Video není dostupné.
Omlouváme se.

FRIJI BOVU : TOBAAH!! SIMBA BADO HAWAJAMALIZA USAJILI |MAGORI ATHIBITISHA HATIMA YA KRAMO ..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024

Komentáře • 13

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Před měsícem +1

    Mohamed Abrahaman angetufa sanaa Simba

  • @user-qd2hf5dl5n
    @user-qd2hf5dl5n Před měsícem +3

    Kwl kaka umenena kwl kwa sababu inatakiwa wafanye hivyo wa mpe mwaka mmoja maana huyo mchezaji mzuri anauwezo mzuri anaweza akafanya vzr zaidi na wakashangaa hiyo dhahabu wasitupe wawe na.subira kwa huyo mchezaji atawasaidia

    • @user-qd2hf5dl5n
      @user-qd2hf5dl5n Před měsícem

      Kabisaa kaka wampe mda huyo mchezaji wanawezawakajutia kumuacha kramo hiyo ni Mali kaka huwezi ukamlinganisha hata nafred kramo.anakiwango kizr zaidi ya Fred cobra hana kiwango.ana bahatisha tu nakufunga.huyo Co streka wakukupa matokeo huo ni mzigo utakuja kuniambia wanaacha wachezaji.wazuri wanabakiza mizigo ya wachezaji Fred Co ni galasa nakuunga mkono.kaka Fred hamna kitu hapo utakujaniambia nipo hapo.pembeni nasikilizia

    • @MartinMsanga
      @MartinMsanga Před měsícem

      Mimi Martin Msanga kutoka Kalambazite Sumbawanga Rukwa chondechonde viongozi wa Simba nibora wamtoe Onana Kwa mkopo kulikokumtoa Cramo,Cramo abaki Simba atatusaidia Sana.

  • @DandiGadafi
    @DandiGadafi Před měsícem

    moja ya kitu ambacho simba watakuja kukijutia ni kumuacha kramo na kumbakishs onana au fred.au wote fred na onana.

  • @salimusemkuya3086
    @salimusemkuya3086 Před měsícem

    apana hatutak ku risk tena simba inatakiwa ipate wapambanaji amabao wapo active

  • @khamismahmod2740
    @khamismahmod2740 Před měsícem

    Ni kwel viongoz wetu hamusthili kumuacha kramoo

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Před měsícem

    Nawashauri Simba wasimuache Kramo aende popote waache mihemko dube aliumia akatibiwa na anacheza kramo ni mchezaji mkubwa tusimpoteze kwa sababu za kitoto hivi Onana hana uwezo wa kramo chukueni hii tumeamua kushindana tusiachie wachezaji wazur kizembe hivyo

  • @user-gh9uh7rm2e
    @user-gh9uh7rm2e Před 5 dny

    Je Fredi naye akibadilika itakuwaje?

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před měsícem

    Onana Hana kiwango Cha ushindani ni bishoo Tubaki na Cramo chonde mtakuja kuniambia kuwa nilisema kweli juu ya Cramo

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Před měsícem

    Kwangu bora wamtoe kwa mkopo wa miezi sita,halafu akifanya vizuri arudishwe kikosini.tuna mifano mingi ya wachezaji waliopata majeruhi na wakashindwa kurudi kwenye kiwango

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před měsícem

    Cramo ni mchezaji mzuri wasimtoe Kwa mkopo anaejua anajua tu chukueni mfano wa Shomary kapombe

  • @VehaelMmari
    @VehaelMmari Před měsícem

    Cramo abaki, alafu boresheni camera zenu picha mbayaa!