SIMBA WAMKARIBISHA MRITHI WA CHAMA SIMBA/ WASALITI WAMEPOTUTESA SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 25

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l Před 3 dny

    NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 3 dny +1

    Simba nguvu moja

  • @lupakisyoanyelwisyemwakyus7482

    Chama inatosha msimba

  • @ramaMuhomba
    @ramaMuhomba Před 2 dny

    Maalim Shabana hapo kwenye spring nimekuelewa chama mguu pandeee

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Před 2 dny

    Simba hawamtaki tena chama, wanataka damu changa vyuma vinashuka

  • @lupakisyoanyelwisyemwakyus7482

    Chama inatosha msimbaz

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před 3 dny

    Sio kweli hakushuka kiwango kama mnavomponda bali mseme mmeshindwa demands zake

  • @mwana-dodomamedia9111

    Nguvu mojs

  • @LOSERIANISAITOTI-g7l
    @LOSERIANISAITOTI-g7l Před 3 dny

    hata mm nakuuga mkono

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 3 dny

    Ni hatari zaidi kwa mjinga kutojifahamu kama ni mjinga😅😅

  • @allyrembo6714
    @allyrembo6714 Před 3 dny

    Kama hajashuka kwango mbona makocha waliopita walikua hawampi dakika 90? Huo ni mtumba kwasasa

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 3 dny

    We unasema hakushuka yeye na wasaliti wenzake walifanya nini miaka mitatu

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 3 dny +1

    Kama mlimsingizia mkude ametumika kuwaua zile tano sasa mtaongeza na huyu wa pili.

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 Před 3 dny

      wasaliti woote Ndio hao Tunaachana nao wa zile 5 za Mchongo

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před dnem

      Ila bado tupo juu sana huko CAF ikishika nafasi ya 6 Afrika kuliko timu yoyote Afrika mashariki na kati

  • @jarufuyahaya3338
    @jarufuyahaya3338 Před 3 dny

    Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před dnem

      Pole kwa maumivu
      SIMBA NDIYO TIMU KUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI IKISHIKA NAFASI YA 6 AFRIKA.

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Před 3 dny

    Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 Před 3 dny

    kojoeni mlale nyie vyura fc

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 3 dny

    Mmemuacha au amemaliza mkataba? Kuweni wa kweli tu, mchezaji ni kazi yake anawezacheza timu yoyote. Mkikubali kuwa chama hayupo mtafarijika sana.

    • @bone102
      @bone102 Před 3 dny

      Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison

    • @makamelila
      @makamelila Před 3 dny

      Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli Před 2 dny

      Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 Před dnem

      Tungemuhitaji, tungempa anachotaka na kumuongezea mkataba. Ila tumeshindwana nae na KUMUACHA