SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 12. 2023
  • Watch out also Sabra Machano in • NDOA YANGU ILIDUMU MIE... Mahakama ilihusika kuamua hatima ya moja ya NDOA zake.
    Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano aelezea kisa na mkasa wa yeye kusimamishwa kazi na kurudishwa tena kazini kwa mara nyingine baada ya muda mrefu.
    NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON Epsd 057 Clips "SABRA MACHANO"
    ''NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 057 - B'' Aired on Cloudstv on 16 December 2023.
    Producer: Sakina Lyoka. @sakinalyoka_
    Camera: Juma Katunda @Juma Katunda
    Editor: Junior Syaary ‪@Juniorsyaary‬
    Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
    Marudio: Jumapili saa 11 Jioni (05:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
    Angalia Cloudstv kupitia:
    ⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497.
    #zanzibar #Sabramachano #ngaringari

Komentáře • 119

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před 6 měsíci +13

    Uyu mama Ni best

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 6 měsíci +1

      Hamna kitu hapo

    • @mohdothman5888
      @mohdothman5888 Před 6 měsíci

      Interview kiukweli haikukaa kimaadili..like kama wanaoiga umbea muandishi hajakaa katika maadili ya kazi,na huyo anaehojiwa alipaswa asimame katika contents zake

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 4 měsíci

      Hamna kitu hapo bro hahahah kazingua sana kwenye Serikali ya Shein huyo bibi

    • @sureshgossain2367
      @sureshgossain2367 Před měsícem

      V ​@@jumakapilima7295

  • @user-kw1wg7bz3f
    @user-kw1wg7bz3f Před 5 měsíci +3

    Uko vizur ❤ mungu akulinde na azidi kukulinda na maneno na husda za watu wanaochuki na wewe

  • @totomuyenjwa-wv6vi
    @totomuyenjwa-wv6vi Před 6 měsíci +3

    Huko vizuri saana ila sehemu yoyote wanafiki waramba kisogo awakisi, your very smart God bless you

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 6 měsíci +16

    Huwezi ukaja hadharani ukasema wa2 wanasema unatembea na Rais heshim taasis ya Rais na ww ulieandika iyo heading heshim maudhui Rais ni Taasis sio jina la kulisema kwenye ujinga wenu

    • @user-wc1wz6sk3h
      @user-wc1wz6sk3h Před 4 měsíci

      Kwan rais ni mungu acha uoga ukweli humuweka huru mtu

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Před 4 měsíci

      kwani rais si binadam na ww khaa😂

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Před 4 měsíci

      kwani rais si binadam na ww khaa😂

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 4 měsíci

      Yaani mamlaka za Zanzibar zilitakiwa kumuita na kumhoji atoe ushahidi kuwataja hao waliosema anatafunwa na Rais, na akishindwa anatakiwa kushitakiwa Kwa kuidhalilisha mamlaka ya Rais

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Před 6 měsíci +7

    Dada nakufuatilia sana speech zako nakukubali natamani kuchange idea nawewe ila sijui nakupataje,ttzo wanawake wenzio hawakupendi jealous na choyo tuu

  • @juma2979
    @juma2979 Před 6 měsíci +10

    Huyu dada anapenda kuji proud sana

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 4 měsíci

      Sana 😂😂😂😂anajikosha kwa Wazanzibari walio wengi

  • @majdazaharan9006
    @majdazaharan9006 Před 6 měsíci +5

    Tusibebe mizigo ya dhambi jamani ukweli anaujuwa Sabra mwenyewe

  • @tauhidajumahamad1218
    @tauhidajumahamad1218 Před 6 měsíci +2

    My super woman 💪🏼🫶🫶🫶♥️♥️♥️you inspire me a lot💪🏼🫶🫶♥️♥️

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 Před 5 měsíci +2

    Hongera sana

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před 6 měsíci +5

    Nampenda sana uyu mama mashaallah

  • @user-hx8gn5yx8c
    @user-hx8gn5yx8c Před 6 měsíci +8

    Kuna watu wengine munaingia kwenye dhambi kwa kusikia stories bila uhakika huyu dada hana makosa kwa suala la chips haikua hivo munavosema ila kwa mambo ya kazi yake sisemi kitu maana sijui lakini la chips nalijua tulizeni ss watu wa mkoani ilivyokua watu wana tabia ukimwambia moja anasema matatu

    • @farisomar1889
      @farisomar1889 Před 6 měsíci

      Ipoje embu funguka kuhuc chipsi

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 Před 6 měsíci +1

      HAKI ITENDEKE KWA PANDE ZOTE 2 IKITHIBITIKA UKWELI
      DHANA MBAYA HAIFAI JAMAMI

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 6 měsíci +4

    Mupitie na kwangu wapenzi watazamaji ❤❤❤

  • @ShebeShebe-us3ow
    @ShebeShebe-us3ow Před 6 měsíci +2

    Dada ata km ulihrbu ila ukweli zanzibar imebdilik kiasi chk ulijithd dada..mall km mall tyr umebdlsh sana ten sana.biq up sana

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 6 měsíci +3

    Jizi

    • @nasraissa4873
      @nasraissa4873 Před 6 měsíci +1

      Kweli lisemwalo lipo wizi wenziwe wamerejeshwa kazini yeye kaachwa kwenye mataa wangeliwaonesha wote tukawajua majizi makubwa jinga

  • @myme9447
    @myme9447 Před 4 měsíci +1

    Haya ndio matatizo ya ofisi zetu hasa za SMZ ukienda smart au uweke hio makeup utaona watu wanavochachawa yaani ni ushamba, uadui na uhasid kisa makeup!!! Ukiwapekua hao wafanyakazi wameoza majukumu yao hawayajui kazi fitna na majungu tu na mabosi zao!

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 6 měsíci +2

    Inawezekana

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 6 měsíci +2

    Hz project zinamgusa vp mnyonge wakat pesa anaechangia zsff ni mnyonge

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před 6 měsíci +3

    Wewe hujielewi tena hujielewi

  • @juma2979
    @juma2979 Před 6 měsíci +8

    Huyu mwizi kilichomlinda nikwamba amekula na wakubwa

  • @binfahmi8637
    @binfahmi8637 Před 6 měsíci +2

    Wee mwiziii

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 Před 6 měsíci +3

    Huyu alikuwa anahoji au wanapiga nae story km shoga ake tu

  • @RashidSalim-jw1hv
    @RashidSalim-jw1hv Před 6 měsíci +5

    Anaejuwa jitihada zako hawezi kusahau daima na milele Allah azidi kukusimamia tuu

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 Před 6 měsíci +2

    Mwandishi nae jamani😢😢😢 punguza kumkatisha maneno mgeni mwache mgeni aongee amalize jambo usidakie

  • @maase2023
    @maase2023 Před 6 měsíci +2

    Mmmhhhh ovyoooooo

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 6 měsíci +3

    KAMA MAHOJIANO NI YA LUGHA YA KIFARANSA ZUNGUMZENI KIFARANSA WACHENI MIKOGO YA KIPUMBAVU NI RIAAAA NA UJINGA

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 6 měsíci +4

    Mwandishi unaudited sana kwa kuongea MNO

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Před 6 měsíci +8

    Kila dhalimu hudhalilika hapa hapa duniani labla kesho akheira

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci +1

      Salehe nani alikeenda hiko akarudi ukifa umekufa dini ni kama siasa tu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci +1

      Salehakuna asiye mwizi pamoja na masigida usoni acha ale huo ndiyo wakati aliojaliwa nao

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci

      Salehe watu wanaiba sadaka misikitini nq makanisani

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci

      Salehe Hassan nani aliyekwenda hilo akarudi

    • @KhatibHijja
      @KhatibHijja Před 6 měsíci

      ​@@margarethpolepole7438ww umeenda ukarud,si hivo unatuambia kwamba ukifa umekufa tu huulizwi it means tunatakiw tuishi tu hakunamipaka tuliowekewa

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 6 měsíci +4

    Tuwache kusema ambayo hatuna uhakika nayo.

  • @user-cd3lg1uj4c
    @user-cd3lg1uj4c Před 6 měsíci +1

    Sikuzote mtu anapokuwa mkweli napia akawa msema kweli basically wasiyopenda maendeleo yake humchukia dada pita kazi.

  • @NadyaOmar-du6be
    @NadyaOmar-du6be Před 4 měsíci

    Sifa Tu nyingi na umalaya kutembea na raisi ndo uweke hadharani, ushamba WA maisha Tu unajua wangap walianza na hawakujitapa mpumbavu Tu........

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 Před 6 měsíci +1

    Umefukuzwa kz kisa unatembea na raisi ?? Emu fafafnua vzr hapoo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 6 měsíci +2

    Inawezekana uliendekeza majungu zaidi kuliko kazi,,,

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Před 6 měsíci +4

    Tushawaxoea lakin Allah wetu hutubainishia ,haiwi Afande RAMA hana makosa editing tu, wazibeni macho wajinga wenzenu tu.

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i Před 6 měsíci

      Mh

    • @farisomar1889
      @farisomar1889 Před 6 měsíci

      Daa bg up sn
      Hiz ni serekali za kizalim hio ndio fandila zake hao ni wezi wakubwa wana babaika na maneno ya vijiweni tu

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 6 měsíci +3

    Mambo mazuriiii mwizi hata aibu huna Looooh

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před 6 měsíci +3

    Huyu haifai kuwa hata balozi wa Nyumba kumi

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před 6 měsíci +3

    Tena hizo haki za wanyonge zitakudhalilisha hapa Dunia cha majisifu ,Dhalim wèè

  • @binfahmi8637
    @binfahmi8637 Před 6 měsíci +2

    Unajiteta tu mwezi kama mwiziii

  • @alijuju8697
    @alijuju8697 Před 6 měsíci +3

    Sabra punguza majigambo ivo wewe ndio mwanamke pekee aliyelrta mafanikio?
    Achana na mambo hayo ya kutaka sifa ndio yanakuharibia.
    Muungwana hapendi kujisifia kama ufanyavyo wewe
    Kweli ulikuwa kiongozi zssf lakini kuna kadhia nyingi juu yako ambazo kwa kweli kiongozi kama wewe haulipaswa kuzifanya kutokana wadhifa uliokuwa nao. Kubwa ulishindwa maadili na nidhamu zote mbili ya kazi na fedha.
    Sisi unotuona vizee nfio tuno macho na tunakuanalieni.
    Usisingizie eti unaambiwa kuwa ulikuwa ukitembea na raisi wa nchi hilo sio kweli ispokuwa wewe una matatizo yako ambayo kwa kweli usingeliweza kumudu kuendesha taasisi kubwa kama ile kutokana na madhaifu uliyonayo.
    Ikiwa kama.unaweza kujirekebisha basi nadhani unaweza ukawa na mafanikio.
    Nfugu yangu Sabra dunia ni duwara kaa uzingstie hayo hao waandishi wa habari wanakutia mihemuko na wewe ndio. unajaa debe tele.

  • @hayfahajj6328
    @hayfahajj6328 Před 6 měsíci +1

    Huyu muandishi hafai anauliza yeye anachangia yeye😅

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo Před 6 měsíci

      Umenichekesha we mtu 😂😂😂😂😂

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873 Před 6 měsíci +1

    Halafu cha kushangaza watu kama hawa wanajiita wasomi mwisho wa siku kumbe wamesomea wizi naujinga aibu kubwa wapo wengi sana hawa atakwenye uzalilishaji baadhi ya viongozi ndo kazi zao hakupi kazi mpaka akuzini nimeshayashuhudia

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 6 měsíci +6

    Yani huyu anajiona znz nzima yy ndo msomi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 4 měsíci

    Mamlaka za Zanzibar zilitakiwa zimuite na kumhoji ili atoe ushahidi wa hao waliosema kuwa anatafunwa na Rais,,,,,akishindwa kutoa ushahidi inatakiwa ashitakiwe kwa kudhalilisha mamlaka ya Rais

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 Před 6 měsíci +2

    Macho yako yanaonyesha kweli ulikuwa unatembea na wakubwa

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 6 měsíci +3

    ZUNGUMZENI KISWAHILI WACHENI UZEMBE WA KUZUNGUMZA KIINGEREZA KUNA WATU WANAJUA KIINGEREZA KULIKO NYIE NA WAKIULIZWA KISWAHILI WANAJIBU WACHENI RIAAAAA NA KIBRI

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 6 měsíci

      Kiingereza cha kuungaunga tu hawa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 4 měsíci

      ​@@Worldunitesabra Yuko vizuri kwenye lugha

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před 4 měsíci

    Kuwa na subira kila jambo Lina wakati wake na kufikiri kwata mtu tulia muombe mungu kwa kila jambo

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 6 měsíci +3

    Mimi sina ushahidi wa anachodaiwa kaiba lakini na kazi nzuri kafanya kiasi kwamba najiuliza pesa zilivyokuwa haziibiwi zilikuwa zinakwenda wapi. Inawezekana mimi na wewe ni wezi kuliko yeye lakini hatujapata nafasi. Lakini pia huwezi kuiba kwa kiwango kinachotajwa halafu ukapatikana na HATIA ikiwa Wapelelezi ni Walalahoi halafu ukasubiri taarifa halali "valid".

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p Před 6 měsíci

    Waandishi wa habari sijui hawajasoma hawajui kuuliwa mazali km anamsaidia kujibu mazali

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 4 měsíci

    Mtangazaji atumie kiswahili au kizungu, asituchoshe na vijineno vya kizungu wakati haelewi kizungu

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Před 6 měsíci +5

    Huyo mwizi wa Mali ya umaa ,achane ubabaifu wenu

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l Před 4 měsíci

    Usiwate vizee sema watu wazima
    Mwanamke yoyote bibi na mwanamme yoyote babu sawa

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 4 měsíci

    Unazingua hunielewi wkt upo zssf michamgo mingi yawatu haijakamilika mmoja wapo mie

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 Před 3 měsíci

    Huyu sio chipsi chafu kwn?

  • @huqfojaia232
    @huqfojaia232 Před 5 měsíci

    Ulikuwa mjinga kweli

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 4 měsíci

    Lile mall au chujio Mall halina hata Prking😂😂

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 4 měsíci

    Dada tafuta maisha pengine sio lazima smz usikubal ukafanya kishada

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 Před 6 měsíci +1

    Unatembea na Rais una maana Gani ww

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 Před 6 měsíci

      Kama mna uhakika wa hiyo tuhuma Basi.asiwajishwe peke yake, na huyo mtuhumiwa mwenzake anapaswa kuwajibishwa eti, au......
      MTOA RUSHWA NA MLA RUSHWA WOOTE MSAGANNAGA, FIMBO12 WAKIINGIA NA 12 WAKITOKA!!!

    • @naimajuma647
      @naimajuma647 Před 6 měsíci

      Kwani ajabu kutembea na rais!? Bahati iliyoje😂

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Před 4 měsíci

      ​@@naimajuma647😂😂😂

  • @user-rz9rf8og6q
    @user-rz9rf8og6q Před 4 měsíci

    Bibi wa Chipsi chafu

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 6 měsíci +15

    Wewe ni mwizi tu kama wizi wengine subiri siku yako ifike wende ukajibu mbele ya Allah kumbe ndiye Wewe Sabra chipsi chafu za Pemba uletewe chips kutoka Unguja tena kwa ndege umetumia vibaya pesa za ZSSF umma unajusubiri Fisadi Wewe. Husalmiki mwizi mkubwa wee

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb Před 6 měsíci +2

      Mama ulifanta kufuru sana kwa pesa za uma omba radhi sana kwa wananchi kabla hujafika mbele ya m.mungu

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 Před 6 měsíci +2

      Kama uhakika wa unayosema upo, basi wwajibishwe wote wawili. Huo ni uonevu uliofanyika
      MTOA RUSHWA NA MLA RUSHWA WOTE FIMBO 12 WAKIINGIA NA 12 WAKITOKA!!!

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 Před 6 měsíci +6

      @@AliMahmoud-tj2jb Alifukuzwa ukafanywa uchunguzi na baadae wakajiridhisha kwamba hana hatia. Sasa kama wewe una uchunguzi wako na uhakika nenda mahakamani

    • @user-vn6vx1qk5i
      @user-vn6vx1qk5i Před 6 měsíci +4

      ​@bakarijumakupaza4351 Nafikiri ile kufukuzwa kazi ilikuwa ni onyo kutoka kwa Allah ambae ndie mtoa rizq na ndie aliemfikisha pale nafasi aliyofika, lkn alishafanya kifuta kiasi.. unafikiaje mpaka unaita chakula kichafu?
      Wewe binafsi unaweza kuniambia kuna rizq chafu?

    • @aliyissa9857
      @aliyissa9857 Před 6 měsíci

      Salamtak

  • @hassanthabit4021
    @hassanthabit4021 Před 6 měsíci +1

    Sasa ww mtangazaji au shogaako tu naona hujui Taaluma yako 🤔🙆

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Před 4 měsíci

    Ndoa yako ilidumu miezi 10 tuu, mara ulifukuzwa kisa shutuma za kutembea na Raisi.
    Wewe ni Total Failure.

  • @rayaomar6299
    @rayaomar6299 Před 6 měsíci +5

    Sasa hivyo viengereza ni vya kazi gani

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 4 měsíci

    We mtangaza aji fanya utanga azaji wacha uchawa na shobo fanya kazi yako

  • @WakaWaka-eu9ky
    @WakaWaka-eu9ky Před 6 měsíci +4

    Ww ni jizi tu huna llt michenzani moll umepiga hela kinyama jumba mpaka leo linavujaa uyooooo😊😅😅😊

  • @user-gv1kx4fw9b
    @user-gv1kx4fw9b Před 4 měsíci

    Kwani Hana mume

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před 6 měsíci +2

    Huyu dada KAMA utamfatilia utajuwa amedata

  • @farisomar1889
    @farisomar1889 Před 6 měsíci

    Laanatu lwahi alaih fisadi mkubwa ww ucie funzwa na wazazi wako nyoo tembea uko malaya ww una jikosha tu ktk media ili iwe nn na ww ni mwizi tu

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Před 6 měsíci +1

    Mwanamke hawez kuendesha sehem zakijamii zaid ya shuhur za nyumbani acheni kupingana na mungu machini nyie wote mnao taka et haki sawa mungu alivyoeka yeye mjingaa ma mbwa nyie ndio maana ndoa za leo hazidum kwa kuketa usenge senge wenu tofaut na alivyo weka mungu