Safi Sana Kaka njia mwafaka kabisa. Tuongezee ; Customer rebate - kurejesha kiasi fulani Cha pesa au bidhaa kwa wateja wanaovuka kiasi fulani Cha manunuzi kwako kwa muda uliopanga kuwapa motisha kwa kununua bidhaa zako
Brother.shkmo mi mdogo akoh.Na umri wa miaka 19.ila nime ajiriwa kiwanda cha mandazi bekary. ila natamani kufunguwa biashara ila sielewi ata biashara ipi nitafunguwa..nafwatiliagah hizi somo unaotowagah sana..
Kujiunga na kozi ya "Mbinu Za Kuuza Zaidi" wasiliana na team yangu Whatsapp 0762 312 117.
Hyo kozi ipo bado.. Plz nijuze nahitaji japo nmechelewa
Nataka kitabu
hellow
Boss nahitaji hii coz
Jamani nahitaji hii coz please
Nashukuru sana kwamafunzo unataka nayio ambayo ume acha umesema ni nzuri sana au iyo yatano
kwa kweli kaka masomo yako yananibariki sana
kuhusu punguzo(discount) katika biashara ni nzuri sana nilifanikiwa
Asante sana kwa somo zuri Mungu akubariki, mimi nitaanza na bei za kisaikolojiađđ
Safi Sana Kaka njia mwafaka kabisa. Tuongezee ; Customer rebate - kurejesha kiasi fulani Cha pesa au bidhaa kwa wateja wanaovuka kiasi fulani Cha manunuzi kwako kwa muda uliopanga kuwapa motisha kwa kununua bidhaa zako
Ahsante kwa mawazo,nitafuatilia hii.
Asante sana kaka, nmejifunza vingi.
Asante sana Mungu akubariki
Thank brother â€
MORE ATTAC MUCH RESPECTED BRO!
Asante sana broo umenifungua macho sana
Mungu akulinde Kaka. Nimevutiwa na njia ya Kwanza na nne
Thanks kutoa ofa kuwa kushikanisha vitu mingi
Shukran points taken
Asante sana kaka kwa mafundisho yako
I like your idea
kuna watu wana chuki eti mtu ana dislike hata aibu haoni piga kazi kaka
Hao wajinga ##
Kaka kazi mzuri sna mungu akueke unatoa machimbo mazuri sna tunakusubir zanzibar
UKO VIZURI KIJANA...UBARIKIWE!......see you at the top
Safi sana kaka hakika kozi zako ni nzuri
Mungu akutunzeâ€ïžâ€ïž
Good job bro..nimeipenda psychological price
Asante sana mwalimu
Shukran sana umeiweka vizuri, kwenye maji ulitaka kusema mili lita ( ML ) na sio mili mita au sio ? Mbinu zote nzuri kuvutia wateja ..
Nmejifunza asante sana
Good brother I love you
Nimekupata bro.naanza kufanyia kazi
Asante kwaelimu
đ Njia izo ziko sahihi sanađ,,,,,,,
Thanks a lot. Stay blessed mr Joel
Asant kak kwa kumps pongez joel
kazi nzuri
Somo zuri sana hili
Well understood
Waooooo kwambinuhizi mteja achomoi
somo nzuri sana
barikiwa sana kaka angu.
Thank you
Asante kwa video nzuri Mr.Joel lakini mawasiliona hujaweka ili tukutafute zaidi
Product service bundleđđ
Kazi nzuri sana broh
Safi San brother
Natumiaga sana iyo ya kwanza na ya pili ila ya 3 na 4 ndio nmejifunzaa sasa na nitazitumiaa asante kaka
Nashukuru sana kaka J,Mungu azidi kukuinua viwango hata viwango.
Asante sana
Punguzo LA saikologi hii nzuri unaitumia hata ww nmeipendaâ€
Asante kaka Joel đđđ unanisaidia Sanaa ubarikiwe
Shukran sana
Nimekweelewa sana Discount
Asante Mwalimu kwa mafunzo mazuri
Thanks
Naomba utaratibu wa kusoma iyo course nguli.. đ€đ»
Tuwasiliane kupitia 0762312117
Naipataje iyo coz
Somo zuri sana
Thanks Lot!?
Much respect to you.
The DISCOUNT ONE play part on My Business.
Shukran
Asant sanaaa joel
Asante
I appreciate your efforts bro,
Weka videos nyng za biashar Kaka
#seeyouontop
đđ
3 Nimeipenda Mno Kaka na Inafaa kwa Kazi yangu
No.2
đ# see uh at the top
Asante Sana Barikiwa Sana
Ameen
Ahsant sana kaka
Aisee
Discount price ni njia ninayo itumia kwenye Chuo changu cha ufundi
Joel Nanauka Mungu Akubariki Kwa Makubwa Unayofanya Juu Ya Vijana
Ameenđđ
Mungu alikuleta kwajili ya wengi kaka uko vizuri mungu akuongezee zaidi watu wafunguliwe
Kabisa
1 na 3â€â€
nimekufuatalia tu siku mbili nimekupenda bure bro na ngoja niendelee kukufuatalia kwa ukaribu sana nipate madini sana .
Naomba Na namna ya kusoma iyo course
Nimekuelewa San broo Mungu azid kukutia nguvu
Ameen
Waoooo njia zote n nzuri bro. MUNGU akubariki Sana... course inatolewa kwa sh ngapii??
Safiiiiiii
Zote zimenigusa nitazifanyia kazi Asante Sana kaka joelnanauka
Karibu Sana tuendelee kujifunza
@@joelnanauka đđ
Nakuelewa mjasilia Mali mwenzangu
its so helpfull thanks
Karibu sanaa
@@joelnanauka asante sana
Elimu kubwa sana umeitoa me meneja masoko wa kampuni nimejua nn nkiongeze
Bro unajua vitu
Binafsi naona product bundles itanisaidia kwenye biashara yangu
nimeelewa vizul Sana ,Apo nadhani ntaanza kuitumia Discount
njia ya bei za msimu
Discount thank u sir
bei za msimu, punguzo la bei,bei za kiasaikorojia
sclgcal price ndio mpya kwangu,
Namba 1 na 3
Yaan duuuuh
Brother.shkmo mi mdogo akoh.Na umri wa miaka 19.ila nime ajiriwa kiwanda cha mandazi bekary. ila natamani kufunguwa biashara ila
sielewi ata biashara ipi nitafunguwa..nafwatiliagah hizi somo unaotowagah sana..
Binafsi nimeona kwamba zoote nne ulizogundisha ziko vizuri,Ila binafsi nitaanza na product bundle
Kila la kheri
@@joelnanauka q
Habar ya asubuhi mkuu
Ntaanza naya 3&1
Hayo maarifa yako umeyatoa wap bro
Nimeipenda ,wateja wangu wataona mabadiriko kwangu
Safi samweli,nitafurahi kupata mrejesho
@@joelnanauka mimi nadhani ninjia yakwanza
đđđđ
Naona kama njia zote zinafaa ktk biashara
Kweli dunia inavitu vingi Kila siku unanipa kitu kipya na brand umeibadilisha hongera kwa kumiza kichwa tunaenda kimataifa
Tuendelee kujifunza pamojađ
Njia ya discount
Wakwanza Leo ku views
Hongera sanaaaa
Hio mbinu ya pili na tatu mbona inafanana?
Umeniongezea kitu maana nilikuwa nafanya hvyo vitu ila naona nimeongeza ujuzi zaid kupitia xomo la leo Mkuu barikiwa xana.
Nafurahi kusikia hivyo
Bei za kisaikolojia na punguzo la bei
Uwa natumia 1,3 na 4 na ninafanikiwa kutokana; Ila natumia kutokana na maeneo, Aina za watu na season iliyopo
See u at the topđ„
Nimeipenda sana hiyo ya bundo...Maana nauza perfume,spray na deodorant.
Wow,ukishaitumia nitaomba mrejesho
Haina neno kaka Joel.Nimejaribu kuweka sawa hesabu zangu,ili niitumie hiyo ya bando.Shukrani sana.