#EXCLUSIVE
Vložit
- čas přidán 29. 06. 2023
- #EXCLUSIVE: SHAMSA FORD APASUA -"MTOTO WA MUME WANGU ni WANGU, MIMI NDIYE MRS. HUSSEIN, IMESHAKUA"
Msanii wa bongo movie Shamsa Ford amefunguka mabo mbalimbali kupitia camera za global tv
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Shamsa wangu mungu akubariki Sana uendelee kua juuuu ❤❤❤
Maua yangu nampa Shamsa ford🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 huyu dada hajivuni na hana skendo mbaya m namkubal anaishig maisha yake Ahsante
kila la kheri dada katika maisha yako ya ndoa
My crush..... shamsa ford❤❤❤❤
Nakupenda buree ShamsaFord
Nakuombea kwa Mungu uwee hivyo ulivyo usiote mapende kwan mii nishabik yako kitambo sana🙏
Huyu dada ana akili sanaaa,anapambana,Anajiheshimu😍😍
Pia sio mdangaji
Ndomaana mm nakupendaga unajibugi mambo yako kwa ustarabu
Dada naomba unitafute jana nimechukua mzigo kutoka kwako ila sijaupata mimi ni mkazi wa kenya.....sijui labda nmekoniwa hata sielewi...tafadhali😢
Nakupenda wewe dada
Shamsa Ford 🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Umesema vzr sana
Wow mpe hi Chidi Mapenzi
💋💋💋💋💋💋💋❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mrs mlilo
😏😏
Hilo analokuuliza ha lina msingi kwakuw a pale ulivaa uhusik a tu Sasa atakuweje kama chausiku kwe li
Hiyo kudekeza na kufulia vina mda basiiii😂😂😂
Havina muda
Awapi 😂😂😂
Chidy alikuwa hamdekezi mbona kaenda
@@sarahgaula2220 hawa wanaume unampa mpka analia machozi akitoka hapo amesahau. Ye anaongelea kufulia nguo kitu ambacho mwenyewe anaweza kufanya😂😂😂
😂😂😂 Acha wivu
Uyu nae
Uyu ana mimba
Ndiooo
Mbona picha za harus hatujaona ao kukaa kihawara Ndo kuoana
😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe shamsaford Ni mweusi!!!!!!!
Wala ajichubui
Ni mweusi kweli...
Weimusi Africa ni asili yetu
Ulijua mwarabu
@@khadijahali4837 waarabu pia niweusi kabisa nandio wenye roho nzuri muorabu mweusi ndio orig
Kwani kuna MTU hafulii mume au mpenzi wake?
😂😂😂
Hussen wa ujiji
😂🤣😂😂
Una lolote mfuuu unafanya mwanamke mwezio analia unajishetua apo namuogesha namfuria nyoooo ata mshepuko pia anafua pia
Wee mwanaume haibiwi huondoka mwenyew
Una uhakika? Mtu akiachwa baadae akaona Ex zao wamependwa sana Tena wanaanza zengwe
Punguza makasiriko sasa ulitaka afanyaje km kosa ni la mwanaume sy hy mbuzi ww au mtu mzm anaibiwaje
Hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣🤣 watu wali na vichaaa uzizi ndomnafurahia hahaha hahaha nimekaa pare Kuna aliyependwa kama wema Leo Yuko wapi hahaha hahaha hahaha dai alimpenda wema baadae imekuwa tambara la deki so atayeye uyo mashavu kushika pia alikuwa na ney akasema Ivo Kiko wapi adui wamwanamke ni mwanamke tu kaeni kwa kutulia msubiri kuchinjwa mbuzi ya itima
@@lifeinmiddleeast8179kabisaa
Utaachika tu kwasababu mtu ameacha familia yake
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kuachika no kawaida dada
Kuachika no kawaida dada