FULL MATCH HIGHLIGHTS | GABON 0-2 DR CONGO | GOLI LA MAYELE | AFCON 2023 TV3 TANZANIA GAME ON
Vložit
- čas přidán 17. 06. 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - Sport
Journalist Reporter wa Tanzania iko Hatari kweli. Tunakupenda Sana uku Congo, 🇨🇩 Fiston kalala Mayeleeeeeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂
je vous adore le commentaire éprouve vraiment de l amour a fiston mayele
Tv3 tanzania tunawapenda sana.
Asante kwakutupa matangazo kwa luga ya kiswahili.
Yani tuna enjoy sana.
Na hongera sana kwa Team ya DR congo kwa ushindi.
Na Asante sana kwa fiston kalala mayele kwa kutu entertain.
Jag älkar mitt land Kongo, I love my country Congo, Napenda inchi yangu Kongo Salut á tous les Congolais et j' aime la RDCongo na Mungu wi bariki Afrika na bariki pia na Kongo salamu kutoka Sweden(Suéde)
So trough this video, I can see how fiston mayele kalala aka the king , is so loved in Tanzania . As a Congolese 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 I'm so proud of him and so happy for young Africans fans 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Mayele anazidi kujibrand what a striker 🎉🎉
Fiston Kalala Mayele 🔥🔥🔥🔥
💛💚Young Africans💛💚
Jamani mayeleee oyeeeeee
Mim kama shabiki wa simba hakika nimefurahi sana sana kw Muwakilishi wetu kutoka ligi ya Tanzania akiwa congo Fiston Mayele kupiga goli. Maan baadh ya makocha wanasema mabeki wa kibongo ni wepesi ndio maan dube, Mayele wanawika kwenye ligi yetu kwhyo matukio hayo yanaonyesha kilicho kizuri hakijifichi big up sana king mayele. Chukua mauwa yako 😊🎉🎉🎉
Umesema kweli kaka unajua Hawa wachambuzi wasoka la bongo wengi ni WA michongo kaka kizuri kitabaki kuwa kizuri kaka uko sawa Asante sana mtani tuko pamoja
Bravo sana
Nakubaliii mtaniii💚💛
Hahh mayele bana
Wachambuzi wanalazimishwa kuzungumza visivyotakiwa Kwa kulipwa hongo
Mayele mzee wa vibration zenyewe!!! I like this man and it's humbleness!! Salute from Kigali!! Fan wa league ya TZD
dj
Mchezaji mkubwa anahitaji kupewa nafasi tu hata mda mdogo ataleta tofauti.
❤king Mayele
🇨🇦One touch one goal, what a striker Mayele🫡
Asante kalala mayele kwa kazi nzuri maana Mimi ni mwana jangwani
we love you Mayele fiston merci beaucoup
The journalist trying to speak french 😄😄 I like it !!!!
Mayele ni mwamba kwelikweli , mungu ampe maisha marefu kisoka kwani ni miongoni mwa wachezaji wanaleta heshima barani afrika
Sawa Mungu ampe maisha marefu atafute timu achezee
Sio Yanga hapo atadumaa tu
@@sadih5333 siyo kweli ndugu yangu acha fitna
@@sadih5333Tu es très jaloux de Mayele pourquoi ????.
Hôtep 👁️🔮🔥
FISTON KALALA MAYELE DE KING OF YOUG AFRICAN S TANZANIA.
We are so glad for you mayele , continue like this
Huyu ni predator the King of NBC PL ✅ Fiston kalala mayele
The King of Yanga Fiston traum tor
Asante sana kwa waandishi. Hongera sana DRC
Huyu jamaaaa ni best player
Il a cruisifier le gardien félitation le jeune congolais ❤
Nani asinge tetema nasi? Kalala ahsante sana merci beaucoup mwana mboka🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆🥰 on t’aime par ici, saluer nous notre belle sœur quand tu va la retrouver en train de te remettre tes trophées qu’elle était parti prendre pour toi!
Hapo kwa kutetema ,,,sisi wana yanga tumewashinda wa Congo
Pa pa pa pa pat 😮
Mayeleeeeeeeee
Merci beaucoup fiston mayele notre avenir
Yoka biso mboka elengi ✌️🇨🇩
Félicitations Mayele, Yanga, nous t'aimons #Daimambelenyumamwiko
Viongozi Yanga timu yeyote inayemtaka MAYELE ofa NI bilioni 15.
Swala kitaifa support iwepo sio Ona mayele anafunga Innonga anatetema❤...Jana Tanzania inashinda tuwape sifa wachezaj wetu mashabiki fln washabikia Adebayo jmn swala kitaifa tuwe serious tupo tyr kumsifia Adebayo ambae si wetu tunsingiaza Mambo ya Vilab kwny taifa😂😂 so poa sema sema wabongo sifa😮😊
Wee lijinga tu
Mayere ni mtu hatari sana akipata chance hakosei
Kalala oza. Mystique,but ya Victoire na danse wana,ah somo
Le pauvre gardien de but Gabonais! Il n'a vu que du feu!!!
Enonga anavyotetema kwa nguvu..alimiss hili livaibration..The king is only one..
Great goal Mayele
Huyu jamaa anajua anajua tena 🔥🔥🔥
Mayele to world 🌍
Mimi ni Yanga, Ila Huyu Mayele akibaki Yanga msimu huu Basi Mganga wetu apewe Maua Yake.
Hili jamaa sio la kucheza hapa 😂
🤣🤣🤣🤣
Vive mon équipe ❤
Inoga nae katetema...kumbe huwa anapenda hilo vibe
Mayele Ni mmoja tu the king
Nakukumbari mayele nakuombeya
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩my country
❤❤❤❤tunapenda sana mchezaji wetu mayele ❤❤❤❤kwamtetemo
Mimi niko congo naku kubali sana kaka mungu aku bariki
Watu Wana tetema🥰🥰🥰🥰🥰
. mayele yangaaaaaaaa
C'est en direct ?
Ninawaheshimu watoa maoni kwa njia wanayotoa maoni katika mchezo huu, heshima, from DRC
Salute broo
I LIKE TZ LEAGUE
Merçi l' Univers pour ces bénédictions
RDC Word 🇨🇩💪
Mayele nimmoja tuuu.king
Maeyeleeeeeeeee
Huyu mayele anatakiwa acheze ulaya, mayele juuuuuuuuu
Toujours mon grand frère preso
Well done Fiston kalala Mayele❤👏👏👏💪🤳🙏
I wish I could understand Swahili.
is easiest language to learn, even mayele speaks it very well
Wishes come true
Mayele ananyimwa pas na hyo kiungo lasta ,anaroho ya ovyo
😮Hili Mayele hatari aisee
Kifaransa niatarii
Huyu mayele hatar
Felicitation pour vous vous etez le meilleur reporteur je pensee beaucoup a kabulo muana kabulo pour le moment et notre ministre de sport de la rdc
Kumbe hata Inonga anapenda kutetema eee?
Jamani nyie mmemuona inonga baka nae anatetema jamani 😂😂😂
Mayele in DRCONGO lingala langage mean clever.
Trebien
safi mayele
Mayele ni mwamba kweli😅😅
Gabon watajilaumu wenyewe wamekosa goli Saba za wazi
Waroma vini
Gabon walikuwa wanamsikia tuu predictor sasa wamemjua ni
Nani
Makabi namuona paleee
Mayel usiondok yanga 2nakuhitaj
Mayelé veut dire intelligent
Kulikuwa na ulazima Gani kumtaja inonga akiwa benchi nyambafu
Waambie wale wanaosema Mayele ni mchezaji wa kawaida tu, akiwa mbali wanamsifia akiwa nchini wanasema wakawaida na waliposikia anatakiwa nje wamefurahi ajabu, duuuh mbumbumbu bwana wanashangaza🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂😂😂😂
Fiston IKO Matata kabisa kweli 😂😂👍
Safi watangazaji tunatakiwa tuboreshe lugha yetu kwa mfano mpira sio mpila
Kwa namna ya watangazaji wetu kama unamsikiliza kupitia redioni basi utasema mpira ulikuwa ni mkali na timu ama moja kushambuliwa sana kumbe ni midadi tu!! Nilizoea kumsikiliza Charles na Kikeke wakitangaza match za EPL zilizo kali sana na zenye move murua na hatari lakini hawakuwa na mdadi kama hawa wa kisasa!!
asanteni timu langu la rdc, na subiri tutwange na M23
Mungu awabariki sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔰🔰🔰💛💛💛💛💛
Na musikilia uyu gardien uruma alisimama na kushangara nyuma ya ile Gool
😂❤
Mayelee
Inonga nae anavibe😂😂😂😂😂😂safi huo ndo mpira bhuana
Ungeenda kufunga wewe na hata na mkono
Iyo kuhesabu ya mtangazaji mbona atuhelewi kutoka 7-9 mbona atuja sikiya 8 😂😂😂
Yaani mtu anatetea TAIFA lake lkn MAKOLO wanaumia, kweli JINAMIZI la MAYELE linawatafuna MAKOLO..🤣🤣🤣
KWANI WEWE HUNA TAIFA LAKO??? PIMBI WEWE
@@salimmalaka256 ....KOLO MLIBWANJI ..!
@@salimmalaka256 😆😆😆😆😆
Nani kaumia sasa aiseee yy ndio kilaza kwel kwel
Mayele
Mayele nimeona inonga anatetema.Yupo bench harafu.Waliochukia tunawsjua
WEWE ULIWAHI KUKAA BENCHI HATA TIMU YA MTAANI KWENU WACHA UJINGA
@@salimmalaka256 😆😆😆😆😆😆
@@salamasaidi6620 TOPOLO HILO 😂 😆 😂 😆 😆
Poasana
Kifaranca iki eeeh aca nikune pumbu😅
😂😂😂😂
Bro sio mpila ni mpira unaharibu utangazaji wako
😆😆😆😆😆
Mayele apewe mauwa yake
Wamechapa kama inonga baadae wakatetema kama mayele
Ile style siyo ya inonga bali ni ya wakongo wote
@@robertamsini1256 umeulizwa???? Umbea mtoto wakiume dah...kwahyo na ww mkongo sasa😆😆😆😆
Uongozi wa yanga fanyeni juu chini mumbakishe mayele jaman ni straica atari hajawahi kutokea tz na kwa sasa afrika toen hera zote huyu mchezaji asiondoke yanga kama kwel tunayataka makombe
Hiyo staily ya kuchapa niliiona mwanzo kabisa kwa Mukoko Tonombe. Kabla ya Inonga ajaja kucheza mpira Tz.
@@salamasaidi6620 mimi ni mu congo 🇨🇩 baba na mama brother
czcams.com/video/QtvcRuacmtc/video.html PENZI LA SHEMEJI LAMNOGEA DADA.
Fot
Kipenzi Cha utopolo siyo Tanzania 😂😂😂
Kipenzi cha Taifa na serikali
Kipenzi cha ligi nzima Na caf
Kipenzi cha utopolo sio Tanzania na kutetema ni ushangiriaji wake sio wa Utopolo gongowazi.
@@ezrajustice4352KIPENZI CHA SERIKALI YA KWAO ALIE WAPA USHINDI SIO TZ.
@@sadih5333 Kwani hujamuona Inonga akitetema hapo?
Donne-moi à boire