka YAMESHA fungwa Sasa Wana haha wapi watapata mtu wakuvujisha habari za Simba akae bench atalipwa mshahara wa bure hakuna shida

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 Před měsícem

      WW AKILI HAUNA GOLI LA KWANZA CHE MALONE ALIMUACHA MUSONDA ANARUKA FREE HEADER LA PILI MAXI ALITOKA MBALI NA SHABALALA AKAPIGA ANGLE AMBAYO HATA BABA YAKO ASINGEDAKA LA TATU BEKI YOTE ILIVUGWA NA MZIZE KI KAWAPIGA TOBO KAPOMBE CHE MALONE NA NGOMA LA NNE SHABALALA KAZIDIWA UBAVU NA MZIZE V PASI GOLI LA TANO PENATI HAPO MAKOSA YA MANULA YAKO WAPI FALA WW PIA WANACHOSEMA WAMRUHUSU AENDE AZAM SIMBA HAWATAKI NI ULOFA KM MADUKA BASI TRY AGAIN NDIO DUKA KIBWA LA YANGA MBONA HAMUFUKUZI

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 Před měsícem

    Hatutaki kushauriwa.Alikuwa kipenzi chetu.Ametuumiza na kutuudhi.
    Hivyo tuacheni na mchezaji wetu tutajua wenyewe.
    Mnasimama upande wa mchezaji pasina kujua alikuwa akipewa Kila alichostahili Kwa mujibu wa mkataba wake.

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Před měsícem

    Unapofanya ubaya ujue unayemfanyia ujue akijua u ubaya wako atakumiza zaidi ,manila avumilie kama alivyofanya ,huo ndio mshahara wake

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Simba haiwezekani ipigwe goli 5 na Utopolo

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Před měsícem

    Bwana kitenge tatizo Lao walijenga ufalme kiasi ilifika wakati waliona wao ni wakubwa kuliko timu

  • @alexoswald1725
    @alexoswald1725 Před 24 dny

    Anuari unaongea huku unaumia na simba yako

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před měsícem

    Wasenge nyie mna mtetea manula KWANI MSHAHARA SIANA LIPWA SHIDA NINI KAMA VP MVUNJIENI MKATABA YAENDE ATAKAPO AU MPENI USHAURI UAVUNJE MKATABA YAENDE ZAIDI YA HAPO YAWEKE TAKO CHINI MSHAHARA ATAPEWA HATA KAMA HAJAFANYA KAZI

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před měsícem

    Hajaisha ila ni msaliti we umetoka majeruhi ya mda mrefu hujacheza hata mechi moja halafu udake dabi duka hilo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Umetoka majeruhi alafu unataka udake dabi??? Engineer Hersi aje achukue maduka yake mengine yamebaki huku.. Ndo maana Dube alikuwa anawakamia sana Simba lakini akikutana na Yanga hamna kitu,vile vile na Chama na Baleke walikuwa wakikutana na Yanga wanakosa magori mengi sana .. Bora alivyochukua watu wake

    • @user-hy4zb3eg1z
      @user-hy4zb3eg1z Před měsícem +1

      Kojoa ulale

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 Před měsícem

      Kwani magoli yale yote kasababisha manula?beki yote ilikuwa mbovu hakuna goli la manula pale la 1 musonda free header la pili che MALONE alimuacha maxi anatembea na mpira hadi goli la tatu wachezaji watatu walikula Tobo kapombe, che malone na ngoma ka nne mzize kamzidi nguvu shabalala v pass goli ka Tano penati hapo nakosa ya manula yako wapi duka la Yanga ni mo dewji na Try again ndio waliuza mechi

  • @tumainimuna8755
    @tumainimuna8755 Před měsícem

    Hatumtaki tuu hata kama mnamtetea kihivyo, akauze duka

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem

    Viongozi wa Simba wanawaacha wachezaji ambao ni bora