SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS
Vložit
- čas přidán 17. 12. 2023
- Watch out also Sabra Machano in • NDOA YANGU ILIDUMU MIE... Mahakama ilihusika kuamua hatima ya moja ya NDOA zake.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano aelezea kisa na mkasa wa yeye kusimamishwa kazi na kurudishwa tena kazini kwa mara nyingine baada ya muda mrefu.
NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON Epsd 057 Clips "SABRA MACHANO"
''NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 057 - B'' Aired on Cloudstv on 16 December 2023.
Producer: Sakina Lyoka. @sakinalyoka_
Camera: Juma Katunda @Juma Katunda
Editor: Junior Syaary @Juniorsyaary
Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
Marudio: Jumapili saa 11 Jioni (05:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
Angalia Cloudstv kupitia:
⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497.
#zanzibar #Sabramachano #ngaringari
Uyu mama Ni best
Hamna kitu hapo
Interview kiukweli haikukaa kimaadili..like kama wanaoiga umbea muandishi hajakaa katika maadili ya kazi,na huyo anaehojiwa alipaswa asimame katika contents zake
Hamna kitu hapo bro hahahah kazingua sana kwenye Serikali ya Shein huyo bibi
V @@jumakapilima7295
Uko vizur ❤ mungu akulinde na azidi kukulinda na maneno na husda za watu wanaochuki na wewe
Huko vizuri saana ila sehemu yoyote wanafiki waramba kisogo awakisi, your very smart God bless you
Huwezi ukaja hadharani ukasema wa2 wanasema unatembea na Rais heshim taasis ya Rais na ww ulieandika iyo heading heshim maudhui Rais ni Taasis sio jina la kulisema kwenye ujinga wenu
Kwan rais ni mungu acha uoga ukweli humuweka huru mtu
kwani rais si binadam na ww khaa😂
kwani rais si binadam na ww khaa😂
Yaani mamlaka za Zanzibar zilitakiwa kumuita na kumhoji atoe ushahidi kuwataja hao waliosema anatafunwa na Rais, na akishindwa anatakiwa kushitakiwa Kwa kuidhalilisha mamlaka ya Rais
Dada nakufuatilia sana speech zako nakukubali natamani kuchange idea nawewe ila sijui nakupataje,ttzo wanawake wenzio hawakupendi jealous na choyo tuu
Huyu dada anapenda kuji proud sana
Sana 😂😂😂😂anajikosha kwa Wazanzibari walio wengi
Tusibebe mizigo ya dhambi jamani ukweli anaujuwa Sabra mwenyewe
My super woman 💪🏼🫶🫶🫶♥️♥️♥️you inspire me a lot💪🏼🫶🫶♥️♥️
Hongera sana
Nampenda sana uyu mama mashaallah
Kuna watu wengine munaingia kwenye dhambi kwa kusikia stories bila uhakika huyu dada hana makosa kwa suala la chips haikua hivo munavosema ila kwa mambo ya kazi yake sisemi kitu maana sijui lakini la chips nalijua tulizeni ss watu wa mkoani ilivyokua watu wana tabia ukimwambia moja anasema matatu
Ipoje embu funguka kuhuc chipsi
HAKI ITENDEKE KWA PANDE ZOTE 2 IKITHIBITIKA UKWELI
DHANA MBAYA HAIFAI JAMAMI
Mupitie na kwangu wapenzi watazamaji ❤❤❤
Dada ata km ulihrbu ila ukweli zanzibar imebdilik kiasi chk ulijithd dada..mall km mall tyr umebdlsh sana ten sana.biq up sana
Jizi
Kweli lisemwalo lipo wizi wenziwe wamerejeshwa kazini yeye kaachwa kwenye mataa wangeliwaonesha wote tukawajua majizi makubwa jinga
Haya ndio matatizo ya ofisi zetu hasa za SMZ ukienda smart au uweke hio makeup utaona watu wanavochachawa yaani ni ushamba, uadui na uhasid kisa makeup!!! Ukiwapekua hao wafanyakazi wameoza majukumu yao hawayajui kazi fitna na majungu tu na mabosi zao!
Inawezekana
Hz project zinamgusa vp mnyonge wakat pesa anaechangia zsff ni mnyonge
Wewe hujielewi tena hujielewi
Huyu mwizi kilichomlinda nikwamba amekula na wakubwa
Una uhakikaaaa????
Wee mwiziii
Huyu alikuwa anahoji au wanapiga nae story km shoga ake tu
Anaejuwa jitihada zako hawezi kusahau daima na milele Allah azidi kukusimamia tuu
Mwandishi nae jamani😢😢😢 punguza kumkatisha maneno mgeni mwache mgeni aongee amalize jambo usidakie
Sister piga kazi.
Mmmhhhh ovyoooooo
KAMA MAHOJIANO NI YA LUGHA YA KIFARANSA ZUNGUMZENI KIFARANSA WACHENI MIKOGO YA KIPUMBAVU NI RIAAAA NA UJINGA
Mwandishi unaudited sana kwa kuongea MNO
Kila dhalimu hudhalilika hapa hapa duniani labla kesho akheira
Salehe nani alikeenda hiko akarudi ukifa umekufa dini ni kama siasa tu
Salehakuna asiye mwizi pamoja na masigida usoni acha ale huo ndiyo wakati aliojaliwa nao
Salehe watu wanaiba sadaka misikitini nq makanisani
Salehe Hassan nani aliyekwenda hilo akarudi
@@margarethpolepole7438ww umeenda ukarud,si hivo unatuambia kwamba ukifa umekufa tu huulizwi it means tunatakiw tuishi tu hakunamipaka tuliowekewa
Tuwache kusema ambayo hatuna uhakika nayo.
Sikuzote mtu anapokuwa mkweli napia akawa msema kweli basically wasiyopenda maendeleo yake humchukia dada pita kazi.
Sifa Tu nyingi na umalaya kutembea na raisi ndo uweke hadharani, ushamba WA maisha Tu unajua wangap walianza na hawakujitapa mpumbavu Tu........
Umefukuzwa kz kisa unatembea na raisi ?? Emu fafafnua vzr hapoo
Inawezekana uliendekeza majungu zaidi kuliko kazi,,,
Tushawaxoea lakin Allah wetu hutubainishia ,haiwi Afande RAMA hana makosa editing tu, wazibeni macho wajinga wenzenu tu.
Mh
Daa bg up sn
Hiz ni serekali za kizalim hio ndio fandila zake hao ni wezi wakubwa wana babaika na maneno ya vijiweni tu
Mambo mazuriiii mwizi hata aibu huna Looooh
Huyu haifai kuwa hata balozi wa Nyumba kumi
Tena hizo haki za wanyonge zitakudhalilisha hapa Dunia cha majisifu ,Dhalim wèè
Unajiteta tu mwezi kama mwiziii
Sabra punguza majigambo ivo wewe ndio mwanamke pekee aliyelrta mafanikio?
Achana na mambo hayo ya kutaka sifa ndio yanakuharibia.
Muungwana hapendi kujisifia kama ufanyavyo wewe
Kweli ulikuwa kiongozi zssf lakini kuna kadhia nyingi juu yako ambazo kwa kweli kiongozi kama wewe haulipaswa kuzifanya kutokana wadhifa uliokuwa nao. Kubwa ulishindwa maadili na nidhamu zote mbili ya kazi na fedha.
Sisi unotuona vizee nfio tuno macho na tunakuanalieni.
Usisingizie eti unaambiwa kuwa ulikuwa ukitembea na raisi wa nchi hilo sio kweli ispokuwa wewe una matatizo yako ambayo kwa kweli usingeliweza kumudu kuendesha taasisi kubwa kama ile kutokana na madhaifu uliyonayo.
Ikiwa kama.unaweza kujirekebisha basi nadhani unaweza ukawa na mafanikio.
Nfugu yangu Sabra dunia ni duwara kaa uzingstie hayo hao waandishi wa habari wanakutia mihemuko na wewe ndio. unajaa debe tele.
Mh mama samia jembe umeliona hilo
Huyu muandishi hafai anauliza yeye anachangia yeye😅
Umenichekesha we mtu 😂😂😂😂😂
Halafu cha kushangaza watu kama hawa wanajiita wasomi mwisho wa siku kumbe wamesomea wizi naujinga aibu kubwa wapo wengi sana hawa atakwenye uzalilishaji baadhi ya viongozi ndo kazi zao hakupi kazi mpaka akuzini nimeshayashuhudia
Yani huyu anajiona znz nzima yy ndo msomi
Hahahaha,,,,uko sahihi
Mamlaka za Zanzibar zilitakiwa zimuite na kumhoji ili atoe ushahidi wa hao waliosema kuwa anatafunwa na Rais,,,,,akishindwa kutoa ushahidi inatakiwa ashitakiwe kwa kudhalilisha mamlaka ya Rais
Macho yako yanaonyesha kweli ulikuwa unatembea na wakubwa
Huwezi kumhukumu mtu Kwa macho
ZUNGUMZENI KISWAHILI WACHENI UZEMBE WA KUZUNGUMZA KIINGEREZA KUNA WATU WANAJUA KIINGEREZA KULIKO NYIE NA WAKIULIZWA KISWAHILI WANAJIBU WACHENI RIAAAAA NA KIBRI
Kiingereza cha kuungaunga tu hawa
@@Worldunitesabra Yuko vizuri kwenye lugha
Kuwa na subira kila jambo Lina wakati wake na kufikiri kwata mtu tulia muombe mungu kwa kila jambo
Mimi sina ushahidi wa anachodaiwa kaiba lakini na kazi nzuri kafanya kiasi kwamba najiuliza pesa zilivyokuwa haziibiwi zilikuwa zinakwenda wapi. Inawezekana mimi na wewe ni wezi kuliko yeye lakini hatujapata nafasi. Lakini pia huwezi kuiba kwa kiwango kinachotajwa halafu ukapatikana na HATIA ikiwa Wapelelezi ni Walalahoi halafu ukasubiri taarifa halali "valid".
Waandishi wa habari sijui hawajasoma hawajui kuuliwa mazali km anamsaidia kujibu mazali
Mtangazaji atumie kiswahili au kizungu, asituchoshe na vijineno vya kizungu wakati haelewi kizungu
Huyo mwizi wa Mali ya umaa ,achane ubabaifu wenu
Unao ushahidi ?
Usiwate vizee sema watu wazima
Mwanamke yoyote bibi na mwanamme yoyote babu sawa
Unazingua hunielewi wkt upo zssf michamgo mingi yawatu haijakamilika mmoja wapo mie
Huyu sio chipsi chafu kwn?
Ulikuwa mjinga kweli
Lile mall au chujio Mall halina hata Prking😂😂
Dada tafuta maisha pengine sio lazima smz usikubal ukafanya kishada
Unatembea na Rais una maana Gani ww
Kama mna uhakika wa hiyo tuhuma Basi.asiwajishwe peke yake, na huyo mtuhumiwa mwenzake anapaswa kuwajibishwa eti, au......
MTOA RUSHWA NA MLA RUSHWA WOOTE MSAGANNAGA, FIMBO12 WAKIINGIA NA 12 WAKITOKA!!!
Kwani ajabu kutembea na rais!? Bahati iliyoje😂
@@naimajuma647😂😂😂
Bibi wa Chipsi chafu
Wewe ni mwizi tu kama wizi wengine subiri siku yako ifike wende ukajibu mbele ya Allah kumbe ndiye Wewe Sabra chipsi chafu za Pemba uletewe chips kutoka Unguja tena kwa ndege umetumia vibaya pesa za ZSSF umma unajusubiri Fisadi Wewe. Husalmiki mwizi mkubwa wee
Mama ulifanta kufuru sana kwa pesa za uma omba radhi sana kwa wananchi kabla hujafika mbele ya m.mungu
Kama uhakika wa unayosema upo, basi wwajibishwe wote wawili. Huo ni uonevu uliofanyika
MTOA RUSHWA NA MLA RUSHWA WOTE FIMBO 12 WAKIINGIA NA 12 WAKITOKA!!!
@@AliMahmoud-tj2jb Alifukuzwa ukafanywa uchunguzi na baadae wakajiridhisha kwamba hana hatia. Sasa kama wewe una uchunguzi wako na uhakika nenda mahakamani
@bakarijumakupaza4351 Nafikiri ile kufukuzwa kazi ilikuwa ni onyo kutoka kwa Allah ambae ndie mtoa rizq na ndie aliemfikisha pale nafasi aliyofika, lkn alishafanya kifuta kiasi.. unafikiaje mpaka unaita chakula kichafu?
Wewe binafsi unaweza kuniambia kuna rizq chafu?
Salamtak
Sasa ww mtangazaji au shogaako tu naona hujui Taaluma yako 🤔🙆
Ndoa yako ilidumu miezi 10 tuu, mara ulifukuzwa kisa shutuma za kutembea na Raisi.
Wewe ni Total Failure.
Sasa hivyo viengereza ni vya kazi gani
Kama hukusoma laumu wazazi wako !
na wewe ungesoma kidogo usingeshangaa😊
We mtangaza aji fanya utanga azaji wacha uchawa na shobo fanya kazi yako
Ww ni jizi tu huna llt michenzani moll umepiga hela kinyama jumba mpaka leo linavujaa uyooooo😊😅😅😊
Vipi skuiz hufanyi party za kufyatua pesa
😂😂😂😂
Kwani Hana mume
Huyu dada KAMA utamfatilia utajuwa amedata
Kabisa, akili yake imedata Kwa kutolewa cheo,,,
Laanatu lwahi alaih fisadi mkubwa ww ucie funzwa na wazazi wako nyoo tembea uko malaya ww una jikosha tu ktk media ili iwe nn na ww ni mwizi tu
Mwanamke hawez kuendesha sehem zakijamii zaid ya shuhur za nyumbani acheni kupingana na mungu machini nyie wote mnao taka et haki sawa mungu alivyoeka yeye mjingaa ma mbwa nyie ndio maana ndoa za leo hazidum kwa kuketa usenge senge wenu tofaut na alivyo weka mungu