MZEE SAID AKIRI KUMSAHAU CHAMA SABABU NI HII | NAOGOPA KUSIFIA USAJILI SIMBA WALINIDHALILISHA SANA 😢

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024

Komentáře • 239

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 2 dny +102

    Wapangapi wanamsubili mzee saidi wetu 😂😂😂 naweka Mbavu zangu vizuri 😂😂😂😂kama unamkubali mzee saidi LIKE 10 😂😂😂😂😂

  • @abdulhalimsalim1386
    @abdulhalimsalim1386 Před 2 dny +15

    ❤❤❤❤ mzee saidi m'mungu akujaalie afya njema na umri mrefu unawaliwaza watu wengi inafaa tukupige tafu japo chochote kila alie kuwa nacho si haba watu wengi wapo pamoja na ww inshaallah kheri

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 2 dny +14

    Chagamba mwenyezi Mungu akubariki kwa kutuletea watu kama Hawa mzeeeee Wang said ni furaha sana❤❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @WilondjaDaudi
    @WilondjaDaudi Před dnem +6

    Mzee Uyu duh Niatari naombaa ata like 10 tuh

  • @ngido255
    @ngido255 Před 2 dny +30

    Mzee side kwenye one n two mpeni likes zake jaman😅

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 2 dny +28

    Mzee Said Uwaga Anatupa Raha Kweli Usichoke Kumtafuta🔥❤️🎉

  • @user-iv7wc5vi3w
    @user-iv7wc5vi3w Před 2 dny +24

    Nakukubali sana Mzee saidi

  • @ShabanMateso
    @ShabanMateso Před 2 dny +10

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 nakukubali sana mzee wangu Mungu akupe afya

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 2 dny +8

    Mzeee wangu msimu huu utafurahi Sana ❤❤❤❤

  • @ismailmohmed4740
    @ismailmohmed4740 Před 2 dny +20

    Mzee said nakuelewa sana

  • @DufuMachine
    @DufuMachine Před 2 dny +13

    Kiukweli bando yangu hailipi bila kumuona mzee saidi

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před 2 dny +24

    Hivi Aziz ki anamjua mzee Saidi kweli😂😂😂😂

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Před 2 dny +4

    Jamani huyu Said kanifurahisha sana 😂😂😂😂😂

  • @user-dd3nc9py2i
    @user-dd3nc9py2i Před 2 dny +21

    Hamna shabik wa Simba au yanga anaweza kuogea vizuri ka Mzee said

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 2 dny +5

    Mzee wetu mzee saidi😂namkubali sana

  • @josephmandala2225
    @josephmandala2225 Před 2 dny +20

    Chagamba fanya hivi , siku moja muombe Aziz KI amtembelee Mzee Said kama surprise .

  • @yustusmalende9263
    @yustusmalende9263 Před 2 dny +4

    HA HA HA HA HA HA HA HA HA DAAH LEO NIMECHEKA SANA..LIVE LONG MZEE SAID.

  • @imrankweka4752
    @imrankweka4752 Před 2 dny +7

    Huyu bwana Saidi ananifanya nacheka na simu,yaani ananipa starahe sana😅😅

  • @bahatisafi7521
    @bahatisafi7521 Před 2 dny +8

    Uyo mzee nitamulipiya ticket match ya kwanza ya yanga aende kumuona Chama

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 2 dny +2

    😅😅😅😅 huyu mzee chenga..eti I'm going to my home😅😅

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj Před 2 dny +3

    Chagamba mzee said mpelekee aziziki

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 2 dny +5

    Mzee said🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwanaidimtengo8151
    @mwanaidimtengo8151 Před 2 dny +2

    Jaman Mzee Saidi anatufurahisha sana,tusipomsikia yaan hatuna raha kabisaaaaaa

  • @doktaamiri2948
    @doktaamiri2948 Před 2 dny +7

    Penye udhia penyeza rupia

  • @JohnsonAmos-py3wf
    @JohnsonAmos-py3wf Před 2 dny +5

    ilaa mzeee saidi utakuja kutuuuaaaa jamaniiiii😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @Hadijamatemba
    @Hadijamatemba Před 2 dny +2

    Kweli kabisa Mzee said uko vizuri.

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před 2 dny +6

    Jiono jioni😅😅😅

  • @asherimbula1366
    @asherimbula1366 Před 2 dny +9

    🎉uko vizuri mzee baba Saidi

  • @ReginaSungura
    @ReginaSungura Před 2 dny +11

    Chagamba kilasiku fanya vipindi namzee wetu kilasiku ilituna punguza machungu ya kumsahau chama😂😂😂

  • @adolfmedard5758
    @adolfmedard5758 Před 2 dny +4

    Mzee Said, mimi ni Yanga ila nakupenda😂😂😂. Kwamba nataka kuweka swala la Kitaifa, bomoa hapa bomoa. Mungu akupe maisha marefu.😂😂😂 😂😂😂😂

  • @erastonzelekwa4299
    @erastonzelekwa4299 Před 2 dny +2

    😂😂😂😂😂 daaah mzee saidi anajua sanaaa boli akitoka walace karia pale TFF inabidi ukabidhiwe kile kiti😂😂😂😂

  • @twalibuchaye7687
    @twalibuchaye7687 Před 2 dny +3

    Nisipomsikiliza MZEE SAIDI Aise nakosa raha

  • @dumabagame3901
    @dumabagame3901 Před 2 dny +7

    Mzee saidi Pa Omar Jobe akiondoka tule Mbuzi sio kuku tena

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před 2 dny +2

    Mzee saidi nakukubali

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl Před 2 dny +5

    Yes mzee said

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq Před 2 dny +7

    Chagamba mm nipo kongo koroweizi. Nina shida ya namba ya mzee saidi. Ili nikiludi tz nionane nae mzee wangu. Kiukweri tukimsikiliza mzee saidi nahisi kama nipo nyumbani. Mzee ananifulahisha saaaana nimsikiapo mzee wangu 😂😂😂😂

  • @abednegoLumala-po3zc
    @abednegoLumala-po3zc Před 2 dny +13

    Mzee said tunakukubali Sana huwa unawachana ukweli makolo wenzio😅😅😅😅

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    😂😂😂😂😂😂😂mzee Said anafurahisha sana

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 Před 2 dny +5

    fredy abaki anaweza

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj Před 2 dny +2

    Mamayangu mzee said unatufraisha

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před 2 dny +6

    Tanda lubeta ng'ombe za nani Mzee saidi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂

  • @hamisruheya9081
    @hamisruheya9081 Před 2 dny +5

    Mzee said bwana “penye Ugumu Penyeza Rupia”

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 Před 2 dny +6

    BORA KUMUHOJI MZEE SAIDI UNAPATA HATA KUONGEZA SIKU
    MANA KWA MIRAJI KULE UTAKUJA KUVUNJWA MABEGAA SIKU

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před 2 dny +2

    Kila akifika golini alioni🎉🎉🎉🎉 ila Mzee saidi bana

  • @elicktilia4430
    @elicktilia4430 Před 2 dny +4

    Furaha ya mpira ni mzee said😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-in6sv4gh5u
    @user-in6sv4gh5u Před 2 dny +5

    Baba shikamooo

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 2 dny +2

    Mzee wangu said fred michael abaki huyo ni fundi kweli kweli simba nguvu moja💪💪💪

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před 2 dny +6

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Said Unaona Mbali Sana,🤣🤣🤣🤣

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před 2 dny +5

    Kutoa wote ni kosa

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman Před 2 dny +5

    gombea urais mzee upewe😂😂😂😂😂😂

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx

    Mzeee saidii muoga kuanza mzusiano mapyaa

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před 2 dny +3

    Mzee saidi nmemis sana

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Před 2 dny +2

    Cake ya njano Mzee said 😅😅😅😅

  • @gelarisjonathan7081
    @gelarisjonathan7081 Před 2 dny +5

    Mzee said mitano tena

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před 2 dny +3

    Yanamwisho baba wala ucjali.

  • @issachilonga8818
    @issachilonga8818 Před 2 dny +1

    Mzee saidi 😅😅😅 top level

  • @user-dd3nc9py2i
    @user-dd3nc9py2i Před 2 dny +6

    Subira yavuta heri hatimae Mzee hu hapa

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před 2 dny +5

    Fiat haina spid lkn haijawahi kushindwa mlima

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 2 dny +2

    Chama kalelewa sn ,ila binadamu tunajisahau

  • @hashimmaftah5508
    @hashimmaftah5508 Před 2 dny +5

    Fei atue simba nabadili kiswahil niongea kingereza 😂

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před 2 dny +3

    Hapa MB ZETU UTALAMBA SANAA

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 2 dny +2

    Uyu mzee bana et saa 6 afu wanamtambulisha abib kyombo😂😂😂

  • @marcemarco3747
    @marcemarco3747 Před dnem

    Huyu mzee namkubali sana aisee... Respect

  • @galatonetz
    @galatonetz Před 2 dny +2

    Mzee said me namkubali sana wallah!!.
    😂

  • @adamkihile2596
    @adamkihile2596 Před 2 dny +6

    Inabidi tuandamane ili tupate namba ya Mzee Saidi tafadhali.

  • @mnabukulakasaka
    @mnabukulakasaka Před 2 dny +6

    Jamani naomba muniunge kwenye group la simba

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před 2 dny +6

    Mzee Side mzee Mpili kashasema atakayemloga Chama anaruka naye mchana kweupe acheni nongwa

  • @yahayabakari9387
    @yahayabakari9387 Před 2 dny +4

    😂😂😂😂😂😂 et naiangalia hairudi

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 2 dny +1

    Nakukubali sana mzee saidi nipo dubai nakufatilia sana mzee wangu

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Před 2 dny +2

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 Ila huyu mzeee banaah ni vicheko

  • @NdeonasiaMahava
    @NdeonasiaMahava Před 14 hodinami

    Tunakushukuru Chagamba Kuendelea kutuletea Mzee Said atufurahishe

  • @jacksonmatenga9184
    @jacksonmatenga9184 Před 2 dny +6

    Chagamba kachekew kuirush bhan

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před 2 dny +10

    Big up Mzee Saidi ww pekeyako ndio shabiki wa mpira na mpira unaujua .ila wale wengine kina kisugu kina miraji kina mzaramu mipasi milioni GB64wote wale wanafiki .wewe pekeyako Mzee Said unajua mpira na unaipenda timu yako umenifurhisha sana hao wachezaji wapya ww unagojea kuwaona ww mwenyewe asante sana Mzee Said .ila simba nyie ni omba omba wa babujiii yani nyie wanafiki wote fukuza muhindi yule

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 dny +1

      MKIMFUKUZA GHALIB GSM NA SISI TUTA MFUKUZA 😂😂😂😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Před 2 dny

      @@salimmalaka256 ww kweli ni chizi GSM yeye ndio anaejipendekeza sasahv .mwanzo ilikua ni timu ikijipendekeza lakini sasahv tunajidai tushakua

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 dny +1

      @@BADAWY575 VP MZEE MPILI KESHAMROGA AU?? YEYE NA MALI ZAKE ANAJIPENDEKEZA BASI LIMBWATA HIYO HAHAHAHHH

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Před dnem

      @@salimmalaka256 ndio na mali zake .umeona kuwa nyie ni machizi bro timu ni taifa kubwa fungueni macho hasa tanzania nchi nzima mashabiki wamegawanyika kwa timu mbili tu.hizi timu zetu ni timu tajiri sana africa nzima sasa ujue kuiendesha timu na mashabiki wa subscribe tu .uwanachama tu .basi hapo ma boss wote wataikimbilia hy timu

    • @ChuiAdam-wz2ht
      @ChuiAdam-wz2ht Před dnem

      Mzee said ni mtaalamu na ni mchambuzi mzuri sana

  • @rodrickkajala4532
    @rodrickkajala4532 Před 2 dny +5

    Ila mzee saidi😂😂😂😂

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo1942 Před 2 dny +12

    Mzee said wewe kweli shida. Ingewezekana huyu mzee akutanishwe na Aziz maana anafurahisha sana.
    Pig up mzee mie yanga lakini nakufagilia sana.

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před 2 dny +3

    Mzee saidi leo kanifurahishaaaa ni kibokoo Simba mpeni Tawi mzee saidi jamani anaweza na Modweji mlete Feitoto

  • @Mloka_designer
    @Mloka_designer Před 2 dny +5

    Mzee said 😂😂😂🔥🙌

  • @ShabanMateso
    @ShabanMateso Před 2 dny +4

    Mzee said ❤❤❤❤

  • @frankjohn2425
    @frankjohn2425 Před 2 dny +4

    😄😃😀mzee saidi we noma

  • @MashakaJuma-uu3ph
    @MashakaJuma-uu3ph Před 2 dny +1

    Chagamba huyu mzee uta tua mana namkubali sana😅😅😅

  • @chricjoseph1340
    @chricjoseph1340 Před 2 dny +2

    Asa mzee saidi analalamikagatu heee😂

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před 21 hodinou +1

    Ila huyu mzee bahna hohohoho Chama gamgambile hoho

  • @jonathanmpangala7057

    Mzee Said mahojiano makini anafurahisha sanaaaa

  • @user-xi1vi6mn7d
    @user-xi1vi6mn7d Před 2 dny +6

    Aziz ki am going to my home😂😂😂😂 mzee said 😂😂😂

  • @bahatisafi7521
    @bahatisafi7521 Před 2 dny +3

    Chagamba uyo mzee ni mkali kabisa

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Před 20 hodinami

    Ivi wewe mzee saidi unanini lakini kkkkk he mbavu zangu mie❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-rt7uh4fn3w
    @user-rt7uh4fn3w Před 2 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂 ila huyu mzee nampenda san so kwakumchukia huko azz kii had kanishinda mimi duuh

  • @costadaraja2327
    @costadaraja2327 Před 2 dny +3

    🤣🤣🤣🤣 eti anakimbia kama roboti hahahah

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Před 2 dny +3

    😀😀😀😀😀huyu mzee mumemtoa wapi uyu?😂😂😂😂

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před 2 dny +2

    Mzee saida bhn 😂😂😂😂😂😂 so pw na enjoy 😉 😄 nikiwa Cape Town 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 Před dnem

    Nkubali mzee said na chagamba

  • @edvesmshayo509
    @edvesmshayo509 Před 2 dny +7

    Chagamba hata kama hauna mada nenda Kwa Mzee Saidi tuongeze siku

  • @patrickgabriely-wi4rw
    @patrickgabriely-wi4rw Před 2 dny +1

    😢😂Mzee said raha sana nafurahi mno

  • @fahadhassan7894
    @fahadhassan7894 Před 2 dny +1

    😂Mwambie Mzee Saidi Kuna Chama Day Sasa 😂😂😂

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před 2 dny +1

    Chagamba weka namba za Mzee saidi nimpe soda

  • @LilianKimaro-d1y
    @LilianKimaro-d1y Před dnem

    Uyu namkubari Sana mzesaidi

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 2 dny +2

    😂😂😂duuh ila Mzee said ety kangamle kangamle Cham x2 nimecheka kinoma yani hii tuombe na Aziz ki abaki utafurah pila gamondi jmn

  • @fortunatusmwizarubi4546

    😂😂😂😂 said bhana endelea kuwepo mzee wetu salute 🫡 chagamba

  • @ismailleo5112
    @ismailleo5112 Před 2 dny +2

    mwambie kucheka kupokezana atulie

  • @user-gw5lb9ju5m
    @user-gw5lb9ju5m Před 2 dny +7

    Kamgambire kamgambire chama😂😂