❤❤❤❤ mzee saidi m'mungu akujaalie afya njema na umri mrefu unawaliwaza watu wengi inafaa tukupige tafu japo chochote kila alie kuwa nacho si haba watu wengi wapo pamoja na ww inshaallah kheri
Big up Mzee Saidi ww pekeyako ndio shabiki wa mpira na mpira unaujua .ila wale wengine kina kisugu kina miraji kina mzaramu mipasi milioni GB64wote wale wanafiki .wewe pekeyako Mzee Said unajua mpira na unaipenda timu yako umenifurhisha sana hao wachezaji wapya ww unagojea kuwaona ww mwenyewe asante sana Mzee Said .ila simba nyie ni omba omba wa babujiii yani nyie wanafiki wote fukuza muhindi yule
@@salimmalaka256 ndio na mali zake .umeona kuwa nyie ni machizi bro timu ni taifa kubwa fungueni macho hasa tanzania nchi nzima mashabiki wamegawanyika kwa timu mbili tu.hizi timu zetu ni timu tajiri sana africa nzima sasa ujue kuiendesha timu na mashabiki wa subscribe tu .uwanachama tu .basi hapo ma boss wote wataikimbilia hy timu
Wapangapi wanamsubili mzee saidi wetu 😂😂😂 naweka Mbavu zangu vizuri 😂😂😂😂kama unamkubali mzee saidi LIKE 10 😂😂😂😂😂
shadia544 me wakwanz
Namm nimeganda jama
@@alhajizikiri5674 sawa tumsubili mzee saidi
@@KisiyajrKenyattajrkama tunachek mwezi
@@KisiyajrKenyattajr miee ndiyo sitoki hapa hadi nimuone mzee saidi 🤣🤣
❤❤❤❤ mzee saidi m'mungu akujaalie afya njema na umri mrefu unawaliwaza watu wengi inafaa tukupige tafu japo chochote kila alie kuwa nacho si haba watu wengi wapo pamoja na ww inshaallah kheri
Chagamba mwenyezi Mungu akubariki kwa kutuletea watu kama Hawa mzeeeee Wang said ni furaha sana❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Mzee Uyu duh Niatari naombaa ata like 10 tuh
Mzee side kwenye one n two mpeni likes zake jaman😅
Mzee Said Uwaga Anatupa Raha Kweli Usichoke Kumtafuta🔥❤️🎉
Amtafutie endorsement
Nakukubali sana Mzee saidi
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 nakukubali sana mzee wangu Mungu akupe afya
Mzeee wangu msimu huu utafurahi Sana ❤❤❤❤
Mzee said nakuelewa sana
Kiukweli bando yangu hailipi bila kumuona mzee saidi
Hivi Aziz ki anamjua mzee Saidi kweli😂😂😂😂
AKIWA ANAMJUWA WALA USISHANGAE 😂😂😂
Jamani huyu Said kanifurahisha sana 😂😂😂😂😂
Hamna shabik wa Simba au yanga anaweza kuogea vizuri ka Mzee said
very true
Wapo ...
Ila tunatambua Mzee Said anazungumza vizuri
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 Daah huyu mzeee
😂😂 kwan mzee said wawap??
Mnyamwezi huyo mzee@@AlmasRamadhan-cl7rn
Mzee wetu mzee saidi😂namkubali sana
Chagamba fanya hivi , siku moja muombe Aziz KI amtembelee Mzee Said kama surprise .
Atazimia😅
Wazo zuri😂😂😂😂😂
😂😂😂😊@@azizamuharam3941
HA HA HA HA HA HA HA HA HA DAAH LEO NIMECHEKA SANA..LIVE LONG MZEE SAID.
Huyu bwana Saidi ananifanya nacheka na simu,yaani ananipa starahe sana😅😅
Uyo mzee nitamulipiya ticket match ya kwanza ya yanga aende kumuona Chama
😅😅😅😅 huyu mzee chenga..eti I'm going to my home😅😅
Chagamba mzee said mpelekee aziziki
Mzee said🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jaman Mzee Saidi anatufurahisha sana,tusipomsikia yaan hatuna raha kabisaaaaaa
Penye udhia penyeza rupia
ilaa mzeee saidi utakuja kutuuuaaaa jamaniiiii😂😂😂😂😂😂😂😅
Kweli kabisa Mzee said uko vizuri.
Jiono jioni😅😅😅
🎉uko vizuri mzee baba Saidi
Chagamba kilasiku fanya vipindi namzee wetu kilasiku ilituna punguza machungu ya kumsahau chama😂😂😂
Mzee Said, mimi ni Yanga ila nakupenda😂😂😂. Kwamba nataka kuweka swala la Kitaifa, bomoa hapa bomoa. Mungu akupe maisha marefu.😂😂😂 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 daaah mzee saidi anajua sanaaa boli akitoka walace karia pale TFF inabidi ukabidhiwe kile kiti😂😂😂😂
Nisipomsikiliza MZEE SAIDI Aise nakosa raha
Mzee saidi Pa Omar Jobe akiondoka tule Mbuzi sio kuku tena
😂😂😂
Mzee saidi nakukubali
Yes mzee said
Chagamba mm nipo kongo koroweizi. Nina shida ya namba ya mzee saidi. Ili nikiludi tz nionane nae mzee wangu. Kiukweri tukimsikiliza mzee saidi nahisi kama nipo nyumbani. Mzee ananifulahisha saaaana nimsikiapo mzee wangu 😂😂😂😂
Mzee said tunakukubali Sana huwa unawachana ukweli makolo wenzio😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂mzee Said anafurahisha sana
fredy abaki anaweza
Mamayangu mzee said unatufraisha
Tanda lubeta ng'ombe za nani Mzee saidi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Mzee said bwana “penye Ugumu Penyeza Rupia”
BORA KUMUHOJI MZEE SAIDI UNAPATA HATA KUONGEZA SIKU
MANA KWA MIRAJI KULE UTAKUJA KUVUNJWA MABEGAA SIKU
😂
🤣🤣🤣🤣✊
Kila akifika golini alioni🎉🎉🎉🎉 ila Mzee saidi bana
Furaha ya mpira ni mzee said😂😂😂😂😂😂😂😂
Baba shikamooo
Mzee wangu said fred michael abaki huyo ni fundi kweli kweli simba nguvu moja💪💪💪
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Said Unaona Mbali Sana,🤣🤣🤣🤣
Kutoa wote ni kosa
gombea urais mzee upewe😂😂😂😂😂😂
Mzeee saidii muoga kuanza mzusiano mapyaa
Mzee saidi nmemis sana
Cake ya njano Mzee said 😅😅😅😅
Mzee said mitano tena
Yanamwisho baba wala ucjali.
Mzee saidi 😅😅😅 top level
Subira yavuta heri hatimae Mzee hu hapa
Fiat haina spid lkn haijawahi kushindwa mlima
Chama kalelewa sn ,ila binadamu tunajisahau
Fei atue simba nabadili kiswahil niongea kingereza 😂
Hapa MB ZETU UTALAMBA SANAA
Uyu mzee bana et saa 6 afu wanamtambulisha abib kyombo😂😂😂
Huyu mzee namkubali sana aisee... Respect
Mzee said me namkubali sana wallah!!.
😂
Inabidi tuandamane ili tupate namba ya Mzee Saidi tafadhali.
Jamani naomba muniunge kwenye group la simba
Mimi pia Jamani group la simba
Mzee Side mzee Mpili kashasema atakayemloga Chama anaruka naye mchana kweupe acheni nongwa
😂😂😂😂😂😂 et naiangalia hairudi
Nakukubali sana mzee saidi nipo dubai nakufatilia sana mzee wangu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Ila huyu mzeee banaah ni vicheko
Tunakushukuru Chagamba Kuendelea kutuletea Mzee Said atufurahishe
Chagamba kachekew kuirush bhan
Big up Mzee Saidi ww pekeyako ndio shabiki wa mpira na mpira unaujua .ila wale wengine kina kisugu kina miraji kina mzaramu mipasi milioni GB64wote wale wanafiki .wewe pekeyako Mzee Said unajua mpira na unaipenda timu yako umenifurhisha sana hao wachezaji wapya ww unagojea kuwaona ww mwenyewe asante sana Mzee Said .ila simba nyie ni omba omba wa babujiii yani nyie wanafiki wote fukuza muhindi yule
MKIMFUKUZA GHALIB GSM NA SISI TUTA MFUKUZA 😂😂😂😂😂
@@salimmalaka256 ww kweli ni chizi GSM yeye ndio anaejipendekeza sasahv .mwanzo ilikua ni timu ikijipendekeza lakini sasahv tunajidai tushakua
@@BADAWY575 VP MZEE MPILI KESHAMROGA AU?? YEYE NA MALI ZAKE ANAJIPENDEKEZA BASI LIMBWATA HIYO HAHAHAHHH
@@salimmalaka256 ndio na mali zake .umeona kuwa nyie ni machizi bro timu ni taifa kubwa fungueni macho hasa tanzania nchi nzima mashabiki wamegawanyika kwa timu mbili tu.hizi timu zetu ni timu tajiri sana africa nzima sasa ujue kuiendesha timu na mashabiki wa subscribe tu .uwanachama tu .basi hapo ma boss wote wataikimbilia hy timu
Mzee said ni mtaalamu na ni mchambuzi mzuri sana
Ila mzee saidi😂😂😂😂
Mzee said wewe kweli shida. Ingewezekana huyu mzee akutanishwe na Aziz maana anafurahisha sana.
Pig up mzee mie yanga lakini nakufagilia sana.
Mzee saidi leo kanifurahishaaaa ni kibokoo Simba mpeni Tawi mzee saidi jamani anaweza na Modweji mlete Feitoto
Mzee said 😂😂😂🔥🙌
Mzee said ❤❤❤❤
😄😃😀mzee saidi we noma
Chagamba huyu mzee uta tua mana namkubali sana😅😅😅
Asa mzee saidi analalamikagatu heee😂
Ila huyu mzee bahna hohohoho Chama gamgambile hoho
Mzee Said mahojiano makini anafurahisha sanaaaa
Aziz ki am going to my home😂😂😂😂 mzee said 😂😂😂
Chagamba uyo mzee ni mkali kabisa
Ivi wewe mzee saidi unanini lakini kkkkk he mbavu zangu mie❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂 ila huyu mzee nampenda san so kwakumchukia huko azz kii had kanishinda mimi duuh
🤣🤣🤣🤣 eti anakimbia kama roboti hahahah
😀😀😀😀😀huyu mzee mumemtoa wapi uyu?😂😂😂😂
Mzee saida bhn 😂😂😂😂😂😂 so pw na enjoy 😉 😄 nikiwa Cape Town 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nkubali mzee said na chagamba
Chagamba hata kama hauna mada nenda Kwa Mzee Saidi tuongeze siku
😢😂Mzee said raha sana nafurahi mno
😂Mwambie Mzee Saidi Kuna Chama Day Sasa 😂😂😂
Chagamba weka namba za Mzee saidi nimpe soda
Uyu namkubari Sana mzesaidi
😂😂😂duuh ila Mzee said ety kangamle kangamle Cham x2 nimecheka kinoma yani hii tuombe na Aziz ki abaki utafurah pila gamondi jmn
😂😂😂😂 said bhana endelea kuwepo mzee wetu salute 🫡 chagamba
mwambie kucheka kupokezana atulie
Kamgambire kamgambire chama😂😂
😄😄😄😄