Dogo Janja: Sijutii kufunga ndoa na Irene Uwoya, sijamblock, sijawahi kupenda kama ninavyopenda sasa
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- Sehemu ya pili ya #ChillnaSky, Dogo Janja anazungumzia ndoa yake na Irene Uwoya, uhusiano wake wa sasa na Queen Lina Toto na jinsi maisha yake yalivyobadilika
Huyu mi nampenda saaana, ana akili mingi kweli. Pia anaheshimu wanawake even thou no one is perfect!! Well, nice interview Sky!!N big up Dogo Janja, much Love!!❤
Ni mdogo ila anaakli sana anajua kujielezea sana
Me and my hubby love dogo Janka so sooooo much,he's young but very brave and humble.msalimie sana Queen she's also adorable.love from narobiii
I have enjoyed a lot the the interview n
Uko vzuri sana mzazi sky piya janjaro yuko intelligent anafunguka so kiujumla interview imefana.... 🔥 🔥 🔥
Dah hongera sana aisee ulipitia wakat mgumu sana, halafu sasa janjaro umenenepaaaa
Wakenyan's love you Janjaro❤❤❤🇰🇪Karibu kwetu kila siku
Duuh dogo uko vzr sana sio utani
Napenda sana interview ya Dogo Janja, nime enjoy sana hapa.
Katika kuchekesha nilitaka kushangaa umemsahau benpize
Dogo janja yuko so mature 😘😘😘 nice interview bro sky
Janjaro anaongea point sana asee haraf achoshi cjawah kujua asee😂
😂😂Napenda dogo anavyoongea but bro unauliza maswari vizuri sana
Dogo naomba unipende navyo kupenda😘😢
Ester naomba mawasiliano yako
I can listen to this guy all day. Alafu design kama anaongeanga kiswahili ya Kenya
Mashaallah we janjaro noma unajielewa inshaallah tuone ndowa amen
*Aiseee interview imepatana na utaratibu yaani CHILL NA SKY ni kiboko JANJA matukio tu*
Safi sana a
Very entertaining to listen to..
Dogo janja God bless you much
Skywalker you have earn my subscription because of your humbleness and professionally on interviews
Jembe LA chugaa. Chalii unaongea mapoint tuu
🙏
waoo
Nice
Bora nisile kuliko mtu anung'ung'unike kwa ajili yangu🙌🏽 i like that👏🏽 dogo ana akili sana na upeo wa kupembua mambo🙏🏽
Sky nakukubalie sana bro
Mmh kali
Asante sana nimepata kitu kikubwa sana
Interview ya leo nzuri
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥janjalo
Eshima kwako dogo janja🙌
Kila LA kher penzi lenu lifike mbali
Kila la heri mzee wa NURU uko vizuri
Interview imekaa poa sana bro
Fungenindow
Kila La kheri
Fungenindo aceni kuzini zini
By the way Corona imeingia Tz mmeskia iyo?? Be careful yo'all, this thing is not a game!😒
Janjaro✋✋✋
Vita kubwa kubwa
Wenoma
Janjaro
furaha pasi na kifani
Tanzania patamu Sana kutoka siweziii😂😂😂🤗,acha tujipoze na Corona kwakweliiii Kama ni mpenzi wa vitu vya asilia karibu katika Chanel yangu na subscribe uwe mtu was kwanza kujipatia mafunzo yangu live📢📢📢📢📢
Nakupenda sanaa janjaloo unahakili sana spend SAA
Huyu dogo akili nyingi nakapenda sana
Jmn wa iraq czcams.com/video/PUYP48bkDyQ/video.html
Kumbe unatambuwa kwamb choz l mwanamke ni baya, na hasa akiwa Ana haki, penda San dog janja
Dogo janja me namkubal tu yan na mkunal akitoa ngoma mbov hua naumia kmbas
Nice