Nina Virusi Vya UKIMWI/Natamani Kufa /Nilitembea na Star /Diamond Nisaidie

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 09. 2020
  • Exclusive interview na Kijana Anayeishi na Maambukizi Ya #VVU Amefunguka Yote Yanayomsiba Awaangukia Watanzania na kumtaka #diamondplatnumz Amshike Mkono apate kazi japo aondokane na Mateso Yanayomkabiri,Fuatilia Hapa Jicholauswazi Interview Hii.
  • Zábava

Komentáře • 319

  • @judithcha-mushala8852
    @judithcha-mushala8852 Před 3 lety +14

    Pole sana, husijiue YESU anaponya mkimbilie yy atakupa furaha ya moyoni

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 Před 3 lety +14

    Anahitaji msaada sana huyu😔

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Před 3 lety +11

    Bro usijiuwe ukimwi ni malaria bora uzingatie masharti za dawa kula kile mungu amekubariki nacho tafadhali watanzania musimuwache ndugu yetu .

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma3114 Před 3 lety +6

    Alifanya vyema kukiri Yesu ni mwokozi wa maisha yke ..Pole kakayetu

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 Před 3 lety +6

    Pole sana mdogo wangu kufa siyo solution Wewe Pambana na Mungu akufanyie wepesi

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 3 lety +3

    Huyu kaka anatia huruma sana kutokana na hali ya maisha, ni mara ya tatu sasa naangalia interview zake, mungu akujalie upate kazi kakaangu

  • @angelangare863
    @angelangare863 Před 3 lety +3

    Usijiue baba mungu atakusaidia ukimwi sio mwisho wa maisha

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Před 3 lety +1

    Pole kaka angu na hongera kwa kuwa mkweli Mungu atakusaidia kuumwa ukimwi siyo kufa zingatia dawa utaishi siku nyingi

  • @joshuajoshua7092
    @joshuajoshua7092 Před 3 lety +2

    Pole sana mungu ndo msado mkuu utapona na utafanikiwa maisha yako

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Před 3 lety

    Eeh bhana dar pole Sana inshallah mwenyezi mungu akupe wepesi mzee....

  • @aishahajji9461
    @aishahajji9461 Před 3 lety +4

    Usiidhulumu nafc maradhi ni ibada inshaallah 🙏🙏 mwenyezimungu atakusimamia inshaallha

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 Před 2 lety +1

    Pole sana ndugu ila muombe sana mwenyezi mungu akusaidie.

  • @annalfonce259
    @annalfonce259 Před 3 lety +4

    Woye pole brother

  • @hadijalukas5959
    @hadijalukas5959 Před 3 lety +30

    😭😭😭😭nimejikuta natokwa machozi ila huyu kaka nimempendea uwazi wake watanzania wenzangu tumchangie chochote tu ili apate kujiendesha maisha yake

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 Před 3 lety

      Da pole Sana kaka ehee hadija Ata mim nawapendaga watu wawazi

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 Před 3 lety

      Hadija watupatie namba tumchangie

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 Před 3 lety

      @@jackyluns8224 namba zake zipo hapo mwisho wa stori yake ila kusema kweli huyu kaka ni jasili sana ila mungu atampa hitaji la moyo wake isipokuwa tumshike mkono ili afanikishe rengo rake

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 Před 3 lety +1

      @@hadijalukas5959 usijali my dear kesho tu mimi nitamtumia

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 Před 3 lety

      @@jackyluns8224 Amina sana🙏🏼🙏🏼🙏🏼barikiwa ndugu yangu

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 Před 3 lety +4

    Pole sana

  • @shamtvonline2350
    @shamtvonline2350 Před 3 lety +2

    Mungu amsaidie

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety +2

    Hongera umefanya kitu kikubwa sana allah atakulipa

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 Před 3 lety +2

    Inshaallah

  • @agnessjames6533
    @agnessjames6533 Před 3 lety +1

    Mungu akulinde

  • @aynatjoe5756
    @aynatjoe5756 Před 3 lety +1

    Pole Sana kijana.. Tumia Stc30

  • @mayasarobertmwaliko9502
    @mayasarobertmwaliko9502 Před 3 lety +1

    Pole kaka yangu mungu atakusaidia

  • @beathakilunguu7652
    @beathakilunguu7652 Před 3 měsíci

    Pole kk mungu mwema atatia wepes inshaalah

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Před 6 měsíci

    Pole kaka angu mungu akusaidie upate kazi

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety +2

    Pole sana broo

  • @umuzakariaumuzakaria6939
    @umuzakariaumuzakaria6939 Před 3 lety +1

    Aki pole sana ndungu

  • @upendocastory1996
    @upendocastory1996 Před 3 lety +1

    Pole sana bratha

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Před rokem +1

    Mdogo wangu Fre Wachie mungu ndie Hakimu na sio mwanadamu Ipo siku nawe hutatoboa tu kimaisha Insha Allah

  • @shamtvonline2350
    @shamtvonline2350 Před 3 lety +4

    Wangapi wana ugonjwa lakini wanafanya kazi, ajipe moyo afanye kazi, Mungu atamsaidia

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 Před 3 lety

      Jamani uyo aliyekuibia jamani kakosa uwaminifu

  • @philipbruno9991
    @philipbruno9991 Před 3 lety +6

    Frank broh...pole sana na ki ukweli UKIMWI sio ndo hukumu ya kifo fanya kazi and be busy utasahau hiyo hali waTz wengi wanaishi na H.I.V lkn wanafanya kazi na maisha yanaenda.

  • @khadijashebe2750
    @khadijashebe2750 Před 3 lety +9

    Pole ndugu yangu mungu atakufanyia wepesi inshallah

  • @aljawadazizi5671
    @aljawadazizi5671 Před 3 lety +1

    Duuuuuh pole broo

  • @skywayworkshop8588
    @skywayworkshop8588 Před 2 lety

    Pole sana kiongozi kama wanavanya mapenzi chini ya juwa sio Jambo la kuchekana

  • @halimately3609
    @halimately3609 Před 3 lety +6

    Tumia dawa kaka mungu awezi kuchukua mpaka mda wako ufike usikate tamaa tumia dawa

  • @hellenmwayole8715
    @hellenmwayole8715 Před 3 lety +2

    Kuishi na maambukizi sio mwisho wa maisha au uyaweke maisha kuwa magumu, no, jikubali Fanya kazi, tafuta pesa na zaidi jikite kwa Mungu na maisha yaendelee.. Utaishi maisha marefu kuliko unavyogikilia.

  • @esthermrope2445
    @esthermrope2445 Před 2 lety

    Pole sana kaka anaye kutenga huijui kesho yake ni wengi na sio peke yako halafu bora ukimwi kuliko presha, kisukari, kansa na hao Ndo waseme nini chakufanya kunywa doz vizuri utakuja kujishangaa utapendeza had moyoni mwako

  • @shamtvonline2350
    @shamtvonline2350 Před 3 lety +3

    Kama kweli amtaje

  • @ismailyismailyshakahaji4066

    pole sana usi kate tamaa mungu yupo

  • @mamkefondofondo9386
    @mamkefondofondo9386 Před 3 lety +2

    Pole kaka

  • @janemusumba820
    @janemusumba820 Před 3 lety +4

    Pole Sana ukimwi ni Homa tu Sai watu wa naogopa corona

  • @ibrahimfarialapharaon7217

    Kumbi ume badili Na dini duh ju ya kuumwa subhanallah

  • @mariamukingazi3668
    @mariamukingazi3668 Před 3 lety +6

    Dah pole sn

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 3 lety +1

    Pole jamani

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před 3 lety +3

    Allah akupe uzima na umbri na akuhifadhii kwakila halli insha'Allahh kheir

  • @emmanuelowiti8217
    @emmanuelowiti8217 Před 3 lety +2

    Mungu atafanya wepesi kaka

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 Před 3 lety +3

    Pole usikate tamaa ukimwi ni ugonjwa km magonjwa mengine baba yangu anaukimwi huu mwaka 15 sasa mbona ameweza kuvumilia tena yy ni mzee ww kijana kwann usione kawaida mrudie Mungu okoka utakuwa na amani

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 Před 3 lety +3

    Dawa usiache kabisa kaka

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 Před 2 lety

    Pole kka yngu

  • @fortunemediatv1088
    @fortunemediatv1088 Před 3 lety +3

    Hii interview inanikumbusha muziki wa ferooz

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 3 lety +5

    Cha muhimu zaidi, uliingia kwa UKIRISTO.. kwa yesu yote yawezekana, God bless .. sio wale madem zetu wa Kenya wanatangaza kumaliza wenzio wakijua

    • @shadyarahma6385
      @shadyarahma6385 Před 3 lety +1

      Kwamba yesu ndo anamaliza ukimwi?

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 3 lety

      💪💪💪💪💪💪💪 Kuna watu wana ambukiza wengine kwa makusudi wa nafikili sifa huyu kaka asaidiwe pesa ya kufanya biashara

    • @milkahmumbimuthoni2588
      @milkahmumbimuthoni2588 Před 3 lety

      Weeeeeeeee sio wrote nimekataaaaa mmm

  • @zaharaallymwndelezotunatak818

    Fanya kaz ukimwi hauzui kaz

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Před 3 lety +1

    Mungu atakusimamia inshallah

  • @Beingme2024
    @Beingme2024 Před 3 lety +2

    Hiv is not a death sentenced you will live long dont gave up

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 Před 3 lety +2

    Mmmmmmh unamoyo Sana mungu akujaalie upate msaada wowote hata wakibarua jamani😔

  • @luvaletimothee6442
    @luvaletimothee6442 Před 3 lety +3

    This guy has come out live and stated his condition to beat stigmatization and give hope to those affected but are hiding and rejecting themselves. Why doesn't the Tanzanian Government or other NGO's handling HIV and AIDS take him to work with them or even to be their ambassador?
    Frank, God is alive. No condition has no solution.

  • @husseinjumanne2000
    @husseinjumanne2000 Před 3 lety +12

    Pole sana kijana mwenzetu sema huyo staa ungemlipua tuu

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety

      Ausio angemlipua ndo iwe kings Kwa wengi hamna ajaya kumficha

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 Před 3 lety

    😰😰😰😰🤔🤔🤔😱😱mungu akurindee zaidi unamoyoo muzuri uende peponi mungu anakuona

  • @luckyfamilychannel3161
    @luckyfamilychannel3161 Před 3 lety +15

    Wakenya tunapedana like kama ni mkenya

  • @gililwise
    @gililwise Před 2 lety

    Usihofu kaka fuata masharti utaishi miaka mengi.pili omba Mungu akupe nguvu na akuepushie magonjwa nyemelezi.Mkabidhi Mungu njia zako naye atayanyosha mapito yako.

  • @zuhrakirro192
    @zuhrakirro192 Před 3 lety +2

    Kuwa na ukimwi sio kufa. Amka fanya kazi. Na endelea na matibabu

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h Před 3 lety +1

    Pole kaka,aya matatizo yanamkuta mtu yoyote wengi wanayo nawatumia dawa wanaendelea kuishi, fata mashalti punguza mawazo sali kila siku mungu ni mwema utakuwa viziri

  • @alisele5299
    @alisele5299 Před 3 lety +4

    Kawaida tu usipaniki mwana

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před 2 lety +1

    Bado unaweza kuishi tena sana cha msingi MUNGU akujalie namna ya kupata mkate wa kila siku. Lakini ww ni wa thamani usikate tamaa

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Před 7 měsíci

    Kaka usijiuwe menza tu sawa kaka yangu na mungu yupo na wewe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem

    Kweli kabisa dada Halima maneno yako.Kaka Rejea ktk dini yako mungu atakusaidia.

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety +4

    In sha Allah...Ameen twonamuomba apon aendee na maisha yke

    • @tiboibrahim1763
      @tiboibrahim1763 Před 3 lety

      Kwanini kabadili dini?

    • @binthkhamisi1097
      @binthkhamisi1097 Před 3 lety

      @@tiboibrahim1763 ywajuwa mwenyew nn kimemsib mpk kwenda kubadil din me na wew3 sthujui hiyo ni siri yke yy na mungu wke..

    • @frolalupogompumbavuwewesiw179
      @frolalupogompumbavuwewesiw179 Před 3 lety

      Hapo chacha sijaelewa kuhusu kubadili dini

    • @binthkhamisi1097
      @binthkhamisi1097 Před 3 lety

      Kbsa andam roho inathka

    • @binthkhamisi1097
      @binthkhamisi1097 Před 3 lety +1

      @@frolalupogompumbavuwewesiw179 mybe nasfi yke ndio iliona hvo abadil dini so me na ww atyujui kwa nn abadil dini...so chamsng na secondary muimu ni apone andelee na maisha yke...

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij Před 3 lety +1

    Kiatu chako siwezi kukivaa but naomba mwenyezi mungu ndio muwesa yote na usife moyo

  • @Jicholauswazitv
    @Jicholauswazitv  Před 3 lety +7

    Asante Kwa Kutazama Usisahau Kusubscribe Channel Hii

  • @annwilly5216
    @annwilly5216 Před 3 lety +10

    Acha ushamba ukimwi hauii wewe ni mpuuzi frenk fanya kazi achakujimwambafaya ukimwi niugonjwa km mwingine kula vizuri omba mungu nenda kawe kwa boldoza uamini mungu utapona

    • @anthonysindabaha7517
      @anthonysindabaha7517 Před 3 lety +2

      Hahaha hizooo lugha ni nyepesi kuziongelea Ila omba usikupate ...

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 Před 3 lety

      kwaiyo akabadili kisa ukimwi au kisa alipotoka jera.sijaelewa vizur.dunia inamitihan sana dah!!

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 Před 3 lety +1

      Ko kila mwenye ukimwi akaombe msaada kweli.fanya kazi kaka acha kujibweteka

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 Před 3 lety

      Ee aende kwa mwamposa buldoza kwa imani atapona

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 Před 3 lety

      Pole sana frenk mungu ame sikia kilio chako usihuzunike kaka mungu ata kufuta machozi

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +3

    Kaka upo mzima kabisa wengine wanaoumwa Hawana pakulala wamefilisika wanalala chini yani kizingi ukuti

  • @cleverandrew9256
    @cleverandrew9256 Před 3 lety +1

    Pole san

    • @koffilove2796
      @koffilove2796 Před 3 lety

      Sija mwelewa amepima jela wakati anatoka jela ali umwa akapimwa tena swali langu jela ajanguduliwa kama anangoma na taka jibu hizi kiki za kijinga

  • @nicksontarimo1368
    @nicksontarimo1368 Před 3 lety +1

    Fanya kazi broo achana naizo kiki za ajabu ndugu yangu japo sijajua reson ayo yapo2

  • @jjmeliyo4625
    @jjmeliyo4625 Před 3 lety +6

    Wengi wanaumwa na wanafanya kaz hebu acha kujilegeza

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Před 3 lety +3

    Pole Sana kakangu Afadhali ukimwi kuliko Corona Endelea kutumia Tiba inshallah Mungu atakusaidia

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety +2

      Ameen lakini hakuna ugonjwa ulio afadhali yote magonjwa sawatu na kifo lazma

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 3 lety +1

      @@lovvy854 aaa! Kuna magonjwa kwakweli yamezidi ndugu tizameni vipindi vya Frola Nitetee jamani mara mtu kalala hadi kaoza na yupo Hai mara analidonda linanuka hadi huwezi KUKaa karibu yake mara anaumwa mifupa ina anguka yenyewe hhhhe!

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety

      @@jenyyusuph4973 ukwelii kabisa na insha'Allah mungu atuepushe na Maradhi yote atupe umbri na uzima wa milele

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 3 lety

      @@lovvy854 AMINA

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 Před 3 lety +1

    Ukitaka makuuu kweli utakufa Mapema Mno ila ukirelax na kumshukuru Mungu basi Maisha yanasonga

  • @jamesoscar8110
    @jamesoscar8110 Před 3 lety +14

    Angekua kenya angekua aids ambassador. Watanzania msaidieni.

  • @lucymtallo7792
    @lucymtallo7792 Před 3 lety +6

    Pole mdogo wangu frenk leo nimekuona jaman pole xn dah

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 Před 3 lety +4

    Pole kaka bt nenda kwa mwamposa uka ombewe hakuna lisilo wezekana kwa mungu uta pona

    • @mabyserolouchcraig2431
      @mabyserolouchcraig2431 Před 3 lety

      Kupona haponi sema ameze dawa amuombe mungu but ukimwi hakuna kupona

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 Před 3 lety

      @@mabyserolouchcraig2431 imani yako chache ila kwa mungu hakuna la kushinda vipofu wana ona mabubu kuskia sembuse ukimwi kwa imani ina wezekana

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 Před 3 lety +2

    Siyo Wewe tu wengi sana tunaumwa ila wanaendelea na Maisha yako

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 Před 3 lety +1

    Huyu Kaka namkumbuka

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 Před 3 lety +4

    pole jamani

  • @ibrahimfarialapharaon7217

    Najua uta fikiri naongea mzaa basi mungu aku fanyie wepesi

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 Před 3 lety

      kwann ibra mbona kama unakitu ebu tuambie

    • @geofreylucas9469
      @geofreylucas9469 Před 3 lety +1

      Namm nahitaji msaada wako mkuu nasumbuliwa na vidonda vya tumbo vinanikosesha amani kabisa hicho ulicho nacho nisaidie na mm

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 Před 3 lety +6

    Bora UKIMWI kuliko Corona, BIG UP

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 Před 3 lety

      mwanangu umefikilia nin

    • @nyadundogerald4828
      @nyadundogerald4828 Před 3 lety +1

      We corona watu wanapona umeshasikia au kuona mtu kapona ukimwi sikia tu kwa watu🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety +1

    Pole kaka yangu allah akusamehe akuondoshe na mawazo potofu my pole kaka

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Freck safi sana nakupenda unaeleza ukweli tunajifunza sana kupitia kwako.

  • @aminielmbise2013
    @aminielmbise2013 Před 3 lety +1

    Izo kki ww huwez kufanya kaziii

    • @manstiko5890
      @manstiko5890 Před 3 lety

      We mkundu nini sasa anatafuta Kiki ili Imsaidie nini matako wewe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Rudi ktk dini yako kaka mungu atakusaidia sana.

  • @bakariathumani3573
    @bakariathumani3573 Před 3 lety +3

    Acha ujinga fanyakazi broo

    • @manstiko5890
      @manstiko5890 Před 3 lety

      We mkundu alikwambia apendi fanya kazi matako wewe

  • @khalidsaki5034
    @khalidsaki5034 Před 3 lety +1

    Hi

  • @jamesoscar8110
    @jamesoscar8110 Před 3 lety +1

    Angekua kenya angekua amefanyiwa kitu,angesaidiwa.

  • @ibrahimfarialapharaon7217

    Jina naitwa Ibrahimu farijala

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Před 3 lety +2

    Huyu nae kila Siku analia lia

  • @rosyhelen9956
    @rosyhelen9956 Před 3 lety +1

    Pole mungu akuponye kaka

  • @user-gi4ls3bh3l
    @user-gi4ls3bh3l Před 3 lety +12

    Mmh jamani maisha Bora nifanye khibada2 mengine sina habari nayo

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety

      Kuolewa pia ni ibadaa

  • @happysanga6595
    @happysanga6595 Před 3 lety +2

    Ukimwi kawaida piga kaz so nga mbele maisha bado yapo yanaendelea(pole)

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Před 3 lety +3

    Binaadam sisi hatuoneani huruma sijui kwa nini sasa unaenda kumuibia vitu vyake mwenzio kwel

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety +2

    Unamcheka Mwenye ukimwi unapata korona unakufa Mwenye ukimwi bado anadunda

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 Před 3 lety +2

    Daa kaka nimekukubali sn kwani umekuwa muwazi ila ucjiuwe kaka bl fatisha mashariti tuu kaka

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety +2

    POLE SANA KAKA

  • @qatarqqt8013
    @qatarqqt8013 Před 3 lety +1

    usijali kaka wala usijiuwe ugonjwa ni IBADA Allah atakusimamia

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 Před 3 lety +12

    Wenye ukimwi mbona wanafanya kazi kama kawaida