NA WEWE RICADO MOMO HZ HABARI HUWA UNAZITOA WAPI? INA MAANA KUNA WATU WANA WIVU NA SIMBA? HIZI TIMU NI ZA TANZANIA KWANN MNAFANYIANA UBAYA? IGENI TIMU ZA WENZENU HUKO NI KUDIDIMIZA SOKA LA NCHI YETU.
Ili simba impate Fei wakiuziwa na azam watalipa mara 2 ya bei watakayouziwa na azam labda auzwe nje ya nchi halafu arudi tanzania simba ndio wampate kwa hiyo endeleeni kumtamani tu😂😂😂😂😂
Mbona alivyoongea habar ya Mayele kamwambia mwenzake usiogope hakuna kitu kama hicho, kumbe Kuna wachambuzi wanaogopa na hawasemi?
Nothing impossible under the sun let's wait time will talk
Wambie wachambuzi wa efm
Kwanini asiogope?kwani akienda hiyo timu huyo mtangazaji anaogopa?kwani yeye ni wa timu pinzani?
Licado Momo ni yanga nani hakujuwi wewee
Wachambuzi wanajuwa sana hawa
NA WEWE RICADO MOMO HZ HABARI HUWA UNAZITOA WAPI? INA MAANA KUNA WATU WANA WIVU NA SIMBA? HIZI TIMU NI ZA TANZANIA KWANN MNAFANYIANA UBAYA? IGENI TIMU ZA WENZENU HUKO NI KUDIDIMIZA SOKA LA NCHI YETU.
Yakitambao hii toka dirisha dogo
Ricadomomo anauyanga anaongea pumba tu
Ili simba impate Fei wakiuziwa na azam watalipa mara 2 ya bei watakayouziwa na azam labda auzwe nje ya nchi halafu arudi tanzania simba ndio wampate kwa hiyo endeleeni kumtamani tu😂😂😂😂😂
Akuna kinacho shindikana
𝙂
Fei anvunja mkataba
ZAKA za kazi amesema kuna kipengele Cha kuvunja mkataba bil 13
Acheni uwongo wa kijinga .....