Muda HUU GB 64 avujinsha SIRI nzito TAARIFA Njema SIMBA AZIZI KI AMESAIN SIMBA | USAJILI WA KISASI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • #usajiliwasimbaleo #usajiliwasimba #simbaleo #aziziki #modewj
  • Sport

Komentáře • 35

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz Před 16 dny +6

    Hapo umeongea GB 64 kikubwa uwezo wa wachezaji kama mnajua mnajua tu National Team zina kutana 14 days wanaingia kwenye mashindano. Wanakipiga.

  • @LovelyBird-sf5fn
    @LovelyBird-sf5fn Před 16 dny

    Bro uko sawa hapo

  • @user-vk5dj7st3p
    @user-vk5dj7st3p Před 16 dny

    Vizur, kaka, iyo, Simba, mpya

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 16 dny

    Tunafurahiiiiiiiiiiiii kama kweli tunapata Azizo k. Bado feitotoooooooo❤❤❤🎉🎉🎉🎉moira wa vijana mwaka huu.

  • @Aman-vx6xb
    @Aman-vx6xb Před 16 dny +3

    Sa10 ninan me naona kikos tayar cha msingi tupen usajil mmoja wa kuwakera tuu

  • @eddiemwangaraba9289
    @eddiemwangaraba9289 Před 16 dny +1

    Sasa hivi hawana la kuongea Tena maana wakati ule simba ikisajili ooh wamesajili wa wazee Leo kimya

  • @user-bo5ee2tp9p
    @user-bo5ee2tp9p Před 16 dny

    Hapo umeongea point saaanaa

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 Před 16 dny

    Ndugu zangu wanasimba me moyo umeshaanza kudunda kwa hofu duh Mungu saidia tuwafunge yanga goli nyingi 😢😢😢😢

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Před 16 dny +2

    Utopolo mpira wa sasa ni wa vijana Mo big up kazi umeimaliza

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před 16 dny

      Mo ataoa timu nzima na wanachama kwakweli. Sijaona washabiki wenye vichwa panzi kama Simba. Kuwadanganya ni rahisi sana😅😅😅

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Před 16 dny

    Aziz ki😂😂😂 , haya rudi hapa utupe taarifa imekuwaje Aziz ki na Yanga😅😅😅😅😅

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Před 16 dny

    Wewe waota!!

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman Před 16 dny

    nakubali 😂😂😂😂 vijana na wazeeee tareh 8

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm Před 16 dny

    Walimfanya kitu kibaya huko centro

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 16 dny

    BILA YA KISOMO NA ALBADIRI YA KINGA KWA WACHEZAJI WATAROGWA NA WATAONEKANA WABOVU HAWAFAI ANZENI KUTOKA LEO

  • @eddiemwangaraba9289
    @eddiemwangaraba9289 Před 16 dny

    mwaka huu jitu linakufa nakuua nyongo za watu ndipo watajuta kwa Nini wamechukua chama

  • @MolotoniMalisela
    @MolotoniMalisela Před 16 dny

    Nakubali kaka

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před 16 dny

      Huyu mgonjwa wa akili huyu. Bado namsubiri ahamie Azam kama alivyosema

  • @KhamisHamadi-gd3eb
    @KhamisHamadi-gd3eb Před 16 dny

    Hajielewi

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp Před 16 dny

    Gb 000000 tunakuja kukuvalisha shanga Aziz yupo Yanha tajiri ni GSM tu wengine pesa za urithi.

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 15 dny

    Mtawakataa!!jamaa zangu

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 Před 16 dny

    Bingwa wa kihistoria miaka 30 Yanga,Bender's ya jihadi rangi kijani wekundu no moto tu njano no matunda,ngoja tuone eachezaji hawana afya mnasingizia madawa,hao TFF no simba kwa mini wasigundue hili we gala tu hukijui unachosema

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm Před 16 dny

    Bangi inakusumbua unahamia lini azam?

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 15 dny

    Wapumbavu kama Hawa wako wengine upande huu, kiongozi wao alishawaambia!!!

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Před 16 dny

    Mshindwe kumpakiza chama azizi mtamuweza azizi tayari miaka miwili fakolo wewe

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Před 16 dny

    Wewe ni mropokaji wa kawaidaa

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Před 16 dny

    Subirini tarehe nane paka nyie

  • @raulencomarkesh5848
    @raulencomarkesh5848 Před 16 dny

    Mtambo huo

  • @KhamisHamadi-gd3eb
    @KhamisHamadi-gd3eb Před 16 dny

    Hata ishu ya chama ulisema mo ameshamsainisha miaka miwili,nikama haujielewi vile

  • @peterrobertkabate239
    @peterrobertkabate239 Před 16 dny

    Gb kila interview unarudia maneno yale yale

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před 16 dny

      Jiongeze hawa sanga Tv wame iedit matapeli hawataki kumpoza Gb 64.

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 Před 16 dny

      Hilo nalo neno,umesema kweli na umetolea mfano mzuri wa timu za Taifa.

  • @DenisMalima-cq9hp
    @DenisMalima-cq9hp Před 16 dny

    Hivi huyu jamaa uko Centro walimfanya nini

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 16 dny

    MATOPOLO MACHOGO FC WANATOWA RUSHWA NA WANATUPIGA MISUMARI HATA TUKICHEZA MECHI ZINGINE WA LAANA WALA MIHOGO HAO