MAMBO MATANO USIYOYAFAHAMU KUHUSU MSHAMBULIAJI MPYA WA SIMBA YAO JEAN CHARLES OLIVER

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Simba imemsajili kimya kimya mshambuliaji wa SKA Khaborovsk ya nchini Russia Yao Jean-Charles Oliver Raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 23 kwaajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao
    Kwa kulitambua hilo Simba Pro tumeona tuje na mambo matano ambayo yanaweza kumpa picha mwanasimba juu ya ubora wa nyota huyo mpya katika kikosi cha Simba
    Kama unahitaji kuungwa kwenye group tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kuungwa
  • Sport

Komentáře • 6

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 4 dny +2

    Wakwanza kabisa nipo hapa nimetisha kumuunga mkono Mr dulla hassan ❤❤🎉🎉

  • @kombohamis2481
    @kombohamis2481 Před 4 dny

    Aliekwenda simba ni jean Charles ahou, huyo Oliver unamjua ww

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 4 dny

    Hakuna simba ya wazee sasa uzee uko kwa wenzetu tuu

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 Před 4 dny

    Hamna straika apo kaka ,,, mpira ni mchezo wa wazi mzeee uyu jamaa ni jobe alie changamka ,,, au na ww unatumika na viongoz wa simba ???

  • @omarmwanja319
    @omarmwanja319 Před 4 dny

    Hakuna streka hapo viongozi walete streka lakueleweka