Yanga 1-1 Al Hilal | Highlights | CAF Champions League 08/10/2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 10. 2022
  • Fiston Mayele amefunga tena kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika, Yanga ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Hilal Oumdurman ya Sudan, kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Goli la Al Hilal kwenye mchezo huu limepatikana kutoka kwa Mohamed Yousif ikiwa ni takriban dakika 15 baada ya Yanga kutangulia dakika ya 51.
  • Sport

Komentáře • 465

  • @weely007
    @weely007 Před rokem +7

    For Yanga fans you have very good team greeting from sudan hilal fan 👏

  • @mwaulambo
    @mwaulambo Před rokem +8

    Tupo vzr Yanga Bahati haikua yetu. Uwezo wa kushinda 2nd leg tunao. Daima Mbele 💚💚💛💛

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +8

    Jamani wana yanga tuwe na shukran wachezaji wame jitahidi haki👏👏👏

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Před rokem +9

    Ushabiki tuweke pembeni yanga wako vizuri sana what a nice team

    • @khadijasobo4088
      @khadijasobo4088 Před rokem

      Ukiumwa na choo hata kama kigumu utajikakamua kitoke ili ukae kwa amani nazani umenielewa

  • @mohamedboko1973
    @mohamedboko1973 Před rokem +12

    Yanga wameupiga mwingi sana bahati haikuwa yao. Naona wakipata matokeo mazuri Sudan

  • @ahmedboosha4364
    @ahmedboosha4364 Před rokem +8

    Young is a good team, but Simba is better, more organized, solid in defence We faced Simba amonth ago Friendly in the cemetery (Al Hilal Stadium) and we won with difficulty with a single goal.... Greetings, appreciation and respect to all Simba fans who supported us and we will make you more happy in the cemetery match☠️💙💪🏻

    • @superwarema2309
      @superwarema2309 Před rokem

      You gonna lose on your home ground unless you plan to play rogue.

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Před rokem +1

      @@superwarema2309
      😂😂😂😂😂😂😂😂😂
      you are dreaming
      Why we don't lose on ur land and in the midst of ur audience!!! Did you know despite the positive result, but in Sudan we consider that Al Hilal lost!! B,c the match was easy for us.
      Believe me, you don't realize the strength of Al Hilal, nor even the ferocity of our fans inside the cemetery (Al Hilal Stadium) ur team is good at the you local level only, but you have given up to the great African teams....
      We are waiting you in the cemetery☠️💪🏻

  • @joebiggs3311
    @joebiggs3311 Před rokem +4

    7 new players for Alhilal mashaaAllah , they only played together 4 games and 4 friendly games , so by next year when they play with eachother well and understands eachother better , and all the players come back from injuries man Alhilal will be a great team InshaaAllah.

  • @user-ei9ht6jd4k
    @user-ei9ht6jd4k Před rokem +1

    Asante Sana from Sudan 🇸🇩 I love Tanzania ❤

  • @zakariaathman9019
    @zakariaathman9019 Před rokem +10

    Mchezo ulikua mgumu ila mtamu wamejitaidi wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @mosama8301
    @mosama8301 Před rokem +8

    Yanga survived a big defeat. Alhilal played a perfect tactical game.

  • @gemandorobo1536
    @gemandorobo1536 Před rokem +6

    Yanga wamecheza vzuri sana,ndo hivyo bahati haikuwa yetu

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 Před rokem +7

    Mpila ambao young anacheza hv sasa yani sioni mpinzani kwenye league wakumsumbua

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před rokem +14

    Morison anahaki ya kusifiwa leo, amefanya kazi kubwa sana ya kutafuta magoli na kuwapasia wenzie. what a player!

    • @nadrahassan5241
      @nadrahassan5241 Před rokem +1

      Sana👏👏👏 maskin nakaumia 😢💔

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Před rokem +1

      Mm kiukweli mm ni simba damu ila kwangu morrison mmoja ni aziz ki watatu without any doubt

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi1191 Před rokem +7

    Morisoni ni hatari sana ila Yanga haikua bahati kwao wamejitahidi sana

  • @Tomorrow32
    @Tomorrow32 Před rokem +3

    El-Hilal is a big team.
    They should've won that game.
    Young Africans are out.

  • @lightnesschrispine2446
    @lightnesschrispine2446 Před rokem +7

    Na kocha alikosea Sana kucheza na kibwana hadi mwisho. Upande wake ndiko walikuwa wanapitia sana

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 Před rokem +5

    Fei acheze juu tu,aziz atokee pembeni,fei anatoa option ya kushoot nje ya box accurately

  • @pastorphil4124
    @pastorphil4124 Před rokem +4

    Yanga big up,you have done great ni muda tu mtafanya vizuri

  • @charles5633
    @charles5633 Před rokem +7

    Tuombee timuyetu yanga wachezaji wetu watatuonyesha maajabu jamani

  • @officiallcoolest_khid3223

    NEVER GIVE UP YOUNG AFRICANS 💪

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Před rokem +1

      Hhhhhhhhh
      Ok commmm on
      We will waiting for you💪🏻💙
      Big thank to simba fans❤️❤️❤️❤️

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem

      UTAONGEA LUGHA ZOTE LAKINI KWISHA HABARI YENU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@ahmedboosha4364 YA ZOOL NIKHUM NIKHUM 5 SUFUR 🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍👍👍👍

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před rokem +2

    Yanga mnajisahau kumuwekq mbele mungu ktk maneno yenu baadhi ya uongozi mungu ndo kila kitu lazima mseme mungu akitujaliya tutashinda mechi sio kusema iwe mvuwa iwe juwa lazima hii sio kauli njema

  • @suzancharles1639
    @suzancharles1639 Před rokem +8

    Nilikuwa nmechukia ila mpira umechezwa bwana hongera yanga mmejitahidi sana

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 Před rokem

      Safi sana mpira tunaujua bwana mapungufu ni machache

    • @leylaedward1785
      @leylaedward1785 Před rokem

      @@suzancharles1639 pkkkkkkkppp

    • @leylaedward1785
      @leylaedward1785 Před rokem

      @@suzancharles1639 mm

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@suzancharles1639 KWISHA HABARI YENU OUT 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@leylaedward1785 MCHOKOZI WEWE UNA BALAA WEWE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salihharoun5586
    @salihharoun5586 Před rokem +3

    I'm Sudanese I respect Tanz people a lot I was in touch with them specially the Tanz army which was in Darfur for peace keeping they are very hospital and noble I used to have good relation with their respectable officer and the way they treat Sudanese and give help.Hope prosperity and development for their country.
    But when it comes to football frankly Simba is famous and known here.For Yanga coming match in Sudan guys you will suffer ..Al hilal is a destroyer.

    • @shaksay5591
      @shaksay5591 Před rokem +1

      You are so fun bro...😂😂🤣 Waiting...🤭 you'll regret your words... 🚫 Young Africans is champion always is champion...💪 Knows that Unbeaten team from now...⚡keep it in your mind...🧐 YOU'LL REMEMBER ME...😋

    • @charles5633
      @charles5633 Před rokem

      Tusikate tamaa wananchi bado uwezo wakuwapiga Kamangoma tunayo kwani kilasababu yakufanya hivyo tunayo emungu ibariki yanga 🇹🇿

    • @shaksay5591
      @shaksay5591 Před rokem

      @@charles5633 Aaaamiiin

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Před rokem

      @@charles5633 ما عارف انت كاتب شنو لكن الشباب حياخذ 3/0

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Před rokem

      @@shaksay5591 in champion league Yanga is not known its a domestic team u will see hell on 16thin the cemetery where Yang'a will be buried a live

  • @ouattaraadama238
    @ouattaraadama238 Před rokem +2

    Aziz ki 🇧🇫🇧🇫❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @belvineisutsa3667
    @belvineisutsa3667 Před rokem +2

    Nice one mayele😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @aliadlan121
    @aliadlan121 Před rokem +2

    A positive result for Al Hilal Club, there is another round that needs a lot of work

  • @mathiasulaiti5665
    @mathiasulaiti5665 Před rokem +10

    BINAFSI NAONA NAFASI YA KUSONGA KWETU NI KUBWA KULIKO INAVYOZUNGUMZWA

  • @yasinsalih592
    @yasinsalih592 Před rokem +4

    As an Alhilal fan I can say it was a good game and I really enjoyed watching it. We’ll see you in The graveyard where the lions bury their victims.

    • @kelvinmtavangu7701
      @kelvinmtavangu7701 Před rokem

      As a Young African Fan, yes we enjoyed a Good Game. However, Yanga can overton the table, the unbeaten for 43 strong matches. The next 44th to be witnessed by fans at Sudan. Katibu sana.

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Před rokem

      Yanga outside Tanzania is very weak team they play only in front of their fans

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 Před rokem

      You depends on things out of the pitch, harassment to opponent is not sportsmanship

  • @shaibrahramadhan1434
    @shaibrahramadhan1434 Před rokem +3

    Yanga wamecheza vizur bahati tuuu

  • @asfiwemkumbwa5520
    @asfiwemkumbwa5520 Před rokem +3

    Mimi binafsi naona wamejitahid sana muda huu huenda tungepigwa 4 bila kuna improvement ya team yetu tuendelee kuwapa muda na kuwapa iman zaidi wataweza tu we sitll love u 💚💚💚💚💚💚💚

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      KWISHA HABARI YENU OUT 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Před rokem +3

    Forever young 💚💛

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 Před rokem +2

    Yanga tumeshaaga mashindano haya labda itendeke miujiza ya Mungu

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 Před rokem +6

    Bado,tuna 75% yakushinda tukienda kwao,amini ninachokuambia, wachezaji wetu wamejitahidi sana,

    • @mbesinghabi1994
      @mbesinghabi1994 Před rokem

      Al Hilal wapo objective wanacheza kikubwa
      Shot on target
      Yanga 3
      Al Hilal 6

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 Před rokem

      Al hilal wana asilia ngap 😂

  • @yousifmohamed1388
    @yousifmohamed1388 Před rokem +1

    Al-Hilal decided the game and sent the youth to the Confederation, good luck

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 Před rokem +7

    The problem that facing Young Africans (wananchi) is lack of International Friend Matches, by having many various games they got experiences, tactics, etc

    • @abdulwaheedmzury351
      @abdulwaheedmzury351 Před rokem

      Usijiongeleshe kizungu ili waarabu na wazungu wasome ili wawaonee huruma waone kua nyie ni team kubwa Sema Hamna experience na mechy zakimataifa we acha kujitetea mbona simba tulipitia msoto kaza braza😂😂😂

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 Před rokem +11

    Jamani acheni uongo yanga imejitahidi ila beki hatuna

  • @yesutuatosha1460
    @yesutuatosha1460 Před rokem +11

    Umecheza vzr mtani sema Bahati haikuwa upande wako, punguza papara tulia ugenini kacheze kwa kujilinda vzr, alhila hawana maajabu uwezo wa kusonga mbele mwananchi upo. Wachezaji wamefanya Kazi kubwa sana.

  • @mwajumaabdallah3254
    @mwajumaabdallah3254 Před rokem +5

    Wamecheza vizuri yanga,bahati mbaya tu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      POLE KWISHA HABARI YENU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jakwarsudan1959
    @jakwarsudan1959 Před rokem +2

    Welcome in omdurman welcome in grave champions am waiting you yangs

  • @chockmaumba676
    @chockmaumba676 Před rokem +5

    Tunapiga kwao

  • @rhodaephraim8606
    @rhodaephraim8606 Před rokem +5

    Yanga wamecheza boli nyiee anaebeza ni mchawi😅

  • @gabshawi
    @gabshawi Před rokem +2

    Greetings to Simba fans for their support for Al Hilal team 😍
    Al-Shabab Club was lucky with this result

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 Před rokem +5

    Tukiangalia mchezo ki ujumla, kipindi cha kwanza al hilal, walikuwa wanazuia sana, kuliko kushambulia,kipindi cha pili walianza kufunguka,ila ukweli kuna wachezaji walikosa ubunifu,mfano aziz ki,hakuwa na movements zozote za hatare kwa wapizani,wachezaji wetu hawakuwa aggressive wakati tuna shambulia,eneo la kiungo,aucho kacheza vizuri sana ametimiza majukumu yake,back line yetu haikuwa vizuri ilikuwa na makosa mengi sana, ni kukosa umakini tu wa wachezaji wa al hilal, tungeweza kufungwa goli zaidi ya mbili,.Mpira bado haujaisha kuna dakika nyingine za kucheza away,japo kama back line yetu haitabadilika tunaweza kufungwa goli nyingi zaidi,

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Před rokem

      yanga walikosa goal ngapi?

    • @najytv2294
      @najytv2294 Před rokem +1

      @@shafiismaily9223 Swali zuri sana hili, Watu wanashindwa kuangalia pande zote, kwa mchezo ulivyokua mimi nimeona ni mungu tu hakutaka tupate ushindi mnono lakini mchezo ulikua wa kiushindani sana, Kila mtu amefanya kutokana na nafasi yake, Amemzungumzia Azizi Ki, Swali la kujiuliza Aziz Ki amepiga mipira mingapi kipa amecheza, Ukiondoa yeye ni nani mwingine alipiga mipira kama hiyo?, Kama Al- Hilal kwao wataenda kucheza mpira kama huu, Kswao wanaenda kupasuka

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Před rokem +5

    Yanga bado ana nafasi ya kushinda khartoum japo ni ndogo.. Kikubwa ni kua hawa al hilal wanafika sana golini kwa uto. Nabi akiangalia namna ya kuzuia hio mbona wanafungika hawa

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 Před rokem +8

    Yanga timu tunayo, tumekosa magoli matatu au ma nne ya wazi kabisa

  • @hidayamakuka7876
    @hidayamakuka7876 Před rokem +1

    Matumaini Bado yapo pamoja nanyinyi yanga .Mungu yupo nasisi

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před rokem +5

    Hiyo offside ya Mayele ingekuwa bongo angeweka Kati Ila jamaa wako makini

  • @bnttv8955
    @bnttv8955 Před rokem +4

    Tunatobolea kwao bila shaka

  • @charleschagu7818
    @charleschagu7818 Před rokem +6

    Tuko pamoja na yanga mpaka watolewe

  • @happyathanas2454
    @happyathanas2454 Před rokem +12

    Chance yanga wanajua kutengeneza sasa wapate namna yakutengeneza concetration kwenye box area watapata magoli mengi kwasababu kona walipata nyingi na faulo za mbele ya lango timu kubwa hua zina pambania sana

  • @worldstartz
    @worldstartz Před rokem +9

    wamecheza vizuri yanga sema bahati na beki ya kati kunashida kidogo tu

  • @rajabuathumani1586
    @rajabuathumani1586 Před rokem +3

    Tatizo mayele gol moja unashabikia Kama ndio umemaliza gem

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem +2

    Goal keeper wa alhilal

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 Před rokem +7

    Daima mbele nyuma mwiko kila kitu kina wezekana sina uwoga na Yanga tuta vuka tu kwa nguvu ya Mungu

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před rokem +3

    Mayele apunguze uchoyo, sio lazima yeye tu ndio afunge🥺

  • @bobrona9765
    @bobrona9765 Před rokem +2

    yanga bahati sio yetu

    • @suzangregory6431
      @suzangregory6431 Před rokem

      Asilimia 75 tutashinda kwao

    • @bobrona9765
      @bobrona9765 Před rokem +2

      @@suzangregory6431 kocha akiweka kikosi cha ushindi mapema na wachezaji wa wakipewa motisha na wakitulia kwenye maamuzi yao,,tukiongeza na fitna zaidi za nje ya uwanja ushindi upo asilimia mia kipindi cha kwanza tunatakiwa tushambulie hari na mali,wataogopa..

    • @suzangregory6431
      @suzangregory6431 Před rokem

      @@bobrona9765 mungu atuone 2

  • @paulmasilu1325
    @paulmasilu1325 Před rokem +4

    Wana yanga tutulie lazima apigwe mtu kwake 2 bila💪💪

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Před rokem +3

    Morison hakutaka kushangilia alitaka waende kati chap

  • @placidiatibanywana7144

    Aiseee,

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Před rokem

    Hens vizuri sana

  • @yussufmashaka8895
    @yussufmashaka8895 Před rokem +1

    Nice

  • @omarkibwanabaluna2410
    @omarkibwanabaluna2410 Před rokem +5

    mpira ulikua kwa yanga but haikua rizki

  • @user-mq1zq7kb7n
    @user-mq1zq7kb7n Před 11 měsíci +2

    Nataka tena kiona makabi lilepo

  • @happyathanas2454
    @happyathanas2454 Před rokem +7

    Udambwi unafanya mchezo uwe poa lakini isikupe kusema umeweza next time udambwi utoke nyavu zichakazeni morison katengeneza chance nyingi sana

  • @Mykiss22
    @Mykiss22 Před rokem +6

    MM NI SHABIK WA SIMBA, LAKIN IBENGE BADO AJAMUWEZA NABI MCHEZO UNAJIONESHA WENYEW, YANGA NI TIMU NZURI, UYO MAYELE, AZIZ NA MORISON NI HATARI, NINAAMIN WATAPATA MATOKEO KWAO, YANGA WAMEUPIGA MWINGI SANA APA

    • @kelvinmtavangu7701
      @kelvinmtavangu7701 Před rokem +1

      UPO SAHIHI SANA,!! Kwanza Yanga walitaka kumajili Ibeenge. Akatumia Fursa hiyo kuwasoma. Leo amekuwa adui. Tuwaombee Simba pale Angola.

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem +3

    Wazee wasifa tim linapenda kusifiwa kama mtoto wa kike ukitaka kugombana na utopolo kosoa tim lao. Ukiwaambia tim yao namba moja barani Africa wanakubali wanafurahia walivyo mazuzu ndio maana yule kocha alisema Mashabiki wa yanga wapo kama manyani tu .

  • @ouattaraadama238
    @ouattaraadama238 Před rokem +3

    Mayele ❤️ Aziz ki ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před rokem +3

    Mgen on taget 6 mwenyej on taget 3 duh~~~SASA NANI ALIKUWA ANAWIITAJI WA GAME HAPO

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před rokem +2

    Yanga wamezingua sana

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Před rokem +1

      Sanaa nimeumia yani huku Qatar wasudan wanitukana sana sina raha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@jumakassim8718 SI UNATAKA SIFA KWANI LAZIMA UWAMBIE WEWE NI UTOPOLO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mellanieekuwam3448
    @mellanieekuwam3448 Před rokem +1

    Haikua rizki yetu Wana yanga ila sisi ni Bora sisi ni yanga Africa

  • @elastotilia8891
    @elastotilia8891 Před rokem +6

    Fiston apewe eshima yake

  • @christinaalloyce5316
    @christinaalloyce5316 Před rokem +1

    Yanga mamae hakuna bahasha hapo nikupambana nimependa matokeo hayo safiiii.

  • @ahmedboosha4364
    @ahmedboosha4364 Před rokem +4

    Don't underestimate the again 😏🤫⁦✋🏻⁩Your team is good, but learn to respect your opponents, b,c you really don't realize the ferocity of Al Hilal when provoked... Even Al-Ahly of Egypt knows that well

    • @emmanuelmtunda1668
      @emmanuelmtunda1668 Před rokem

      Nikweli Simba ni wabovu Ila ndiyo wanao ongoza ligi kuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@emmanuelmtunda1668 ALIEKWAMBIA SIMBA WABOVU NI NANI??? ASHURA CHEUPE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Před rokem +3

    Morison kipenzi cha washabiki wote simba na yanga

  • @martialartsskillsaroundwor3571

    Yanga wanawazaga Derby tu Hakuna kitu ikicheza kimataifa

  • @decodesttz
    @decodesttz Před rokem +5

    hawa tukifika kwao nikujilipua tuh wao watalinda kwasabab wana goal laugenin kwahyo n moto tuh hawa wala hawatup presha

    • @tungaraza7794
      @tungaraza7794 Před rokem

      hata wasipolinda ni kwenda mbele tu hakuna cha kupoteza

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem

      Unajilipua kwa wings hizo zenye mapafu ya mbwa ndani ya dakika 15 Yanga itakuwa imehakula 2-0

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před rokem

      Hao sio mtibwa ndugu

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Před rokem +16

    Ibenge alikuwa kila akija anafikia YANGA Sasa Leo uchawi na mbinu alizofundishwa na YANGA anazitumia dhidi ya YANGA hiyo hiyo! Uchawi upo!😂😂

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada Před rokem +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kassimsaid3452
      @kassimsaid3452 Před rokem

      Una

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Před rokem

      Hakuna tim lenye tabia za kijinga kama tim hili mara wapokee wageni mara wamchanie shabiki jezi mara wampe mbinu ibenge Kama tim ya visheta haya endeleeni kumpa mbinu huyo ibenge si alikua Rafiki yenu au sio ? Viongozi na Mashabiki akili zinawiyana. Pia endeleeni kuipamba na kuisifia tim kubwa barani Africa namba moja barani Africa kachukua ubingwa wa Africa mara 9 hoo imewekeza kuliko tim zote Duniani vuneni sifa mlizopewa haaaahaahaaaa wazee wa mdomo mrefu kama chupa.

    • @saluximperialeagleofficialrdc
      @saluximperialeagleofficialrdc Před rokem

      Amna kk ibenge Africa 🌍 apa mfahi labda ulaya tu

  • @lightnesschrispine2446
    @lightnesschrispine2446 Před rokem +3

    Bado nafas tunayo, ni bahati tu haikuwa yetu ila Kama ni mpira tumecheza kwa kiwango Cha Hali ya juu Tena ukiangalia na timu yenyew si ya kitoto

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Před rokem +8

    Ukiwaangalia vizuri Al-Hilal ni kama vile wana kitu cha ziada lakini hawakutaka kukitoa mtakuja kunielewa mechi ya marudiano.BM3 mtu na nusu kajitahidi sana kuwatengenezea nafasi

  • @WasomiOnline
    @WasomiOnline Před rokem +2

    Hizo ni hasara za ushindi wa bahasha.

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Před rokem +9

    Af mbna wachuma2 hawa waxomar kwayanga aminini 2tachowafanya apo kwao af makolo mkae kimya

    • @stevefuraha7550
      @stevefuraha7550 Před rokem +1

      Uje uniite Ashura mweupe, ukienda kutoboa kule

    • @fatmaaboubakar6251
      @fatmaaboubakar6251 Před rokem +2

      @@stevefuraha7550 usijiapize sana huunimpira

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před rokem

      @@stevefuraha7550 HHH asant 🤣🤪

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      ANGALIYA YAKO KINYESI WEWE UMESHATOBOLEWA MBELE BADO NYUMA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@stevefuraha7550 NA HUKO ATATOBOLEWA TENA 3 BILA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před rokem +4

    Mayale kakosa mbao nyingi sn

  • @ansifridmkongoja3337
    @ansifridmkongoja3337 Před rokem +2

    Mapungufu madogo tu kwenye beki line hasa wakati wa counta ila tuko vizur

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 Před rokem +3

    jamani hii timu ni ngumu sana yanga wajipange kosa ni kutowafunga kipindi cha kwanza na baada ya kupata Bao la kusawazisha wakaona kumbe hata ushindintunaweza majamaa haya marefu yana mbio
    kosa jingine la yanga pale mbele ni uchoyo wa pasi mayele siyo kila wakati funge yeye aone morrison anavyotoa pasi mpenyezo

  • @amashakigelulye7632
    @amashakigelulye7632 Před rokem +1

    Michezo mzuri but draw ya 1-1ni mbaya kwa yanga kuliko draw ya kutokufungana

  • @faustinemabula82
    @faustinemabula82 Před rokem +2

    Molson unaujua mpia,lakin fanyen maelewano dhabiti hapo mbele mnaonekana kutoelewana nyema mnakua na ulafi kwa kila mmoja

  • @shalifmbalale2906
    @shalifmbalale2906 Před rokem +3

    Aah kumbe na huku Kuna mzamiru yahsin??😎😋

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 Před rokem +3

    Diarra umetuokoa sna big up kwako

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td Před rokem +3

    Mayele Kagonga Goal qalii,,,ila tatizo Yanga Kipindi Cha Pili baada Ya Kuongoza Kama Walipoteana Safu ya Ulinzi Hususa Upande wa Kushoto,,,,ata Mkitoka bado mna nafasi Shirikisho watani

    • @fabrisiowissa692
      @fabrisiowissa692 Před rokem

      sidhani Kama uchambuzi wako upo sawa,nadhani uchambuzi ni taaluma unaonaje Kama unaipenda ukaitafute?

  • @medonedo7804
    @medonedo7804 Před rokem +1

    سمبا عندو حارس مرمى على مستوى

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 Před 11 měsíci

    Daaaaa mayeleee kaondokaaa kweliiii

  • @asyashariffu7717
    @asyashariffu7717 Před rokem +7

    Mpira mkubwa san kutoka kwa yanga ila wamezidiw kimaarifa sn....gemu inayokuj wajitahd wacheze mpra mkubw na maarfa yakutosh...yaan mpra ukiambatan na akili ..WATASHINDA

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Před rokem

      Kaka kila mtu akifika kwake akili zinaongezeka wale al hilal wanajua haya mashindano ukifika uwanjani kwa mwenzako unatakiwa utafute suluhu tu ushindi ni kitu cha ziada ngja yanga wafike ule uwanja wao wataona maana al hilal kushinda goli hata moja uwanjani kwao sio rahisi ww fatilia mechi zake

    • @erickulomi2105
      @erickulomi2105 Před rokem

      @@omaryhajji1393 Time will tell

    • @mozaally7447
      @mozaally7447 Před rokem

      Nyie ..vp kuhusu Ile karatas ya Nabi. Badala kumpa mchezaji anaenda yy! Hahahha

  • @inocentgalinoma9544
    @inocentgalinoma9544 Před rokem +2

    Mashabik wa Yanga washamba kwer...sasa chupa za maji za nn....uwanjan....

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 Před rokem +5

    Mtani kajitahidi

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Před rokem +1

      Tatizo mashabiki wengine wana lawama sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před rokem +1

      @@jumakassim8718 KWA NINI WASILALAMIKE NA MMESHATOLEWA????

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Před rokem +3

    Bado ipo shida kwenyw beki ya yanga

  • @badmeetsevil7643
    @badmeetsevil7643 Před rokem +3

    Screen protector ime vujinka Leo hahahha

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před rokem +1

    Waskilizeni simba mungu kwanza ndo mana wanafanikiwa

    • @decodesttz
      @decodesttz Před rokem

      😃😃we kwel ndez nakule yale mapaka ndomungu dah

  • @elizabethizack5297
    @elizabethizack5297 Před rokem +1

    Kila siku sio sikuuuuuu poleni

  • @alhilali2164
    @alhilali2164 Před rokem +1

    💐💪💪

  • @sophiakipesile7719
    @sophiakipesile7719 Před rokem +4

    Kilichotokea kimeshatokea na kinaweza kutokea kwa timu yoyote kufunga si ubora wa mchezaji bali ni idhini yake Mola kumruhusu kufunga na ndio maana hata jana Chama alikua afunge akaishia kushangaana kupiga mpira goti likewise zimbwe junior aliunawa mpira kana kwamba ni kipa akawapa fursa wapinzani huu ni mchezo tu kama yanga ina nia lazima njia itapatikana kwa idhini yake Mola na kila kilichotokea ni kwa idhini yake Mola hamna jipya hapo timu kuba yenye uwezo wa vijana bado haileti matokeo sio jambo la kushangaza kikubwa ni kuwapa support wachezaji panapostahili nae Mungu muweza ataamua yake kumlaumu coach wachezaji kuhuzunika haisaidiii bali ni kujirekebisha palipokosewa na kusonga mbele kumtanguliza Mungu Penye nia Pana njia tu hata iweje

    • @athumanimgumia7209
      @athumanimgumia7209 Před rokem

      Naaam hapo umenena, Maana tumeshambulia, na tumewakosa magoli ya wazi na possesion yetu ilikua 62.

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 Před rokem

      🙏👍

    • @robertnoel5232
      @robertnoel5232 Před rokem

      Naona mmeiacha kauli yenu kufur "Iwe Jua iwe Mvua"

    • @sophiakipesile7719
      @sophiakipesile7719 Před rokem

      @@robertnoel5232 kauli itabaki kua kauli kwani ni jinsi ya kujipa confidence nakumbuka so far mlikuwa na kauli za kufuru kipindi cha nyuma kidogo ila hamkuona kuwa ni kufuru