MALIKIZ BINTI ALIYEKUWA MSAGAJI HAYA NDIO MAISHA YAKE NIMEBADILIKA NIMEACHA KILA KITU MAISHA MUNGU
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#CZcamslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
#wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#CZcamslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
#hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
#yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
#thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
#sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
#thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
#antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
#azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
#manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
#ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
#yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
#diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
#bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
#yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
#nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
#wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
#nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
#despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
#kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
#wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
#davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
#bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
#yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
#bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
#shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
#kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
#aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum
Mashaallah, ALLAH Akujaalie Kheri' akuongoze katika njia iliyo nyooka
Inshallah MUNGU azidi kutubadilisha soote na tunzidi kuwa na hofu ya MUNGU
Asante Mungu kwa ajili ya binti huyu ..nimegundua Mungu anapenda kutukuzwa Mungu wetu niwasifa ...anapo muinua mtu sifa na utukufu tunampa ....kunamuda binadamu wanapo kukatia tamaa Mungu anajiinua ...anashusha utukufu ...anasafisha ...anakupandisha juu ...Mungu akutunze mdogo wangu ...kila mtu anadaraja lake ata mimi yapo niliyo pitia Kupitiia Mungu watu wameaibika ...
Amiin Amiin Mungu azidiii kumvusha
She is the right person to talk to the youth because she's been there, and with God in her she sure will be ok.
Dah nimekupenda bureee , kweli Mungu atabaki kuwa Mungu
Allah azidi kukuongoza mpenzi inshallah
Mungu ni mwema, such a positive vibe. Nakubaliana na unachozungumza.
The interview ever seen before , Mungu ni Kila kitu kwenye Maisha yetu , ukimkaribisha hakika uta enjoy thank you malkiaa Mungu akusimamie Zaid.
Mungu akuinue na akusaidie Zaid dada usirudi nyuma tena yakale yamepita tazama yamekuwa mapya
Allah azidi kukuongoa na sisi pia kwani hakuna mkamilifu zaid yake yeye Allah Amiin
Alicho halribu ni kubadili dini tu masikini ndio kazidi kupotea 😓
Hata sijuw niseme nini mbele za mungu kikubwa no sifa na utukufu ni vyake milele kweli mungu anafanya njia pasipo njia Ila nakuombeya Sana mtumishi mungu azidi kukupa hofu ya mungu uwepo wa mungu usipungue ktk maisha yako nakupenda Sana dada mungu akubariki Sana azidi kukujenga kiimani
Inshallha amin 🙏 mungu aendelee kua nawe amin 🙏
Zaidi ya yote malikiz ana hekima tena anaongea maneno kwa mpangilio.namueelewa
God bless you malkis hongera Saaana
Am happy to see you, nakupenda sana na nimefurahi umekuwa malkizi mwingine, your very beautiful ❤🥰
Mungu nisaidie niisikie sauti yako
Asante umependeza Mungu akupe kubadilika sana
Kila binadamu Ana makosa yake ukiyaacha makosa na ukimrudia mungu atakubariki
Hongera sana malikia Mungu ni mwaminifu sana
Daaa kweli Mungu anabadilisha watu
YESU azidi kukurea ufikie kwenye kimoapendacho Mungu
Binti kabarikiwa hekima kwa kweli.
I like the way she talk
Amebadilika amekua mzuri zaidi mpaka kuongea amebadilika jmn🤗
Mungu ni mwema na akusimamie malikiz
Mwenyezi mungu atazidi kukupa Imani wache waja waongee watskacho ila siku ya siku mwenye kuhukumu ni mungu pkee hongera sana malkiz mashanllah
Jehovah akiniwezesha niweze kumalizana nayale nayafanya,ningetaka kumleta kenya few days aongee na jeshi humu kwetu nakama haitawezekana nije na bidhaa za kazi nibebe video zake.mpe hongera zetu Yesu amlinde.
Good perspectives
Woow so inspiring
Kweki umebadilika MUNGU akuzidishie sana, nakupenda mnoooo ❤️ mdogoangu
She is geneous kiukweli
Allah azidi kukuongoza. Jitahidi kuacha dunia tu tutaiwacha hapa hapa
Maa shaa Allah Tabarakallah
Nampendaga sana hyu dada
Badilika dada nakupenda unavyocheka love you 😘❤️
God's works. Young lady continue believing in Almighty God!
Allah atujarie mwisho mwema
Nimejifunza saana kupitia hii interview
kubadilika kuacha usagaji anatakiwa arudi kwenye hali yake aliyozaliwa nayo avae gauni na sketi ndio nitamini kaadilika , huyu anajificha kwenye kivuli cha dining tabia bdo ni zile za usagaji
So woooh thanks God for this Girl
His correct malikiz, l like
Nampendaga kinoma uyu dada yn kila kitu chake sijal aweje nampenda vyovyote atakavo kuwa
Mashallah🙏🏼
She's cute
Shetani bwana
One hii brain alivytaka kuipoteza
Ameshindwa na atatumika kuokoa wengine na kufundisha juu ya haya
Kafanana na Salama mungu azidi kukufungua
C wote wanajifanya madumejike ndo maña
Mashallah, she is beautiful 💕
Nampenda huyu dada
She is cute wallahi
Respect
SHE IS VERY GENIUS AND BEAUTIFUL
Mungu akusimamie daima
Kweli
Amebadilika kweliii unaweza pitishwa kwenye majaribu ili uwefunzo kwa wengine
Sana halafu kama amefanana NA salama jabili
Beautiful smile 😻
MashaAllah ❤️
Mashallah. Mungu akulinde
Tattoo ni haram! Sasa umesema unamkaribusha Mungu kisha lazima ufuate sheria zake. Kama kweli wampenda basi fuata amri Zake
@Boss Lady Afute na tatuu pia.
@Boss Lady Afute na tatuu pia.
@Boss Lady Afute na tatuu pia.
@Boss Lady wewe umeona tatoo za mwenzako ndio dhambi ila ww umeshajiuliza una tatoo gani kwenye dhambi zako? Mungu aangalii mwili anaangalia moyo....binadamu wana maneno mengi sana
Mwenyezi mungu haukumu kwa yale uliyo tubia ndiyo maana hata mali uliyo chuma kwa njia ya haramu huwa anazibadilisha kuwa halali
Lkn mbona ndugu yngu. Uko kichwa wazi? Na unahofu ya Mungu? Na mbona umejichora tatuu? Na ni haramu? Allah akubadilishe zaid
Alichora zaman saiz kasha badirika unataka afanyeje sasa
Ni mkristo kwa sas halafu hizo tattoo ni way back
@@zuwenazuwena7764 no hata wa christu wanafunga ushungi ila ni kwa sababu ya dunia imebadirika
Mzuri
Mungu atakusafisha utashangaaa
Nitumie namba za malikiz nimtumie zawad yake amebadilika mno
Dah Allah akuongoze mara mia Zaid malkia.umetoka mbali Sanaa kwa kweli 😘😘
16:34 16:35
✊👊🥂
Hongera sana
Duh
Naomba nikuoe nizidi kukubadilisha
Wow! God is Good all the time
Congratulations siz
Prays the lord,barikiw n mungu akutete sana
Duniya ni Maputo tu.
✅❤️
Jamani namba zake nipeni naona kama atanibadilisha kwenye huo mtihani unanitesa sana
Na ww mkaribishe Allah utabadilika mkaribishe mungu
Haaaahaaa na ww magazine unachekesha
Kua karibu na Allah ddangu na jiepushe na marafiki hao wanachangia kwa imo tabia wallah utakua mzuri zaidi
@@paschaziaignas6984 Wewe unaona NA chekesha lakini msema kweli ni mpenzi. Wa. Mungu huyu angejificha. Mpaka leo angekuwa. Huko
@@user-po8hz7xw9j pole
She's fuckin smart
Mimi nawashauri wakristo , badilisheni hili neno usagaji , tafuteni jna lingine, hii njia ya shetani ya kupromoti hii tabia chafu , yule aliyeliita hili neno sijui alidhamiria nin, afadhali kusema tu lesbiani
Wallahi wacha jina ddangu yani ni tabia chafu kabisa aki tunapotea kwa kweli mungu atuongoze insha Allah
Kwani wakristo ndio walitunga neno usagaji
Usagaji wameita wakristo?
Ndugu futa kauli yako, pia uwatake radhi au uwaombe radhi Wakristo.
Allaah Akujaalie uanze kujistiri vizuri mavazi yako!
Hawezi kujistiri maana ame ritadi
Kumbe Kawa kafiri! Allaah Atustiri dunia hii! Wahi kumrudia Allaah kabla hujafa.
@@FatimaFatima-wk1jk ni murtada kumbe😭.mngu humuongoza amtakaye
@@FatimaFatima-wk1jk wewe hata uislam huujui , yaani wakrito ndiyo makafiri huna adabu na hujielewi ulipo
Dada huna khof ya mungu kichwa wazi hof iko wapi sasa
Acha we kujifanya unajua sana maisha
Kila kitu kinaenda na hatua yake kama amepita mtihani mkubwa basi kujistiri kutafuata mambo ni taratibuuuu
Mambo kidogo kidogo hapo alipo tuseme Alhamduilillah nawe omba mwisho mwema dada maana kama hujafa hujaumbika
Acha kumuhukumu unsijua vizur Jana yake sisi tunaomjua tunafurahi hapo alipofikia
Cidhani Kama kufunika kichwa ndo kuwa na hofu ya mungu maana hata majambazi wanavaa vinyago na masks kufanya uhalifu so don't judge vitu ambavo havina hata msingi watanzania tumepumbazwa na Dini zilizoletwa na waarabu pamoja na wazungu let's change and follow our originality..
nimejifunza kitu kupitia uyu mtoto
JEE ANAMuME?
Kadem kazur haka embu fanya umwambie kuna mjuba kamuelewa
🤣
Sasa mpeni namba yangu huyo jamani,
Fala weww🤣🤣🤪🤪🤪🤪🤣
@@user-po8hz7xw9j walai mi nampenda huyu demu ni vile tu
@@user-po8hz7xw9j zeituni kwani uko inchi gani ww
@@loganpoul muscut
@@user-po8hz7xw9j oohhh nilikua nadhani uko qatar
Pisi kari kabisa alafu ilikuwa inabania nyapu
Acha hizo ww umeliona hilo tu mxinzi utamjuwa
Acha zina ndungu yangu
Respect
Respect
Mbona anafanana na salama
@@estersimeo6750 itakuwa wanaudugu