Nakubali gb128 ila msimponde chama mpeni maua🎉 yake kwa amani yeye sio mfia Tim ni mchezaji anayetafta pesa sio vizuri kumponda wakati angebaki SIMBA tungemsifia ukweli usemwe tu he is a big player in TANZANIA no SIMBA no chama no problem. Mshabiki wa SIMBA hawezi hama Tim kisa mchezaji na ndo maana bado tutamkubali chama kwa makubwa aliyotufany❤🦁✊️
Nakubali gb128 ila msimponde chama mpeni maua🎉 yake kwa amani yeye sio mfia Tim ni mchezaji anayetafta pesa sio vizuri kumponda wakati angebaki SIMBA tungemsifia ukweli usemwe tu he is a big player in TANZANIA no SIMBA no chama no problem. Mshabiki wa SIMBA hawezi hama Tim kisa mchezaji na ndo maana bado tutamkubali chama kwa makubwa aliyotufany❤🦁✊️
Gb 64 unaongea ukweli ila hili la chama vipi pengo lake litazbwa na nani?
Litazibwa na fidhi
Naww@@JIWEtv6484
Babu muache aende kaenda mbape Madrid yeye Nani
WA kwanza naomba likes zang
Chama nae mnafiki kama wanafik wengine
MVP WA IVORY COAST
HYO TUU INAONYESHA MO ILIVYO SERIOUS
❤❤❤❤❤
Kwa hyu jeas ahoua tumepigwa huyu ni sawa na jobe tuu bt wacha tuonee
Ach ujiga
Ahoua sio mshambuliaji wew acha kukalili