KAMPISTA: UCHAMBUZI SAKATA LA FEI TOTO NA MAYELE KUTUA SIMBA? USAJILI HUU WATAMSAHAU CHAMA UKITIMIA
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream
- Sport
Hiyo kweli au. Maneno
Kweli Hawa wakitambulisw tuta msahau chama
wakaee saw mana hz machine sio za kitt
Utupe habari za ukweli hayo unayoongea je I kweli?
Boss wetu tunaomba atuletee fei na mayele
FEI toto wa kazi Gani,ni WA kawaida Kwa Sasa.
MO TUNAOMBA MAYELE NA FEI TOTO WAJE SIMBA
Hatawakitua hatawakiruka Tabuileile😮😮😅
Tutamusahau tu chama maana hayo nimajembe yakanzi
Chama chetu cha waandishi
Tuwakomeshe na wao yanga
Tuleteee mayere baba na fei
Zikituwa hizo miamba tutaendesha gari bila usukani
Feisal aje
Mlete fei na mayele
Hilo chambuzi la yanga
Simba wakimsajili fesali usajili WA chama kwenda yanga utakuwa umefunikwa kabisa
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba hapa ilipo hata wasipokuja mayele na fei toto timu ni nzuri mno chama amebakia kwa talifa zenu tu Hana lolote ametuangusha miaka mitatu aende kabisa tuko vizuri mno
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba kwa Sasa nifulu nje ndani utake usitake
Wakitua hawa wawili tutamsahau Chama
Hahahahaaaa
Hai hata kama akitua mmoja Simba inakua basiloona
Umeonaeeeee