Mda ote chama chama kwani bila chama timu haiend kila kocha anayekuja anamkataa chama ww ninan bwana ambaye hujasoma hata mpira waachen viongoz watengeneze timu bhana chama mda ote anachukua ela tufungwe angalia walio sirous kama aziz k lakn yy anaish na manara
Mie mnitoe ntaendelea kuipenda simba nasyo mtu kwasababu kila mchezaji zama zake zitapita unataka kutuaminisha bila chama simba haiwez kuendelea tumecheza mechi tisa bila chama na 7 tumeshinda mbili tume droo hebu tuache teseka kivyako
Kweli nyinyi ni madunduka pale hamna viongozi wew
Mm sijapenda sana kwann iwe ivo
Daah! Nikiwa mdogo kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia ukiona mtu anashabikia timu hii ujue ana laana
Mchungaji chamanani aende tuu mrijahuo
Ifike hatua muelewe chama nan bwana waache viongoz watengeneze timu bwana utakaa na chama mpka lin wew
Aondoke tu chama
Simba Nguvu moja
Mchungaji uyo ni duka aende tu
Mda ote chama chama kwani bila chama timu haiend kila kocha anayekuja anamkataa chama ww ninan bwana ambaye hujasoma hata mpira waachen viongoz watengeneze timu bhana chama mda ote anachukua ela tufungwe angalia walio sirous kama aziz k lakn yy anaish na manara
Duuuu hatari
Mie mnitoe ntaendelea kuipenda simba nasyo mtu kwasababu kila mchezaji zama zake zitapita unataka kutuaminisha bila chama simba haiwez kuendelea tumecheza mechi tisa bila chama na 7 tumeshinda mbili tume droo hebu tuache teseka kivyako
Sasa ushasema ana mapungufu makubwa Sasa kwanini uumie mbona unatuchanganga
Simba viongoziwetu hawans maanayoyote tunaumiasana
Huyu mbona kiruc
Akuna Wacha aende bwana kwani alikuepo okwi itakua chama mchungaji apo umechemha
Ipo moyo Simba Yako watapatika wengine baba
Kwanza uliechanganikiwa ni wewe na sio sisi jizungumzie wewe sio sisi simba anaenielewa lazima afurahi kuondoka kwa chama
Mbn saleh jemb hamin na huyu mchungaji hamin mh mbn km kuna namna🤔
we nae mchungaji usituchanganye kama umeumia ww na familia yako sie tuko normal
acha kujidanganya wewe simba kubwa kuliko chama mwache aendee
Umeumia wewe muache aende
Umfuate aliko
Hakuna pigo wewe mpira umeisha huyo na nyodo imemponza ufalme wake umeisha,