Highlights | Yanga 5-0 Zalan FC | CAFCL - 17/09/2022
Vložit
- čas přidán 16. 09. 2022
- Tazama mambo yalivyokuwa Yanga SC ikiichapa Zalan FC 5-0 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)
Magoli matatu yamefungwa na Fiston Mayele na mengine yamefungwa na Farid Mussa na Stephane Aziz Ki - Sport
Wanainchi tujuane basi apa 💚 like kwa Yanga 💚💚💚 much love from USA 🇺🇸♥
🇺🇸🇹🇿
Huyu Aziz k Ndo Man Of The Match Kwa Upande Wangu he such a baller aiseee
Bila pingamizi 🔥🔥🔥🤙🏿🤙🏿
Kwa kukosa magoal y wazi labda
Nakupinga ni faridi
Chamaaaaaaaa!!!
@@djgthehotstepper 👑
Mungu Asante 💛💚💛💚 tusimamie Mungu Kila sehemu 💛💚💛💛💚💚
Azizi Key hilo turn sijawahi kuiona ligi ya Tanzania na Africa.Mamaaaaaaaa.Zidane level
Nyota kutoka wagadugu Stephanie Aziz ki💪
Aziz ki fundi kweliiii kweli🔥
من جمهورية السودان اقدم لكم تحياتي.. فريق الشباب فريق كبير ومحترم وله اسلوب جميل وممتع كنا نحن كسودانيين نتمنى ظهور فريق الشباب في دور المجموعات ولكنه اصطدم بالهلال نتمي لكم التوفيق انتم شعب جميل ورائع وجمهور راق
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 l love you yanga mnanikosha hatar naskia rahasanaaaaaaaaaa
Alhamdulillah tumepat ushind💚💛 Bismillah Masha ALLAH 🥰
Ahsante Azam TV kutuletea highlights kwa wakati 👏👏👏🤝
Unaweza kusema Zalan Dhaifu ila ukikumbuka kipigo cha Mayele FA unabaki kimya...
Yanga Bingwa 🏆🏆🏆🏆
Congole kwa kipa wa zalan🙏🙏
mayele ni hatare sana, yanga raha
Jamn japo tumewafunga 9 ila huyu kipa ni nomaaaaa🙌🙌🙌🙌 ASANTE MUNGU YANGA OYEEEEEE💚💛💚💛💚💛
Nikweli hamida uyu golikipa ni shujaa wao wangelow ishirini leo
Ni kweri kabisa Hamida, namuona kwa mbariii uyo kipa, muda simlefu atasajiliwa geita.
Jamn hamida mbona ivo rakini, mwenzio naumia
@@enockabumba7513 Anajua sanaaa🔥🔥
@@hamidayanga8224 kabisa mpnz
Yanga tamuu💚💚💚💚💛💛wa kwanzaa kucomment
Hamna lolote kitimu mlichokutana nacho kibovu Sana
We acha tu mamy yani ni firee
Maneno ya mkosaji ayo yan amuishiwagi maneno yakusema yanga ikishinda
@@eneakayange7588 mbona hata wewe tulikupakata
@@eneakayange7588
Nawew nimbovu wetu vilvil
Mayele and Halaand next kings football
Acha kufananisha mtu mwnye akili n chzi
Mayele sijutii kukupenda 🔥😍🤣👏, MUNGU akulinde na mabaya 👏
yanga is really playing nice football. This might be our year in the continent.😎
Makolo Karibuni kutazama Highlight Yetu 😂😂😂
Mayele mayele mayelee aaaaa ndo uyo uyoo
Wamefungwa Zalan wanaoumia Makolo, Bongo bhna! 😂😂
Hahahahaha mara wanasema tumekutana na timu mbovu yani hawajawahi kuridhikaga na ushindi wa yanga. Wivu tu umewajaa.
Mayele na wenzake walijisahau wakajua wanacheza na makolo ndo kilichowakuta
@@hope_jr Umeon eeh 😂😂
@@porousthedon650 Aloo 😂😂
Msameheni jamani 😅😅😅
Navoipenda yanga yangu 💚💛💚💛💚💛🤸♂️🤸♂️
Makolo wanatamani kusema tumepiga bomu mochwari lakn wakikumbuka tulivyowafanya wanabaki kusonya tu
lomalisa nimemkubliii kwa cross na kuchopu mipira💚💛
Sema ushindi wamepata yanga lakini bado yanga wanashida ya kutumia nafasi yani sio makatili wakiwa na goli utulivu hakuna nafasi alizopata mayele leo angeondoka na triple hatrick kabisa kuna umuhimu wa kuwa na kocha wa washambuliaji awapesomo washambuliaji ukikutana na timu Bora Africa chance unazipata chache sana na unatakiwa usifanye nakosea ni hayo tu asante
Ni kweri kabisa kiongozi
Kwel mmenifurahisha yanga sanaaaaaaaaaa
AKOT AKOT NAMUONA MBALII AKIJA HATA GEITA KUNA TEAM ZITATESEKA
Huyu kipa🙌🙌🙌
Dah wa kwanzaa mimi🥰💚💚💚
Goli la farid mtangazaji anakuambia kiiingiii ngiiii mwamba huyu hapa😂 unajua juma khan katuaribia walimwengu kinomaa yaa eetie mwamba huyu hapa😂😂😂 ila yanga tamu jaman daaah
Inshallah mpaka turud na kombe la mabingwaa africaa 🤲🤲
Kabisa my dear, yanga daima mbele nyuma mwiko.
Aamin
Mnaota
Duah
Kwel
Mtetemo ni swala la kitaifaa 💚💛💚💛😂😂😂😂
😂😂
yanga respect for you
Kweli ni Mayele jina la magoli congrats Yanga Africans
Hongera sana yanga kuishinda timu yenye kikomo kikubwa sana Afrika
Hatareeee💚💛💚💚💚💚💛💛💛💛
Yeyote atakaecheza na yanga msimu huu lazima aonekane kibonde
Mambo nimoto.Yangaaaaaa yanguuuuuuuu
MAYELE Yule msee
Mashabiki wa Simba Mna Wivu wakupindukia . Kushinda kwa Yanga Team langu. Nyote Mna kwazika na Wakati ni Team La nyumba . Watanzania mna hupendo wa mdomoni tu ila ndani wanafki. Kwa Champions League akuna Team ndogo.
THE BEST TEAM
Mechi hizi ndizo zilizotuzuia kumuuza MAYELE South Africa. Waliotulaum sasa wanaona tulichokitaka
Asante sana wachezaji kwa kutupa furaha
💚💛mechi tam Sana..💛💚
Hiyi yanga itasababisha naachika jamani mniombeye
Achika tu me nipo🤓
@@japhetadelard9465 Waoh Ahsante🥰😋
Msiachane kwa jina la Yesu
Yani hadi laha,sijutii kuwa shabiki wa yanga uwiiii.
Lakini yanga hii atari kabisa!!!!!!
Kuna timu iliwai kupigwa goli tano Kama hizi mahala wakaenda sehemu nyingine wakapigwa tano Tena 👹🤣
Forever young 💚💛
Napenda yanga yanga tamu
Yanga safi sana hatareeeee
Naishabikiya yanga nikiwa DRC durba
Hongera uku tz huyu mayele anatupa raha kupitiliza
Tokosi
Nikiwa Qatar Kwa warabu nasema mayeleeeee 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Congratulations to yanga 💚💚💚💛💛💛
Nataka jezi na mimi 😘😄😄
Siku ni chache Mayele anaondoka Yanga kwenda Ulaya
Yanga yam
Yanga Tamu
MashaAllah
Kipa kajitahidi sana
Daaah IH team mbov San walitumia dakika 20 kuatemt golin kwa yang
💚💛💚💛💚💛👏👏
Nice 🔥🔥🔥
Team mbov San yan imepiga shut 1 mda wote wanacheza yang AF wat wanatok mbele kujitamba
utaelewa kama yanga mbovu au nzuri mechi round ya pili
@@mathiasulaiti5665 nikwel mech yapil nikipimo sahh so IH mech niwaz wapinzan hawakuwa vizul kak iyo IPO waz m naeshim magol yamefugwa mazul lakin mpinzan hawez kabisa at kupunguza mashambuliz
Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Bado tunakumbuka mechi hizi ya kipigo kizito kimataifa yanga bama
Sijawai ona timu mbovu kama hii Zalam
Imeisha iyo
44 ona trending
I love yanga❤️❤️❤️
hhahaahahahhahahahahahahaha
YANGA OYEEEEEÈEEEEEE
Oyeeeeeeeeeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga hii haitofautian saaaana na PSG
😂😂😂😂
Yanga ninoma
Yanga wakishinda goli nyingi makolo wanasema team waliyocheza nayo mbovu .ila wao wakishinda wanasema wao ni bora zaid kumanyoko zenu ..... sasa mtu anirudishie nakuroga ukufe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahah 😂🤣😂🤣😂
USIKU WA LEO NIMEOTA "UTTO UNITED" WAMELIWA TATU UGENINI, HALAFU BONGO WAMETOKA SARE SARE
TFF igeni hili wakati wa picha ya pamoja makeptain wawili na marefa hatujaona msimamizi wa mechi akiwa na suti yake apo inatuchefua sana tukiona mtu na suruali lake akipiga picha wachezaji badilikeni TFF
Kituo kinachofata ni alhilal kutetemeshwa
I love you yanga
Nice young africans
💕💕💕💕💕🥰🥰🥰🥰
King ni mmoja tuu Mayele ...Makolo mnapata taabu,kama mnasema tumecheza na timu mbovu...mleteni tena mzungu...hahahaaaaa
Yanga tamu bhuana
Basi bwana dunia ndo hii🗣️
Fimbo n fimbo tu hata ukiwa ndogo inachapa
akot akot Ni mchezaji mzuri basiii TU yaaani
lifee
NYIE MAKOLO ACHENI UNAFIKI ZALAN INGEKUWA TIMU MBOVU ISINGEFUZU KUCHEZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KWA HIYO HATA NI NYIE NIWABOVU TUSHAWAPIGA SANA KAMA NGOMA NA BADO HATUJAMALIZA KUWA PIGA
Kwasababu Yanga imeshinda
@@mohdkhatib223 NYIE MAKOLO MNAYESEMA ZALAN TIMU MBOVU JE?IINGEKUWA BOVU INGEFUZU KUCHEZA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA HAYA NYIE TUSHAPIGA SANA KAMA NGOMA JE NANYIE NI WABOVU?
Pole Sana lkn hi ndo yangaaaa pole ww Simba nenda mbugani etiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😏😏😏😏😏😏
Nyooo mbn Magori yote mnafunga kipindi cha pili ao vijana wakiingia nyumbani mnawapa nn maana wametoka kama wamelewa acheni huuni
@@winnieangelo4985 NYOO MWENYEWE KUFUNGA MABAO KIPINDI CHA PILI NI SYSTEM HATARI TULIYOJIWEKEA BAADAE TUNAANZA KUWA PIGA KAMA NGOMA YA MDUNDIKO
Yanga Tam
Nina imani na yanga yangu
Kwa kuwanga hao zalan,acheni vituko,mnakutana na wanaume sasa
@@mangimeli5846 kwani hao zalan ni w/ke
@@mariamjumaa5532 🤣🤣🤣🤣jb konki
Yanga hii Acha tu
Bomu mortuary
Alahil in the way no dance kalal cry
Subirini raundi ya pili mtaona kitakacho tokea ndio mtajua nzur au ilicheza na KiBONDE kwenye ligi tu hamjashinda zaidi ya NNE ikisha mnajisifu na timu nzur mpira mnacheza yanga tu hio timu kweli au ya mtaani
Kikuumacho ni nn sasa🤣🤣🤣🤣
Hahaahhahaah utopolo watakiuona Cha mtema kuni
Mwaka huu mtaulizana xana
Makolo na tff yao wanaumia sana wakiona Yanga inashinda
@@efrahimkalimanzila5488 moja Kati ya wabovu ambao tumekutana nao ni PAMOJA na ww kolo
Kilicho waponza hio jez yao Kama ya simba yanga walijua wanachenza na smba🤣🤣🤣🤣🤣🤣mi yanga 💚💚💚💚
Haswaaa💛💚💛💚🙏🙏😀💛💚💛💚💪💪😂🤣😂🤣
Haki kweli 😂😂😂😂
Yanga tamu
Lete kisinda
Sijafurahia ushindi hii timu mbovu Sana Klabu Bingwa huwezi kuitoa timu kwa mabao 10-0.
Yanga bora.Kwani hata hao Simba mnaowaona niwazuri kwakuifunga nyasa Kama timu ngumu.Walifungwa na Yanga bao 2 1 Mimi nafurahi na kuwaombea wafanye kazi nzuri zaidi kwakadiri wanapokutana na timu yoyote yenye uwezo wowote.Alan sio dhaifu Bali imekutana na timu nzuri.
We ndo unajua boli
Inamaan hii team sudani inachez daraja la pili?
💚💛💚💛
Oyeeeee
Oya huyu Aziz Ki hodari bhn na anajua hasa kulitumia lile guu
Mi watatu yanga moto
Fiston kalala mayele soon to England akikipiga Arsenal
England team ya taifa tu haitwi
@@salehkhamis3000 wivu huo 😂😂kuitwa national team sio kuitwa England watu wanaangaliwa kwa club sio taifa
Wakubwa hao wanapepea
Nabi bonge la kocha
hata kombe la dunia kwani wao waweze sjye tushindwe wao wana mapembe? watu wazima uwanjani 11 × 11 so, nini cha ajabu? Hata mjerumani kapigwa.kimubwa malemgo na kutokudharau kama hao wanaosema zalan ni dhaifu ila wakikutana nao wanapigwa 🤣🤣🤣😅