NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤
Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri
Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema
Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison
Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh
Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana
NI KWELI CHAMA HAJASHUKA KIWANGO ISPOKUWA ANACHEZA VIZURI MECHI ANAYOTAKA NA ZILE ANAZOTUMWA HUWA HUWA ANACHEZA CHINI YA KIWANGO TUNAMTAKIA KILA LA KHERI❤❤❤❤❤
Simba nguvu moja
Chama inatosha msimba
Maalim Shabana hapo kwenye spring nimekuelewa chama mguu pandeee
Simba hawamtaki tena chama, wanataka damu changa vyuma vinashuka
Chama inatosha msimbaz
Sio kweli hakushuka kiwango kama mnavomponda bali mseme mmeshindwa demands zake
Nguvu mojs
hata mm nakuuga mkono
Ni hatari zaidi kwa mjinga kutojifahamu kama ni mjinga😅😅
Kama hajashuka kwango mbona makocha waliopita walikua hawampi dakika 90? Huo ni mtumba kwasasa
We unasema hakushuka yeye na wasaliti wenzake walifanya nini miaka mitatu
Kama mlimsingizia mkude ametumika kuwaua zile tano sasa mtaongeza na huyu wa pili.
wasaliti woote Ndio hao Tunaachana nao wa zile 5 za Mchongo
Ila bado tupo juu sana huko CAF ikishika nafasi ya 6 Afrika kuliko timu yoyote Afrika mashariki na kati
Si mpendi hili jamaa kwa kuzungumza hovyo hovyo TU. Hivi mfano akafanya vzr huko yanga na hao wanaosajiriwa Simba wakafanya vibaya je uso wako utauweka wp. Tukubali chama mchezaji mzuri
Pole kwa maumivu
SIMBA NDIYO TIMU KUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI IKISHIKA NAFASI YA 6 AFRIKA.
Kwani chama na ocra wanatofauti gani? Simba SC wakitema wametema hakina mana kama hamliamini hili nyie uto ocra mliempokea Kwa mbwembwe Yuko wapi nae mtamtema
kojoeni mlale nyie vyura fc
Mmemuacha au amemaliza mkataba? Kuweni wa kweli tu, mchezaji ni kazi yake anawezacheza timu yoyote. Mkikubali kuwa chama hayupo mtafarijika sana.
Sasa kama Simba walitaka kumbakiza chama kwann wasubiri hadi mkataba uishe maana wangekuwa wanamuhitaji wangeongea nae tokea mwez wa kwanza hivi hii akili nyepesi inawashindaje Chama ni mchezaji mzur lakini Muda wa kubaki Simba umeisha Simba hawana kumganda mchezaji kama Yanga mnavyofanya kwa wachezaji wenu mfano mayele,fei toto na morison
Big up broo Hadi Leo basi wanaimba fei toto watu walikuwa name wakashindwa name ila kumsamehe hawataki sisi wana Simba tumemsamehe chama na tunamtakia mafanikio mema ila usije ukawa kama ocra au skudu mh
Project ya Simba ni kubaki na wachezaji vijana ,kwa umri wa chama,ni mkubwa,miaka 33 ,,anastahili kucheza zoazoa fc wa matopeni😅😅#simba ni taasisi kubwa sana
Tungemuhitaji, tungempa anachotaka na kumuongezea mkataba. Ila tumeshindwana nae na KUMUACHA