HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga - Sport
MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri
Hawalogi tena hao
Hawa yangaaa hawa tutaonana mwaka huu wametuzalilisha sana
MUNGU aeñdelee kuwa nasi
Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport
Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25
Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja
Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.
SIMBA FOR LIFE ❤
🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira
Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu
Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi
Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja
Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba
Mungu awe pamoja nanyi
Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee
Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu
Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu
Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa
Naomba kujiunga na group
Niunge kwenye group ya simba
mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea
Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora
Naomba nijiunge😅
Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu
Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes
Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?
Nilikuwa napita tu
Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua
🎉 na wewe pia
Watuletee aziz
safi sana
Mungu yup nas
Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie
niue gulupu simba
Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi
najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine
Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,
Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba
Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu
hatari mliwaona wapi acha tuwaone
Mziki mnene wenye kijan mjiandae
Niunge
Niunge