HAWA HAPA WACHEZAJI WATATU HATARI ZAIDI KATIKA KIKOSI CHA SIMBA KWASASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Simba imefanya usajili wa wachezaji wengi wa kigeni na kwa kulitambua hilo Simba Pro tumefanya tathmini ya wachezaji watatu hatari zaidi ambao Simba wamefanikiwa kuwasajili katika dirisha hili la usajili
    Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tukupe utaratibu wa jinsi ya kujiunga
  • Sport

Komentáře • 44

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Před 16 dny +11

    MUNGU atusaidie wanasimba yanga wasituroge tuwe na msimu mzuri

  • @JosephTimotheo-t4j
    @JosephTimotheo-t4j Před 6 dny

    Mungu ibariki simba mungu bariki wa hezaji wa simba mungu bariki wapenzi na mashabiki wote wa simba mungu wwpige laana wambea na mamruki wote wanao itakia mabaya timu yetu ya simba sport

  • @HamisiMakela
    @HamisiMakela Před 16 dny +4

    Asante kwa usajiri bora mungu atupe nguvu na afya ya akili dhidi ya msimu mpya 2024/25

  • @DaudiMkama-k6f
    @DaudiMkama-k6f Před 14 dny +1

    Mungu ainatiki Simba yetu na Mimi naomba mniunge kwenye group la Simba nguvu moja

  • @user-ol8xg4ez3i
    @user-ol8xg4ez3i Před 15 dny +1

    Maana kweli ynga wachawi mno,,tusiwasifu sna,,wakae wakijua wameajiriwa ,,tusiwasifu sna tusije aibika..mungu atusaidie.

  • @Mosesy_Bright
    @Mosesy_Bright Před 16 dny +2

    SIMBA FOR LIFE ❤

  • @ShadrackSonga-v6f
    @ShadrackSonga-v6f Před 15 dny +2

    🎉mungu tusaidie wanasimba tufikie malengo yetu kwny mpira

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před 11 dny +1

    Watateseka sana sisi atusajli Tim tunasajili mchezaji moo amesha Sema ad watubu

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 Před 15 dny +1

    Damu ya YESU iwafunike Wachezaji na Bench lote la ufundi

  • @irfaanhasham1346
    @irfaanhasham1346 Před 14 dny +2

    Simba tuliamini simba bila chama bila inonga bila manula siyo simba sasa wale waliamini hivyo walikosea tuombe uzima mtaiona simba mpya mpaka mtasahau kama tulikua na hao wasaliti simba nguvu moja

  • @user-vt4bx1xl7j
    @user-vt4bx1xl7j Před 15 dny +2

    Mimi nahitaji kujiunga na gruop la simba

  • @zainabuShabani-x9c
    @zainabuShabani-x9c Před 11 dny

    Mungu awe pamoja nanyi

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před 11 dny

    Dula nakuelewa kinyama wwe ni noma sana aisee

  • @user-hu3kb4qi2t
    @user-hu3kb4qi2t Před 12 dny

    Naitwa jonas zabron naomba na mm mniunge kwenye hilo grop la simba yetu

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 Před 14 dny +1

    Simba itengenezwe na viongozi kwa nguvu ya mungu

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Před 13 dny

    Safii bana niungeni kwenye group lá simbaa

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io Před 13 dny

    Naomba kujiunga na group

  • @IsakaMiseho
    @IsakaMiseho Před dnem

    Niunge kwenye group ya simba

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa Před 16 dny +2

    mutuletee azizik na fei toto basi goma inatembea

  • @user-oi5zh5zh7j
    @user-oi5zh5zh7j Před 15 dny +2

    Mwenyenzi Mungu akawalinde wachezaji wetyu na utimamu wao ukawe na mwendelezo bora

  • @ErastoMapunda-rj1mj
    @ErastoMapunda-rj1mj Před 15 dny +1

    Naomba nijiunge😅

  • @thomasdesta939
    @thomasdesta939 Před 13 dny

    Watu wa Mungu hawarogi wala hawarogwi hivyo tumuombe Mungu awe upande wetu

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys Před 13 dny

    Haw wachezaj ni bor lakin yang wachaw san watashindw kwa jin la yes

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před dnem

    Zouzou na mzize wasajiriwa kolo, ni kweli?

  • @anyagenyekalangali-zt1xo

    Nilikuwa napita tu

  • @lucastungera4495
    @lucastungera4495 Před 5 dny

    Kikubwa tuwaombee wachezaji wetu dua

  • @user-uj1pj3wr6y
    @user-uj1pj3wr6y Před 13 dny

    🎉 na wewe pia

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 Před 16 dny

    Watuletee aziz

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 Před 16 dny

    safi sana

  • @AbuuLugala
    @AbuuLugala Před 15 dny

    Mungu yup nas

  • @IssaJumanne-gy8io
    @IssaJumanne-gy8io Před 13 dny

    Simba mpya tunaitumaini Dana mola tusaidie

  • @MsingiNgusa
    @MsingiNgusa Před 16 dny

    niue gulupu simba

  • @user-pi4dv3oh1u
    @user-pi4dv3oh1u Před 16 dny

    Mm ni mnyama Nina kupongeza Kwa kutoa ufafanuzi

  • @EdigaKambimtoni
    @EdigaKambimtoni Před 13 dny

    najuwa Kijiji bala kichaa bado siyo Kijiji namabo ambayo ayakuusu ya nin utafatilie fata yako awa jamaa wanaizugumziya Simba siyo timu nyengine

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990

    Wasiongee kusema Simba wamechukuwa wachesaji ambae wametoka kwenye timu ambae zimekuwa kwenye nafasi ya chini,mbona Simba amekuwa nafasi ya 3 lakin wamemchukuwa chama,

  • @ErnestFaraji
    @ErnestFaraji Před 8 dny

    Nahitaji kuunganishwa kwenye group la Simba

  • @hamisnagave-bl1sq
    @hamisnagave-bl1sq Před 14 dny

    Group lenu la whatsapp mbona ukituma sms hamjibu

  • @browntv1119
    @browntv1119 Před 11 dny

    hatari mliwaona wapi acha tuwaone

  • @vicengelime4580
    @vicengelime4580 Před 15 dny

    Mziki mnene wenye kijan mjiandae

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l Před 15 dny +1

    Niunge