CHAMA ADAIWA KUSAINI PANDE MBILI/ MCHUNGAJI AWAAMSHA VIONGOZI SIMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 23

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 Před 2 dny +1

    Kweli nyinyi ni madunduka pale hamna viongozi wew

  • @user-vl8nz4uv6k
    @user-vl8nz4uv6k Před 2 dny

    Mm sijapenda sana kwann iwe ivo

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před dnem

    Daah! Nikiwa mdogo kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia ukiona mtu anashabikia timu hii ujue ana laana

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa Před dnem

    Mchungaji chamanani aende tuu mrijahuo

  • @user-xm2pi9ty1b
    @user-xm2pi9ty1b Před 11 hodinami

    Ifike hatua muelewe chama nan bwana waache viongoz watengeneze timu bwana utakaa na chama mpka lin wew

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 2 dny

    Aondoke tu chama

  • @michaelseme7730
    @michaelseme7730 Před 2 dny

    Simba Nguvu moja

  • @kazinaimwishehe-ec3xu

    Mchungaji uyo ni duka aende tu

  • @user-xm2pi9ty1b
    @user-xm2pi9ty1b Před 11 hodinami

    Mda ote chama chama kwani bila chama timu haiend kila kocha anayekuja anamkataa chama ww ninan bwana ambaye hujasoma hata mpira waachen viongoz watengeneze timu bhana chama mda ote anachukua ela tufungwe angalia walio sirous kama aziz k lakn yy anaish na manara

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa Před 2 dny

    Duuuu hatari

  • @user-xm2pi9ty1b
    @user-xm2pi9ty1b Před 11 hodinami

    Mie mnitoe ntaendelea kuipenda simba nasyo mtu kwasababu kila mchezaji zama zake zitapita unataka kutuaminisha bila chama simba haiwez kuendelea tumecheza mechi tisa bila chama na 7 tumeshinda mbili tume droo hebu tuache teseka kivyako

  • @naslimtz1247
    @naslimtz1247 Před dnem

    Sasa ushasema ana mapungufu makubwa Sasa kwanini uumie mbona unatuchanganga

  • @kingabdullah-nd2tf
    @kingabdullah-nd2tf Před 2 dny

    Simba viongoziwetu hawans maanayoyote tunaumiasana

  • @naslimtz1247
    @naslimtz1247 Před dnem

    Huyu mbona kiruc

  • @user-ou4tm2xi6p
    @user-ou4tm2xi6p Před 2 dny

    Akuna Wacha aende bwana kwani alikuepo okwi itakua chama mchungaji apo umechemha

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 2 dny

    Ipo moyo Simba Yako watapatika wengine baba

  • @naslimtz1247
    @naslimtz1247 Před dnem

    Kwanza uliechanganikiwa ni wewe na sio sisi jizungumzie wewe sio sisi simba anaenielewa lazima afurahi kuondoka kwa chama

  • @alitante4279
    @alitante4279 Před 2 dny

    Mbn saleh jemb hamin na huyu mchungaji hamin mh mbn km kuna namna🤔

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l Před dnem

    we nae mchungaji usituchanganye kama umeumia ww na familia yako sie tuko normal

  • @trustmuu569
    @trustmuu569 Před 2 dny

    acha kujidanganya wewe simba kubwa kuliko chama mwache aendee

  • @mengisimulizi7577
    @mengisimulizi7577 Před dnem

    Umeumia wewe muache aende

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Před 2 dny

    Umfuate aliko

  • @brefiakassim444
    @brefiakassim444 Před 2 dny

    Hakuna pigo wewe mpira umeisha huyo na nyodo imemponza ufalme wake umeisha,