JINSI YA KUPIKA JELEBI FASTA FASTA
Vložit
- čas přidán 6. 04. 2023
- Mahitaji ya shira
Sukari kikombe 1
Maji 1/2 kikombe
Maji ya ndim kjk 1/2
Mchanganyiko wa unga
Unga wa ngano kikombe 1 ( gram 125)
Baking powder kjk 1 cha chai
Siki nyeupe kjk 1 cha chai ( vinegar)
Mtindi mzito usokuwa na ladha 1/4 kikombe
Maji 3/4 mpaka kikombe 1
THIS RECIPE IN ENGLISH • QUICK INSTANT JELEBI
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
Maa Shaa Allah shukraan Sister 👑👑❤️❤️💎💎💕💕
Napenda sanaunavyo pika mama na napenda Sana kuja kuwa mpish mkubwa Kama wewe mashallah mama 😘
Shukran, Inshallah Allah akufanyie wepesi
Mashallah 🥰 jazak Allah khairan
Asantee kwa kutufundisha Jazakallau khairan 🙏🙏🙏
Jazakallah khayran
Masha Allah😋
L)ll
Very simple! 👌🏻😋 thanks Dear..❤🙏🏻
My pleasure 😊
Mashallah
Shukran sana habibty nitajaribu vipimo vyako allah atakulipa mema yarab amin
Amin ya Rabb
Asante sana kwa kutusaidia tusiojua kupika shukran sana🙏. Pia kuhusu ndimu ukitaka ziwe na maji mengi weka kwa microwave kwa sekunde 10 tu usizidishe please
shukran
😋😋😋😋😋😋😋
THIS RECIPE IN ENGLISH czcams.com/video/Z48zH60L_Rs/video.html
Më pëlqen shumë receta
Samahani lakini unadarasa lakufundisha keki? Na lipo mkoa gani?
Bila samahani dada mue nipo Marekani mapishi yote naweka hapa na pua cake zipo za aina nyingi na bure kabisa
Mashallah Dada Fathia🥰 love from Zanzibar
Shukran sana kipenzi je unaweza tumia maziwa ya mgando hata yakiwa mepezi?na pia naweza tumia mafuta ya kawaida tu bila kutia samli?
Maziwa ya.mgando ndio yepi
@@aromaofzanzibar yanayo gandishwa Tz tunaita hivyo
@@tunnykhalifa8900 Yale ya sukari...?. Kama ni Yale hayatumiki kwenye oushi hili
@@aromaofzanzibar hapana sio ya sukari yenyewe yanagandishwa maziwa pekee hawatii sukari
@@aromaofzanzibarmaziwa mgando zanzibar tunaita mtindi😂
Fastafasta kiswahili ni chapchap
Ahsante
@@aromaofzanzibar ningependa kuuliza ww tafsiri SPICE kwa kiswahili. Unaweza kutumia BIZARI kumaanisha SPICE aina yoyote?