NDOA YANGU ILIDUMU MIEZI 10 TU! Nikaenda kuisajili Talaka yangu Mahakamani! ''SABRA MACHANO''
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2024
- SABRA MACHANO Arudishwa tena mtaani. Don't miss it!. • Breaking news: SABRA M...
BREAKING NEWS: Aliekuwa Mkurugenzi ZSSF Sabra Machano Apokea Barua ya kusimamishwa kazi tena na kuuhabarisha uma taarifa hiyo mnamo tarehe 20 FEB 2024.
.
.
Malkia wa Nasaha & Mhamasishaji '' motivator'' SABRA MACHANO afunguka kuhusu ndoa zake zote na sababu zilizo mfanya asitamani tena kuolewa baada ya kukaa Miezi 10 tu kwenye ndoa yake ya pili.
English translated:
Queen of Advice & Motivator SABRA MACHANO opens up about all her marriages and the reasons why she's no longer want to get married after spending only 10 months in her second marriage.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano afunguka kuhusu ndoa ya miezi kumi tu.
English translated:
The former Managing Director of the Zanzibar Social Security Fund - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano opens up about the marriage that lasted only ten months.
NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON Epsd 064 Clips "SABRA MACHANO"
''NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 064 - ''NDOA'' Aired on Cloudstv on 03 February 2024.
Producer: Sakina Lyoka. @sakinalyoka_
Camera: Juma Katunda @jumakatunda
Editor: Junior Syaary @Juniorsyaary
Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
Marudio: Jumapili saa 11 Jioni (05:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
Angalia Cloudstv kupitia:
⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497
#sabramachano #ndoa #ngaringari
Huyuu mama ndio maaana watu wanashindwaa ilaa chakushauri nikwambaa apunguzee majigamboo wanaume hawataki hiyoo kitu ndio maana jaribu kuwaa kuwaa humble sio powaa sanaa kuwaa hivyoo
Kuna watu wamejaaliwa ndio hivyo …walovyolelewa kwenye maisha Yao. Huwezi kusema huko hivyo.
Magumegume haya , yameshashindikana
Sasa we umeona kuna mwanamke wa kuoa hapo? umenikumbusha wimbo wa super freak wa rick james 😆😆😆
Ana sifaaa sn wakati hana maajabu
Kwa nini ng'aring'ari tumeamua ku pin hii comment Iko negative kwa interviewee wako? Unaona ni sawa?
Jamani kwenye haya maisha kila mtu anamapungufu yake lqkini msisahau wanaume na wao wanamatatizo yao wanawake wangapi wanazalilika kwa ajili ya wanaume sema ukiwa unapata riski ukiachika utambiwa jeuri sio kweli wanaume nawao wanatusumbuwaa
Yaani mwanamme anaweza akawa ana makosa siku zote Ila siku mwanammke akaamua kusema it’s enough na akaondoka basi atakua yeye ndo mbaya n atazushiwa kila Ila na utakuta anaemsema ni mwanamke mwenziwe…. It’s sad kwakweli.
Siku ukijua kuwa mwanaume akioa huwa anamaanisha ni kufa na kuzikana basi nawe mwanamke ungejihimiza kuwa na subra ktk ndoa mpaka kifo.
@@sadikiissa7756 Subra ni muhim katika ndoa sidhani km yupo asiejua Hilo, ila sio kila kitu kinaweza kuvumiliwa just so you know, na ndo mana kuna talaka kijana.
@@sadikiissa7756 Ndio nyinyi watoto wenu wa kike n dada zenu wanapigwa kwenye ndoa wananyanyasika, wanacheatiwa kwa wingi maskiin n maradhi yalojaa then mnawambia wastahamili seriously 😒, inasikitisha kwa kweli.
Mm huyu dada nampenda sana tuu kwanza mzuri Maasha Allah pili nampenda alivyo kivyovyote vile nikimuona ananifurahisha tuu
Unaonekana na tabia kama zake sifa sifa
@@KassimAlly-xp4dz😂😂😂😂
😂😂😂
Wanawake tujitambue kweli, ugomvi ukiwepo kati ynu Wanawake ni mume 💯
A aaa mimi susubuti na stara veki wanawake tujikaze nakuzalilishwa nakupenda sana Sabra uko vizuri
Mnaomnanga sabra. Mnamjua au mnafata coment za ovyo tu ila. Mm simjui maisha yake. But. Siwezi kumnanga. Sababu. Cmjui
Watu washajizoesha mwanamke uwe kama jalala na ukubali tuu kama kondoo 😢😢😢
Asanteni kwa udadisi, habari za ndoa na ufunuo kwasababu mmetufunua macho kidogo kujua ambayo hatukuyajua🤝
Mtumi Muhammad (S.A.W) alioa wake kumi na moja, ila sio kwa kuoa na kuacha
Siku zote mwanamke ukiwa na msimamo ,hukubali kuyumbishwa utaonekanwa mkorofi .Msimamo ni muhim
Na utakufa mpweke na msimamo wako wa kipumbavu
Msimamo halali ni ule ulio kwa mujibu wa dini na watu wema waliotangulia na si msimamo ulio nje ya hapo.
sanaa
First time kuangalia show yako and i love it ila back music its distracting
Good msg mashaallah 🙏🤍. Mtumieni Diva na mganga wake video hii itawafaa sana!
Maneno mengi ya watu wakiulizwa yao wanashindwa kuyajibu tukayafahamu mizunguko tu
Kwani kuachwa kuna shida gani ndoa zina mambo mengii sioni cha ajab kama kaamua kuongelea ndoa kaamua mwenyewe
Mashaallah Mtangazaji Una Getiy Uko Powa Mashaallah Kuliko B.Sabra Machano..
Mashallah
Kama kwa tamaa.washenz ao wapo.
ACHA kuchezea aya za mungu unajitia kuzungumzia aya nakumbe wewe huna hata elimu ungejua dini ungejistiri unaonesha mapambo yako na MIKONO IPO nje unajitoa mitandaoni je dini gani ULIO nayo usijiyie uzungu wazungu niwachafu. Unajidai sanaaaaa. Huo niuwongo mtu tu jirudi ogopa mungu natubia
Exactly!
Huyo sabra used to be mwalim kwa maalim sule kikwajuni chuo( madrassa) ambacho kina sifa kuu za usomeshaji kwa unguja, Pia amehifadhi Quran msahafu mzima and amesoma Dini ipasavyo that’s why akajua kutoa aya… please don’t judge a book by its cover, ukitaka kumsema mwenzio hakikisha mikono yako ipo safi. We unaejua Dini Mbona unamkebehi mwenzio Ivo, Unatakiwa uwe mstaarabu katika kumuelewa mtu
If wewe ni mwanammke basi kweli adui mkuu wa mwanammke ni mwanamke mwenziwe very sad 😞
@@hummymgaza6915kweli kasoma kwa maalim sule na kahifadhi qur'an ila hizo aya anazo soma au hadith kunamtu na mjua yeye ndo anae mwambia na kwakuwa ni mzoefu ndomana mwepesi kuzisoma hao walim wake wote mie ni ndugu zangu wanajua toka nitoke asijidai bure
@@hummymgaza6915sioni hukumu apa bali kama anaijua dini mashallah basi mbn asiifate japo kwa stara tu!
Mm namtaka huyo sabra atatulia inshaallah
Mi nakuelewa sana SABRA siri ya mtungi aijue kata
Mi pia nimemuelew uzur
Nyote nyie kunguru hamfugiki,,,
@@jumakapilima7295 jishikilie ww kunguru ulichokizaa na kama ujazaa unaelal nae ndo kunguru nyauba wajangwan ww ,ukishindwa kujishikila tafuta chakukalia
@@jumakapilima7295 kunguru ulichokizaa na kama ujazaa unaelal nae ndo kunguru nyauba wajangwan ww ukishindwa kujishikila tafuta chakukalia
@@jumakapilima7295 hulazimishwi kumuelewa mtu acha makasiliko usimtukani usie mjua
Mim nakupenda Sabrah
U umilivu, subra ndio kila kitu na siku zote mwanamke atabakia kuwa mwanamke..... Ikishindikana muachane kwa wema, pia sio vzur hata kiislam kuwa mama mitandao... Nilowakwaza wawe pole
Sabra Acha. Habari za mitando Acha uzungu japo kweli umefika chuo kikuu Acha uzungu wewe mswahili kabisa
@@suleimankhamisi Bilashaka,💯
Sabra ujuaji mwingi hawezi dumu katika ndoa😮
Wewe nani bhana muongeaji sana mjuaji sana wanaume hawapendi hivo utaolewa sana 😊
Pambeeee sana .wanatufunza tutawafunza na wao
Sabra usiweke kucha bandia mamaaaaa ❤
Lakini wanja na lipstick apake?
Nahakika angejiweka akawa waovyo akajikita kwenye ukahaba pia mngesema nqhii ndio sifa ya mwanadamu 😊
Jamani pepo wanawake 😢😢
Siku zote ukimuona mwanamke anajifanya mnaswihishaji kwenye ndoa za watu juwa n mjanee au kimepata kitu kizito 😂 dunia hii like za mitandao za furisha watu kichwa sana
Hahahaha,,,
Kawaida cha fundi hua kibovu
@@aishaomar2287 😂
@@remiomar7154 ukweli mtupu
Wanawake muache kibri ndani ya ndoa hata ukiwa na kipato kikubwa ama elimu kuliko mumeo !!!! Jifunzeni kutoka kwa Bi khadija mke wa mtume......Kwani uislamu wenu ni upi jama !!!!!
Unaweza ukawa huna kibur lakin yy hajieshim shida ya wanaume ndo hiyo bora tuwazarau pesa zenyew tunazitafuta kwa shida
Usifananishe wanaume wa sasa na mtume s.a.w,
Sio kila kitu ni makosa wanawake wanaume pia wana mitihani mengine hayavumiliki lakini ni mazoea ndoa kuvunjika kosa la mwanamke!!!😮
Wanaume wanataka wanawake tuwe kama bi Khadija na wao hawataki kuwa kama mtume Mohammad.
@@mwanatumumwaboza7801 hahahaha nikweli lakin tusishindane nao
Muulize je bado ana Nia ya kuolewa tena
❤❤❤❤nakupnd
Wanawake wenye kipato mara nyingi hupata mitihani km hiyo yaani hujidai kutaka kukuoa kumbe anakuja na lengo lake
Wivu wote wanini😊
Walimwengu tuombeane dua tuacheni roho zakwanini hii roho mbay mbona tuichukulia poa jamani tunafanyiana mpk mitaani majirani kwamajirani ndugu kwandugu hebu punguzeni kuoneana choyo
Mimi sina la kasema comet zinakuwa nyingi lakini nyingi nazikubali dada aya n.a. muonekanono wako ni tofauti badilika
Huyu mwanamke ni sumu kwa mwanamme.. Tabia yake na matendo yake havilingani na maneno yake .. hakuna mwanamme atakaeweza kuishi na mwanamke WA Aina hii asojua thamani ya ndowa na mume
Sasa Bado Nimjane au..?..
Na Utahitaji Kuolewa...???..
Huyu madam sabra nimtu fulani hivi anajitambuwa nimemuelewa.
Ummy mgaza nitafute my dear.
Mimi nadhani hajiyendei haki na wala hatoi mafunzo kwa jamii hasa ya kiislamu. Ndoa ni nusu ya dini. Utulivu wa mwanamke bila ndoa unaishi vipi. Inaonekana shetani unacheza nae.
Dada kumi mbona mingi sn kuna watu miezi miwili na wengine wiki mbili tu
😅😂
😂😂😂😂😂
Kwa unavyoongea tu ndoa za sasa utaziweza hiyo ya zamani ilidumu sababu ukuwa bado maarufu,ila kwa sasa unavyoonekana ata uko ndani kulikuwa amna amanii
Wewe ni miongoni mwa wanawake wachache wenye kusema ukweli.
Ndoa za ndugu mtihani wallah sanaaa 😢😢 mm sijaitaka kwa ayo maana yashatokea kwetu sana 😢😢
Ila kujifanyisha gharama kama zote namna ile sifa kibao alaf ndo Ata mwaka
Ndoa 3 kaolewa hakun ilofk mwaka na Mwez Wa nne anaolew ten ndoa ya nne
@@mymuhnabdallahshaban7763si kweli kaolewa mbili io ijayo ndo ya 3 mmh
@@mymuhnabdallahshaban7763 heee sijui bwege gani anamuoa tena huyu asieweza Kutulia na Mwanaume mmoja
Mbili tu sio tatu. @@mymuhnabdallahshaban7763
Mwanamke mdomo mrefu hawezi kama namume
Uyu dada simpendi ana masifa
Huyu siku zote stori zake ni kuongelea ex zake, kila siku ni stori hizo2 hivi hana mambo mengine, of course vinauma ila kurejea vitu hivyo2 kila siku kama swala na alhamdu haisaidii kitu...
Upo sahihi hh 😂 tunalingn miaka 2 na miezi 2
Inaonekana Dhahiri wanawake wengii wanapopata vyeo huwadharau sana waume zao.hatimae wanafanya kila hali kuvunja ndoa zao.
Ulimwambia mumeo wewe hujawa tayari kuwa mume wala baba😳😳 wanawake tupunguze mdomo jamani, just imagine wewe mwanamke uambiwe wewe hujawa tayari kuwa mke wala mama😏
Mwenyezi Mungu akuepushe na mwanaume wa hivyo ili uendelee kubakia ndugu mtazamaji na mtoa maoni.Ila wenye wamepitia hayo hata wakikuelezea vipi wewe huwezi kuelewa.
@@subirawahure7434hajakutana na dharau zilizokithiri kw wanaume wa Sasa..Wanaume umri umeenda matendo anajiona mtoto🙌
Hahahaha. Hakuna alo kamilika lkn na subra inakipimo
Sikulamu bwana hakuna mtu alokua juu ya sheria sote tuko chini ya. Sheria
ACHA KUCHEZEA AYA ZA QRUAN KWASABABU WEWE HUENDI AYA INAVO SEMA . UPO KINYUME NA AYA ZA ALLAH.
Umala na tamaa na uvivu na ujeuri.
Huyu dada akizungumza tu unaelewa kwamba mali na nafasi yake ilimpa kibri na kujiona yy yupo juu ya mume,haya mambo ya KiFeminist yatawapeleka jahannam sana hawa dada zetu
Umenena na pia mitandao inatupotosha wanawake...SubhanaAllah
He sabra weee..huwachiii kijukuu ulikua ukikilea ndo kilicho kivunjia ndoa....
Haaa haaa upekepeke 😂😂😂😂😂
Wanaume tunaojielewa hatupeleki wanawake nyumbani kwetu😢😢😢
Tunawapeleka gestiiiiiii😂😂😂😂
Kwann uolewe na ndugu?
Alikuwa anachoyo
Ili udumu na ndowa Uolewe na Mwanamke Mwenzio
Usifike huko!
Innalillah😢
Kunavitu nonsense kuviongea havina mafunzo bora kwenye hii stori just mazungumzo tu hayana maana kabisa.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano afunguka kuhusu ndoa ya miezi kumi tu.
English translated:
The former Managing Director of the Zanzibar Social Security Fund - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano opens up about the marriage that lasted only ten months. /: GO TO ngaringari.ttu.cc
Hapakua na mke hapo
Wewe mbona una pin 📌 thoughts za mtu hater. Hata wewe ni hater basi.
Uolewe na mwanamke mwenzio
Mbali huko!
Bisabra nipe nafasi hiyo nije nitulie na ww utulie
Holaaa wa hovyooooooo
Kuongea sana so ukorofi nihulka yake lkn kimaisha yukis
Ndoa za ndugu Tena
Au sijaelewa
Yani cousins
NASKIA MSAGAJI HUYU NDIO MAANA
Duuuuu😢
Unajua hukumu ya kudai talaka
Huyu sabra anatoka bara au ndio lugha ya kizanzibari ishapotea
Mbara gani anazungumza hivi?
Mtangazaji pole vaa hijab vizur
Mimi nilijua matashititi yote hayo kumbe kaachwa mara kuachwa hebu tupunguze majigambo
Kwani. Kuachwa tatizo?
Vp nawewe umeachwa???
Kuna vitu sio vya kusema kwenye media. Mmeshaachana basi. Kumbe elimu yako haijakukomboa. Ngoja naye aje kwenye media akubomoe.
😂😂😂😂😂😂aaaa mdada anakibur huyu jeur balaa nani adumu nae kwenye ndoa mhh loo 🤣
Unataka hapo mume usijishaue Hussein mwinyi kakutoa shoo maana ulikua unaifanya zanj umeimiliki wewe tu sema lilokuachisha usiongee uongo
ILA IO BAPA LA PANGA NOMA
Ukitaka Kumjua Sabra Mtafteni aliyekuwa mumewe ahohiwe na mtafteni mpiga picha wake Kijukuu six sitaki kuweka Bayana Hapa Za ndani Ila Hakuna Kitu kibaya kama Kutoka nje ya ndoa na hakuna asiejua kwanini aliachwa....na huyo Mumewe Si masikini au kuhitaji cha mkewe anajipata zaidi Yake yy tena mara tatu au nne zaidi..... Na Talaka Alipewa kwa Kufumaniwa
Kila mtu anamapungufu yake.vizuri zaidi nikujuwa chanzo cha matatizo
@@nduwimanafatma9948 tunajua Matandu na Ukoko kuanzia hasa Ndoa Yake Hii Ya Aliekuwa mkurugenzi wa Benki Fulani aliemfumania Na Kijukuu Six
Hakuna kaburi la mjane shoga weee
Hovyo kabisa ,punguza maneno mchawi wa wewe kutokudumu kwenye ndoa zako ni ujuaji mwingi punguza maneno.
Kweli kabisa..hana siri.Anaongea kama typewriter machine 120 words per minute.
Ndio kawaida yenu mliosoma dunia na kipato
Huyu mwanamke hana maajabu stry nyingi tu hamna lolote
Sabra wacha kujigamba na wewe una madhaifu yako tele ya usagaji unataka kiki tu kama unajua Aya za mungu ungejitangaza ktk mitandao hebu tuache
Mmmh😮😮😮
Duuh makubwa haya tena ya usagaj
Duuuuuuuuuuuu ni mtihaaa...😮
@@aminakassim831Astaghfirullah
Alikusaga?
Baada ya wewe kuwa mkuruhenzi ukaamua kudai talaka ilo ule bata na wakubwa.
Ukiona mwanamme anaowa mwanamke aloachwa basi ni mkosefu. Mimi siwezi kuowa mwanamke aloachwa. Na nyie wanaume musiowe mwanamke alona income hata ndogo humuwezi atakudhalilisha
Ongea yako tu hufai kuwa mke wewe ni shangingi
Kahaba
NAONA UNAUNYA UNYA TU HUTOI MAJIBU YA KUELEWEKA, NDOA YA KWANZA UMEPINDULIWA NA SHOGAAKO KWA SABABU HUNA TIME NA MUME WE MWENYEWE MUME, NA KAMA NDOA YA PILI HUJAITAKA UMELAZIMISHWA NA WAZAZI NA WEWE UNAJINASIBU TAJIRI UNGEKUBALI KUA SECOND OPTION KWELI? NA KUFUMANIWA UMEFUMANIWA KWELI NA MPIGA PICHA WAKO DAR ULIFANYA HOUSE PARTY, ULIOWAALIKA HAO HAO NDIO WALIOMTONYA MUMEO AKAJA KWENYE PARTY, HIZO NI LAANA ZA KUVUNJA NDOA ZA WATU TU NDIZO TU ZINAKUANDAMA, KWA NJE MZURI LAKINI KWA NDANI UNAROHO MBAYA KAMA MCHAWI WA KWENYE CINDERELLA
Hahahaha haloooooo😅😅😅😅
😢
Kumbe ajiekewi afu anajiongelesha
😂😂😂😂
😂😂😂 watu wanakunyima hela bana lkn sio ubuyu kama huu wacha nicheke mie😂😂😂
Mafunzo umfunze nani bhn wee 😂😂wakat ww mwenyewe mdangaji tu mnafiqi uliejificha kwenye vazi la uislamu mfyuuu😏😏😏
😂😂😂😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😮
Ulitaka ajifiche kwenye combat za jeshii😂😂
@@salha.d5060 😂😂😂🤣hii kali
@@salha.d5060 eeh 🤗🤗
TATA NYINYI WANAWAKE MNAMENGI KUJIDANGANYA KWA KIMWLI FAKI USHETANI KIMAVAZI MNATAPAKA SANA MPAKA MUNAMKERA ARAMAN RAHIM 😈😈😈❌❌❌❌
Dada uislam hakuna talaka ya mahakama
Ipoh talaka ya serikali ukishapewa talaka ya dini unaruhusiwa pia kuomba talaka ya serikali kwasababu kuna document lazima uwe nazo bila hivyo kuna vitu vya kiserikali vitakusumbua baadae
Talaka za kidini ya kiislam ni rahisi hata akikutamkia siyo mke wangu tayari ni talaka kwahiyo unakua Huna ushahidi kama ❤uliachwa
Ipo talaka ya khuluu
@@asiakheir8684 iwe umeandikiwa talaka na aliyekuwa mume wako au umedikului(kujivua) wewe mwanamke. Kujivua ni wewe mwanamke kurudisha mahari ya aliyekuwa mume wako. Vyovyoye kati ya hayo kupewa au kujivua bado unaruhusiwa kwenda mahakamani kudai talaka ya serikali. Cheti cha ndoa kinatambulika na serikali hivyo una haki ya kudai talaka ya serikali. Na hii ieleweke itakusaidia kwenye mambo ya kisheria ya serikali
Mdangaji tu wewe,,,,,