Nina Virusi Vya UKIMWI/Natamani Kufa /Nilitembea na Star /Diamond Nisaidie
Vložit
- čas přidán 23. 09. 2020
- Exclusive interview na Kijana Anayeishi na Maambukizi Ya #VVU Amefunguka Yote Yanayomsiba Awaangukia Watanzania na kumtaka #diamondplatnumz Amshike Mkono apate kazi japo aondokane na Mateso Yanayomkabiri,Fuatilia Hapa Jicholauswazi Interview Hii.
- Zábava
Pole sana, husijiue YESU anaponya mkimbilie yy atakupa furaha ya moyoni
Anahitaji msaada sana huyu😔
Bro usijiuwe ukimwi ni malaria bora uzingatie masharti za dawa kula kile mungu amekubariki nacho tafadhali watanzania musimuwache ndugu yetu .
Alifanya vyema kukiri Yesu ni mwokozi wa maisha yke ..Pole kakayetu
Pole sana mdogo wangu kufa siyo solution Wewe Pambana na Mungu akufanyie wepesi
Huyu kaka anatia huruma sana kutokana na hali ya maisha, ni mara ya tatu sasa naangalia interview zake, mungu akujalie upate kazi kakaangu
Usijiue baba mungu atakusaidia ukimwi sio mwisho wa maisha
Pole kaka angu na hongera kwa kuwa mkweli Mungu atakusaidia kuumwa ukimwi siyo kufa zingatia dawa utaishi siku nyingi
Pole sana mungu ndo msado mkuu utapona na utafanikiwa maisha yako
Eeh bhana dar pole Sana inshallah mwenyezi mungu akupe wepesi mzee....
Usiidhulumu nafc maradhi ni ibada inshaallah 🙏🙏 mwenyezimungu atakusimamia inshaallha
Pole sana ndugu ila muombe sana mwenyezi mungu akusaidie.
Woye pole brother
😭😭😭😭nimejikuta natokwa machozi ila huyu kaka nimempendea uwazi wake watanzania wenzangu tumchangie chochote tu ili apate kujiendesha maisha yake
Da pole Sana kaka ehee hadija Ata mim nawapendaga watu wawazi
Hadija watupatie namba tumchangie
@@jackyluns8224 namba zake zipo hapo mwisho wa stori yake ila kusema kweli huyu kaka ni jasili sana ila mungu atampa hitaji la moyo wake isipokuwa tumshike mkono ili afanikishe rengo rake
@@hadijalukas5959 usijali my dear kesho tu mimi nitamtumia
@@jackyluns8224 Amina sana🙏🏼🙏🏼🙏🏼barikiwa ndugu yangu
Pole sana
Mungu amsaidie
Hongera umefanya kitu kikubwa sana allah atakulipa
Inshaallah
Mungu akulinde
Pole Sana kijana.. Tumia Stc30
Pole kaka yangu mungu atakusaidia
Pole kk mungu mwema atatia wepes inshaalah
Pole kaka angu mungu akusaidie upate kazi
Pole sana broo
Aki pole sana ndungu
Pole sana bratha
Mdogo wangu Fre Wachie mungu ndie Hakimu na sio mwanadamu Ipo siku nawe hutatoboa tu kimaisha Insha Allah
Wangapi wana ugonjwa lakini wanafanya kazi, ajipe moyo afanye kazi, Mungu atamsaidia
Jamani uyo aliyekuibia jamani kakosa uwaminifu
Frank broh...pole sana na ki ukweli UKIMWI sio ndo hukumu ya kifo fanya kazi and be busy utasahau hiyo hali waTz wengi wanaishi na H.I.V lkn wanafanya kazi na maisha yanaenda.
tumsaidie bas kupata ajira ama mtaji...
Pole ndugu yangu mungu atakufanyia wepesi inshallah
Ameen
Duuuuuh pole broo
Pole sana kiongozi kama wanavanya mapenzi chini ya juwa sio Jambo la kuchekana
Tumia dawa kaka mungu awezi kuchukua mpaka mda wako ufike usikate tamaa tumia dawa
Kuishi na maambukizi sio mwisho wa maisha au uyaweke maisha kuwa magumu, no, jikubali Fanya kazi, tafuta pesa na zaidi jikite kwa Mungu na maisha yaendelee.. Utaishi maisha marefu kuliko unavyogikilia.
Kabis yan asijikatie tamaa
Pole sana kaka anaye kutenga huijui kesho yake ni wengi na sio peke yako halafu bora ukimwi kuliko presha, kisukari, kansa na hao Ndo waseme nini chakufanya kunywa doz vizuri utakuja kujishangaa utapendeza had moyoni mwako
Kama kweli amtaje
pole sana usi kate tamaa mungu yupo
Pole kaka
Pole Sana ukimwi ni Homa tu Sai watu wa naogopa corona
Mmmh
Kumbi ume badili Na dini duh ju ya kuumwa subhanallah
Dah pole sn
Pole jamani
Allah akupe uzima na umbri na akuhifadhii kwakila halli insha'Allahh kheir
Amiin
Mungu atafanya wepesi kaka
Pole usikate tamaa ukimwi ni ugonjwa km magonjwa mengine baba yangu anaukimwi huu mwaka 15 sasa mbona ameweza kuvumilia tena yy ni mzee ww kijana kwann usione kawaida mrudie Mungu okoka utakuwa na amani
Vinzuri san
Dawa usiache kabisa kaka
Pole kka yngu
Hii interview inanikumbusha muziki wa ferooz
Cha muhimu zaidi, uliingia kwa UKIRISTO.. kwa yesu yote yawezekana, God bless .. sio wale madem zetu wa Kenya wanatangaza kumaliza wenzio wakijua
Kwamba yesu ndo anamaliza ukimwi?
💪💪💪💪💪💪💪 Kuna watu wana ambukiza wengine kwa makusudi wa nafikili sifa huyu kaka asaidiwe pesa ya kufanya biashara
Weeeeeeeee sio wrote nimekataaaaa mmm
Fanya kaz ukimwi hauzui kaz
Mungu atakusimamia inshallah
Hiv is not a death sentenced you will live long dont gave up
Mmmmmmh unamoyo Sana mungu akujaalie upate msaada wowote hata wakibarua jamani😔
This guy has come out live and stated his condition to beat stigmatization and give hope to those affected but are hiding and rejecting themselves. Why doesn't the Tanzanian Government or other NGO's handling HIV and AIDS take him to work with them or even to be their ambassador?
Frank, God is alive. No condition has no solution.
Pole sana kijana mwenzetu sema huyo staa ungemlipua tuu
Ausio angemlipua ndo iwe kings Kwa wengi hamna ajaya kumficha
😰😰😰😰🤔🤔🤔😱😱mungu akurindee zaidi unamoyoo muzuri uende peponi mungu anakuona
Wakenya tunapedana like kama ni mkenya
Niko kotekote
Angekuwa mkenya angesaidiwa sanaa
@@mabyserolouchcraig2431 😂😂😂😂
punda wewe umeona kuomba like tuu
@@mabyserolouchcraig2431 kichwa wewe
Usihofu kaka fuata masharti utaishi miaka mengi.pili omba Mungu akupe nguvu na akuepushie magonjwa nyemelezi.Mkabidhi Mungu njia zako naye atayanyosha mapito yako.
Kuwa na ukimwi sio kufa. Amka fanya kazi. Na endelea na matibabu
Pole kaka,aya matatizo yanamkuta mtu yoyote wengi wanayo nawatumia dawa wanaendelea kuishi, fata mashalti punguza mawazo sali kila siku mungu ni mwema utakuwa viziri
Kabis yan
Kawaida tu usipaniki mwana
Bado unaweza kuishi tena sana cha msingi MUNGU akujalie namna ya kupata mkate wa kila siku. Lakini ww ni wa thamani usikate tamaa
Kaka usijiuwe menza tu sawa kaka yangu na mungu yupo na wewe
Kweli kabisa dada Halima maneno yako.Kaka Rejea ktk dini yako mungu atakusaidia.
In sha Allah...Ameen twonamuomba apon aendee na maisha yke
Kwanini kabadili dini?
@@tiboibrahim1763 ywajuwa mwenyew nn kimemsib mpk kwenda kubadil din me na wew3 sthujui hiyo ni siri yke yy na mungu wke..
Hapo chacha sijaelewa kuhusu kubadili dini
Kbsa andam roho inathka
@@frolalupogompumbavuwewesiw179 mybe nasfi yke ndio iliona hvo abadil dini so me na ww atyujui kwa nn abadil dini...so chamsng na secondary muimu ni apone andelee na maisha yke...
Kiatu chako siwezi kukivaa but naomba mwenyezi mungu ndio muwesa yote na usife moyo
Asante Kwa Kutazama Usisahau Kusubscribe Channel Hii
Acha ushamba ukimwi hauii wewe ni mpuuzi frenk fanya kazi achakujimwambafaya ukimwi niugonjwa km mwingine kula vizuri omba mungu nenda kawe kwa boldoza uamini mungu utapona
Hahaha hizooo lugha ni nyepesi kuziongelea Ila omba usikupate ...
kwaiyo akabadili kisa ukimwi au kisa alipotoka jera.sijaelewa vizur.dunia inamitihan sana dah!!
Ko kila mwenye ukimwi akaombe msaada kweli.fanya kazi kaka acha kujibweteka
Ee aende kwa mwamposa buldoza kwa imani atapona
Pole sana frenk mungu ame sikia kilio chako usihuzunike kaka mungu ata kufuta machozi
Kaka upo mzima kabisa wengine wanaoumwa Hawana pakulala wamefilisika wanalala chini yani kizingi ukuti
Pole san
Sija mwelewa amepima jela wakati anatoka jela ali umwa akapimwa tena swali langu jela ajanguduliwa kama anangoma na taka jibu hizi kiki za kijinga
Fanya kazi broo achana naizo kiki za ajabu ndugu yangu japo sijajua reson ayo yapo2
Unaambiwa kazi ana wabongo mnan'gangania fanya kazi fanya kazi
Wengi wanaumwa na wanafanya kaz hebu acha kujilegeza
Mpe mtaji uone Kama atashindwa
Pole Sana kakangu Afadhali ukimwi kuliko Corona Endelea kutumia Tiba inshallah Mungu atakusaidia
Ameen lakini hakuna ugonjwa ulio afadhali yote magonjwa sawatu na kifo lazma
@@lovvy854 aaa! Kuna magonjwa kwakweli yamezidi ndugu tizameni vipindi vya Frola Nitetee jamani mara mtu kalala hadi kaoza na yupo Hai mara analidonda linanuka hadi huwezi KUKaa karibu yake mara anaumwa mifupa ina anguka yenyewe hhhhe!
@@jenyyusuph4973 ukwelii kabisa na insha'Allah mungu atuepushe na Maradhi yote atupe umbri na uzima wa milele
@@lovvy854 AMINA
Ukitaka makuuu kweli utakufa Mapema Mno ila ukirelax na kumshukuru Mungu basi Maisha yanasonga
Angekua kenya angekua aids ambassador. Watanzania msaidieni.
Kenya huyu aajiriwa
Kweli kabisa kwa kujitokeza kuongea.
Pole mdogo wangu frenk leo nimekuona jaman pole xn dah
Asante sana
@@frenkfrancis4151 naomba namba kaka Frenk
@@silviapumzikenikwaamanidam8436 0788540869 frenk
@@silviapumzikenikwaamanidam8436 0788540869
Pole kaka bt nenda kwa mwamposa uka ombewe hakuna lisilo wezekana kwa mungu uta pona
Kupona haponi sema ameze dawa amuombe mungu but ukimwi hakuna kupona
@@mabyserolouchcraig2431 imani yako chache ila kwa mungu hakuna la kushinda vipofu wana ona mabubu kuskia sembuse ukimwi kwa imani ina wezekana
Siyo Wewe tu wengi sana tunaumwa ila wanaendelea na Maisha yako
Huyu Kaka namkumbuka
pole jamani
Najua uta fikiri naongea mzaa basi mungu aku fanyie wepesi
kwann ibra mbona kama unakitu ebu tuambie
Namm nahitaji msaada wako mkuu nasumbuliwa na vidonda vya tumbo vinanikosesha amani kabisa hicho ulicho nacho nisaidie na mm
Bora UKIMWI kuliko Corona, BIG UP
mwanangu umefikilia nin
We corona watu wanapona umeshasikia au kuona mtu kapona ukimwi sikia tu kwa watu🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Pole kaka yangu allah akusamehe akuondoshe na mawazo potofu my pole kaka
Freck safi sana nakupenda unaeleza ukweli tunajifunza sana kupitia kwako.
Izo kki ww huwez kufanya kaziii
We mkundu nini sasa anatafuta Kiki ili Imsaidie nini matako wewe
Rudi ktk dini yako kaka mungu atakusaidia sana.
Acha ujinga fanyakazi broo
We mkundu alikwambia apendi fanya kazi matako wewe
Hi
Angekua kenya angekua amefanyiwa kitu,angesaidiwa.
Jina naitwa Ibrahimu farijala
Unatoka wapi mbona kama nilisoma na wewe
Huyu nae kila Siku analia lia
Pole mungu akuponye kaka
Mmh jamani maisha Bora nifanye khibada2 mengine sina habari nayo
Kuolewa pia ni ibadaa
Ukimwi kawaida piga kaz so nga mbele maisha bado yapo yanaendelea(pole)
Mpe mtaji
Binaadam sisi hatuoneani huruma sijui kwa nini sasa unaenda kumuibia vitu vyake mwenzio kwel
Unamcheka Mwenye ukimwi unapata korona unakufa Mwenye ukimwi bado anadunda
Daa kaka nimekukubali sn kwani umekuwa muwazi ila ucjiuwe kaka bl fatisha mashariti tuu kaka
POLE SANA KAKA
usijali kaka wala usijiuwe ugonjwa ni IBADA Allah atakusimamia
Wenye ukimwi mbona wanafanya kazi kama kawaida
Hiyo si ndio ajabu
Piga Kaz kijana,ukimwi sio kifo ujue
@@janethkilonzi4260 Hana mtaji anafanyaje
Ni kweli ukimwi sio kifo Sasa mbona yeye hivi hiyo Ni kawaida atumie dawa tu atapona
Huyu jamaa nimemsikiliza Kwa umakini ila nimegundua anatatzo kwenye uelewa!