🚨Ohoo!Zandaani na RICARDOMOMO,Amaliza Mjadala Fisal na mayele Kutua Simba?Afunguka kila kitu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • #football #simbaislive #ahmedally #alikamwe #simba #yangasc #simbatanzania #yangafc #yangatv #youtube

Komentáře • 16

  • @user-zp6bf6ks6z
    @user-zp6bf6ks6z Před měsícem +3

    Mbona alivyoongea habar ya Mayele kamwambia mwenzake usiogope hakuna kitu kama hicho, kumbe Kuna wachambuzi wanaogopa na hawasemi?

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před měsícem +1

    Nothing impossible under the sun let's wait time will talk

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Před měsícem +1

    Wambie wachambuzi wa efm

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 Před měsícem

    Kwanini asiogope?kwani akienda hiyo timu huyo mtangazaji anaogopa?kwani yeye ni wa timu pinzani?

  • @mjuaelias3681
    @mjuaelias3681 Před měsícem +2

    Licado Momo ni yanga nani hakujuwi wewee

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Před měsícem

    Wachambuzi wanajuwa sana hawa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem

    NA WEWE RICADO MOMO HZ HABARI HUWA UNAZITOA WAPI? INA MAANA KUNA WATU WANA WIVU NA SIMBA? HIZI TIMU NI ZA TANZANIA KWANN MNAFANYIANA UBAYA? IGENI TIMU ZA WENZENU HUKO NI KUDIDIMIZA SOKA LA NCHI YETU.

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem

    Yakitambao hii toka dirisha dogo

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph5787 Před měsícem

    Ricadomomo anauyanga anaongea pumba tu

  • @masoudmongomongo244
    @masoudmongomongo244 Před měsícem

    Ili simba impate Fei wakiuziwa na azam watalipa mara 2 ya bei watakayouziwa na azam labda auzwe nje ya nchi halafu arudi tanzania simba ndio wampate kwa hiyo endeleeni kumtamani tu😂😂😂😂😂

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f Před měsícem

    𝙂

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před měsícem

    Fei anvunja mkataba

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 Před měsícem

      ZAKA za kazi amesema kuna kipengele Cha kuvunja mkataba bil 13

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem

    Acheni uwongo wa kijinga .....