#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #EXCLUSIVE: SUZY wa JUAKALI AELEZA MATESO BAADA YA KUJIFUNGUA KISHA MZAZI MWENZAKE KUINGIA MITINI...
    Msanii wa filamu za Kibongo, Nyamaka almaarufu Suzy wa Juakali amefungukia mateso aliyopitia baada ya kujifungua, kutokana na kutelekezwa na mzazi mwenzake na kusababisha apitie kipindi kigumu katika maisha yake.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 53

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 Před rokem

      Yaa Allah tufute machozi sisi wanawake tunaolizwa na wazazi wenzetu .wanatutelekezea watt tushike mkono ee mungu baba .cku moja wake watuone tuko na furaha kubwa na maisha bora kuliko wao ..yaa Allah aamina rabbi amina

  • @aminaakida8744
    @aminaakida8744 Před rokem +9

    Lamata mungu akulinde hakuna mwanamke uliyembeba akakuzungumzia ubaya..ckujui hunijui lkn mungu akubariki sana dada

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Před rokem +8

    Pole dada ndo maisha yalivyo had nimejisikia kulia NAMI pia! Ipo siku watakuheshim pia ridhik ni mafungu 7 ndugu yngu.

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Před rokem +7

    Nampenda sana huyu dada Mungu aendelee kumbariki afanikiwe

  • @rodaananias6541
    @rodaananias6541 Před rokem +5

    Usijali mrembo, tupo wengi ambao tunapitia hizi changamoto na bado Mungu anaweka mkono wake juu yetu na kwa watoto wetu, machozi yetu watakuja kuyalipa siku moja hawa wanaume

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před rokem +1

    Cjawahi ckia Mtu anajutia kufanya kazi na Lamata. Dada ubarikiwe sana kwa kusaidia Watanzania hawa❤

  • @nailaty
    @nailaty Před rokem +1

    Wanawake tunapitia magumu lakin hatukati tamaa mungu ametujaalia roho za subra na uvumilivu😢😢 pole sana dada tukisema kila mtu aseme aliyo yapitia utajikuta yako yana afadhali pambana dada

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Před rokem +2

    Mashallah lamata mungu akuifadhi na sisi pia tufate nyayo zako

  • @JenipherKavusha-ff9zj
    @JenipherKavusha-ff9zj Před rokem +2

    Nakupenda kadada unajua sana

  • @Christina-gn2xy
    @Christina-gn2xy Před rokem +1

    Pole dada, na hongera kwa ujasili❤

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem +2

    Wanawake tunapitiya changa moto lakini tusikate tamaa mungu yuko pamoja a yeye

  • @joycebuberwa7982
    @joycebuberwa7982 Před rokem +1

    Mungu ataendelea kukutetea mpendwa,nakupenda sana.

  • @olicej7837
    @olicej7837 Před rokem +1

    Kwa mama Kimbo nlikukubali sana😍😍😍

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 Před rokem

    Pole sasna , changamoto ni lazima kweny maisha ila , yan mtu haitakiw kumnyanyasa mtu akiwa kweny changamoto mana kila kt huwa kina wakati wake

  • @Ebben-hm8gw
    @Ebben-hm8gw Před rokem

    Pole san Suzy kwa kipind cha nyuma ulchopitiah

  • @user-rl5gf6tj4n
    @user-rl5gf6tj4n Před rokem +1

    Da Nyamaka wewe ni mwanamke na Nusu,Mungu akutunze sana nakupenda,Mungu amtunze Lamata maana amekuwa daraja la wengi kupitia 🙏🙏

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Před rokem +1

    mungu ambarik saan lamata

  • @pudensianalyimo228
    @pudensianalyimo228 Před rokem

    We dada una akili sana,
    God bless you, you are beautiful and bright.

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před rokem +1

    Pole Sana ndio Maisha mdg wng ❤

  • @savelakaminyoge1220
    @savelakaminyoge1220 Před rokem +1

    Very natura I love u dada

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Kmb yule mwanao kwl, hongera unajua kuigiza, pole pia

  • @JoyAgbiano-wr5cz
    @JoyAgbiano-wr5cz Před rokem +1

    Lov u dada asiye shukuru ni kafili

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 Před rokem

    Wajina wa mwanang MashaAllah ❤️❤️

  • @adelinachengula8519
    @adelinachengula8519 Před 10 měsíci

    Natural beuty

  • @winnifridaashery4449
    @winnifridaashery4449 Před rokem

    Pole sana

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Před rokem +1

    NAKUPENDA DADA UPO VZR KATIKA UINGIZAJI KAZI NZULI UNAFANYA NAPENDA NGOZI YAKO YA ASILIA

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před rokem

    Wamama tunapitia mengi sana😢😢😢

  • @leilafsadickfsadick8541
    @leilafsadickfsadick8541 Před rokem +2

    Bora wewe kushut mimi nilikaa siku 7 nikaanza kusukuma chapat😢😢😢😢nipata ugonjwa ambayo sito kuja kuusahau maana mgongo ulikua hauja ungaa 😢😢😢yaani nyie acheni tuu

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem

    Wanaume

  • @edwardnchaillah4305
    @edwardnchaillah4305 Před rokem

    My Actress

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před rokem

    Mpambanaji, hongera sana.

  • @mgenikombo4960
    @mgenikombo4960 Před 9 měsíci

    nimeumia san nyamaka weng tumepitia waliokudharau watakuheshim

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Před rokem

    Pole sana dada 😭😭😭

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Aya

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem

    Ndoo ivo sisiote

  • @juniorjohn2233
    @juniorjohn2233 Před rokem

    Hana maana huyo mwanaume bkra agongwe na gari afe mmbwa huyo.

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Před rokem

    Nimrembo

  • @ashuraash3680
    @ashuraash3680 Před rokem

    madkini

  • @HidayaKarim-wy9yc
    @HidayaKarim-wy9yc Před rokem

    Kumbe ni mzuri hivi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Pole sana ila mengin c Ya kusema jamani 🤦🏿‍♀️😪kuweni na siri 😪

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Před rokem +1

      😂😂😂shoga hatupo sawa wengine tuna mioyo haiwezi kubeba vitu kaaa chakufia nn

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před rokem

      Muache atoe sumu

    • @olicej7837
      @olicej7837 Před rokem

      Ila sjaona cha aajabu yeye aseme ili wadada wengne wajifunze

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 Před rokem

      @@ashuuuaisha9122 😀😀😀mm mwenyewe kukaa na uchafu koon swez

  • @Tukubeny-zp7qq
    @Tukubeny-zp7qq Před rokem

    Huwaga ni shabiki wako saaana nakupendaga sn

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Kwahy amkai chini 🤣🤣mna simama tu hadi misho kusimama🤣nyamaka Suzya mama cheusi tangu Jakarta sinza rong hapo.. Ipo siku na mmi 🔨