NDOA YANGU ILIDUMU MIEZI 10 TU! Nikaenda kuisajili Talaka yangu Mahakamani! ''SABRA MACHANO''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2024
  • SABRA MACHANO Arudishwa tena mtaani. Don't miss it!. • Breaking news: SABRA M...
    BREAKING NEWS: Aliekuwa Mkurugenzi ZSSF Sabra Machano Apokea Barua ya kusimamishwa kazi tena na kuuhabarisha uma taarifa hiyo mnamo tarehe 20 FEB 2024.
    .
    .
    Malkia wa Nasaha & Mhamasishaji '' motivator'' SABRA MACHANO afunguka kuhusu ndoa zake zote na sababu zilizo mfanya asitamani tena kuolewa baada ya kukaa Miezi 10 tu kwenye ndoa yake ya pili.
    English translated:
    Queen of Advice & Motivator SABRA MACHANO opens up about all her marriages and the reasons why she's no longer want to get married after spending only 10 months in her second marriage.
    Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano afunguka kuhusu ndoa ya miezi kumi tu.
    English translated:
    The former Managing Director of the Zanzibar Social Security Fund - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano opens up about the marriage that lasted only ten months.
    NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON Epsd 064 Clips "SABRA MACHANO"
    ''NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 064 - ''NDOA'' Aired on Cloudstv on 03 February 2024.
    Producer: Sakina Lyoka. @sakinalyoka_
    Camera: Juma Katunda @jumakatunda
    Editor: Junior Syaary ‪@Juniorsyaary‬
    Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
    Marudio: Jumapili saa 11 Jioni (05:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
    Angalia Cloudstv kupitia:
    ⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497
    #sabramachano #ndoa #ngaringari

Komentáře • 208

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před 5 měsíci +28

    Huyuu mama ndio maaana watu wanashindwaa ilaa chakushauri nikwambaa apunguzee majigamboo wanaume hawataki hiyoo kitu ndio maana jaribu kuwaa kuwaa humble sio powaa sanaa kuwaa hivyoo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci +3

      Kuna watu wamejaaliwa ndio hivyo …walovyolelewa kwenye maisha Yao. Huwezi kusema huko hivyo.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 5 měsíci +2

      Magumegume haya , yameshashindikana

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 5 měsíci +2

      Sasa we umeona kuna mwanamke wa kuoa hapo? umenikumbusha wimbo wa super freak wa rick james 😆😆😆

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 5 měsíci +4

      Ana sifaaa sn wakati hana maajabu

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Před 5 měsíci +4

      Kwa nini ng'aring'ari tumeamua ku pin hii comment Iko negative kwa interviewee wako? Unaona ni sawa?

  • @user-yg6er5gk1i
    @user-yg6er5gk1i Před 5 měsíci +14

    Jamani kwenye haya maisha kila mtu anamapungufu yake lqkini msisahau wanaume na wao wanamatatizo yao wanawake wangapi wanazalilika kwa ajili ya wanaume sema ukiwa unapata riski ukiachika utambiwa jeuri sio kweli wanaume nawao wanatusumbuwaa

  • @hummymgaza6915
    @hummymgaza6915 Před 5 měsíci +37

    Yaani mwanamme anaweza akawa ana makosa siku zote Ila siku mwanammke akaamua kusema it’s enough na akaondoka basi atakua yeye ndo mbaya n atazushiwa kila Ila na utakuta anaemsema ni mwanamke mwenziwe…. It’s sad kwakweli.

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před 5 měsíci

      Siku ukijua kuwa mwanaume akioa huwa anamaanisha ni kufa na kuzikana basi nawe mwanamke ungejihimiza kuwa na subra ktk ndoa mpaka kifo.

    • @hummymgaza6915
      @hummymgaza6915 Před 5 měsíci

      @@sadikiissa7756 Subra ni muhim katika ndoa sidhani km yupo asiejua Hilo, ila sio kila kitu kinaweza kuvumiliwa just so you know, na ndo mana kuna talaka kijana.

    • @hummymgaza6915
      @hummymgaza6915 Před 5 měsíci

      @@sadikiissa7756 Ndio nyinyi watoto wenu wa kike n dada zenu wanapigwa kwenye ndoa wananyanyasika, wanacheatiwa kwa wingi maskiin n maradhi yalojaa then mnawambia wastahamili seriously 😒, inasikitisha kwa kweli.

  • @khadijamohammed2855
    @khadijamohammed2855 Před 5 měsíci +17

    Mm huyu dada nampenda sana tuu kwanza mzuri Maasha Allah pili nampenda alivyo kivyovyote vile nikimuona ananifurahisha tuu

  • @miskyabdillah7451
    @miskyabdillah7451 Před 5 měsíci +12

    Wanawake tujitambue kweli, ugomvi ukiwepo kati ynu Wanawake ni mume 💯

  • @tatumcheni7168
    @tatumcheni7168 Před 5 měsíci +5

    A aaa mimi susubuti na stara veki wanawake tujikaze nakuzalilishwa nakupenda sana Sabra uko vizuri

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 Před 5 měsíci +10

    Mnaomnanga sabra. Mnamjua au mnafata coment za ovyo tu ila. Mm simjui maisha yake. But. Siwezi kumnanga. Sababu. Cmjui

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před 5 měsíci

      Watu washajizoesha mwanamke uwe kama jalala na ukubali tuu kama kondoo 😢😢😢

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 5 měsíci +3

    Asanteni kwa udadisi, habari za ndoa na ufunuo kwasababu mmetufunua macho kidogo kujua ambayo hatukuyajua🤝

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před 3 měsíci

    Mtumi Muhammad (S.A.W) alioa wake kumi na moja, ila sio kwa kuoa na kuacha

  • @hawahamza1085
    @hawahamza1085 Před 5 měsíci +8

    Siku zote mwanamke ukiwa na msimamo ,hukubali kuyumbishwa utaonekanwa mkorofi .Msimamo ni muhim

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Před 5 měsíci

      Na utakufa mpweke na msimamo wako wa kipumbavu

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před 5 měsíci

      Msimamo halali ni ule ulio kwa mujibu wa dini na watu wema waliotangulia na si msimamo ulio nje ya hapo.

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Před 5 měsíci

      sanaa

  • @chalaali8116
    @chalaali8116 Před 5 měsíci +1

    First time kuangalia show yako and i love it ila back music its distracting

  • @btylove1870
    @btylove1870 Před 4 měsíci +1

    Good msg mashaallah 🙏🤍. Mtumieni Diva na mganga wake video hii itawafaa sana!

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Před 5 měsíci +11

    Maneno mengi ya watu wakiulizwa yao wanashindwa kuyajibu tukayafahamu mizunguko tu

  • @neychannel5645
    @neychannel5645 Před 5 měsíci +5

    Kwani kuachwa kuna shida gani ndoa zina mambo mengii sioni cha ajab kama kaamua kuongelea ndoa kaamua mwenyewe

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 5 měsíci +2

    Mashaallah Mtangazaji Una Getiy Uko Powa Mashaallah Kuliko B.Sabra Machano..

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Před 5 měsíci +3

    Mashallah

  • @TalaaBadru
    @TalaaBadru Před 4 měsíci +1

    Kama kwa tamaa.washenz ao wapo.

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge Před 5 měsíci +11

    ACHA kuchezea aya za mungu unajitia kuzungumzia aya nakumbe wewe huna hata elimu ungejua dini ungejistiri unaonesha mapambo yako na MIKONO IPO nje unajitoa mitandaoni je dini gani ULIO nayo usijiyie uzungu wazungu niwachafu. Unajidai sanaaaaa. Huo niuwongo mtu tu jirudi ogopa mungu natubia

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 5 měsíci +1

      Exactly!

    • @hummymgaza6915
      @hummymgaza6915 Před 5 měsíci +15

      Huyo sabra used to be mwalim kwa maalim sule kikwajuni chuo( madrassa) ambacho kina sifa kuu za usomeshaji kwa unguja, Pia amehifadhi Quran msahafu mzima and amesoma Dini ipasavyo that’s why akajua kutoa aya… please don’t judge a book by its cover, ukitaka kumsema mwenzio hakikisha mikono yako ipo safi. We unaejua Dini Mbona unamkebehi mwenzio Ivo, Unatakiwa uwe mstaarabu katika kumuelewa mtu

    • @hummymgaza6915
      @hummymgaza6915 Před 5 měsíci +1

      If wewe ni mwanammke basi kweli adui mkuu wa mwanammke ni mwanamke mwenziwe very sad 😞

    • @r9ayyansaid652
      @r9ayyansaid652 Před 5 měsíci

      ​@@hummymgaza6915kweli kasoma kwa maalim sule na kahifadhi qur'an ila hizo aya anazo soma au hadith kunamtu na mjua yeye ndo anae mwambia na kwakuwa ni mzoefu ndomana mwepesi kuzisoma hao walim wake wote mie ni ndugu zangu wanajua toka nitoke asijidai bure

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před 5 měsíci

      ​@@hummymgaza6915sioni hukumu apa bali kama anaijua dini mashallah basi mbn asiifate japo kwa stara tu!

  • @alijumes3580
    @alijumes3580 Před 5 měsíci +1

    Mm namtaka huyo sabra atatulia inshaallah

  • @RahmaNassir-pc5ku
    @RahmaNassir-pc5ku Před 5 měsíci +11

    Mi nakuelewa sana SABRA siri ya mtungi aijue kata

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 5 měsíci

      Mi pia nimemuelew uzur

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 5 měsíci +1

      Nyote nyie kunguru hamfugiki,,,

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 5 měsíci

      @@jumakapilima7295 jishikilie ww kunguru ulichokizaa na kama ujazaa unaelal nae ndo kunguru nyauba wajangwan ww ,ukishindwa kujishikila tafuta chakukalia

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow Před 5 měsíci

      @@jumakapilima7295 kunguru ulichokizaa na kama ujazaa unaelal nae ndo kunguru nyauba wajangwan ww ukishindwa kujishikila tafuta chakukalia

    • @RahmaNassir-pc5ku
      @RahmaNassir-pc5ku Před 5 měsíci

      @@jumakapilima7295 hulazimishwi kumuelewa mtu acha makasiliko usimtukani usie mjua

  • @user-jn3jh7yp3w
    @user-jn3jh7yp3w Před 5 měsíci +2

    Mim nakupenda Sabrah

  • @mumtaaz1888
    @mumtaaz1888 Před 5 měsíci +4

    U umilivu, subra ndio kila kitu na siku zote mwanamke atabakia kuwa mwanamke..... Ikishindikana muachane kwa wema, pia sio vzur hata kiislam kuwa mama mitandao... Nilowakwaza wawe pole

    • @suleimankhamisi
      @suleimankhamisi Před 5 měsíci +1

      Sabra Acha. Habari za mitando Acha uzungu japo kweli umefika chuo kikuu Acha uzungu wewe mswahili kabisa

    • @mumtaaz1888
      @mumtaaz1888 Před 5 měsíci

      @@suleimankhamisi Bilashaka,💯

  • @user-bz1wl4si8j
    @user-bz1wl4si8j Před 5 měsíci +6

    Sabra ujuaji mwingi hawezi dumu katika ndoa😮

  • @huqfojaia232
    @huqfojaia232 Před 5 měsíci +2

    Wewe nani bhana muongeaji sana mjuaji sana wanaume hawapendi hivo utaolewa sana 😊

  • @TalaaBadru
    @TalaaBadru Před 4 měsíci

    Pambeeee sana .wanatufunza tutawafunza na wao

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t Před 5 měsíci +5

    Sabra usiweke kucha bandia mamaaaaa ❤

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 Před 5 měsíci +2

    Nahakika angejiweka akawa waovyo akajikita kwenye ukahaba pia mngesema nqhii ndio sifa ya mwanadamu 😊

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn Před 5 měsíci +3

    Jamani pepo wanawake 😢😢

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 5 měsíci +18

    Siku zote ukimuona mwanamke anajifanya mnaswihishaji kwenye ndoa za watu juwa n mjanee au kimepata kitu kizito 😂 dunia hii like za mitandao za furisha watu kichwa sana

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 5 měsíci +4

    Wanawake muache kibri ndani ya ndoa hata ukiwa na kipato kikubwa ama elimu kuliko mumeo !!!! Jifunzeni kutoka kwa Bi khadija mke wa mtume......Kwani uislamu wenu ni upi jama !!!!!

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před 5 měsíci

      Unaweza ukawa huna kibur lakin yy hajieshim shida ya wanaume ndo hiyo bora tuwazarau pesa zenyew tunazitafuta kwa shida

    • @arafaally2730
      @arafaally2730 Před 5 měsíci +4

      Usifananishe wanaume wa sasa na mtume s.a.w,
      Sio kila kitu ni makosa wanawake wanaume pia wana mitihani mengine hayavumiliki lakini ni mazoea ndoa kuvunjika kosa la mwanamke!!!😮

    • @mwanatumumwaboza7801
      @mwanatumumwaboza7801 Před 5 měsíci +2

      Wanaume wanataka wanawake tuwe kama bi Khadija na wao hawataki kuwa kama mtume Mohammad.

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před 5 měsíci

      @@mwanatumumwaboza7801 hahahaha nikweli lakin tusishindane nao

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před 5 měsíci +3

    Muulize je bado ana Nia ya kuolewa tena

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤nakupnd

  • @abdulmohd6407
    @abdulmohd6407 Před 5 měsíci +8

    Wanawake wenye kipato mara nyingi hupata mitihani km hiyo yaani hujidai kutaka kukuoa kumbe anakuja na lengo lake

  • @user-ox1zo3nr5l
    @user-ox1zo3nr5l Před 5 měsíci +1

    Wivu wote wanini😊

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 Před 5 měsíci +2

    Walimwengu tuombeane dua tuacheni roho zakwanini hii roho mbay mbona tuichukulia poa jamani tunafanyiana mpk mitaani majirani kwamajirani ndugu kwandugu hebu punguzeni kuoneana choyo

  • @AminaAfrica-pr3gi
    @AminaAfrica-pr3gi Před 5 měsíci +3

    Mimi sina la kasema comet zinakuwa nyingi lakini nyingi nazikubali dada aya n.a. muonekanono wako ni tofauti badilika

  • @komar9396
    @komar9396 Před 5 měsíci +1

    Huyu mwanamke ni sumu kwa mwanamme.. Tabia yake na matendo yake havilingani na maneno yake .. hakuna mwanamme atakaeweza kuishi na mwanamke WA Aina hii asojua thamani ya ndowa na mume

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 5 měsíci +2

    Sasa Bado Nimjane au..?..
    Na Utahitaji Kuolewa...???..

  • @user-cd3lg1uj4c
    @user-cd3lg1uj4c Před 5 měsíci +3

    Huyu madam sabra nimtu fulani hivi anajitambuwa nimemuelewa.

  • @user-vn1cu7ts3k
    @user-vn1cu7ts3k Před 5 měsíci +1

    Ummy mgaza nitafute my dear.

  • @jumabwangama5306
    @jumabwangama5306 Před 5 měsíci

    Mimi nadhani hajiyendei haki na wala hatoi mafunzo kwa jamii hasa ya kiislamu. Ndoa ni nusu ya dini. Utulivu wa mwanamke bila ndoa unaishi vipi. Inaonekana shetani unacheza nae.

  • @abdulmohd6407
    @abdulmohd6407 Před 5 měsíci +6

    Dada kumi mbona mingi sn kuna watu miezi miwili na wengine wiki mbili tu

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 Před 5 měsíci +2

    Kwa unavyoongea tu ndoa za sasa utaziweza hiyo ya zamani ilidumu sababu ukuwa bado maarufu,ila kwa sasa unavyoonekana ata uko ndani kulikuwa amna amanii

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před 5 měsíci

      Wewe ni miongoni mwa wanawake wachache wenye kusema ukweli.

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Před 5 měsíci

    Ndoa za ndugu mtihani wallah sanaaa 😢😢 mm sijaitaka kwa ayo maana yashatokea kwetu sana 😢😢

  • @AminaMshirzy
    @AminaMshirzy Před 5 měsíci +6

    Ila kujifanyisha gharama kama zote namna ile sifa kibao alaf ndo Ata mwaka

    • @mymuhnabdallahshaban7763
      @mymuhnabdallahshaban7763 Před 5 měsíci

      Ndoa 3 kaolewa hakun ilofk mwaka na Mwez Wa nne anaolew ten ndoa ya nne

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před 5 měsíci

      ​@@mymuhnabdallahshaban7763si kweli kaolewa mbili io ijayo ndo ya 3 mmh

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l Před 5 měsíci

      @@mymuhnabdallahshaban7763 heee sijui bwege gani anamuoa tena huyu asieweza Kutulia na Mwanaume mmoja

    • @shamomar629
      @shamomar629 Před 5 měsíci

      Mbili tu sio tatu. ​@@mymuhnabdallahshaban7763

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 Před 4 měsíci

    Mwanamke mdomo mrefu hawezi kama namume

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8p Před 5 měsíci +5

    Uyu dada simpendi ana masifa

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 5 měsíci +1

    Huyu siku zote stori zake ni kuongelea ex zake, kila siku ni stori hizo2 hivi hana mambo mengine, of course vinauma ila kurejea vitu hivyo2 kila siku kama swala na alhamdu haisaidii kitu...

  • @TalaaBadru
    @TalaaBadru Před 4 měsíci

    Upo sahihi hh 😂 tunalingn miaka 2 na miezi 2

  • @AliHassan-ib8lq
    @AliHassan-ib8lq Před 5 měsíci

    Inaonekana Dhahiri wanawake wengii wanapopata vyeo huwadharau sana waume zao.hatimae wanafanya kila hali kuvunja ndoa zao.

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 5 měsíci +3

    Ulimwambia mumeo wewe hujawa tayari kuwa mume wala baba😳😳 wanawake tupunguze mdomo jamani, just imagine wewe mwanamke uambiwe wewe hujawa tayari kuwa mke wala mama😏

    • @subirawahure7434
      @subirawahure7434 Před 5 měsíci

      Mwenyezi Mungu akuepushe na mwanaume wa hivyo ili uendelee kubakia ndugu mtazamaji na mtoa maoni.Ila wenye wamepitia hayo hata wakikuelezea vipi wewe huwezi kuelewa.

    • @user-om1qw5np8z
      @user-om1qw5np8z Před 5 měsíci

      ​@@subirawahure7434hajakutana na dharau zilizokithiri kw wanaume wa Sasa..Wanaume umri umeenda matendo anajiona mtoto🙌

  • @MuhamadiAli
    @MuhamadiAli Před 5 měsíci +4

    Hahahaha. Hakuna alo kamilika lkn na subra inakipimo

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 Před 5 měsíci

    Sikulamu bwana hakuna mtu alokua juu ya sheria sote tuko chini ya. Sheria

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge Před 5 měsíci +7

    ACHA KUCHEZEA AYA ZA QRUAN KWASABABU WEWE HUENDI AYA INAVO SEMA . UPO KINYUME NA AYA ZA ALLAH.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 5 měsíci +2

    Umala na tamaa na uvivu na ujeuri.

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 Před 5 měsíci +2

    Huyu dada akizungumza tu unaelewa kwamba mali na nafasi yake ilimpa kibri na kujiona yy yupo juu ya mume,haya mambo ya KiFeminist yatawapeleka jahannam sana hawa dada zetu

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před 5 měsíci

      Umenena na pia mitandao inatupotosha wanawake...SubhanaAllah

  • @UmmyLubna-rp6rv
    @UmmyLubna-rp6rv Před 5 měsíci

    He sabra weee..huwachiii kijukuu ulikua ukikilea ndo kilicho kivunjia ndoa....

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci +1

    Haaa haaa upekepeke 😂😂😂😂😂

  • @aliaboud9202
    @aliaboud9202 Před 5 měsíci

    Wanaume tunaojielewa hatupeleki wanawake nyumbani kwetu😢😢😢
    Tunawapeleka gestiiiiiii😂😂😂😂

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x Před 5 měsíci

    Kwann uolewe na ndugu?

  • @TalaaBadru
    @TalaaBadru Před 4 měsíci

    Alikuwa anachoyo

  • @kassimsaid1723
    @kassimsaid1723 Před 5 měsíci +1

    Ili udumu na ndowa Uolewe na Mwanamke Mwenzio

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 5 měsíci +1

    Kunavitu nonsense kuviongea havina mafunzo bora kwenye hii stori just mazungumzo tu hayana maana kabisa.

  • @ngaringari
    @ngaringari  Před 5 měsíci +3

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa mfuko wa jamii wa Zanzibar - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano afunguka kuhusu ndoa ya miezi kumi tu.
    English translated:
    The former Managing Director of the Zanzibar Social Security Fund - ZSSF (Zanzibar Social Security Fund) Sabra Issa Salim Machano opens up about the marriage that lasted only ten months. /: GO TO ngaringari.ttu.cc

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 Před 5 měsíci +1

    Hapakua na mke hapo

  • @Whois_rayna
    @Whois_rayna Před 5 měsíci

    Wewe mbona una pin 📌 thoughts za mtu hater. Hata wewe ni hater basi.

  • @kassimsaid1723
    @kassimsaid1723 Před 5 měsíci

    Uolewe na mwanamke mwenzio

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 Před 4 měsíci

    Bisabra nipe nafasi hiyo nije nitulie na ww utulie

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 5 měsíci

    Holaaa wa hovyooooooo

  • @user-cd3lg1uj4c
    @user-cd3lg1uj4c Před 5 měsíci

    Kuongea sana so ukorofi nihulka yake lkn kimaisha yukis

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 Před 5 měsíci

    Ndoa za ndugu Tena
    Au sijaelewa

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 5 měsíci

    NASKIA MSAGAJI HUYU NDIO MAANA

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Před 5 měsíci

    Unajua hukumu ya kudai talaka

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před 5 měsíci

    Huyu sabra anatoka bara au ndio lugha ya kizanzibari ishapotea

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 5 měsíci +1

    Mtangazaji pole vaa hijab vizur

  • @user-sb3ls4pb1g
    @user-sb3ls4pb1g Před 5 měsíci

    Mimi nilijua matashititi yote hayo kumbe kaachwa mara kuachwa hebu tupunguze majigambo

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 5 měsíci

    Kuna vitu sio vya kusema kwenye media. Mmeshaachana basi. Kumbe elimu yako haijakukomboa. Ngoja naye aje kwenye media akubomoe.

  • @user-hs5mh7br1b
    @user-hs5mh7br1b Před 5 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂aaaa mdada anakibur huyu jeur balaa nani adumu nae kwenye ndoa mhh loo 🤣

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před 5 měsíci +3

    Unataka hapo mume usijishaue Hussein mwinyi kakutoa shoo maana ulikua unaifanya zanj umeimiliki wewe tu sema lilokuachisha usiongee uongo

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před 5 měsíci

    ILA IO BAPA LA PANGA NOMA

  • @user-nq2np6de6l
    @user-nq2np6de6l Před 5 měsíci +1

    Ukitaka Kumjua Sabra Mtafteni aliyekuwa mumewe ahohiwe na mtafteni mpiga picha wake Kijukuu six sitaki kuweka Bayana Hapa Za ndani Ila Hakuna Kitu kibaya kama Kutoka nje ya ndoa na hakuna asiejua kwanini aliachwa....na huyo Mumewe Si masikini au kuhitaji cha mkewe anajipata zaidi Yake yy tena mara tatu au nne zaidi..... Na Talaka Alipewa kwa Kufumaniwa

    • @nduwimanafatma9948
      @nduwimanafatma9948 Před 5 měsíci

      Kila mtu anamapungufu yake.vizuri zaidi nikujuwa chanzo cha matatizo

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l Před 5 měsíci

      @@nduwimanafatma9948 tunajua Matandu na Ukoko kuanzia hasa Ndoa Yake Hii Ya Aliekuwa mkurugenzi wa Benki Fulani aliemfumania Na Kijukuu Six

  • @TalaaBadru
    @TalaaBadru Před 4 měsíci

    Hakuna kaburi la mjane shoga weee

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Před 5 měsíci

    Hovyo kabisa ,punguza maneno mchawi wa wewe kutokudumu kwenye ndoa zako ni ujuaji mwingi punguza maneno.

    • @rukiaabdul7191
      @rukiaabdul7191 Před 5 měsíci

      Kweli kabisa..hana siri.Anaongea kama typewriter machine 120 words per minute.

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Před 5 měsíci

    Ndio kawaida yenu mliosoma dunia na kipato

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 5 měsíci +1

    Huyu mwanamke hana maajabu stry nyingi tu hamna lolote

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před 5 měsíci +2

    Sabra wacha kujigamba na wewe una madhaifu yako tele ya usagaji unataka kiki tu kama unajua Aya za mungu ungejitangaza ktk mitandao hebu tuache

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 5 měsíci

    Baada ya wewe kuwa mkuruhenzi ukaamua kudai talaka ilo ule bata na wakubwa.

  • @utaani1
    @utaani1 Před 5 měsíci

    Ukiona mwanamme anaowa mwanamke aloachwa basi ni mkosefu. Mimi siwezi kuowa mwanamke aloachwa. Na nyie wanaume musiowe mwanamke alona income hata ndogo humuwezi atakudhalilisha

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 5 měsíci

    Ongea yako tu hufai kuwa mke wewe ni shangingi

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 5 měsíci

    Kahaba

  • @powerrecordszanzibar3384
    @powerrecordszanzibar3384 Před 5 měsíci +8

    NAONA UNAUNYA UNYA TU HUTOI MAJIBU YA KUELEWEKA, NDOA YA KWANZA UMEPINDULIWA NA SHOGAAKO KWA SABABU HUNA TIME NA MUME WE MWENYEWE MUME, NA KAMA NDOA YA PILI HUJAITAKA UMELAZIMISHWA NA WAZAZI NA WEWE UNAJINASIBU TAJIRI UNGEKUBALI KUA SECOND OPTION KWELI? NA KUFUMANIWA UMEFUMANIWA KWELI NA MPIGA PICHA WAKO DAR ULIFANYA HOUSE PARTY, ULIOWAALIKA HAO HAO NDIO WALIOMTONYA MUMEO AKAJA KWENYE PARTY, HIZO NI LAANA ZA KUVUNJA NDOA ZA WATU TU NDIZO TU ZINAKUANDAMA, KWA NJE MZURI LAKINI KWA NDANI UNAROHO MBAYA KAMA MCHAWI WA KWENYE CINDERELLA

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 5 měsíci +8

    Mafunzo umfunze nani bhn wee 😂😂wakat ww mwenyewe mdangaji tu mnafiqi uliejificha kwenye vazi la uislamu mfyuuu😏😏😏

    • @azizaiddy1453
      @azizaiddy1453 Před 5 měsíci +1

      😂😂😂😅

    • @Muslim-gs6rn
      @Muslim-gs6rn Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😮

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 Před 5 měsíci +3

      Ulitaka ajifiche kwenye combat za jeshii😂😂

    • @azizaiddy1453
      @azizaiddy1453 Před 5 měsíci

      @@salha.d5060 😂😂😂🤣hii kali

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 5 měsíci

      @@salha.d5060 eeh 🤗🤗

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 5 měsíci

    TATA NYINYI WANAWAKE MNAMENGI KUJIDANGANYA KWA KIMWLI FAKI USHETANI KIMAVAZI MNATAPAKA SANA MPAKA MUNAMKERA ARAMAN RAHIM 😈😈😈❌❌❌❌

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 5 měsíci

    Dada uislam hakuna talaka ya mahakama

    • @mariamswalehe3312
      @mariamswalehe3312 Před 5 měsíci +2

      Ipoh talaka ya serikali ukishapewa talaka ya dini unaruhusiwa pia kuomba talaka ya serikali kwasababu kuna document lazima uwe nazo bila hivyo kuna vitu vya kiserikali vitakusumbua baadae

    • @mariamswalehe3312
      @mariamswalehe3312 Před 5 měsíci +1

      Talaka za kidini ya kiislam ni rahisi hata akikutamkia siyo mke wangu tayari ni talaka kwahiyo unakua Huna ushahidi kama ❤uliachwa

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Před 5 měsíci

      Ipo talaka ya khuluu

    • @mariamswalehe3312
      @mariamswalehe3312 Před 5 měsíci

      @@asiakheir8684 iwe umeandikiwa talaka na aliyekuwa mume wako au umedikului(kujivua) wewe mwanamke. Kujivua ni wewe mwanamke kurudisha mahari ya aliyekuwa mume wako. Vyovyoye kati ya hayo kupewa au kujivua bado unaruhusiwa kwenda mahakamani kudai talaka ya serikali. Cheti cha ndoa kinatambulika na serikali hivyo una haki ya kudai talaka ya serikali. Na hii ieleweke itakusaidia kwenye mambo ya kisheria ya serikali

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

    Mdangaji tu wewe,,,,,